Тёмный

MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA.. 

Mbwaduke Stats
Подписаться 70 тыс.
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@Stevmwamba2090
@Stevmwamba2090 10 дней назад
Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
@User255tv
@User255tv 10 дней назад
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
@OS-pf6op
@OS-pf6op 10 дней назад
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 10 дней назад
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
@MartinMgogo
@MartinMgogo 10 дней назад
Yes dube ni mtu na nusu
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 10 дней назад
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 10 дней назад
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 10 дней назад
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jacksontanda5431
@jacksontanda5431 10 дней назад
Welcome at House of cups DUBE
@raikamsela
@raikamsela 10 дней назад
Young African 💛💚🔰💪
@MozesKalikumbi
@MozesKalikumbi 9 дней назад
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
@ImanuelMwaipaja-wf7xq
@ImanuelMwaipaja-wf7xq 10 дней назад
Kwaiyo una watishia makolo
@robertphilip385
@robertphilip385 9 дней назад
Ndiyo
@BedictoPetroKazumba
@BedictoPetroKazumba 9 дней назад
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-yn6wf7qq7s
@user-yn6wf7qq7s 9 дней назад
💚💚Yang aaaaa
@charlesroswe
@charlesroswe 9 дней назад
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 8 дней назад
Yeah!
@user-wl7zm5vj7v
@user-wl7zm5vj7v 9 дней назад
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
@JacksonKadwela-cb6sq
@JacksonKadwela-cb6sq 8 дней назад
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
@KarokiaNdirango-lj3wf
@KarokiaNdirango-lj3wf 9 дней назад
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 10 дней назад
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
@michaelnkobi2201
@michaelnkobi2201 10 дней назад
Saaaafiii
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 9 дней назад
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 10 дней назад
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
@user-ce8wc9te7y
@user-ce8wc9te7y 10 дней назад
Vizuriiiiiy
@jacksontanda5431
@jacksontanda5431 10 дней назад
Ngoja 2one
@juliusejulius6704
@juliusejulius6704 10 дней назад
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
@AndrewFilemon
@AndrewFilemon 10 дней назад
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
@EdgarAlphonce
@EdgarAlphonce 9 дней назад
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 8 дней назад
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 9 дней назад
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 8 дней назад
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 10 дней назад
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
@Mobmob2013
@Mobmob2013 10 дней назад
Kolo unateseka Ukiwa wapi
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 10 дней назад
Kolo unawivu usije ukajinyonga
@bsmonline8482
@bsmonline8482 10 дней назад
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 10 дней назад
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 10 дней назад
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
@amaniomar1755
@amaniomar1755 10 дней назад
Safi 🎉🎉🎉
@FabianDasson
@FabianDasson 10 дней назад
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake 7:40
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 9 дней назад
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
@Ba63828
@Ba63828 8 дней назад
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 8 дней назад
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 10 дней назад
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
@omarydaudy3744
@omarydaudy3744 10 дней назад
Hata mudathiri alikuwa azam
@Mobmob2013
@Mobmob2013 10 дней назад
​@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 10 дней назад
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
@fatmaally7252
@fatmaally7252 10 дней назад
😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 10 дней назад
Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?
Далее
готовка с Даней🥹
00:59
Просмотров 345 тыс.