Na hili si jambo la kufanyia utani!!!.jamii nyingi inahangaika sana,na ukiangalia kwa umakini zaidi unagundua tatizo ni afya ya akili.Hasa wanawake wanadanganywa sana makanisani.
Fact tu..Kama ni Matatizo ya Akili Basi hata viongoz hawana afya Akilii Maana Hapo ndani kwenye Utopolo Tu kwa jinsi ulivyo zungumzia hoja yako..Big up ukweli mtupu unawahusu wenyewe hapo ndani Mama kaamua kuwachana ukweliii mtu
Nadhani swali zuri ni nini nitaifanyia familia yangu na sio Tanzania, kwa sababu tunaona walioifanyia makubwa Tanzania wanabezwa na kudhihakiwa na watanzania haohao.
Suala la watu wengi sana kutoweza kujismamia au kuchanganua mambo madogo sana ni kweli Tz lipo sana siwezi kusema ni afya ya akili kwa sababu ni jukumu la serekali na familia kuhakikisha watu wanapewa elimu na ukishakosa elimu kwa kiasi kikubwa utaonekana akili yako ndogo kwenye kila jambo