Ndugu zangu wa Tanzania ninaomba katika uchaguzi wa 2020 tunapotaka kuchagua viongozi naomba tuangalie nani atakuwa muwakilishi sahihi kwetu sio tuangalie chama iwe Ccm, Chadema,Act,Nccr mageuzi,Ads ila tuangalie nan sahii kwa kuweza kutetea na kuweza kuwasilisha kero zetu katika bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Ahsante
Hahaha jamn mmi ni raia wa nkasi kusini lakin naungana na kesi kwa asimia 50% kwa mabadiliko aliyo yafanya nkas kaskazini kiukwel tunatamani Wana nksi ata awe mbunge wa nkasi yote kaskazini na kusin maana kusini hatuna mbuge🤣😋
Wewe ndungai umesha kua mzee ni wakati wako wa kutenda haki unawadhulumu sana sana wapinzani hususani wabunge wa chadema hawachangii chochote dk 10 wanazo ongea hata DK 3 hazifiki mara miongozo mara Vile mars DK zako zimeisha ,wewe mzee acha dhuluma ,wewe ni binadamu tenda haki kesho kiama ,yuke mdada Dr Tulia ana afadhali sana Na watu wa mbeya wengi wao ni wapole Na wadini , Mimi yuke m Dada Dr Tulia simjui lakini sura yake anaonesha ana dini Na hofu ya Ahlla sio job ndungai yupo mkali Kali sana Na dhuluma kibao kamdhulumu tundulisu hofu yangu mimi amesha kua mzee Sasa atatubu lini ?kwa Ahlla, ,
Daaah hili bunge lisiende kwa uzalilishaji wanamna hii,wanawake watakosa confidence yakueleza mambo yamsingi,alafu utaona tofauti ya mabunge ya wasomi na hawa std7,akili ndogo inaendesha kubwa Katiba ibadilishwe kama huna degree hakuna ubunge