Тёмный

MBUNGE AKERWA NA ZIARA ZA MAKONDA | MAKONDA ATIKISA BUNGE BALAA | ANAFANYA MAJUKUMU YASIO YAKE 

RAI TV
Подписаться 96 тыс.
Просмотров 85 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 498   
@JustinMelanie
@JustinMelanie 7 месяцев назад
Mupongezeni Makonda kwa kazi nzuri anayofanya
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw 7 месяцев назад
Yote Kwa yote makonda anafanya kazi nzuri sana mungu ambariki sana
@fundimitambo4158
@fundimitambo4158 7 месяцев назад
ila nilichojifunza hapa Watanzia wengi ni wanafiki sana aisee
@LagalaligalaHamisi
@LagalaligalaHamisi 7 месяцев назад
Safi
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 7 месяцев назад
Unafikili nikwanini yesu alikimbia naakawachia neo nitafufuka au nitaludi aligunduwa awa niviumbe shaifu nawanafki wanaangalia fulaha yaotu,MIMI nafikili sasa ndiowakati wanyie munao ogopeka,kwauchawi,kwaugnga,namengineyo,Wekeninguvu kumlinda uyo muheshimiwa kwasababu bado tunamuitaji Sana,sio munatusumbua majumbani usiku NK,tumieni izo nguvuzenu kumlinda Mh,wetu makondo,kwasababu hivita sio yawachawi Wala waganga Nivita yawaujumu uchumi Yawatumishi wazembe,Yawatumishi matapeli,Yawatumishi wanao jilimbikizia mali,NK,tunawaomba nyie waganga na wachawi Mumlinde Mh, makonda Natumaini sasaivi wenyepesa namali zao wanawasumbua Sana,kwaajili ya msimamo Wa Mh,makonda,
@EmanuelyEliya
@EmanuelyEliya 7 месяцев назад
❤❤❤
@HawaSwaleheh
@HawaSwaleheh 7 месяцев назад
Mimi ni mganga lakin mtu akinijia anatala kumuroga makonda nakula pesaro nitampatia dawa ya kufanya ampende zaidi makonda😅😅😅😅😅
@OscarMlewa
@OscarMlewa 7 месяцев назад
Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉
@oliverqueenkileo9745
@oliverqueenkileo9745 7 месяцев назад
Makonda anafanya halali kama kiongoz bora
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 7 месяцев назад
WEWE MAMA YANGU AU BINTI YANGU. ELEWA ZIARA YA MAKONDA SI YA MAKONDA NI MKUU, HIVYO UNAMKOSOA MKUU. TAFAKARI MAMA.
@AishaMlowe
@AishaMlowe 7 месяцев назад
Acheni kukaa ofsi fanyekazi wananchi wanateka munasaidiwa kuwa kazi ndio hivyouwaina fanya makonda ❤❤❤❤❤❤
@tinkybellah6634
@tinkybellah6634 7 месяцев назад
Kumbe kunawabunge kichwani hamna kitu akilini Dawa inawaingiaa vizuriiii aisee
@shaabannurdin5848
@shaabannurdin5848 7 месяцев назад
Yaani una ongea wew aibu naskia mimi😅
@samwelngao3201
@samwelngao3201 7 месяцев назад
Huyu Mbunge ni takataka sana yaan ni mwanamke asie kuwa na akili Fala huyuuu ko ulitaka makonda afike asifie ujinga wakati wananchi wanateseka
@IbrahNdengo
@IbrahNdengo 7 месяцев назад
Binafsi mh mwenezi Paul makonda piga kazi mbinguni tutatoa hesabu
@KhalphanSalumu
@KhalphanSalumu 7 месяцев назад
Mzungumzaji, nywele zinamchanganya Mh Makonda anamchanganya
@ildephoncekalemera7758
@ildephoncekalemera7758 7 месяцев назад
Asante sana makonda❤
@Thejordanministry
@Thejordanministry 7 месяцев назад
Msomi mzima kaongea kupinga anacho fanya Makonda kisha anamuunga Mkono Makonda na anamsifia dah ajatulia kabisa uyu Mbunge sio.
@PetroThomasMwandu
@PetroThomasMwandu 7 месяцев назад
Hivi mnauwakika huyu dada ni mbunge???
@TegeteMwalonde
@TegeteMwalonde 2 дня назад
Daaaa makonda maisha malefu kwako kaka
@sarasteven4070
@sarasteven4070 7 месяцев назад
Makonda oyeeeee!! Piga kazi Mtumishi wa BWANA.
@KibibiShetui
@KibibiShetui 7 месяцев назад
Walikuwapi wasiwasaidie wananchi hadi Makonda afike ndo wananchi wasaidiwe. Ina maana walikuwa hao wakurugezi na wakuu wa mikoa na wawilaya hawajui wajibu wao. Acha kijana afanye kazi
@williumteete2626
@williumteete2626 7 месяцев назад
Makonda piga mlemle👉💪
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 7 месяцев назад
hao wanao pinga ndo mafisadi hasa kama hawamalizi kwa kuwa mafisad makonda piga humo humo
@naturelle1097
@naturelle1097 7 месяцев назад
Ndo mchukue mfano toka kwake sio kuka ofsini
@JoyceSarufu
@JoyceSarufu 7 месяцев назад
Ndyo
@chriskimbe525
@chriskimbe525 7 месяцев назад
Up makonda Mungu niweke niishi miaka mingi nikaribu kumuona makonda mwaka 2030 utajikita wapi ngoja ninyamaze
@oswaldsambaya4422
@oswaldsambaya4422 7 месяцев назад
Umesema ukweli Mhe. Mbunge. Komrade Makonda ametutendea haki, Mwenyezi Mungu azidi kumlinda.
@IsayaBugoro-zj8nu
@IsayaBugoro-zj8nu 7 месяцев назад
Nywele za marehemu wahindi
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 2 месяца назад
Kumbe umeziona na ww
@isackrange2989
@isackrange2989 7 месяцев назад
Dada huelewi unachokiongea huo ni wivu tu😂😂😂😂
@MusaPeter-ie6td
@MusaPeter-ie6td 7 месяцев назад
Sura mbayaaa na roho yko mbayaaa shetan kbsaaa
@bouzartbc5641
@bouzartbc5641 7 месяцев назад
Ntumieni namba za Paul Makonda nimtumie ela yangu ya akiba,
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 7 месяцев назад
Mwandishi wa habari huna Akili kabisa. Kwanini Usingeandika kuwa " MBUNGE AMSIFIA MAKONDA KWA ZIARA zake? Waandishi kama ninyi ni kufutiwa Leseni tu. Kwanini Unapotosha habari badala kuandika kweli. Hongera sana Mbunge kwa kuziona juhudi za Makonda
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 7 месяцев назад
Ahhh kumbe kamsifia ehh sawa mwandishi wa habari mzuri
@DavidMrisho-km2iz
@DavidMrisho-km2iz 7 месяцев назад
Makonda aendelee na kazi yake wapo waotatuliwa kero zao kwahiyo sis tunamunga mkono
@RujaSeleman
@RujaSeleman 7 месяцев назад
Tunashukuru kwa kumpongeza kaka yetu kwa kaz mzuri anayoifanya
@monicachacha455
@monicachacha455 7 месяцев назад
makonda chapa kazi❤❤❤❤❤❤
@swelehemkumba5007
@swelehemkumba5007 7 месяцев назад
Mama nimekuelewa vizuri.
@shikuhata
@shikuhata 7 месяцев назад
Nashukuru kwa mchangiaji
@SurprisedBeach-kb2jy
@SurprisedBeach-kb2jy 2 месяца назад
Makondaa apongezwee kwaa kifanyaa kazi nzur
@TatuHaji-k8s
@TatuHaji-k8s 4 месяца назад
Mfukuze kazi mchague unayemtaka wew munashindwa kuwasaidia wananchi na ndiy mna shida zetu tunampa makonda tunamuona kma mungu mtu tunampenda wananchi natupo tyr hata kumpa uhai wetu nyiny endeleeni kupika majungu
@PartySekemi
@PartySekemi 7 месяцев назад
Mungu akubariki na akupe maisha marefu
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 7 месяцев назад
Mmmmmmmh comment nyingi zinaonyesha hatuna uelewa" huyu mbunge yupo sahihi kwa wanaoelewa mfumo wa serikali.
@JoyceSarufu
@JoyceSarufu 7 месяцев назад
Amna bhana wabunge hawajuw wajib waoooo
@mtpafrica
@mtpafrica 7 месяцев назад
Daaah afadhari ww umeelewa wengi wetu wanampinga kumbe yupu sahihi
@EmmanuelMwanja-i3y
@EmmanuelMwanja-i3y 7 месяцев назад
wewe ndo huelewi
@TashwillKaroolse
@TashwillKaroolse 7 месяцев назад
Una akili? Nauliza hivi: una akili timamu ww?
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 7 месяцев назад
@@JoyceSarufu hapo alikuwa anakazia kwamba makonda kayakuta madudu mengi sana yasiyotatuliwa na watumishi
@geofreywayesu5638
@geofreywayesu5638 7 месяцев назад
Uyu mbunge mbona haeleweki anachangia nini
@samwelngao3201
@samwelngao3201 7 месяцев назад
Hilo ni tatizo ana kichwa kichafu huyuu
@MohamedRule
@MohamedRule 7 месяцев назад
Wewe mbunge ni mnafiki sana makonda piga kazi
@DianaMafuru
@DianaMafuru 7 месяцев назад
Makonda fanya kazi usiogope mungu yupo sisi tuko nyuma yako kwa maombi
@HawaMohamed-sk7sp
@HawaMohamed-sk7sp 7 месяцев назад
Anachofanya makonda ndo mlitakiwa kufanya nyie akili huna we dada hovyo sana😂😂😂
@TashwillKaroolse
@TashwillKaroolse 7 месяцев назад
Makonda anafanya kazi nzuri sana, sana yani Huyu m'bunge hafai kuchaguliwa tena na wananchi wake Ni m'bunge wa ovyo sana
@HusseinKasambwa-gq6zf
@HusseinKasambwa-gq6zf 7 месяцев назад
Ukweli makonda yuko vizuri sana,watumishi wanajiona miungu MTU,wanazurumuwananchi bila kujali.anaemuongea makonda vibaya huyo fisadi.muache makonda afanye kazi
@moyogems
@moyogems 6 месяцев назад
Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa
@tollosomangiza3715
@tollosomangiza3715 6 месяцев назад
Makonda oyeeeeee na mtaelewa tuu .Piga kazi mwenezi
@MohamedMjenga-i1w
@MohamedMjenga-i1w 7 месяцев назад
Uyo mbunge wananchi walomchagua wamefeli
@HawaMohamed-sk7sp
@HawaMohamed-sk7sp 7 месяцев назад
Daaah nasikitika sana, hivi huyu mbunge mzima kweli, amefikiria anachokiongea kweli, hivi haoni makonda kafufua mabaya mangapi toka kaanza kutembea. Kweli aibu naona Mimi
@yunuskizundu4707
@yunuskizundu4707 7 месяцев назад
Muacheni makonda jmn bila mungu kumuongoza makonda mtoto ambae alikua anauza ndizi asinge jengewa nyumba na kuendelea na masomo wabunge fanyeni kazi zenu achaneni kabisa na makonda
@YohanaMogope
@YohanaMogope 7 месяцев назад
Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025
@archiefransis7172
@archiefransis7172 7 месяцев назад
Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 7 месяцев назад
BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.
@ramadhanitumbo1802
@ramadhanitumbo1802 7 месяцев назад
Amefikaje apa uyu dd
@MekitildaKitambi
@MekitildaKitambi 7 месяцев назад
Mmmmmmm!!!!!!!! Umeona vibaya ss kusaidiwa? MUNGU anakuona na
@MasterCappodhano
@MasterCappodhano 3 месяца назад
Makonda anafanya kazi nzuri sana hapo huyo mama anapinga mdomo bure tu
@NuruBene
@NuruBene 7 месяцев назад
Kwnza Nampa ongera sana mhe rais wetu mpwendwa dkt Samia suluhu Hassan kw kumteua mhe mwnyz makonda anafanga kzi nzur sana
@nuranzubail8134
@nuranzubail8134 7 месяцев назад
Sijaelewa, anasema ameenda kutatua kero badala
@marianmartin7483
@marianmartin7483 4 месяца назад
Huyu mbunge simueleei kabisa. Sasa hawo waliopewa dhamana wameshindwa. Makonda yuko sawa kwa kazi anayoifanya.
@zainabumsafir1182
@zainabumsafir1182 7 месяцев назад
Kama awafanyi kaz lazima yy afanye ww ongea kuhusu Jimbo lako ss tumeona katatua kero big up makonda Fanya kaz mung akusimamie
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba 7 месяцев назад
Dada tulia dogo afanye kazi yake, anatekekeza majukumu ya chana na sio majukumu yako, anatutendea haki, umetumwa Wewe.
@stafordfelician3050
@stafordfelician3050 7 месяцев назад
Je kama hawafanyi kaz na makonda ataeleza nn kwenye machafuko? Nan atamsikiliza?
@yohanavenance1977
@yohanavenance1977 7 месяцев назад
Mmmh darasa la ngapi?
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 7 месяцев назад
Msameheni huyu dada angalieni hata anavotamka maneno eti Halakahalaka,mh Laisi😂😂
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 2 месяца назад
Msema kweli.
@Bongovillagex
@Bongovillagex 7 месяцев назад
Kazi zenu kwenye majimbo mnasaidiwa na makonda ,,,piga kazi
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂 Dada yng si upookeee taarifaa jmn... Pokea tarifa ikiwa mwenezi ni mtangazaji wa aloyafanya Mama Samia anapita uko hamna lilofanywa Makonda kosa lake nini apo kulizia lile Mama alilo haidi na hajitekelezwa si awaweke Kati tu awo unaowasema walopewa majukumuu alafu hawatekeleza Mh makonda apewe pongezi.. tungelimuona wapi kijanaa wa miaka 10 anauza ndizi kuhudumia family eeeeeh km si Makonda kwa hiyo tujue km walopewa dhamana na Mama ni wabadhilifu kwa maana wapo tu wamekaa lkn mitaani hawapiti wakajua vijana na wanama wanaishi vp na wababa nao vipi watejeleza family zao Mungu mbariki Mh Mama Samia Mungu mbariki Mh Makonda 🙏
@joycemwinuka3685
@joycemwinuka3685 7 месяцев назад
Wivu sio mzuri
@abellutonja4589
@abellutonja4589 7 месяцев назад
Huyu dada anapenda huko chini kwani kunanini😂😂😂😂😂
@KADALAtv255
@KADALAtv255 7 месяцев назад
Mtuteue sisi wa wajibikaji jamani
@hawamackono4546
@hawamackono4546 7 месяцев назад
Mie cna imani na mbunge yyte,nyie kuleni tu lkn kesho zitawatoeka puani mbele ya Allah
@hamissomary6869
@hamissomary6869 7 месяцев назад
Safi dada anguuuu wape ma cccm hyooo
@NsobiLema-wq9vh
@NsobiLema-wq9vh 7 месяцев назад
Nashangaaa san selikali yetu mtu anasema ukweli wanampinga nivip dada uko sahihii yani ccm akili amna iyo makonda nikero ngapi anatatua watu tunashid kibao ususani kijijini
@HalfaKing
@HalfaKing 7 месяцев назад
Ni mjinga huyu mbunge achana na making wewe.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 7 месяцев назад
Mkuu, hizo hela zinafika sehemu husika ??
@swahibually8349
@swahibually8349 7 месяцев назад
Mnamchongea makonda,Majasusi wapo mbioni kumtathmini KAZI na mwendo wake, AKHERA ni karibu mnooo,si Mmeona wazee wa mbambamba walivyokata Moto mfululizo,namaanisha enzi za Mwendazake
@joycemwinuka3685
@joycemwinuka3685 7 месяцев назад
Uyu ni chama Gani mama amemuamini makonda makonda piga kazi weka na Sala mungu yupo pamoja nawe
@joshuasitta293
@joshuasitta293 7 месяцев назад
Mungu awasaidie Tu bunge letu
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 6 месяцев назад
Huyu pumba maana hatahajuianachopinga, mama kakojoe ukalale. Humshawishi mtu hapa Makonda oyeeeee
@weremalimbe7903
@weremalimbe7903 7 месяцев назад
Uongozi ni wito na ndomaana Makonda Paul ni mtetezi na mtatuzi wa changamoto zinazo zikabili wananchi kwani wengine ni njaa na porojo ila Mungu ni wa wote na ukweli ni kwamba Makonda ni kiongozi real!
@LagalaligalaHamisi
@LagalaligalaHamisi 7 месяцев назад
Aumpendi makonda tu
@LagalaligalaHamisi
@LagalaligalaHamisi 7 месяцев назад
Saf saf
@priscairene4605
@priscairene4605 7 месяцев назад
Uyo.mbunge.msenge.makonda.anatusaidia.wananchii
@TashwillKaroolse
@TashwillKaroolse 7 месяцев назад
Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure. Afatiliwe
@JacqueM4600
@JacqueM4600 7 месяцев назад
Eti huyu nae ni mbunge 😳😳sijui anajisikiliza huyu mama anachokiongea💔.Makonda piga kazi baba💯.madam pokea taarifa ya kuonekana kumpongeza Makonda💃💃
@AllyMohd-fs7pn
@AllyMohd-fs7pn 6 месяцев назад
Hapo ndo unapogundua kwamba kwenye kundi la mamba na kenge wamo. Yan vyote ivyo mheshimiwa makonda anavofanya kazi kumsaidia mheshimiwa raisi kuna baadhi ya viongoz hawaoni juhud izi. Mheshimiwa piga kazi tunakukubali wananchi. Kuna dhulma zinafanyika kwa sbu ya rushwa. Piga kazi makonda mi naamin mama kakukutuma. Songa mbele piga kazi unafanya kazi vzr. Ata sisi makapupu tunakuona unafanya kazi vizur.
@peacemwesiga
@peacemwesiga 4 месяца назад
Makonda❤❤❤❤❤
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 7 месяцев назад
Makonda nimwanaum E anayefanya vizuri kwa watu huyo mbunge ni fisadi mafisadi hawawezi kufurahia kazi ya makonda
@HappyNaboti
@HappyNaboti 2 месяца назад
Ndio safi weulitaka iweje
@najmamgallah8154
@najmamgallah8154 7 месяцев назад
Ww dada una maisha mazur sanaa lkn mbn km umesuk nywele za wajawazito, n ww unaban bajet, kwhy makonda anavosaidia watu unaumia, alf ujuwe hizo her ni kodi zetu wanainch, wakun mnakolima hizo heraa, tuliaaa
@waliisamma7370
@waliisamma7370 7 месяцев назад
Ninyi mna madudu yenu mnaogopa yasifichuke bs 😂😂😂
@jackrinedugange2888
@jackrinedugange2888 7 месяцев назад
Kweli kabisa anakwepa wembe😂
@FerikoMpwage-c8y
@FerikoMpwage-c8y 7 месяцев назад
Hahahaha mwacheni makondaaaaa afanyeeee kaziiii
@AishaAlly-ob7vd
@AishaAlly-ob7vd 2 месяца назад
Wewe mama tena kuwa na adabu kabisa unajua unakiongea kweli😊
@kilalikanestory3635
@kilalikanestory3635 7 месяцев назад
Nyosha mapito ya bwana
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in 7 месяцев назад
Wachagiliwa wa mzee maguuu,bila magu nyie mysingepita shukuruni,,,,mwacheni makonda afanye kazi yake
@PAULOWILLIAMJOSEPH
@PAULOWILLIAMJOSEPH 7 месяцев назад
Makonda fanya kazi bro
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 7 месяцев назад
Makonda yuko vizuri acha kupotosha
@aloyceponela3249
@aloyceponela3249 7 месяцев назад
Makonda uko vinzur.huyo mbunge anaona vivu.kazi ambayo ana fanya makonda
@josephsiwila2397
@josephsiwila2397 7 месяцев назад
Duh.....ndio uhakiki maandishishi yako vzr
@lewissvictor8930
@lewissvictor8930 7 месяцев назад
Ko wewe ulitaka asitatue katatizo ya wananchi we umekosa hoja makonda ooooyyyyyyeeeee
@barikisichone8574
@barikisichone8574 7 месяцев назад
Uo mtego tunaelekeya uchaguzi alikuwa wp lakini at ivyo kwamda aliyo pewa mdg amefanya kazi nzuri Ila wamemcherewesha kazin
@NelsonJackson-z7r
@NelsonJackson-z7r 7 месяцев назад
Wewe dada toka bungeni yani waliokuchagua wamekula asara, baad uwazungumzie mawazili wenye sekta zao wapo kimya unamsema mtu anawasahidia wananchi
@kurwanjonge4586
@kurwanjonge4586 7 месяцев назад
Unatombwa nn anawasaidia wananchi kitu gani
@festokitule9727
@festokitule9727 7 месяцев назад
Makonda kaaminiwa nae pia.Tukubali utendaji wake.Jukumu lake pia ni kujenga misingi ya chama kwa kuwaamsha viongozi walio lala.Baadhi yao hawafanyi majukumu yao.Makando yupo sawa.
@MaryShekifu
@MaryShekifu 7 месяцев назад
Kama ndio wasimsmiz mbn wananchi wanaonewa hamtatui mwachen makonda apige kazii
@BoniphacePeter-ih2st
@BoniphacePeter-ih2st 7 месяцев назад
Kwa hiyo kutatua kero za watanzania ni kosa kisheria?
@BarakaElnest-ox7pb
@BarakaElnest-ox7pb 7 месяцев назад
Kama viongoz wa afrika ndo wenye akili za hv tunasafar ndefu ya kupata maendeleo vichwa vyetu ni vya kubebea nywele sio akili
@chubwadeogratius1239
@chubwadeogratius1239 7 месяцев назад
Makonda ni mtetezi wa wanyonge kweri baadhi ya watumishi hawajitambui..
@GodwinPeter-gb4gp
@GodwinPeter-gb4gp 7 месяцев назад
Huyu mmama wawap na amepataje madaraka jamani tuwe makini sana kuwapa vyeo hawa watu makonda daima yupo sawah kabisa wale wa milembe lazima wamchukie
@Mrugurudigitalsolutions
@Mrugurudigitalsolutions 7 месяцев назад
Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂
@Ruyembe
@Ruyembe 7 месяцев назад
Nashukuru RU-vid kwa kuweka tangazo lililositisha nisimsikilize huyu Long Colored Attached hair.
@gatuna6
@gatuna6 7 месяцев назад
Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.
Далее