Тёмный
No video :(

WAZIRI JERRY SILAA MATATANI, ADAIWA FIDIA BILIONI20, ATUHUMIWA KUBOMOA NYUMBA KINYUME CHA SHERIA 

JAMBO TV
Подписаться 910 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
🅻🅸🆅🅴 :MKASA MZITO WA NYUMBA YA MBEZI BEACH/WAKILI WA MBOMOLEWA AJITOKEZA ADAI MTEJA WAKE TYUKO NDANI
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

20 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 118   
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 4 месяца назад
Wakili ungemtetea masikini ambae ni naumi ningekuelewa lakini umesmma na tajri hapo ni ulajitu nanyie mawakili mmechangia sana kutapeliwa kwa w2 kwa kuhongwa kweni pamoja na mahakimu wenu
@meyou-zz8mj
@meyou-zz8mj 4 месяца назад
Wengi sana wamezurumiwa safi sana Jerry Waa tom wote hao bila silaa
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 4 месяца назад
Kuna wakati tunatakiwa kumuogopa Mungu hata Kama tunanjaa hofu ya Mungu ni Jambo la muhimu sana
@MrKhatibu
@MrKhatibu 4 месяца назад
😅😅😅😅 Menzako anasomesha watoto private school. Kwakweli kuna kazi nyengine ni mtihani mtupu, cha haki unakihalalisha kwasababu ya tumbo lako. Mola aniepushe ma mitihani ya kidunia
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 месяца назад
Siku hizi kuna wakili na wakili msomi. Kusoma pekee haitoshi. Je? Umeelimika. Mahakama zipo, badala ya kwenda Mahakamani. ni blah blah.
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 месяца назад
Wewe wakili hunahakili unashilikiana na matapeli wewe Wacha waziri afanye kazi yake
@franciscowilliam2575
@franciscowilliam2575 4 месяца назад
Mkiambiwa tutafute katiba mpya , mnasema ooh ni ya wanasiasa , ooh sijui mimi hayanihusu , ooh sijui nini ! Wajameni haya mambo yatamfikia kila mmoja kwa wakati wake ni suala la muda tu
@issaramadhaniathuman
@issaramadhaniathuman 25 дней назад
Kabisa hujakosea huo ndio ukweli
@user-qp6df2un4x
@user-qp6df2un4x 4 месяца назад
Waziri sio mjinga kiasi hicho mpk akaamulu nyumba ivunjwe, pasipo yeye kujiridhisha bila chembe mashaka kuwa Naomi ndyo mmiliki halaliunajua hawa watu wanahonga sana mahakamani ili mahakimu wapitishe ushenzi wao, Waziri hawezi kuwa mjinga kiasi hicho nyie mpk aamue jengo livunjwe
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
Hahaha wacha wapige makelele tu
@user-pz4fw2jr1x
@user-pz4fw2jr1x 4 месяца назад
Subiri yakufike ndo utaelewa.
@tmt2642
@tmt2642 4 месяца назад
Inaonekana Wewe Wakili Na Huyo Maululu mnapenda sana mambo ya kesi..😢
@reganmartin5485
@reganmartin5485 4 месяца назад
Chanzo ni kale ka letter of offer ka Mwanzo itakua kalipigwa kwa Naomi
@adammjomba5814
@adammjomba5814 12 дней назад
Waziri jerri silaa ni binadamu sio malaika anaweza kukosea au kupatia hivyo ilihaki ipatikane nilazima kesi iende mahakamani ambapo sheria itasimama kwa pande zote 2 Lakini binadamu acheni kudhulumiana Yesu yupo ana mipenda Aridhi ni mali ya Yesu na wote mtarudi kwa Ahlla kitakacho bakia ni miamba tu ( mawe) na siku za kuishi za mwana damu sio nyingi 😢😢
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 месяца назад
Yaani hii nchi inauonevu mwingi sana
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 месяца назад
Ndugu mwana Shelia mimi nahomba kuuliza kidogo mbona uyo mteja wako hamekuwa na kesi nyingi za halizi wewe kama mwana Shelia uwoni kama mteja wako Hana matatizo na wananchi
@richardtom38
@richardtom38 4 месяца назад
Huwez shindana na serikali atapigiwa hesabu za kodi hadi atakimbia kukulipa
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 месяца назад
ACHA UPUMBAVU WAKO WEWE NYOKO MNATUMIA PESA KUNYANYASA WALALAHOI NA MASIKINI NYOKO WEWE NYIE NDIO MMECHANGIA SANA UTU KUTOWEKA TZ WAPUMBAVU NYIE MNAKIMBILIA SANA MAHAKAMANI MKITUMIA NGUVU YA PESA MWACHENI WAZIRI ATENDE HAKI
@benjaminyohana5581
@benjaminyohana5581 4 месяца назад
Huyu Wakili anaonyesha wazi kwamba anajua anachokifanya ambacho ni Matapeli wote pamoja na Mteja wake.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
😂😂😂
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 месяца назад
Zuluma mbaya, Mungu hakubariki Mh Jerry Silaa.
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l 4 месяца назад
mwacheni waziri afanye kazi yake watu tumeteseka na mahakama hizo bila mafanikio. na hizo nyalaka kama umemsaidia kubushi.
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 месяца назад
Kaka mbona apo nikama unatudanganya kuturetea sihasa mnapata talifa wapi za kuwa wanataka kumbambikia kesi ya ujum chumi
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 4 месяца назад
Tapeli wakubwa nyie mnatumia pesa na mahakama kupoteza muda na kudhulumu haki za wanyonge!Fyuuu!!!!!
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 4 месяца назад
Jeri piga kazi Ata Mimi nimedhulumiwa Aki zangu ca mcngi
@adamhashim3352
@adamhashim3352 4 месяца назад
Waziri hajakurupuka anawajua vizur zaid wabongo. Matapeli saana. Wakili. Tatizo ushakula hela za watu
@maxgerad5083
@maxgerad5083 4 месяца назад
Nimesikiliza hadi 30mn. Kuna tatizo mahara mwanasheria cjakuelewa mteja wako alitaka kubadili matumizi ya eneo kutoka makzi kuwa ya biashara, swali kwanini alimtumia Juma na hakubadili umiliki kwanza ndo yeye mwenyewe abadili matumizi ya ardhi husika? Mteja wako amelizwa ndugu, nitakusikiliza tena 😅
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
Hahaha hii kesi naona imepata hakimu tyr toa hukumu bro make kaamua mwenyewe kuja humu badala ya kwenda mahakamani
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 месяца назад
Kwa mtindo huu ni kama kwamba huna wakili huna haki..!! Yaani wengi wanakosa haki zao kwa kukosa wakili. Ni dosari la kimfumo au ?
@ChristerShao
@ChristerShao 4 месяца назад
Tuongee kwa hekima,mwenye haki aipate.Tunajua dhuluma zipo nyingi za wanyonge kukosa haki.Hivyi hivyo makosa yasiyotarajiwa yanaweza ya katendeka.
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 месяца назад
Mweshimiwa waziri uyo tapeli mwangalie sana pia akapimwe akiri
@feruzyjuma
@feruzyjuma 3 месяца назад
Sasa si ukalalamike Kwa mahakama,,,,hatuna shida ya kukusikiliza mpumbavu kama wewe,,,Tamaa ya pesa unakuponza uonee wanyonge,,,,,Fala we
@adammjomba5814
@adammjomba5814 12 дней назад
Zipiganapo fahari 2 ziumiazo ni nyasi wacha tuone nani mkweli nani muongo , kila kitu kitakua wazi .
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 4 месяца назад
Uyu wakili ndio anae mfunfisha wizi mteja wake ili ampoge pesa😊
@BernardBahatiMallya
@BernardBahatiMallya 4 месяца назад
Kwa nini waziri hhiyu msomi na wakili anaingiza mambo binafsi OFISI ya Uma? Na je hakuna wengine walionewa kama huyu. Mimi naona kwa hili Raisi at toe tu haki kwa aliebomolewa na haki kwa waziri aliyehusika. Liiko wazi mnoo.
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 месяца назад
MAJIZI YAKIONGEA UTAYAJUA TU.
@user-lh7zy7gt4m
@user-lh7zy7gt4m 2 месяца назад
Nimecheka jamani
@user-lh7zy7gt4m
@user-lh7zy7gt4m 2 месяца назад
Na huyu ni tapeli kama tapeli wengine
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 4 месяца назад
WEZI NYIE 😂😂😂
@leganimwagala7684
@leganimwagala7684 3 месяца назад
Tena mimi ningewavunja mpaka viuno ninachojua kama aliyebomolewa nyumba ni mwenye kiwanja au hati sawa kama wewe ni mvamizi ni kuvunja na kuwashtaki mshazoea dhuruma
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 4 месяца назад
Wewe wakili huna maana unasimamia ujinga wa wadhurumaji
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 месяца назад
Silaa yuko vizuri sana ila hana washauli wa ethics of leadership and arbitration management.
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 4 месяца назад
Achana na Silaa siyo wala tunaowajua huyu kjana sio mjinga kias hcho
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 4 месяца назад
Si mwende Mahakamani, kwani kutafsiri sheria na kutoa haki ni kazi ya nani? 4:52
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 месяца назад
Kaka wewe apo unatetea ugali wako tu ila mimi najiuliza kwa nini mteja wako hamekuwa matatizo mengi ya halizi?
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 4 месяца назад
Wakili mpuunzi mmoja
@user-ef7hs4sb7w
@user-ef7hs4sb7w 4 месяца назад
Hawa mawakili nimatateli sana wakishikiana na matajili
@gilbertmathias7594
@gilbertmathias7594 4 месяца назад
Wakati mahakama mnaziweka mifukoni. Mmejipanga ili mtumie timu yenu mahakamani. Acha myonge apate haki yake
@user-qe5cb7vy6o
@user-qe5cb7vy6o 4 месяца назад
CHONGOLO NI FISADI MKUBWA ANAMAJUMBA ZAIDI YA 40 DAR ALIPATA WAPI PESA KAMA SIO FISADI HAKUSTAHILI KUTEULIWA.
@thomasmichaellukumai-ny7se
@thomasmichaellukumai-ny7se 4 месяца назад
We'we ni wakili wa wadhilumat wa ardhi
@juniorjotham1524
@juniorjotham1524 4 месяца назад
Kabisaa
@user-qe5cb7vy6o
@user-qe5cb7vy6o 4 месяца назад
WAZIRI Slaa mwadilifu sanahapo wanatafuta kumvunja MOYO Kwa vile RUSHWA imetawala MAHAKAMA HUYO MWENYE nyumba atashindainaweze kana kabisa hakufuata mpango miji kama alifuata basi alitumia pesa.
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 4 месяца назад
Mbaya sana kuchukua mamuzi kwa mihemko
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 месяца назад
TOKA APA BWANA UNAMWAMBIA NANI NYOKO WEWE
@DiabTutty-ke9bs
@DiabTutty-ke9bs 4 месяца назад
Wakili mbona hufahamiki!nendeni mahakamani haki itapatikana
@karyori69
@karyori69 23 дня назад
Huyu mteja wake ni dhulumati mkubwa!
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 4 месяца назад
Viongozi wanao wajibu mkubwa zaidi ya sisi wananchi wa kawaida kuzingitia utawala wa sheria na kuheshimu Mahakama.
@peterbuberwa
@peterbuberwa 4 месяца назад
Viongozi wasipo fanya mnawaukumu kwamba hafanyi
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 3 месяца назад
Usisahau mahakama zetu zipo upande wa matajili km ayajakukuta ngoja siku uwe na kes na tajil ndo utaelewa,
@mallelivenance1796
@mallelivenance1796 4 месяца назад
Ni huyo wakili nilikua namheshimu lakini kwa hapa nimetoa imani yangu kwake aise!!!! Kwanza muda wote huo alikua wapi hadi aje aibuke leo???????
@josephlugala3182
@josephlugala3182 4 месяца назад
Kiongozi umezingua ,,mwongo unatafuta Hela tuu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Nahivi ajira ni ngumu ndio mnaoambana hata pasipo stahili😂😂😂
@c2vconnection
@c2vconnection 4 месяца назад
Au huyo mteja aliyebomolewa ana conflict ya "kisiasa" na watawala?Inawezekana kinachoendelea ni zaidi ya vita ya "haki" DHIDI ya "dhulma".Kuna kitu kimejificha!
@helpers10
@helpers10 4 месяца назад
Wewe usitake kutusumbua! Wewe na wezi Wenzako mtajua hizo hati na vibali vya ujenzi mlivutoa wapi!
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 4 месяца назад
SOMA IZO JUMBE ZOTE ZINAWAONGOZA KUWA NYIE NI MAJAMBAZI WA HAKI
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 4 месяца назад
Mahakama ndo msimamizi wa sheria,notice hakuna huo ni uhuni,taarifa kwa mlalamikiwa hukuna,huo ni uhuni, serikali za mitaa husika hawakua na taarifa?
@macsaly8862
@macsaly8862 4 месяца назад
Tunaomba viongozi muwe na hofu ya Mungu mnapotoa maamuzi.
@mapinduzisylvester1903
@mapinduzisylvester1903 4 месяца назад
Takataka
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 4 месяца назад
Kwani waliovunjiwa nao na waliozulimiwa nao wasemeje ambao wamerudishiwa walichozulumiwa? Au amevunja hizo nyumba na viwanja anachukua yeye au serikali ama wanarudishiwa kwa wananchi?
@josephlugala3182
@josephlugala3182 4 месяца назад
Mpuuzi mmoja
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 месяца назад
Huyu TAPELI sio kwa kumwita TAPELI, Mbona wewe Wakili unaitwa Wakili? Hauitwi TAPELI? Wewe kula pesa tu ya Huyo TAPELI wako hila hivi sasa Cha moto hatakiona.
@gllifetime8371
@gllifetime8371 4 месяца назад
Hii video ni ndefu ukiisikiliza lazima utasinzia, ukijumlisha na visauti vya upepo na ndege lazima kunasehemu utasinzia tuu ukishtuka utakuta haijaisha😂
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 месяца назад
TULIENI MNYOOSHWE NA KULE ARUSHA KWA KUWATOA WALE WATU PALE 32
@allyndabe2458
@allyndabe2458 4 месяца назад
tusitukana jamani wacha tusubiri mwanasheria atoe maneno yake ili tuone ukweli wa mambo
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 месяца назад
Mimi Huwa nawaambia ukipata cheo kikubwa ni lazima ujifunze utawala Bora, ethics of leadership and arbitration management vinginevyo hutaweza kutawala vyema, viongozi wengi tz hawana elimu hiyo.
@SawayaNm
@SawayaNm 4 месяца назад
Definitely this minister acted very stupid! Hata Magufuli was minister on the ministry and he said that Land Ministry is toughest one! Uki angalia wakati they do demolition, Jerry was asking regular people who own the land! Seriously? 🤷‍♂️🤦🏻‍♂️😢 Tanzania rule of laws doesn’t work at all! People acting stupid as they want! Let assumed this Johnson doesn’t own this land! Why not these 2 people sit down and negotiate instead of destroying the value property wealth more than piece of land! Very ignorance and full stupidity 🤦🏻‍♂️
@Linda22289
@Linda22289 4 месяца назад
Wewe kesi iko mahakamani, unahangaika nini na mitandao ya kijamii? Nenda mahakamani upate haki yenu, nawe upate hela yako!
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 4 месяца назад
Huyu Wakili asikilizwe,ana hoja.
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
Asikilizwe kuna hakimu hapa si aende mahakamani
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c 4 месяца назад
Msikilize wewe mahakama imechangia sana w2 kutapeliwa hasa maskini sasa BC mataper kutumia pesa zao wjifunze kua mda unaweza pita lakini haki ya mtu itasimama na mwisho was siku mambo hayo sasa masiki na umaskini wake kawa tajr hongera wazri jer mungu akulinde na kule luoi nako mkoa wa pwani wilayani kibiti na wananch wanalia na utapeli was kutumia nguvu
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
@@user-yb6ut9in5c kabisa umenena
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
Nenda mahakamani bro hapa ni mtandaoni tu
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 месяца назад
Kwamba viwanja vilivyopo kwenye Mfumo ni vya mchongo??? Acheni ujinga!!
@peterjengela1770
@peterjengela1770 4 месяца назад
Jadili HOJA matusi hayatusaidii kitu wala hayatuelimishi zaidi ya kuchefua
@user-kr6ms3kh3e
@user-kr6ms3kh3e 4 месяца назад
Wewe wakili kula hela za mahululu utosheke
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 4 месяца назад
Wakil huwez kushndana na serikal ww umehongwa hela ww
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 месяца назад
26:07 26:38 26:38 26:38
@simonchristian6319
@simonchristian6319 4 месяца назад
Yaone
@JumaMbaga-sd5yi
@JumaMbaga-sd5yi 4 месяца назад
Mmezidi kudhulumu
@gideonibatangaki1317
@gideonibatangaki1317 4 месяца назад
Unategemea mackini anaweza kumshinda tajiri.
@meyou-zz8mj
@meyou-zz8mj 4 месяца назад
Magufuli alikuwa ataki usenge huyo mama mshenzi wa tabia tu ndio maana watu wanasema anasagana washenzi sana yaani magufuli mungu amrehemu
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 4 месяца назад
Mctetee matajiri bhana
@Linda22289
@Linda22289 4 месяца назад
Na kama una uhakika wa tuhuma zako, unaomba omba nini kwa rais?
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l 4 месяца назад
wewe hadi unaonyesha kuwa ni njaa zako zinaongea
@user-ql7rm2zw4d
@user-ql7rm2zw4d 4 месяца назад
Ipo kazi imbombo ngafu
@deokessy6596
@deokessy6596 4 месяца назад
Mama tazama sana wateuzi wako
@wanguwangu34
@wanguwangu34 4 месяца назад
Ukipewa cheo usitafute sifa ya kufurahisha watu bali pata elimu ya Ethics of leadership, Utawala bora na arbitration management na mawaziri wengi wa bongo hawana elimu hiyo bali hutumia vyeo kuamua mambo.
@johmyinga691
@johmyinga691 4 месяца назад
Mbunge😅
@user-sy5lx7el4z
@user-sy5lx7el4z 3 месяца назад
Ukitaka kujua roho ya masikini ni kuwachukia matajiri
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 4 месяца назад
Nyinyi mawakili wengi ni vibaraka wa ccm tuna waaambia katiba mko nyuma mkiguswa ndo mna lalamika shauri yenu daini katiba
@francomwikwa2183
@francomwikwa2183 4 месяца назад
Nimekuelewa Wakili msomi Matata
@lovely-mq4rg
@lovely-mq4rg 23 дня назад
hichi kijinga,hakijielewi
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 месяца назад
Acha ujinga nenda makamani
@dicksonshosi94
@dicksonshosi94 4 месяца назад
Mjinga wakili una akiri wewe una lolote
@adamhashim3352
@adamhashim3352 4 месяца назад
Comment za matapeli utawajua tu. Na tusichokijua ni kwamba mbongo ukianza kumskiliza hakosi la kujitetea. Ila wabongo wanahitaji maamuz magumu ili kuwanyoosha km mzee magu alivowanyoosha
@johnmanase9878
@johnmanase9878 4 месяца назад
mmezidi kudhulumu nyie acha mnyooshwe
@user-hs7vq1jo2q
@user-hs7vq1jo2q 4 месяца назад
Haswaaaaa
@user-ks7zc6kd7u
@user-ks7zc6kd7u 4 месяца назад
Na kama hajamilikishwa kwa nini amejenga
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 4 месяца назад
Hahaha na bado
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 месяца назад
Wewe Wakili hivi ndiyo ingekuwa huyo Mama aliyezulumiwa kiwanja chake for 20 years ni Mama yako Mzazi, je ingekuwaje?????? ZULUMA MBAYA NA MWISHO WENU UMEFIKA
@peterwilliamdvaz8608
@peterwilliamdvaz8608 4 месяца назад
Huko Mahakamani pia Mama hanatakiwa hapitishee fagio la Chuma kumejaa zuluma sana.
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 месяца назад
Wewe muongo mlikuwa mnahonga pesa kila sekita kiwanja ni Cha Naomi wewe jifariji tu
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 месяца назад
26:07 26:38 26:38 26:38
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 месяца назад
Watu wanaofanya kazi kwa mhemko. Inawezekana wakawa sahihi, ila bila kufuata sheria
@saidramadhan71
@saidramadhan71 4 месяца назад
26:07 26:38 26:38 26:38
Далее
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Просмотров 5 млн