Iko hivi watoto wa kasimu majaliwa viongozi wote.wa serekali wao wanasoma elimu mnchanyiko wa kingereza ya juu ila kwetu walikuwa elimu ili watoto wao watutawale kisultanj baba raisi mtoto raisi uongozi kifamilia ktk nchi yetu
Kweli kbx, ukienda mashulen ya private walimu ni wakenya. Pia tusome kiswahili hadi 4m4 wakati hukumu mahakaman hutolewa kwa kingereza, na miswaada bungeni hupitishwa kwa kingereza. Upuz kweli kupeleka mbunge wa lasaba bungeni
Du watu wanapiga miayo kuonyesha njaa, na wengi wamekunja nyuso kuonyesha maumivu ya maisha na hasira ya hali ngumu ya maisha na tax juu. Mali Ya serikali msichome, ni kuitoa CCM na Chama tawala kitakachokuja kitamiliki magari hayo na hizo nyumba. Magari mengi yatauzwa kwa wananchi kwa pesa halali kulingana na thamani ya gari.
Mifumo ya elimu yetu umetisoofisha halafu viongozi hawataki kufanya mabadiliko ila wanapeleka watoto wao kusoma shule za kiingreza mungu anawaona. Ukitaka kuwa taifa wanyime elimu bora
Arusha mmeletewa makonda awapumbaze. Nyie watu muwe na akili.tuliwaamini sana watu wa Arusha kwa mabadiliko msituangushe. 2025 hakikisheni mnaisafisha arusha