Тёмный

MBUNGE SHABIBY AFUNGUKA "NILINUNUA BASI LA KWANZA NIKIWA NA MIAKA 19" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 127 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 247   
@theoneartist6327
@theoneartist6327 Год назад
Nahamia jimboni kwako mzee baba ,,,,ambao tunahamia kwenda jimboni kwa huyu mwamba tujuane kwa like👍🏻👍 tutakaa sehemu moja😀💪🙏
@fatimasalim597
@fatimasalim597 Год назад
Mashaallah mbunge anae pendwa zaid na wananchi wake yote ni kwakua anaupendo sana na wananchi wake allah akupe umri mrefu Ahmedy shabiby🥰🙏
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
Huna akili hata chembe huyo ni zurumati fisadi nguli naapa kwa mwenyezi MUNGU ataenda MOTONI
@morrispeter239
@morrispeter239 Год назад
Kama.kuna wabunge ambao binafsi nawaombea wazidi kufanikiwa ni Ahmed Shabiby.Mungu akuzidishie Mara elfu 5
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Год назад
Duh mh. shabiby katuchana sana humu vijana
@danielmwamahonje9852
@danielmwamahonje9852 Год назад
Shabiby umeongea point sana mwenye kuelewa itamusaidia safi sana boss shabiby.
@nevershymagava6940
@nevershymagava6940 Год назад
Shabiby Hoyer safi sana hongera sana Mbunge.!!
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 5 месяцев назад
Sawa sawa maneno ya maana na changamoto kwa vijana , Thank you much Ahmed, Riaz hapa Marekani
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Год назад
Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
@benyavan5774
@benyavan5774 Год назад
Kuna zile red Mercury za kule Gailo mbona haisemi
@MartinMadimilo-z6w
@MartinMadimilo-z6w 2 месяца назад
Hard TRUTH shabiby...🎉🎉
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Год назад
C.C.M Hoyeee, hongera sana Mh. Shabiby
@jacksonchristopher6310
@jacksonchristopher6310 Год назад
We nae unaanza kuo gela masuala ya c c cm
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Год назад
Mh hili ni darasa kwa nchi mzima,sio hao tu,kwa kweli dozi imeingia hongera sana kwa shule hii
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Год назад
Nidarasa tosha unakuta jitu unalipa mtaji hata laki tatu linaona mdogo
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
@@ameenaameena1224 hatari sana!!
@salamasefu5494
@salamasefu5494 Год назад
Kazi kwenu haya yakuigwa
@Afya-Break
@Afya-Break Год назад
Hongera sana Mhe.Shabiby
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Год назад
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
@fauziajuma923
@fauziajuma923 Год назад
Hongera Sana shabiby mungu akuzidishie kheri akujaliye miongoni mwa watu wema
@heryjafari7786
@heryjafari7786 Год назад
Umeongea tajiri mungu akupe maisha marefu
@benardmwakilasa3969
@benardmwakilasa3969 3 месяца назад
Hii ndo sawa unasikiliza motivation speech toka kwa tajiri aliefanikiwa,, achana na porojo za motivational speekers
@godfreymasondaabel1904
@godfreymasondaabel1904 Год назад
Ahsante mzee
@mahwabashiri5467
@mahwabashiri5467 Год назад
Great leaders inspires their followers
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Год назад
Upo vzr sn Mh.Sabiby unamalengo mazuri na vijana wako hongera
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 Год назад
Hongera Sana mbunge wao ww ni mfano mungu akuzisishie
@michaelmwedimage5515
@michaelmwedimage5515 Год назад
Asante Sana Kwa kusema Ukweli
@sundayharris8549
@sundayharris8549 Год назад
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
@leonardrevelian4733
@leonardrevelian4733 Год назад
Uko vzr mungu akutangulie unanyo pambana na wananchi wako. Ila mkubwa vijana wanakukubal mno
@upendohalisi5763
@upendohalisi5763 Год назад
Mungu baba akutunze sana maana umejua kumfurahisha kuwajali wahitaji inapendeza maisha marefu kwako.
@ShabiruMsabaha-fm3bg
@ShabiruMsabaha-fm3bg Год назад
Mashaallah umeongea vizuri, I will be back..!!!
@josephkulija293
@josephkulija293 Год назад
Miaka 19 Mh. ulikuwa na biashara gani ili na sisi tuwasaidie vijana wetu wajiajili?
@mbagaherbal4796
@mbagaherbal4796 Год назад
Daah nalo nenoo
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Год назад
Mm mwenyewe hapa pananikwaza maana miaka 19 pesa kapata muda gani shule kasoma muda gani hii hapana bhana
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 Год назад
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Год назад
Mzee umeongea point sana duuh nimeiludia mara tatu😂😂😂🤣🤣
@notickasimchimba7310
@notickasimchimba7310 Год назад
Kwa familia za kitanzania sina uwakika.. Sema matajiri Siku zote Huwa awaongeii ukweli Moja Kwa Moja
@williambranham6341
@williambranham6341 Год назад
Hongera Sana mzee shabiby Mungu akuongezee siku za kuishi kwa upendo wa namba hiyo kwa wananchi wako pia mawazo yako ni k
@petromkana8172
@petromkana8172 Год назад
Daaaa aiseee kweli kabisa bhana
@ikulunimahalipatakatifu7642
Asante sana Mh Mbunge
@mujahidmark9116
@mujahidmark9116 Год назад
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
@florianmalle-xr1ob
@florianmalle-xr1ob Год назад
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
@manenoramadhan1432
@manenoramadhan1432 Год назад
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 Год назад
Na baada ya miaka miwili tu yameongezeka kufikia matano.....wakt mda huo ata mtaji haujarudi yy kafika matano
@davidezri4117
@davidezri4117 Год назад
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
@@davidezri4117 mbona unadanganyika kiwepesi hivyo,,,
@JumaOmari-w2z
@JumaOmari-w2z 18 дней назад
Wakubwa syo lazma wote tuanze na mabus
@ellytozy2216
@ellytozy2216 Год назад
Naitwa Bahati mwiyombo wa iyogwe kwa sasa nipo Dodoma asante mafundisho mazuri munge wangu cku ukifika Dodoma nitafute
@songweairport7602
@songweairport7602 Год назад
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@fanuelsulle8144
@fanuelsulle8144 Год назад
Ely Tozy Yaan Mh, akifika Dodoma akutafute wew?😁😁
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 Год назад
Bro una umwamba ni mzito yani mkuu akutafute kweli? 😂😂😂😂
@EunikeChifuka
@EunikeChifuka 5 месяцев назад
Hongeraa muheshimiwa
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Год назад
Hongera sana. Hapo kwenye masada umenirudisha primary. Sijui na mifudu, misasati au huko Gairo haipo.
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣 eti mifudu umenikumbusha hukoooo kwetu wanging'ombeee
@jastinlihawa4654
@jastinlihawa4654 Год назад
Ujumbe mzur sana Hemed unawaasa vijana wanaobweteka
@MathewBernard-j3p
@MathewBernard-j3p 7 месяцев назад
Duuuuu hii kali,,,,,,! Hii ni speech bora ya muda wote.
@emmanuelmgwasi2296
@emmanuelmgwasi2296 Год назад
Shukran mzee kwakutumotuvate vijana
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Год назад
Dah hongera kaka kuwatia moyo watu 🙏🙏🙏🙏
@avilanicholaus6602
@avilanicholaus6602 Год назад
Bidii sawa lkini katka safari ya manikio kuna siri nyingi sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Exactly
@nativeGold.10
@nativeGold.10 Год назад
Yeah ofcourse 😎
@nicetasndekubali7105
@nicetasndekubali7105 Год назад
Hongera sana mheshimiwa, hatuna shaka na utekelezaji👍🏿
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Год назад
Great brain hyo wajanja tumekusoma vzr
@francemaranda3206
@francemaranda3206 Год назад
Kiongozi bora wa jimbo langu kiukweli umekuwa msada sana kwa jamii yako Mungu azidi kukupa Afya njema na mafanikio zaidi.
@EliyaGwaydesh
@EliyaGwaydesh 3 месяца назад
Shabby umetisha baba
@ahamadially8351
@ahamadially8351 Год назад
Unajua tajiri wengi huwa wanasema mm nilikua nauza karanga nauza mihogo hakuna atakaye sema ukweli hata moja wanasiri nzito
@jescajovin9257
@jescajovin9257 Год назад
Hongera sana mh shabby mitano tena
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Год назад
Miaka 19 ufanye kazi kwa bidii upate pesa ununue basi labda uuze unga kama hujarisi
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 Год назад
Alikopa Basi lake kwa super star bus ndio alio mpa mwaka 91 wewe unakumbuka
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 Год назад
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana. Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 Год назад
@@konshazikonsha6180 hakika...huwezi kupewa mali kama huna mali.
@samifxwingspipstherapist6098
Ni possible mtu wangu
@chidrashid3797
@chidrashid3797 Год назад
Mashallah mashallah maneno mazuriii sana
@robertmwamengo5167
@robertmwamengo5167 Год назад
Elimu ulio itoa juu ya suala la utajili ni funzo Tisha kweli wewe ni mzalendo hongera mkuu
@juliusmoivana9844
@juliusmoivana9844 Год назад
Sav Sana mweshimiwa shabb
@issahassani9293
@issahassani9293 Год назад
Sawaa kabisa mheshimwa huko kitungu vipi
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Safi Sana,👏👏👏.
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 Год назад
Safi sana mheshiwa shabibi utajiri hauna elimu hata mbuyu ulinza kama mchicha
@racheljacksoneliudimassawe218
Big up mhe mbunge
@hawa6052
@hawa6052 Год назад
Allah amfanyie wepesi
@mhandodanny4256
@mhandodanny4256 Год назад
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
@mohamedrobleh9105
@mohamedrobleh9105 Год назад
Shabiby is hustler big time
@Fofo-511F
@Fofo-511F Год назад
Kila kitu mipango ya mungu sio uhodar
@Silyvesta
@Silyvesta Год назад
Great news
@yusramadodo8269
@yusramadodo8269 Год назад
Hongera San kumiliki basi na miaka 19 so mchezo ulikuwa na bidii sana
@evalinemao4003
@evalinemao4003 Год назад
Inspired
@mselematrans3474
@mselematrans3474 Год назад
Uko vizuri saana Mh, Shabibi 💪
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Год назад
vijana waache siasa za omba omba katika siasa
@rehemayona2223
@rehemayona2223 Год назад
Nikweli kabisa utajili ni usubutu kujituma na kutokata tamaa tufanyie kazi 🏌️
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 Год назад
Asanteni sanaa
@wailesmsongole1914
@wailesmsongole1914 Год назад
Wewe ndio nakuangaliaga Mheshimiwa Shabiby wewe ndio mwalimu wangu naangalizia kwake
@benjaminmasasi6892
@benjaminmasasi6892 Год назад
Inspiration ya maana sana
@alhajibsaidi2049
@alhajibsaidi2049 Год назад
Dah! yaani miaka 21 Basi 5 duh! hiyo safi🤫🤫
@AbedShabani-ne9zh
@AbedShabani-ne9zh Год назад
Kweli bro maisha nikupambani tu no way out
@alpheomwashiuya198
@alpheomwashiuya198 Год назад
Mzee unasema ukweri mungu akusadie
@ezekielmabwai482
@ezekielmabwai482 Год назад
Kwa vijana wakitanzania! Umeliwa mzee. Wasaidie tu upunguze mapipa yako ya hela Kama watatoka basi ni asilimia moja!
@omaryyahaya2116
@omaryyahaya2116 Год назад
Safi San mkuu mm nachukua hatua mwezi huu asntee kwa wazolako
@filbertcarlos2946
@filbertcarlos2946 Год назад
Goloko gweyee kunikumbusha katali mboga setu ikolobwe na fushe khaaaaaa
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Год назад
Respect
@joshuanyanda6880
@joshuanyanda6880 Год назад
Millard apo kwenye gwanda umefinya saut ila tumeelewa
@mujahidmark9116
@mujahidmark9116 Год назад
Wabunge wote igeni mfano wa shabib hakika kwa mtazazo na maono yake anafaa kupewa dhamana kubwa zaidi ya kiutawala
@obadiahnkwale124
@obadiahnkwale124 Год назад
Nakuelewaga sana mubunge wa nchi🇹🇿
@hamisipolenisanaissa8859
@hamisipolenisanaissa8859 Год назад
umeongea vizuri
@philipombwambo6345
@philipombwambo6345 Год назад
Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19
@isackyohana2707
@isackyohana2707 Год назад
Teh teh teh,,,elimu yote hiyo hujaamini tu ndugu yangu..
@ellytozy2216
@ellytozy2216 Год назад
Hongera kwa maendleo mazuri katika jimbo la gairo pamoja na kata zake zote
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Год назад
nikweri kabx mzeee
@pound_tz7248
@pound_tz7248 Год назад
Motivation
@billgussy6099
@billgussy6099 Год назад
Lini hii nchi itawaona vijana kwa jicho utaifa?
@HamisLeo
@HamisLeo 5 месяцев назад
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
@jacksonchristopher6310
@jacksonchristopher6310 Год назад
Dah huyu jamaa kweli alipambana mwenyewe maana mbinu zake yuko sahihi
@DamarisMyonga
@DamarisMyonga Месяц назад
Nataka kukata tiketi nakatsje?
@MartinKibaigwa
@MartinKibaigwa Год назад
Siyo wabunge tu ata matajiri wengine
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Год назад
Niko nyumbani Leo nawapata vizur mno
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Год назад
Jaman nimejifunza kitu
@godfreysammy1716
@godfreysammy1716 Год назад
Fact
@kelvinmbuge7221
@kelvinmbuge7221 Год назад
Ahsante,kwa kututia moyo vijana lakin vingine unatupiga na kitu kizito hapo pa miaka 19 kwa hesabu za fasta haingii kwa akili?
@loshipangoipa5810
@loshipangoipa5810 Год назад
Ok. Mozzz
@fredrickchisanyo6663
@fredrickchisanyo6663 Год назад
nakubali sna,, siend tena kutafuta chuma ulete
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Kuna watu wanautajiri tqngu kuanza kupevuka shida msingi wa wafamilia haujitambui, kuna wenye vipaji kwa maana ya mtaji wa asili 🥲 inasikitisha waswahili wengi hawajui jambo ili katika hapo wenzetu weupe ndipo walipo tupiga goli la kisigino
@AndersonLeheni
@AndersonLeheni 3 месяца назад
Mm nataka niwepo kwenye hicho kikao mwakani Kama tutakuwa wazma
@eddimwamba4208
@eddimwamba4208 Год назад
Huu ndo upuzi ambao bado unaitafuna Africa.Hivi mtoto aliyezaliw familia ya kimasikini hapohapo ni mwanafunz tena wa form4 miak 19 awe na uwezo wa kununuua basi real😭😭🤔🥺
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 3 месяца назад
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 Год назад
Shabibi unafaa kuwa mhubiri uponye akili za walio sinzia hayo ndio maisha sio kuong'opeana sijui nitawaletea maji sijui nini nk Safi kaka
@jafarimruke9111
@jafarimruke9111 Год назад
Kwani wahubiri tu ndo wanaongeaga point kwahyo we humuelewi mpaka awe mhubir?
@emmanuelymeresta4892
@emmanuelymeresta4892 Год назад
Na kweli maisha yanaanza mbali sana
Далее
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 882 тыс.
КОТЯТА НАУЧИЛИСЬ ГОВОРИТЬ#cat
00:13
BAKWATA: Mwiba mzito kwa Waislam Tanzania
43:19
Просмотров 14 тыс.
TUNDU LISSU ACHAFUA HALI YA HEWA 'MSILALAMIKE CCM'
57:46