Kaka yangu Pilipili na mdogo wangu,naona unakokwenda siko kabisa kumbuka ulipoangukia amka simama rudi kwa Yesu na usimame na Yesu imara haya mambo yote ya dunia yatapita lakini Yesu yupu tu,Tafuta wachungaji walioiva kiroho kama kaka yako na mchungaji Moses wa EAGT wakuombee urudi kwa Yesu.YESU anarudi kaka pilipili nakusihi sana rudi kwa Yesu achana na kuiga tabia za ku dunia wewe ni taa ya ulimwengu,Mungu alikuchagua ili uwavute watu waje kwa Yesu.please I beg you🙏🙏
Jamani kweli maisha yanakwenda kazi sana uchungaji umeisha mpaka ukapaka langi ya mbwa kichwani mwenyezi mungu akusaidiye naunatakiwa urudi kwenye toba
Hakika heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wa neno.kijana mrudie Mungu,maana hali hii ya uvuguvugu unayoishi ni hatari mbele za Mungu.ona ulivyochoka jmn! Nikutie moyo jitie nguvu ukatubu na Mungu atakuuisha na utaona maisha haya ulonayo kwa Sasa yataisha.
Duuuu ulimsifia mno huyo mke wako ,ulimpost mno kwenye mtandaoni ukisema mke wako Ni mzuri. Umeachana na mke wako na uchungaji pia Umeachana nao mpaka ukajipaka na rangi kichwani!
Kumbuka siku ya Arusi pale kanisani ulimwambia mchungaji huwezi kutamka maneno ya " naahidi kuishi nae katika shida na raha". Kwamba shida hazitatokea😂 Sasa imekuwaje.....?
Ulikuwa unabwabwaja sana acha ya kukute c unakumbuka ulivomkandia yule stamina ?? Ila nilijua tu yatakukuta kwanza kiapo ulibadil nakusema kwa raha tu hakuna shda kiko wap
Hajamaliza mbio zako usijipe Jina la uchungaji kaungane na mashalove kupaka bleach bhana unajichekesha tu unaowachunga hawajakubaliana na wewe uwachunge na bleach kichwani
Anajiita mchungaji ili ale pesa za sadaka za waumini wa kanisani, halafu matendo yake ni ya ki hovyo kabisa, Mchungaji gani anapaka rangi kichwani na anakwenda kwenye ma club kunywa pombe na akina diamond pamoja na wanawake? Mchungaji tapeli na mjanja mjanja tu kwa kula pesa za sadaka za watu masikini na kwenda kufanya starehe na anasa, na ndiyo maana mke wake kamshindwa kwa tabia zake chafu hizo.