Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba
BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏
@@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe
Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa
kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana
Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.
Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.
Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi
usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu
Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI. Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.
jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo
Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji
Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.