Sasa amfanyi majukimu yenu mlitaka makonda afanyeje muwe na haibu uwo uchonganishi makonda ubarikiwe kwa kaziyako na namgu akufikishe mbali Sana na pia uwe na moyo huwo huwo🎉
Walikuwapi wasiwasaidie wananchi hadi Makonda afike ndo wananchi wasaidiwe. Ina maana walikuwa hao wakurugezi na wakuu wa mikoa na wawilaya hawajui wajibu wao. Acha kijana afanye kazi
Mwandishi wa habari huna Akili kabisa. Kwanini Usingeandika kuwa " MBUNGE AMSIFIA MAKONDA KWA ZIARA zake? Waandishi kama ninyi ni kufutiwa Leseni tu. Kwanini Unapotosha habari badala kuandika kweli. Hongera sana Mbunge kwa kuziona juhudi za Makonda
Yamaza mh hLi ni mbaya sana tena sana mwacheni makonda ni kioo chenu arudia tena hali ni mbaya zinapigwa kila kona we we watu sio wazalendo kabisa waziri mkuu amezunguka ameona haya namshu,uru mh rais na ccm kumuweka makonda mpongezeni namsimkatishe tzmaa
Muacheni makonda jmn bila mungu kumuongoza makonda mtoto ambae alikua anauza ndizi asinge jengewa nyumba na kuendelea na masomo wabunge fanyeni kazi zenu achaneni kabisa na makonda
Mkishaga chaguliwa mnawasaliti wananchi kwataalifa yako MAKONDA ndoanaeweza kumsaidia RAISI kiukweli tunampongeza sana MAKONDA napia Tunamwombea sana lazima mwogope Ziara yake make nyie mmekuwa kimya mwenzenu amejitoa kumoyo mmoja kutusaidia wanyonge hata URAIS akigombea tunampa kabisaa natunataka Agombee MAKONDA 2025
Huyu dada anang'ata na kupuliza ukiwa unaitazama hii video mwanzo utajikuta unamchukia akifika katikati unampenda akimaliza unamchukia hoja yake ni nzur ila hataki kutoa hukumu kwa wazembe wala pongezi kwa watenda kazi vizur nilitegemea mwishoni angesema ule usemi usemao mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na sifa kuu angemwagia Makonda
BABU, KWELI NI MWANADIPLOMASIA, WACHACHE WANAOFUATLIA MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO. NI KWELI KABISA HOJA YAKE KAMILI UNASHINDWA KUDAKA. HIVYO NI HOJA YA KUTUMWA SI YA KICHWANI MWAKE AMETUMWA.
😂😂😂😂😂😂😂 Dada yng si upookeee taarifaa jmn... Pokea tarifa ikiwa mwenezi ni mtangazaji wa aloyafanya Mama Samia anapita uko hamna lilofanywa Makonda kosa lake nini apo kulizia lile Mama alilo haidi na hajitekelezwa si awaweke Kati tu awo unaowasema walopewa majukumuu alafu hawatekeleza Mh makonda apewe pongezi.. tungelimuona wapi kijanaa wa miaka 10 anauza ndizi kuhudumia family eeeeeh km si Makonda kwa hiyo tujue km walopewa dhamana na Mama ni wabadhilifu kwa maana wapo tu wamekaa lkn mitaani hawapiti wakajua vijana na wanama wanaishi vp na wababa nao vipi watejeleza family zao Mungu mbariki Mh Mama Samia Mungu mbariki Mh Makonda 🙏
Mnamchongea makonda,Majasusi wapo mbioni kumtathmini KAZI na mwendo wake, AKHERA ni karibu mnooo,si Mmeona wazee wa mbambamba walivyokata Moto mfululizo,namaanisha enzi za Mwendazake
Uongozi ni wito na ndomaana Makonda Paul ni mtetezi na mtatuzi wa changamoto zinazo zikabili wananchi kwani wengine ni njaa na porojo ila Mungu ni wa wote na ukweli ni kwamba Makonda ni kiongozi real!
Huyu dada atakuwa yupo karibu sana na wapiga dili huko jimboni kwake Ukute Makonda kafukua uozo jimboni kwake kaharibu dili lao Serikali imfuatilie sio mtu mzuri huyu m'bunge Itakuwa kuna watu wa ovyo yupo karibu nao Yani wananchi wanadhulumiwa, wanateswa, wanauawa na kupewa majeraha makubwa na ulemavu na hakuna anaesikiliza kero zao moja kwa moja Yeye anakerekwa? Huyu kuna kitu anahusika nacho sio bure. Afatiliwe
Hapo ndo unapogundua kwamba kwenye kundi la mamba na kenge wamo. Yan vyote ivyo mheshimiwa makonda anavofanya kazi kumsaidia mheshimiwa raisi kuna baadhi ya viongoz hawaoni juhud izi. Mheshimiwa piga kazi tunakukubali wananchi. Kuna dhulma zinafanyika kwa sbu ya rushwa. Piga kazi makonda mi naamin mama kakukutuma. Songa mbele piga kazi unafanya kazi vzr. Ata sisi makapupu tunakuona unafanya kazi vizur.
Ww dada una maisha mazur sanaa lkn mbn km umesuk nywele za wajawazito, n ww unaban bajet, kwhy makonda anavosaidia watu unaumia, alf ujuwe hizo her ni kodi zetu wanainch, wakun mnakolima hizo heraa, tuliaaa
Makonda kaaminiwa nae pia.Tukubali utendaji wake.Jukumu lake pia ni kujenga misingi ya chama kwa kuwaamsha viongozi walio lala.Baadhi yao hawafanyi majukumu yao.Makando yupo sawa.
Kumbe mnajuwa kuwa makonda amekuwa mkombozii sisi hatutaki mbwembwe tunataka kazi hivii mlishawahi kujiuliza kanini magufulii bado anaishi vichwani mwa wananchii wa tanzania, na africa kwa ujumlaa 😂😂😂😂😂
Ukiona mbunge mbuke anali na makonda polisi wakamkague au taka kuru. Mamegeuza kazi ya ubunge kama kazi yake. Hawa ndiyo walio unga mkono bandari I uzee.