Тёмный
No video :(

WAZIRI SILAA AMTIMUA MZEE MASS ALIYEVAMIA NYUMBA SIO YAKE | AMKABIDHI MWENYE HAKI | MHE.NINA NJAA... 

RAI TV
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@edlumala9428
@edlumala9428 3 месяца назад
Dua zetu kwa wingi kwa Mh Jerry! Simamia haki Mungu anatosha kuwa na nawe
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 3 месяца назад
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI MH. WAZIRI SILAA.
@salumally663
@salumally663 3 месяца назад
Waziri hongera sana kuwatetea wanyonge kazii hii unayoifanya ni ngumu sana. Kwanza kukesha mpaka usiku kutatua matatizo ya watu inaonyesha una moyo special...
@user-wt7vf4uf3x
@user-wt7vf4uf3x 3 месяца назад
Mh waziri hongera sana kwa kazi nzuri ambayo kila mmoja kwa macho yake anaiona kwa kwali usichoke endelea kupamabna kazi hiyo ni ngumu sana.
@irenebarakelimnene4895
@irenebarakelimnene4895 3 месяца назад
Mhe.Jerry mwenyezi Mungu Akubariki kwa kutenda haki
@OdasiBuchumi
@OdasiBuchumi 3 месяца назад
Matapeli wote wanakimbilia mahakamani kwa sababu ya kwenda kuhonga vipesa
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 месяца назад
Dk sillah mungu akulinde akupe afya njema na maisha Marefu dk silah for president
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 месяца назад
Ee, Jerry silaha amekuwa Dr lini ?
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 3 месяца назад
Mungu akubariki Mh.Waziri kwa kutetea haki za wanyonge.
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 3 месяца назад
Ubarikiwe saana waziri huo sio uongozi wa kisiasa bali bali ndio namna ya kumtumikia Mungu kwanjia ya uongozi, njoo kasulu Kigoma tupone.
@user-id7lc7tk4d
@user-id7lc7tk4d 3 месяца назад
Mzee anaonekana mjanjamjanja huyu, ila hakuna kitu kibaya kama kuzulumi ardhi
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Kudhulumu chochote
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 месяца назад
Waziri silahaa niwakuigwa yuko vizuri apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 3 месяца назад
Namfurahia mr waziri slaa ,,,,,pga kaz bro
@user-pc3zj6eg4f
@user-pc3zj6eg4f 3 месяца назад
Mkuu Mungu atakulipa Kwa kusaidia watu Kuna watu wanapata shida na wapo na haki ya kumiliki
@abibumussa8808
@abibumussa8808 3 месяца назад
Mahakamani Kama huna hela huwz pata haki kunawale wa le waliowazurumu wanch mwanzange kwa hat ya duga halafu wanajifanya waislam waislam gan nyie zurma jifunz en kwa taasisi ya answal hawajawah kumzurumu mtu hata tofari moja
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 месяца назад
Asante wazir. Silla hutaki dhuluma kabisa Allah akulinde azidi kukupandisha cheo tunakupenda mtenda haki
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 месяца назад
Chaa kazi waziri
@saidinaweka9425
@saidinaweka9425 3 месяца назад
Polesana wazili kipenza changu unaweza sana mungu akubaliki kiongozii mpenda hakiii
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 3 месяца назад
Pongezi kwa mh Slaa, kwakweli upele umepata mkunaji, mahakamani hakuna haki ni rushwa mtindo mmoja
@Kidotii
@Kidotii 2 месяца назад
Proud of you Mh. SILAA, Tunashukuru kwa kutuchongea barabara Pugu
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 3 месяца назад
masha Allah thanks so much
@yusuphalinani5432
@yusuphalinani5432 3 месяца назад
Mungu akukumbuke mh waziri katika kazi zako
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад
jamani tangazo tangazooooo kama unajua ww unakaa kwenye nyumba ya zuluma hama mwenyewe ile zama ya uonevu kwenye alizi imekwisha mimi wala simuonei huruma kwasababu yeye nimshenzi zaid hiii ndio daw yao siwana lingia mahakama kwa sababu wana pesa sasa izo pesa watafute viwanja wajenge wakae kwa utulivu shenz wazili apewe mauwa yake mana hii kazi inahitaji uso wambuzi ningumu kurogwa nnje nnje
@ErickMdemu-xe3cd
@ErickMdemu-xe3cd 3 месяца назад
God be with you honorable
@juliusnassari4468
@juliusnassari4468 3 месяца назад
Mh, Silaa nina hakika mwenyenzi mungu atakupigania!! mahakama zetu hazina huruma na wanyonge,watu kama mmasi wapo wengi nchi hii,wanatumia pesa kufanya unyang'anyi!!!
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 3 месяца назад
Hii inatia moyo sana, mungu akulinde mheshimiwa Slaa kwa kuisimamia haki, hakika wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. Safi kabisa mtetezi wa wanyonge
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 3 месяца назад
Huyu mzee ana haki hawa wasaidiz wajanja wanakula hongo nje ya kazi kabla ya makutano wa
@mwanaidikhamis5430
@mwanaidikhamis5430 3 месяца назад
Nampenda sana huyu kiongozi
@FreeGod368
@FreeGod368 3 месяца назад
Nkiona hivi najua kama lukuvi alikua anacheza singeli kwenye serikali tu
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 3 месяца назад
Namfuatilia huyu waziri kuliko kiongozi yeyote wa nchi yetu, he is at high level hakika profile yake inang'aa mno
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 3 месяца назад
Hii wizara umeimudu Mkuu mama akupe muda utatue shida hizi mkuu
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 месяца назад
Daaa kweli jery mungu atakulinda in shaa allah
@zedyabdulrwabilingo9042
@zedyabdulrwabilingo9042 3 месяца назад
Safi sana mh Silaa.
@froma3732
@froma3732 3 месяца назад
Waziri upo Sawa 110%
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 3 месяца назад
Wazili umetisha saana, wajanja wajanja sikuiz wanajifichia mahakamani huku muda ukixidi kwenda
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 20 дней назад
Jeriiiiiii👍
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 месяца назад
Lkn jmn silaha utumie utu kidpgo insi sawa ht kmnunaitaji mtu atokebso kiivi jmn mm cjapenda
@leonardsr8994
@leonardsr8994 2 месяца назад
Umeandika nini?
@DalilahAdam
@DalilahAdam 2 месяца назад
Kiluga gan hikoooo
@DavinaDavid-cp5ke
@DavinaDavid-cp5ke 3 месяца назад
Mungu akubalii waziri wetu
@yassinitupa5819
@yassinitupa5819 3 месяца назад
Hongela slaa nimekufuatiria kwa muda sasa tamgia uteuliwe na mheshimiwa yani hii nafasi inakufaa
@salumally663
@salumally663 3 месяца назад
Mm ntakuomba ukiwa ubaendelea na kazi ukipata mda Upate MAOMBI DUAa nzitoo sana ili wasije kukudhuru hawa halafu uendele na kazi..
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 месяца назад
Dah!!! Chamtu ni chamtu
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 3 месяца назад
Duniani kuna vitu vya Ajabu zaidi ya Ajabu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 месяца назад
Mnataka kumtapeli mzee WA watui duu inchi hii
@shukurually8769
@shukurually8769 3 месяца назад
Kati ya mawazili bora walioiweza kazi kwenye sekta ya uwazili wa ardhi slaa hongera sn unapambania haki kiukweli
@nicksonmremi3412
@nicksonmremi3412 3 месяца назад
Jembe letu hili mam huyu jamaa usimtoe kabisaa hii wizara mpaka umalize Urais wako na unaemkabidhi madaraka umuelekeze asije akamtoa aendelee kumpa hiyo kazi
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 месяца назад
Matepeli wengi wanapenda mahakamani ili haki wapewe wao kwa sababu ya pesa zao zinapindisha haki Mungu atawchoma sana mkifa
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 3 месяца назад
MM BADO SIJAELEWA VIZUR MZEE ANASEMA HII NYUMBA AMEJENGA YY SASA YY AMEZULUM NN
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 месяца назад
Mimi ndo maana,mjini kitu kinaitwa ardhi,nyumba siwezi kununuwa wala kupewa nikapokea,siwezi hata iweje
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 3 месяца назад
Hongera waziri
@PatriceElias-uw9uj
@PatriceElias-uw9uj 2 месяца назад
MUNGU AENDELEE KUKULINDA WAZIRI WETU
@rashidomar2771
@rashidomar2771 3 месяца назад
Mh hapa kwa huyu mzee hukufanya haki ,,ungeli muombea kwa mwenyewe angalau siku 3 iwe ameondoka,,ungelikua umekamilisha uungwana hasa
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 2 месяца назад
Akuna hyo huyu mzee alikuwa na nia mbaya
@jamesbaisi-mt2bj
@jamesbaisi-mt2bj 2 месяца назад
ushauri tu hii nyumba isiuzwe kabisa.
@IgerekeRamson
@IgerekeRamson 3 месяца назад
Malaika aliyemsimamia mama Samia na kumshauri amchague dk slaa kuwa wazir wa ardh hakika hakukosea
@FelicianMasheyo
@FelicianMasheyo 3 месяца назад
Eleweni sio mnacoment bila kuelewa kijana anasema baba take aliifadhi hati benk mzee mmasi akafanya mipango benki hati ikatoka baadae mzee mmasi akaekti kua nyumba kauziwa na marrhem baba yao vijana wamaungutuma kesi mwezi wa name mwaka Jana wakashinda kwahiy mmas alitakiwa akabiz nyumba mwaka Jana akawa anawayumbisha ndyo
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 3 месяца назад
Mae mzee alitaka kudondoka do huruma
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 3 месяца назад
Mawaziri igeni mfano w a slaa nchi yetu ingekuwa free from graft or corruption
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 3 месяца назад
Big up
@aminaosman3315
@aminaosman3315 2 месяца назад
,matape wadhulumaji wanyanyasaji wanalimbilia mahakamani kununua haki Allah hahongeki
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp 3 месяца назад
Mbona inaonekana kabila hiii nimatapeli
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 3 месяца назад
Utapeli nikitu kibaya sana matokeo yake ndio kama haya sasa zuluma mbaya
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 месяца назад
Hatar sana
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад
Msani huyo wanazulumu maskini
@HildaMlay
@HildaMlay 2 месяца назад
Rais wangu baada ya Samia hili ni jembe
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 2 месяца назад
Mzee mzima tapeli muone pala lile kama jiwe la kusugulia miguu 😏😏
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 2 месяца назад
😂😂😂😂
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 месяца назад
Hawa jamaa mwezi wa Desemba lazima waende kwao kuhiji na wakaeleze kipi walichodhulumu kwa mwaka huo je wameua watu wangapi ili wapate pesa je wamefanya ujambazi wapi na umepata sh ngapi
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 Месяц назад
19:12 19:13 19:14
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 3 месяца назад
Mh.ameshunguza na kupata majibu ndo Mana ameamua hivyo,hajakurupuka amepita kote kinakohusika.
@R10_Rajab
@R10_Rajab 3 месяца назад
Watu wenye pesa zao Tanganyika wakiambiwa waondoka na police fasta tu wala hawana shida maana wanajua hawatofanywa chochote watahonga pesa na watatoka tu hahha Tanganyika bhana kwa maigizo wamepasi
@hulukasefu
@hulukasefu 3 месяца назад
babayako arikopa benk ndiomana hati yake ikawa benk nahuyo mzee wa watu ariuziwa kweri swari je?ari ipataje hio hati na benk warimpaje hio hati muriwauriza benk kuhusu hiohati naje? irifikaje benk tuache zuruma .zuruma nimbaya nduguzagu.
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 3 месяца назад
Kwanza hujui kuandika Fala ww ina maana Kilichoelezwa hapo huelewi pimbi ww
@josephndunguru6290
@josephndunguru6290 3 месяца назад
Yaniii huyuuu nae nyumbuu kwelii, huelew nn hapoo, dhuruma nanii hapoo,
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 3 месяца назад
Anataka atendewe haki wakati yeye kavunja haki za wengine.
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 3 месяца назад
Hii inazihilisha kuwa mahakama zetu zimejaa rushwa Yan mahakama zinanuka rushwaaa...sasa silaa anawanyoosha
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 2 месяца назад
Baba yuko na pressure
@hassaniabdi3991
@hassaniabdi3991 3 месяца назад
Matapeli wa tanga awooo
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 3 месяца назад
ALIPE KODI ULE MUDA ALIKAAA
@shabaniramadhani7632
@shabaniramadhani7632 3 месяца назад
Hongera waziri kwa kazi nzuri hao wazurumaji ndio dawa yao haki sawa taperi mkubwa huyo
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 3 месяца назад
Siku zote haki itachelewa ila utapata tu hawa wachaga huwa ni wajanja wajanja sana
@edwinaugustine5388
@edwinaugustine5388 3 месяца назад
Weka ndani
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 3 месяца назад
Ivi ardhi ina nini?
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Huyu ameshirikiana na watu wa ardhi kuzulumu. Atapambana nao matapeli wenziwe
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Bila shaka
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 3 месяца назад
Huyu mzee anaonekana mjanja mjanja saaana
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 месяца назад
Matapeli hao
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 3 месяца назад
Ila watu wa ardhi jmn kwanini hati xuwe 2 /3
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 месяца назад
Bye bye mzee Mmasi mwisho wa dhuluma ndio huo
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 месяца назад
Mchukue mpeleke nondo.😅😅
@hanifhassan183
@hanifhassan183 3 месяца назад
Tunamuomba aje na huku Zanzibar dhulma ya Ardhi imekithiri
@princewambura9202
@princewambura9202 3 месяца назад
Zanzibar kuna waziri wa makazi pia...serekali haziwezi kuingiliana katika majukumu zanzibar ina serekali pia
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 3 месяца назад
Jambazi zee la kichaga
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 2 месяца назад
😂😂😂😂
@henrysadam7406
@henrysadam7406 3 месяца назад
akuna aki kamaiyo nakwann iwe bek
@official_Nanga
@official_Nanga 3 месяца назад
Waukae humu humu tuuuuuu
@adamsimba4886
@adamsimba4886 3 месяца назад
Mze wa kikibosho mchaga😅
@davidole8257
@davidole8257 3 месяца назад
Yeye alieshinda kesi mwenzi wa 9 alikuepo wapi mbaka sasa uwonevu tu angeruhusiwa ahame kesho yake sio ungwana
@sosteneskawishe8180
@sosteneskawishe8180 3 месяца назад
Huyo katili sio wa kuonewa huruma, usiombe yakukute mzee
@sambulugu9988
@sambulugu9988 3 месяца назад
Wewe mjinga ficha upumbavu wako!
@RaymondNjengo-bq1zc
@RaymondNjengo-bq1zc 3 месяца назад
Umesikia historia ya kupata hiyo nyumba toka 2005,kwa kutumia nyaraka za udanganyifu kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu mmiliki ambae walichukua Hati NMB na kisha kujiuzia sasa huruma ya nini?
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 3 месяца назад
Angalia ungekuwa wewe umedhulumiwa ingekuweje kuwa na ubinadamu sasa waziri yuko sahii sana waziri piga kazi
@Ba63828
@Ba63828 3 месяца назад
Mbona utaratibu wa kukaza hukumu upo wazi waziri anaingiaje hapo?
@MerickyMangula-yi6ow
@MerickyMangula-yi6ow 3 месяца назад
Kukazia hukumu kwa mtu mwenye hela hutoweza anahonga
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 3 месяца назад
Why waste time with corrupt people get rid of them bastard
@Ba63828
@Ba63828 3 месяца назад
@MerickyMangula-yi6ow Unao ushahidi? Sheria hairuhusu waziri au mtu mwingine kuingilia jambo lililopo kortini ni vyombo vya kimahakama tu ndo hutumika. Anachofanya waziri ni ubabe.
@neemawayesu1771
@neemawayesu1771 2 месяца назад
Sheria inaruhusu ndio maana yuko hapo,nenda ofisini kwake utaonyeshwa
@Ba63828
@Ba63828 2 месяца назад
@neemawayesu1771 Neema are you a lawyer? Wapi alipotajwa waziri ktk Civil Procedure Code Cap 33 kuwa anayo mamlaka ya kuingilia utekelezaji wa hukumu/uamuzi uliotolewq na mahakama? Naomba utaje kifungu.
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 месяца назад
Jerry silaha unaonea, kesi ipo mahakamani unaingilia, acha kutumia nguvu na madaraka vibaya , unaonea wanyonge, huyo mzee umemuonea
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 месяца назад
Yaan wewe ukishinda kesi ukaachiwa huru sio kwamba ukikatiwa rufaaa ndio unakamaatwa tena unarudishwa magereza haoana rufaa inasikilizwa simple logic ni mpaka rufaa imalizike kusikilizwa kama una hatia ndio unakamatwa. Au ukikutwa na hatia ukawa magereza ni tayari unahatia ukikata rufaa unaendelea kusikilizwa rufaa yako ukiwa magereza yaan mfungwa utakuja kuachiwa huru na kutolewa magereza siku utakayoshinda rufaa yako. NIKUKUMBUSHE JAMBO JERRY NI MWANASHERIA MBOBEZI TU HAKURUPUKI VERY SMART PERSON
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 3 месяца назад
Hanee kitu watu wengi hukosa haki zao kwa kisingizio cha Maha Kama nikiwemo na mm kesi miaka 15 haikwisha mpaka sigustilitena
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 3 месяца назад
Inatakiwa serikali iweke njia rahisi ili tuwe tunapima aridhi maana migogoro kama hii iwe rahisi
Далее
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya
23:21