Тёмный

A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 67 тыс.
50% 1

A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE
Muigizaji Kupitia Tamthilia ya #JuaKali Zakayo amefunguka sababu za kuumwa kwa muda mrefu na kusema baada ya kutafuta suluhu kwenye mahospitali kwa muda mrefu bila kupata jawabu, rafiki yake ambaye pia ni muigizaji katika tamthili hiyo aitwaye FEMI alimshauri kwenda kwa mganga na akakubali ushauri huo
Sikiliza kujua nini kiliendelea baada ya kufika kwa mganga, Zakayo amefunguka yote kwenye interview hii aliyofanya na Mashamsham
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

18 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 306   
@florabuzoya3948
Jesus is the only Way to follow
@AnethKapingaInventoryControlle
Zakayo bas mpereken na hawa akapone ana teseka jaman🙏🙏
@lilianurio9781
Mmh Asante Yesu kwa Neema ulonipa yakukutafuta
@3malis
Kijana friji yake mbovuu 😂😂😂😂
@irenematari6218
Ila zakayo ndiyo uwataje watu kwa majina yao😂😂
@bahatirobert1009
Kiufupi kijana hauna Siri kabisa,siku nyingine hutopata wa kukusaidia
@HeleneruthSango
Pole sana kaka Mungu akusaidiye
@dayana5513story
Watu wanatafuta number ya mganga 😅😅tz people 🙌🙌🙌vijana fanyeni kaz acheni umariooo
@uwasekanimba4115
Ayomaji nimoja symptom ya TB
@RukiaRashid-mb7qc
Asiye pitia mambo ya kiswahili awez kuku elewa Pole sana
@ALIMOHD-bk9lr
Dogo yupo vizuri ktk uigizaji. Mungu ampe mafanikio mema🙏🙏
@malemawatson1130
Daaaah sio poaaa
@asdfhdv9230
Afazali ungemtaj aliye kuroga na siyo femi ivi watu watamuona femi anapenda shirki
@binthkhamis8042
Zakayo.......pole kwa mlima uliopitia
@Mery-st4nu
Pole sana zakayo ndo maana nilikuwa sikuon 😭 jua kali pole sana mungu akusimamie sanaa
@josephinemeela9098
Dalili kubwa ya TB ni maji mengi kutoka mwilini, jasho kali haswa usiku
@LacknessChaluza-wk9xu
Aiseeeee pole sana kwakwel wanadam hawa jamn Mungu asimame tu kwakweli
@user-hi8le2vb7z
BAADAE WAKAKWAMBIA USITAJE JINA LA FEMI KWENYE STORI YAKO.,,ILIKUWA KAMA UNAMUANIKA YEYE,,UMEKOSEA SANA JIFUNZE KUMUHIFADHI MTU
@MariaNdagile-hx5pr
Hapo umenena kaka yangu Mungu akupe mwisho mwema.
@JOHNJOHN-pu7wb
Sijaelewa. Karogwa ila alipoanza Dawa za TB akapata nafuu vipimo vikasema maji yameisha na akaendelea na Dawa paka akamaliza na kupona. Sijaelewa hapo ni Dawa za TB simemponesha au uko kwa mganga
Далее
ТОП 10 Худших игроков Евро-2024
30:22
Блиц по трекам ❤️
00:50
Просмотров 93 тыс.