Тёмный

MAZITO EBITOKE AKIONYESHA MAHABA HADHARANI NA MPENZI WAKE MPYA. 

BORAMEDIA
Подписаться 290 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Ahsante kwa kufuatialia BORA MEDIA kwa habari na matukio mbalimbali kama bado huja Subscribe youtube channel yetu fanya hivyo sasa ili kuwa wakwanza kupata habari zetu kwa wakatI
Follow us on instagram at / boramedia
Follow us on facebook at / boramedia
Whatsapp no; +255 654 682 050

Опубликовано:

 

24 фев 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 67   
@rukaiyaahmadsuleiman3951
@rukaiyaahmadsuleiman3951 2 года назад
Ebitoke daa unabadilisha wanaume kama shati kumbuka kuna ukimwi tuu
@user-pg3pu4jk9f
@user-pg3pu4jk9f 2 года назад
Umeamuwa ujichubue sindiyo, au mafuta ya mgando yanakung"arisha😜
@zehrahaji1566
@zehrahaji1566 2 года назад
😁😁😁😁
@kuruthumkilongo7902
@kuruthumkilongo7902 2 года назад
Ebitoke huna bahati ya kupata mwanaume kabisa
@zou7470
@zou7470 2 года назад
Yani ebitoke ana jini mahaba mana juzi kati alisema hatorudi kuweka mahusiano kwenye mitandao 🤣🤣🤣🤣
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 года назад
Ebitoke umejiharibu kwa kujichubua, hovyoo. Ulimganda Ben Pol akapita huyoo na kuelekea na Maisha yake.
@saidaramadhan2099
@saidaramadhan2099 Год назад
Mimba imembsdilisha ajajichubua. Mtoto kagoma weusi
@hellenpetter4094
@hellenpetter4094 2 года назад
Yaani hawa wamekutana pwagu na pwaguziiiii
@airinsumeno2490
@airinsumeno2490 2 года назад
Weeeeeeee Helen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@hellenpetter4094
@hellenpetter4094 2 года назад
@@airinsumeno2490 sa we wana maajabu ganiii... Hawakukosea kusema mungu anakupa wa kufanana na wewe..ndo hao sasa
@nuruhamisi8353
@nuruhamisi8353 2 года назад
😀😀😀😀
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 2 года назад
Kwanza waznzbar hawana nizamu ya kutembeaa na vigwagula..ww unajiuzaa kila sku drama ndo mwannaume gan uyu ovyooo
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 года назад
Umekuwa mzuri ebi,ulipendeza saaana ulipokuwa mweusi
@ayoanite4011
@ayoanite4011 2 года назад
Jehovah....huyo ndiye mwanaume???? Minahisi ebitoke ana mapepo maana mwanaume anakaa nashida
@manstiko5890
@manstiko5890 2 года назад
Kwaiyo uyo jamaa anajifanya staa anajificha pipa na mfuniko 😂😂😂😂😂😂
@sakeenaomar5706
@sakeenaomar5706 2 года назад
Miss you Eby long time
@allykirunginyamka9171
@allykirunginyamka9171 2 года назад
Hajatuonyesha yule Mburundi (Chuma Chuma)
@aishambondo8923
@aishambondo8923 2 года назад
Mmh umenizidii tabiaa
@divinebernard1047
@divinebernard1047 2 года назад
Mhhh kalivyo kabaya
@janetahmed6948
@janetahmed6948 2 года назад
Huo anataka umarufu kupitia ebi huo wawapi sura imekomaa jamani duuu nachek😅😅😅😅
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 2 года назад
Hah
@sheilanampenya1833
@sheilanampenya1833 2 года назад
Ngoja uliwe tena hela
@angeljobu7449
@angeljobu7449 2 года назад
Uyuu ebitokee anagunduu tu
@hellenpetter4094
@hellenpetter4094 2 года назад
Mgando umemshinda huyuuu arudii tuu bukoba au aendee usukumanii kwa huyo kinasa wako
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 2 года назад
Ebi alikuwa na uweusi mzuri jamanii
@jenifaranthony869
@jenifaranthony869 2 года назад
Ukiwapakia kwenye fuso wanamwagika 🤣🤣🤣
@zuberyjumbe1816
@zuberyjumbe1816 2 года назад
Kidem chenyewe kibovu uyu Dada kha
@zainabwage4658
@zainabwage4658 2 года назад
Uyu ni mdangaji nation kila sk kutambulisha wazinifu wenzie duh pole iv uko some were munanyama za chuma au jiwe
@fatmamansour676
@fatmamansour676 2 года назад
Hana lolote kazi yake kulipwa pesa na yye kulipwa mana wanalfata kula hizo pesa kisha wanamkimbia alichora mpka tattoo hakufika mwezi
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 года назад
Huyo jamaa hata ukinip bure sichukuii, ebitoke kwan comedy ushaach na kitenge si alisema wew unapesa san .
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 года назад
Huyu dogo n mshamba mapenzi nyau weee!! Anabadirisha wanaume utafikir chupi za kwenye breed😏😏 kenyewe kanafikir sifa kashamba ka kihaya haka kananiudhi Sana hakajui kujistri
@alicemwalimu8791
@alicemwalimu8791 2 года назад
Shenz ww,nawe tukuone na hizo drama zako,humuwez kwa lolote kinachotuua wanawake ni kuoneana wivu
@meryshomi1738
@meryshomi1738 2 года назад
Huwa anawatoa wapi wanaofanana hivi😀😀😀
@yusrashabani2983
@yusrashabani2983 2 года назад
Unajuwa fupi, ndefu , za kawaida , nene , nyembamba , vibamia , yani kila aina jamani tulia na uyo sasa mnaendana
@selestineosoo5045
@selestineosoo5045 2 года назад
Mastaa wa Tanzania wote ni Malaya
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 года назад
Sije akawa km yusuf mlela
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 2 года назад
tushamsahau kwa tabia zake mbovu kashatubowa. hata kumtafuti hatutaki
@halpajordan2841
@halpajordan2841 2 года назад
Kaka kituko jmn af ebi anabadilisha Sana ma bwana
@fatmamshangama9824
@fatmamshangama9824 2 года назад
Mmmmh ww ebotoke hebu tulia sasa kila sk unabadili wanaume mmmh ww mtt tunataka ufanye kz
@zenarodgers278
@zenarodgers278 2 года назад
I think ilipofikia it's good you live a private life. I say unavyowabidisha... Ni kama we una kasoro
@aminatakhamis3390
@aminatakhamis3390 2 года назад
Kumbe huyo Ebi hajielewi bure kabisa
@juliethgabriel4537
@juliethgabriel4537 2 года назад
Hivi Ebitoke ana wazazi?
@maisarah6819
@maisarah6819 2 года назад
Mbona mwanaume mchoki ivi🙊
@juliethajames3043
@juliethajames3043 2 года назад
Bitoke chenga nying tuu
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 2 года назад
mh kinasa msukuma ilo kofii!!!
@meryshomi1738
@meryshomi1738 2 года назад
Na wote aliopitia wanafanana
@shalymufwolovo4529
@shalymufwolovo4529 2 года назад
Jaamani jamani maneno yamenikosa
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 года назад
Duhhh a a hangaika na wa baba huyu jmn. Khaaa
@user-hn3km9ex5r
@user-hn3km9ex5r 2 года назад
Mapenzi ya bongo bhana
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 года назад
Jamn jamn ebi una nn jmn,kila mwanaume du
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 2 года назад
Mbona anabana meno akisema au kalewa😂
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 года назад
Ndivyo alivyoumbwa🥱
@zainayolamu6486
@zainayolamu6486 2 года назад
Ebitoke APA kupatwa bwana
@rehematawalani733
@rehematawalani733 Год назад
Hivo ile mimba ilizaa mwana vile?
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 года назад
Huyu dada yupo,alihacha comedy au?🤔
@ornellazamila7983
@ornellazamila7983 2 года назад
Ila embitoke nimuzuli nikwasababu ya comed huwa tunaona nimubaya😀😀
@gloryonesmo2244
@gloryonesmo2244 2 года назад
SASA C ALIKUTONGOZA
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 года назад
Ebitoke mahaba ndi ndi ndi
@elinahjoseph3085
@elinahjoseph3085 2 года назад
Dah ivi achoki jmn ivi nn thaman ya uwanawake wake jmn kila cku mwanaume mpya uko ni kujishushia status yko mwenyewe km mwanamke jmn duh unakera unadhalilisha wanawake
@fatumamuya283
@fatumamuya283 2 года назад
Anajidhalilisha mwenyewe
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
😭😭😭😭 tusamehe muumba
@maryammamuu4206
@maryammamuu4206 2 года назад
Shida ni mshamba alafu cjui angekuwa mali safi ingekuwaje makeup kibao
@mariamdimosso621
@mariamdimosso621 2 года назад
Huyu atafika mbinguni aneshoka
@sknapoleonshoo3145
@sknapoleonshoo3145 2 года назад
Huyu demu alishapotea
@aishaukuthymwanachahaya4511
@aishaukuthymwanachahaya4511 2 года назад
Ebi n mzr nyie
@ayoanite4011
@ayoanite4011 2 года назад
I think mtoto amepata mutu wa kmtmb
@ziadaarthasan6575
@ziadaarthasan6575 11 месяцев назад
Mimi sina imani kama bwana ake antaka kutuchanganya watanzania tu
Далее
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14
SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO
40:50
Просмотров 536 тыс.
MAHABA YA EBITOKE NA KIBENTENI WAKE MBONA BALAA TUPU
2:36
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14