Тёмный

MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA 

Mwananchi Digital
Подписаться 983 тыс.
Просмотров 383 тыс.
50% 1

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul makonda ameagiza kupangiwa kazi nyingine kwa mkuu wa kituo cha Buguruni Englibert Kasikana mara baada ya kutokea vuta nikuvute kwenye mkutano wake uliofanyika leo oktoba 25 katika eneo la buguruni.

Опубликовано:

 

24 окт 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 425   
@nataemsuya
@nataemsuya 5 лет назад
Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.
@lulyehomadale9009
@lulyehomadale9009 5 лет назад
Hawa Madiwa propaganda tu hapo
@joviyhajoseph4722
@joviyhajoseph4722 5 лет назад
lulyeho madale z see ß a za zß CCC CCC x
@hanspophassan5669
@hanspophassan5669 5 лет назад
Nikweli kabisa
@Tango696
@Tango696 5 лет назад
Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali
@mahamoudmakotaperfumes8788
@mahamoudmakotaperfumes8788 5 лет назад
Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)
@lawrencekabende15
@lawrencekabende15 5 лет назад
Hapa ipo shida nyumba toka 2005 wamenunua leo 2018 huyo askari ana miaka miwili hapo Buguruni atabebaje tatizo la miaka 13 kuna tatizo mtambuka lifuatiliwe suala hili toka wakati wa zombe hapa lipo tatizo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Hayo madirisha waliyatoa polisi aliyatoa nani
@jumamwatanda1478
@jumamwatanda1478 5 лет назад
Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you
@yahayamaulana8215
@yahayamaulana8215 5 лет назад
Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera
@kechbowkech9138
@kechbowkech9138 5 лет назад
Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...
@denismasawe2574
@denismasawe2574 5 лет назад
Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu
@nyerere1259
@nyerere1259 5 лет назад
Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians
@emmymkonyi9309
@emmymkonyi9309 5 лет назад
Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza
@azizauledi4108
@azizauledi4108 5 лет назад
Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 5 лет назад
Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓
@priscahongerasanaabel9893
@priscahongerasanaabel9893 5 лет назад
hahahahah jaman kweli
@mwanaidimtwiku9983
@mwanaidimtwiku9983 5 лет назад
Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe
@faustinemasao5641
@faustinemasao5641 5 лет назад
Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo
@tumpaleluhanga1396
@tumpaleluhanga1396 5 лет назад
Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu. Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae. Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa. Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.
@rajabuwiliam5854
@rajabuwiliam5854 5 месяцев назад
wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Nimependa maelezo ya askari
@PasichalFrancis
@PasichalFrancis 4 месяца назад
Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 4 месяца назад
Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 5 лет назад
magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 лет назад
yeah
@juliuskivuyo5384
@juliuskivuyo5384 5 лет назад
Good
@sampatrick917
@sampatrick917 5 лет назад
Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni
@djmarashimartin7707
@djmarashimartin7707 5 лет назад
itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa
@mpjackson9543
@mpjackson9543 5 лет назад
Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 5 лет назад
mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu
@gabrielresti1710
@gabrielresti1710 5 лет назад
Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako
@yudithshayo4057
@yudithshayo4057 5 лет назад
mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar
@mohamedykabwanga1647
@mohamedykabwanga1647 5 лет назад
Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www
@fransiskahaule3343
@fransiskahaule3343 5 лет назад
Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..
@hamadshein935
@hamadshein935 5 лет назад
Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.
@ugaboy4736
@ugaboy4736 5 лет назад
Jamani polis ngum tuulizeni sisi
@mariawilbrod9786
@mariawilbrod9786 5 лет назад
Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?
@kaisarimkuu3685
@kaisarimkuu3685 5 лет назад
Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.
@fieldnews1733
@fieldnews1733 7 дней назад
Makonda hongera,joo kenya utusaidie
@Tango696
@Tango696 5 лет назад
Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.
@michaelmathayo2582
@michaelmathayo2582 5 лет назад
makonda upo sahihi
@titosindei6016
@titosindei6016 5 лет назад
watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu
@adamsclassic9306
@adamsclassic9306 5 лет назад
sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu
@robsonevarist5803
@robsonevarist5803 5 лет назад
Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina
@user-jn2qj5wf6c
@user-jn2qj5wf6c 5 месяцев назад
Kama na fisad dawa Yako inachemka
@bernardchibwana2564
@bernardchibwana2564 5 лет назад
Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.
@omarikessy2339
@omarikessy2339 5 лет назад
Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini
@soudbwaxtv3804
@soudbwaxtv3804 5 лет назад
Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya
@mosesboniphace4733
@mosesboniphace4733 5 лет назад
makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 5 лет назад
ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme
@smwakaglobaltv4010
@smwakaglobaltv4010 5 лет назад
Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.
@mussasaleh6712
@mussasaleh6712 5 лет назад
Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu
@flavian-augustino.pangah
@flavian-augustino.pangah 5 лет назад
Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc
@mariawilbrod9786
@mariawilbrod9786 5 лет назад
Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele
@ahmednoor1412
@ahmednoor1412 5 лет назад
Unasifia ujinga
@flavian-augustino.pangah
@flavian-augustino.pangah 5 лет назад
Ahmed noor asante kwa jibu lako
@sharifasharifa7680
@sharifasharifa7680 5 лет назад
Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan
@fredykephacy9230
@fredykephacy9230 5 лет назад
tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema
@MohdRashid-cu9qb
@MohdRashid-cu9qb 5 лет назад
Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi
@ramadhansylvesta1952
@ramadhansylvesta1952 5 лет назад
kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa
@shabanikombo6351
@shabanikombo6351 5 лет назад
makonda safi sana Allah akujalie
@mkombozikiratv.9733
@mkombozikiratv.9733 5 лет назад
Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 5 лет назад
Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.
@christinetimothy5805
@christinetimothy5805 5 лет назад
Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 5 месяцев назад
Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏
@maelezombwilo9129
@maelezombwilo9129 5 лет назад
shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 5 лет назад
Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.
@gloriousabraham128
@gloriousabraham128 5 лет назад
Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel
@thabithamagnus638
@thabithamagnus638 8 месяцев назад
Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya
@paulomgan2064
@paulomgan2064 5 лет назад
Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo
@abdulhamidkagina1409
@abdulhamidkagina1409 5 лет назад
Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam
@menikojohn2782
@menikojohn2782 4 месяца назад
Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.
@samsonmgaya4306
@samsonmgaya4306 5 лет назад
RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya
@issahamza6820
@issahamza6820 5 лет назад
Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.
@danielmsoma4741
@danielmsoma4741 5 лет назад
naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.
@martinezsiwale4419
@martinezsiwale4419 5 лет назад
Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako
@martinezsiwale4419
@martinezsiwale4419 5 лет назад
Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe
@davidngatunga7167
@davidngatunga7167 5 лет назад
Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 лет назад
Safi sana mheshimiwa Makonda 👍
@kassimkingai564
@kassimkingai564 5 лет назад
Unajua makonda ww ni msubutu sana jitoe kaka utapata malipo kutoka kwa MUNGU endelea kutetea wanyonge nakumbea heri insha'Allah
@waziriislam2455
@waziriislam2455 5 лет назад
Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka
@issahamza6820
@issahamza6820 5 лет назад
Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.
@cleanbosco70
@cleanbosco70 5 лет назад
Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.
@pasiankimario2268
@pasiankimario2268 5 лет назад
safi sana . Apangiwe kazi nyingine .
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 5 лет назад
zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 5 лет назад
Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 лет назад
Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna
@fokasiinnocent3448
@fokasiinnocent3448 5 лет назад
ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 лет назад
yeah bro
@idrisasimha9029
@idrisasimha9029 5 лет назад
Big up Mh Makonda
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 5 лет назад
Hapa kazi tu
@user-wu8oi7jk7s
@user-wu8oi7jk7s 5 месяцев назад
Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 5 лет назад
respect noo,,tenda hAki i utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii
@hemedwow8802
@hemedwow8802 5 лет назад
Mtihani sana.
@aishadevid5463
@aishadevid5463 5 лет назад
Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote
@fatmamajuu5255
@fatmamajuu5255 5 лет назад
mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪
@edwinndege6432
@edwinndege6432 5 лет назад
Mama umetisha sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 5 месяцев назад
Safi sana Askari!!!
@stukiaally4690
@stukiaally4690 5 лет назад
Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama
@dedememe2725
@dedememe2725 5 лет назад
Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda
@aseelaaseela4913
@aseelaaseela4913 5 лет назад
By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee
@mathiasmkude212
@mathiasmkude212 5 лет назад
Hakika mkuu umenikosha umefanya jambo zuri sana lakusaidia wanyenge. Niombe uyo mkuu Wakituo asukumwe ndani kwanini amtie hasara mama jamani
@danielwilliam3348
@danielwilliam3348 5 лет назад
Jeshi haliwezi kuingiliwa na siasa katika utendaji kazi wake hata siku moja askar atafanya kazi yake na kwa kujiamini daima na mkuu Wa Mkoa atafanya kazi yake kulingana na mamlaka yake
@sharifabdul6085
@sharifabdul6085 5 лет назад
Hii haipo sawa maana huyo mshtakiwa hapo hayupo,na jee ikithibitika kama kweli mtuhumiwa anahusika jee na kazi si inaelekea rijojo huoni kama ni uonevu
@wazirilugazo6746
@wazirilugazo6746 5 лет назад
Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa
@xavierycelsus3751
@xavierycelsus3751 5 лет назад
Hongera sana mama.shikamoo,,
@petermponzi411
@petermponzi411 5 лет назад
Human right is very important for the citizen.
@emmanuellaston5446
@emmanuellaston5446 5 лет назад
Kweli Siro anaona huyu mtu anavyolidhalilisha jeshi la polisi. Makonda leo hii wakutaka kuhoji nani mkweli kati ya OCS na Mama? Kweli mnaendeshwa na political temper. Lakini polisi mkome si huwa mnatetea huyu mpate sasa
@flownluvanda5263
@flownluvanda5263 5 лет назад
Makonda we kweli ukovzr Sana baba
@emmanueljsemwaiko1442
@emmanueljsemwaiko1442 5 лет назад
Safi sana mkuu
@barnabastanford3500
@barnabastanford3500 5 лет назад
Mh makonda katika harakati zako leo sasa ndo nimekuelewa hakika chapa kazi kama ulivyoambiwa na rais wa nchi makonda chapa kazi
@lawmaina78
@lawmaina78 5 лет назад
Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 3 месяца назад
Asant sana Mh Makonda
@alextzmmary5121
@alextzmmary5121 5 лет назад
Mimi naona makonda yupo sahihi, askari walizoea kufanya wanavyotaka now days watatumbuliwa
@madunaukovizuribabukazabut6763
Hongera mama kwakuongea ukweri
@maxmbotta5734
@maxmbotta5734 5 лет назад
RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .
@wizzyfernando8655
@wizzyfernando8655 5 лет назад
Makonda yupo sahihi coz kasema kama iko iv ataongea na wakubwa zake uyo ocd sio yy ndo ampangie...Elewn kwanz
@fabianimbilinyi3787
@fabianimbilinyi3787 5 лет назад
hawa wananchi nyinyi serekari munawaminije hapohapo janmani kumbukeni majungu makonda wewe babaangu wangeamini yote birakuchunguza kweri ungekuwa mtumishi kweri ndugu naumeokoka zichunguze roho zingine amina
@user-wu8oi7jk7s
@user-wu8oi7jk7s 5 месяцев назад
Uyo ni muhuni ata apa magufuli alikua teminal anatusumbua sana alikua natukamata anatupeleka mahaka yajiji tunatoa sh 50,000 uyo hafai
@jumaedward7110
@jumaedward7110 5 лет назад
ndio maana wazungu wanatudharau sana
@maulidasaa9407
@maulidasaa9407 5 месяцев назад
Ocd hiyo ndo changamoto ya kazi ww unafanya kazi yko lkn raia wajanja wanakurudisha nyuma makonda co kila mlalamikaji ana haki utawavunja nguvu wezako
@amrimavara2042
@amrimavara2042 5 лет назад
bigup mkuu Wa mkoa
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 лет назад
MAMA INSHAALLAH LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO
@mashallahoman6355
@mashallahoman6355 5 лет назад
wewe asikari usinyanyase mutu kwakutumia cheo chako kwakumunyima akih siyo akih allaha atakuzimamia inshallah mama allah atunusuru namitiani navitimbi viakidunia
@janejoseph4600
@janejoseph4600 5 лет назад
Safi sana mama
@luciaalfred6213
@luciaalfred6213 5 лет назад
Sasa majeshi yetu yanapelekwa kisiasa alafu ocd wewe si msemaji wapolice kiongozi hayo mambo yasiasa
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 5 месяцев назад
Huyu mama mbona kama aina anazijua mmmh
@godymashana1968
@godymashana1968 5 лет назад
Jamani yangu macho tutawasiliana 2020
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 5 месяцев назад
Makonda pambana hapo polisi wanakula pesa za madawa yakulevya
@pastorypastory1366
@pastorypastory1366 5 лет назад
Mh.Mkuu wa Mkoa endelea na spidi hiyo na msaidie mama na Ocd.
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 5 лет назад
Kumbe siku hizi Makonda a.k.a Bashite ni Hakimu au Jaji mkuu anaye tembea na ofsi ya mahakama! Uzalilishaji mtupu, hunasifa, Hujui taratibu na Sheria za Kuamua jambo, yaani umejizalilisha kwa kufuata ushabiki wa Wananchi hapo, Ocd kuzungumza vizri lkni umefuata Bias
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 лет назад
bro so yy sindio raisi wa mkoa sasa afanyaje wkt vtu vmetokea mkoani wake
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 5 лет назад
Asante mama
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 5 лет назад
Mkuu wa mkoa tembelea vituo vyote vya polis vya Dar fichua maovu muda umefika pambana utashinda2
@allykiyanga8853
@allykiyanga8853 5 лет назад
Goood kiongozi sio sili ukitangulia na kumi tu ww ndio mshindi kiongozi wanaokuponda hayajawakuta
@nawihadj6674
@nawihadj6674 5 лет назад
+Amneamne12 12 sure
@nickosimchimba8176
@nickosimchimba8176 5 лет назад
Ndg.zangu watanzania Rc makonda yupo sahihi kabsa polisi huwanyanyasa sana Raia
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 3 месяца назад
Ila huyu mama hata anavyozitaja aina ya madawa yakulevya mara pipi mara token mara puli mmmmmmh hata mm ananipa mashaka
Далее
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 3,4 млн
This or That 🛍️
00:52
Просмотров 3,4 млн