Tatizo watu walio fanikiwa huwa hawapendi kuongea ukweli wanacho kijua ni majigambo. Swala la kufanikiwa halipo kwenye hizo mbinu anazo ziongelea mbunge 🙌🙌 akili mtu wangu 🙂🙂
Mzee mengine upo sawa mengine unatupa imani2 Kwa sababu kama ulinunua basi1 ukiwa na umri wa miaka19, na hapo baba Yako tayari ana gari ata kama ulikuwa mkwechwe! Kumbe WWE unatokea kwenye family inayojiweza sababu kwenye miaka ya 80_90 familia zilizokuwa zinamiliki gari,pikipiki zilikuwa nifamilia zenye uchumi wa kati Kwa kpndi hicho!
Huo ni mpango mzuri sana mheshimiwa na wengine waliopo kwenye nafasi za kuwasaidia wengine wapate funzo. Hapo umetenda Kwa vitendo sio Kwa maneno. Asante. Wapi mbunge wangu jamani duh... Simuoni kwenye maono hayo kabisaaaaaa
Safi sana Mungu azidi kukubariki maana utarudisha sehemu ya kipato chako kwa wasio nacho unawashika mkono ili na wao wasogee mbele ni wao tu kuitumia nafasi hiyo adimu tukiwa na Walofanikiwa kama Shabiby wakafanya hayo nchi inasonga mbele
Sisi tutakuunga mkono kwa kutumia ksmpuni yako kusafiri au kusafirisha na ninakuombea kwa Mungu akuzidishie kila la kheri na akuepushe na mitihani ya kidunia
Wabunge wa majimbo mengine waige mfano wa Shabiby, ili vijana wale wenye nia waweze kuinuka kiuchumi, hongera sana Shabiby kwni umeonyesha mfano mzuri sana.
Hiv nyinyi mnaosema mmechanwa na huyu jamaa familia yake mnaijua?hiv kijana wakitanzania mwenye umri wa miaka 19 mnakubali kabisa anaweza kununua bas hivi thaman ya bus mnaijua hahahaaaa mm sio mjinga hvyo unachoombiwa changanya na zako
uwe mwelewa bro, mfano amekwambia alikuwa na mashamba makubwa na mtaji wa trekta na wakati huo bas ilikuwa ml 20,Sasa kwa nn asifanikiwe kwa upambanaji huo, Tafakari bro!!
@@msowamhokole7714 ukiwa huna kitu bado huwezi pewa mkopo wa bus hata siku moja,sote tunajua unakopeshwa kulingana na Mali uliyonayo kama dhamana. Maneno alioongea nimazuri,ilakuna vipengere laazima tujiongeze wasikilizaji!!!
Safi sana Mheshimiwa Shabiby ww ni mzalendo wa Kweli. Unajitahidi sana kuleta maendeleo Kwenye Wilaya ya Gairo hakuna barabara mbovu zote hadi milimani umezitengeza zinapitika majira yote hakika we ni JEMBE!
Acha kudanganya watu wewe shukuru mungu kakupa ila usidanganye vijana eti ulinunua bus ukiwa na miaka 19 labda uliuza figo,, watu tumejichanga mno ila sio miaka 19
Mungu anaona, mtu unasema ulikuwa unaenda kulima na swalaji, baba ako alikiwa na gari mbovu, ulienda kusoma nairobi. Leo unasema ww ulikuwa maskin? Kvp
Kuna watu wanautajiri tqngu kuanza kupevuka shida msingi wa wafamilia haujitambui, kuna wenye vipaji kwa maana ya mtaji wa asili 🥲 inasikitisha waswahili wengi hawajui jambo ili katika hapo wenzetu weupe ndipo walipo tupiga goli la kisigino
Huu ndo upuzi ambao bado unaitafuna Africa.Hivi mtoto aliyezaliw familia ya kimasikini hapohapo ni mwanafunz tena wa form4 miak 19 awe na uwezo wa kununuua basi real😭😭🤔🥺
Acha uongo miaka 19 ulisoma lini na kwamiaka mingapi ulifanyakazi wapi au biashara gani ukapata mamilioni ndio maana viongozi wa nchi yetu mnaonekana wezi tu kwasababu kauli zenu huwa hazina ukweli.