Тёмный

MBUNGE ADAI VIJANA WANAOGOPA KUOA/KUOLEWA WANA TATIZO LA AFYA YA AKILI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 49   
@mwitamahende4394
@mwitamahende4394 2 года назад
Afya ya akili ianzie bungeni ili kujenga hoja zenye kuleta maendeleo ya nchi.
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 года назад
Safi sana muheshimiwa mbuge makofi kwako 🤣👏👏👏
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 года назад
Safi sana mh. Mbunge
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 года назад
Afya ya akili point kubwa sana 👏👏👏👏
@beatusmtui507
@beatusmtui507 2 года назад
Waambieee japo najua hutarudishwa bungeni awamu ijayo kwan u emewaudhiiii
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 года назад
Na hili si jambo la kufanyia utani!!!.jamii nyingi inahangaika sana,na ukiangalia kwa umakini zaidi unagundua tatizo ni afya ya akili.Hasa wanawake wanadanganywa sana makanisani.
@aronatv47
@aronatv47 2 года назад
Fact tu..Kama ni Matatizo ya Akili Basi hata viongoz hawana afya Akilii Maana Hapo ndani kwenye Utopolo Tu kwa jinsi ulivyo zungumzia hoja yako..Big up ukweli mtupu unawahusu wenyewe hapo ndani Mama kaamua kuwachana ukweliii mtu
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 2 года назад
Nadhani swali zuri ni nini nitaifanyia familia yangu na sio Tanzania, kwa sababu tunaona walioifanyia makubwa Tanzania wanabezwa na kudhihakiwa na watanzania haohao.
@Bise270
@Bise270 2 года назад
Nampenda sana Mh jesca🇹🇿❤
@hoseamaguta651
@hoseamaguta651 2 года назад
Safi sana mama waambie ili waelewe make ishakuwa kila secta ni wazee
@StevenMasunga-fd7xf
@StevenMasunga-fd7xf 4 месяца назад
Kweli jesca, mizee leo hi ndo yametufikisha
@njiwapori8749
@njiwapori8749 2 года назад
Kuoa sio lazima mama
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 2 года назад
Safi sana Mheshimiwa afya ya akili ndio mpango mzima
@saketnicholaus9962
@saketnicholaus9962 2 года назад
Umeeleweka mama
@johnjoycemalusu4886
@johnjoycemalusu4886 2 года назад
Barikiwa sana kwa kuongelea afya ya akili, maana ni tatizo kubwa sana kwa taifa letu
@clintonnyaluke1567
@clintonnyaluke1567 2 года назад
Umetisha
@abdultandala6576
@abdultandala6576 2 года назад
Nimekuelewa sana😃😃😃😃😍😍😍😍😍
@mageisuli4031
@mageisuli4031 2 года назад
Mama nimekupenda bure unao ujuzi wakujenga maendereo natamani ningekuona nikupe mkono ila nipe comenti
@castomnyama
@castomnyama 2 года назад
Safi Sana mama maneno mazuri...
@evaristjoseph8151
@evaristjoseph8151 3 месяца назад
Nikweliii pisha njiaaa waambie haoooo!!!!!!
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 2 года назад
Huyu mbunge alistahili kuwa mbenge 2010 Twende kazi 2025. Tunakutegemea.
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 2 года назад
Ayo sio maendeleo ya kuzungumzia
@friminershayo5325
@friminershayo5325 2 года назад
Very good points She is very good 👍 👏 👌 ❤ She is very very smart 🤓 woman 👩 👏 ❤ 😍 We need mp like her.. She is tell us the truth about our life...
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 года назад
Sema Mamaaaa
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 2 года назад
Point kubwa sana Mama.
@wardw3022
@wardw3022 2 года назад
Mama uekewe bango Dodoma hii hoja yako ni nzito sana mama huko smart afya ya akili ni tatizo
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 2 года назад
Wewe.mh mbona umechelewa.kuitowa hiyo hoja ni hoja ya nguvu na yenye mashiko kwa mstakabali wa usitawi wa nchi yetu
@jennykave6633
@jennykave6633 2 года назад
Jameni, afia ya akili!
@deogratiasrugangila3100
@deogratiasrugangila3100 2 года назад
Mawazo mazuri yenye kujenga
@abuuarqam255
@abuuarqam255 2 года назад
Good
@ibrahimnadir4490
@ibrahimnadir4490 2 года назад
Suala la watu wengi sana kutoweza kujismamia au kuchanganua mambo madogo sana ni kweli Tz lipo sana siwezi kusema ni afya ya akili kwa sababu ni jukumu la serekali na familia kuhakikisha watu wanapewa elimu na ukishakosa elimu kwa kiasi kikubwa utaonekana akili yako ndogo kwenye kila jambo
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 2 года назад
Taifa hovyo hili utalifanyia nini matepeli hao ..
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 года назад
Mimi nimekuelewa sana
@valerianakilumile8517
@valerianakilumile8517 2 года назад
Na ww unaukosefu wa afya ya akili ya imani
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 2 года назад
Kweri kabisa wakina kinana wameludishwa madalakani
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 года назад
Nao i afya ya akili hivi kinana ana jipya lipi🤣🤣
@sulleysonmishlay8253
@sulleysonmishlay8253 2 года назад
Wewe mama ktk ubunge wako una miaka mingapii? JE hakunavijana hawako ktk Jimbo lakoo?? Mbona huachii ?? Achia jimboo , vijana watawalee ,
@hhusseinsherally8554
@hhusseinsherally8554 2 года назад
asante dada
@wilsonndayitwayeko1221
@wilsonndayitwayeko1221 2 года назад
Uyu mbunge ni wa ukweri
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
Maza unachanganya tatizo la akili na ukosefu wa ajira. Watu wengi wanatapeliwa na kutegemea miujiza kwa ukosefu wa ajira na kipato.
@anthonymgogo2651
@anthonymgogo2651 2 года назад
Umeongea point sana basi tu lakin
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 2 года назад
Unaongea vya maana sn,ila hilo shati limekufanya uonekane dume la miraba minne,vaa kutokana & umbo lako.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 года назад
Huyu Mama ni mnenene.
@noahfilimoni4703
@noahfilimoni4703 2 года назад
Huyu ndiyo mbadara wa Peter msigwa? Mama asante KWa ushilikiano wako 2025 upumzike uachie vijana.
@abuidmussa1898
@abuidmussa1898 2 года назад
kweli mama we ni ninoma Holi tu nakupa Mia ya miya
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 2 года назад
Hawana afya ya akili.
@reneeymike7252
@reneeymike7252 2 года назад
Afya ya akili
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@smfkingdom9944
@smfkingdom9944 2 года назад
Usipitwe na hii ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-EoUNzHZowFY.html Kamti pombe🔥🍸7
Далее
НЕ БУДИТЕ КОТЯТ#cat
00:21
Просмотров 638 тыс.
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 882 тыс.
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Просмотров 1,6 млн