Тёмный

DUDUBAYA AFICHUA YA MWAMPOSA, NGUVU ZA GIZA, KUUZA MAFUTA NA MAJI, ONA FACT ZAKE 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 60 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 97   
@JoycePius-em9ki
@JoycePius-em9ki Месяц назад
Kaka dudu baya uko vizur mungu akuweke miaka mia mbil
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Amina kaka yangu mungu aendelee kukibariki
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Месяц назад
Huyu dudu ninamuekewa anatema madini kweli kweli big up dudu 😂
@NiceWatson
@NiceWatson Месяц назад
Mwamposa ni mtume mzur Alerujha Alerujha Alerujha wamuache kabisaaaa mtume wetu Mungu asante kwa mtu mwema kwetu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏🏻🙏
@rechokusilimka5739
@rechokusilimka5739 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂niko pale nimekaa😂😂😂
@chrisshonga
@chrisshonga 27 дней назад
Mmemsahau kumuamini MUNGU na sasa hivi mnamuamini mwanadamu! NENO liko pale pale na litabaki pale pale milele AMELAANIWA AMTUMAINIAE MWANADAMU
@japhetferuzi1219
@japhetferuzi1219 Месяц назад
Uko vizuri mtumishi
@ndorobocarworks-dx4pf
@ndorobocarworks-dx4pf Месяц назад
Braza dudu nakukubali sana tangu nipo mdogo enz zile una ngoma inaitwa nakupenda tu minywele tifutifu ukitema mate yanadunda nikiisilizaga pale clouds miaka ile ila asa tatizo bro dudu ukiulizwa swali moja majibu kiroba
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 Месяц назад
😀😀😀
@user-qe6ym5no8l
@user-qe6ym5no8l 24 дня назад
Amina brow
@levygasper7438
@levygasper7438 Месяц назад
BABA nae unatakiwa UweuNampa nafasi yake haujaja duniani kupitia Mama pekeyake SEMA hivi nimekuja duniani kupitia BABA na Mama hizi kauli zakusifia Mama tuu bila BABA sizipende 🙏
@FiollaIsaya
@FiollaIsaya Месяц назад
It is what it is mwanaume haujui uchungu Wala maumuvu ya mimba
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow Месяц назад
Ultimately mwenyewe mimba​@@FiollaIsaya
@levygasper7438
@levygasper7438 Месяц назад
@@FiollaIsaya kwani ww mwanaume??Nami nasema hivi mwanamke hayajui maumivu tunapitia mwanaume ili mtoto akuweufikiye uutuzima
@FiollaIsaya
@FiollaIsaya Месяц назад
@@levygasper7438 sio kweli wanaume kazi yao kujaza mimba kinacho endelea tumboni Kwa mwenzio hawakijui maumuvu na kutokulala usiku yeye hajui ,kuchwanwa chwana leba mwanaume hajui maumuvu yake pili mwanaume wengi pia siku hizi hukimbia mimba anae hangaika ni mama so mwanaume hawezi beba uzito wa mwanamke hata chembe
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Месяц назад
Kaka dudu uko vizuri sn,✔️ Mungu azidi kukubariki sn.
@sekelagatusekelege9325
@sekelagatusekelege9325 Месяц назад
Ashukuriwe Mungu anayeweza kudhihirisha kweli kupitia waja wake
@zakariakapinga9862
@zakariakapinga9862 Месяц назад
jamaa ana hilca na silca za uchungaji ndani yake
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Месяц назад
Yuko vzr dudubaya jpo nahc n vtu vchche tu aviweke sawa ili awe sawasawa zaidi.Ana kitu kzr sn jpo awe tu specific cs kukangny huk kdg na huk kdg hs kwa miungu wawili ndy shida.Binafs nataman ht nipate namb yke kuwasiliana nae nje ya mtandao.Maana ujasiri tuu alionao kumkir Mungu pkyke kw kizaz hk tyr ni ushnd mkubw kilichobak n kuweka tu saw baadh y mambo.Ni mtumish mzr sn isipokuw machche tu kuyaweka sawa
@emmanuelshilagi3302
@emmanuelshilagi3302 Месяц назад
kwanini usiwe Mchungaji dudu Baya maana nimekufahanu mapema nikiwa mdogo sana lakini nakuona saiz siyo yule wa zamani Bro natamani umtumikie Mungu na atafanya makubwa sana
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Месяц назад
Like kapelo lako liko wapi linakupendeza mno Mr konk
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Месяц назад
Hongera sana Mchungaji Dudu baya
@nurdinally3451
@nurdinally3451 Месяц назад
Mbona kanyoka jamaa anaongea kweli mnao mtukana mko sawa kweli
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 Месяц назад
Mh hiyo haithibtsh kwmb amzungumziaye n wa Mungu, ukimsikiliza vzr, utagundua yko vzr, ila sasa afny nn au aende kwa nan kwke n changmoto kdg ndy maana unamsikia akikanganya ht zle pande 2 za imani ambzo km unazijua vzr sio za mmoja.
@mussaisaac
@mussaisaac Месяц назад
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamu kuombewa sio shida Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake iweni na imani kubwa.
@SimonHaule-tp3ny
@SimonHaule-tp3ny Месяц назад
Hujalielewa andiko hilo,
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 Месяц назад
​@@SimonHaule-tp3nyyaani mnachekesha sana kwa sababutu A mtuakisoma andiko lilivupnajidai hatukaelews
@SaiSitta-kj7wh
@SaiSitta-kj7wh Месяц назад
Uko sawa mtakatifu
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Месяц назад
Mwamba ulipata lanayamungu hebu jalibu kuunzisha kanisa mungu akubaliki unajichelewashwa
@KenethKibona
@KenethKibona Месяц назад
Upo vizuri
@Princewaweru
@Princewaweru Месяц назад
Nyimbo zako tu nyingi zinaonekana we ni mtumishi wa Mungu kwa sisi wenye macho ya roho tunajua
@Dominant97
@Dominant97 Месяц назад
Exactly
@profamanzala1693
@profamanzala1693 Месяц назад
Alleluia
@Magreth-e2q
@Magreth-e2q 27 дней назад
Dudubaya. Mbona. We were. Wanasema. Nimkorofi
@AyubaYahyazawad
@AyubaYahyazawad 22 дня назад
Ndiyo ukiombewa ukapona endelea na maombi usilale mbaya wako halali we utalalaje
@JulianaMwanjala
@JulianaMwanjala Месяц назад
Ubarikiwe sana mwanangu Dudu baya
@ianak4
@ianak4 Месяц назад
Unaombewa kwa Jina la Yesu au ili mradi umeombewa tu? Na hata kama ni kwa Jina la Yesu, unafahamu kuwa kuna mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo nao watakuwekea mikono na kisha utaitikia tu "Amen" na kujimaliza? Sio kila anayeliitia Jina la Bwana ni wake (na anasema wapo wengi ila Yeye hawatambui), na ndio maana tunaangamia kwa kulipotosha Neno na kukosa maarifa. Kuwa makini kipenzi cha Mungu, kaa kwenye mstari ulionyooka ili usikumbwe na mabalaa (maagano) na usiwe chukizo kwa Mungu. Peace.
@laninjeje8290
@laninjeje8290 Месяц назад
Dudu baya amefanya sana ushoga kwahiyo kisaikolojia kichwani ni taka taka tu😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Месяц назад
Ulilala naye akakupa utamu wa ushoga anacheka kwa raha alizo Kupa hongera
@rajabmkuya9023
@rajabmkuya9023 Месяц назад
​@@zebedayokatamaduni9676😅
@EvaristoMwasenga
@EvaristoMwasenga Месяц назад
Leo kama nimemwewa sana
@AnastinaIshisha-lt2rn
@AnastinaIshisha-lt2rn Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤ubalikiwe
@ianak4
@ianak4 Месяц назад
Kingine, huyo unayemkimbilia kama unavyosema anaamini katika huo utatu mtakatifu unaouamini wewe? Soma sana Neno na liamini, wewe kama wewe pia una uhusiano mkubwa na wa kipekee sana na Mungu, usipende kukimbia kimbia huku na huko na kusahau Mungu amekuambia "atakufunza na kukuonesha njia unayopaswa kufuata, na atakushauri kwa uangalifu mkubwa" Zaburi
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Месяц назад
Konki tunakupendaga Sana
@TumainiMchomvu-zv3sv
@TumainiMchomvu-zv3sv Месяц назад
Jamaaa anaa akili sana
@HusseinJamal-v9v
@HusseinJamal-v9v Месяц назад
Kaongea ukwel,mengne tumuachie mungu tusijudge vibaya
@jonasmbala1326
@jonasmbala1326 Месяц назад
usimhukumu mwenzio usije kuhukumiwa kwani maisha yake siku zote binadam hubadilika ndio maana tumezaliwa na kukuwa na tabia nazo zinabadilika pia sasa ww unayebeza Dudu baya kubadilika msikilize maneno yake vzr ndio utajua kwamba ww unayemtusi ndio utabaki na yako ilamwenzio yuko hatua nyingine na Mungu wake Acha kuhukum yy kajutia alikotoka ndio maa ana anatangaza wokovu
@user-ld3yh5kv5n
@user-ld3yh5kv5n Месяц назад
Jamaa alienda kuomba msaada
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 Месяц назад
Dudu baya kapungua sana, ni bora akabidhi maisha yake kwa Yesu
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Месяц назад
mwili huo ndio mzuri ule alibongeka sana mwili mkubwa sio afya ndgu
@annanamuyala
@annanamuyala Месяц назад
Kweli kaka nikufanya kazi kwa iman utabarikiwa
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly Месяц назад
Dudubaya na wengine mtaongea mengi,but Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu aliyekubali kutumika na Mungu aliye HAI. Hivyo kama mnadhan ni nguvu za giza katumieni nq nyinyi basi.
@wilhelminshauri7410
@wilhelminshauri7410 Месяц назад
Bahati mbaya sana hakuna mtume au nabii ndio maana kuna roho mtakatifu
@user-zo1ym2te7r
@user-zo1ym2te7r Месяц назад
Mulicho andika nakinachoongelewa tofaut
@RajabuJumanne-pl8ir
@RajabuJumanne-pl8ir Месяц назад
Nikweli kichwa cha habari na yanayoongelewa ni vitu viwili tofauti, hilo nitatizo la waandishi wakibongo.
@andyjk5974
@andyjk5974 Месяц назад
jinsi waadrica walivyo pumbazwa wanakua defensive balaa. tutaliwa sana Waafrica kwa ujinga wetu. delusuonal brainwashed. kanunueni mafuta na udongo. kama mnadhania ulaya waliombewa ndio wakafikia hapo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Месяц назад
Acha waendelee kununua mafuta na udongo mwamposa aendelee kuongeza mahoteli , alafu wao wakae na mafuta na udongo, watu hawaelewi😮
@user-sh6ch6ex1h
@user-sh6ch6ex1h Месяц назад
OILIchaFu
@Magreth-e2q
@Magreth-e2q 27 дней назад
Dude. Having. Mwaposa. Ameowa
@HalimaNgenzi
@HalimaNgenzi Месяц назад
Ww huna akili na hata hvyo unaonekana una mapepo mrudie mung ww ni tomaso
@TumainiMchomvu-zv3sv
@TumainiMchomvu-zv3sv Месяц назад
Tesha tumia akiliiii
@Furahazawadi-ym4be
@Furahazawadi-ym4be Месяц назад
Miyesisikiye anamusema mumbaya mwaposa dudu
@MOHAMEDYUSUPH-oq1th
@MOHAMEDYUSUPH-oq1th Месяц назад
Oyo jamaa c almpiga Mr nice uyo njaa tu
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo Месяц назад
Konk 3 master Putin 🎉🎉🎉
@user-gp1hi7sw5k
@user-gp1hi7sw5k Месяц назад
Acha kutukana waganga
@norahfrank
@norahfrank Месяц назад
Ukweli. Utabaki kuwa kweli.wote wanaokosoa huduma,mf. Mwamposa ni wale wasiojua maandiko na wengi ni wachawi wenyewe.wanasoma bibilia na kuondoka na vipande tu.ni aibu sana hata kwa huyu msemaji
@Dominant97
@Dominant97 Месяц назад
Saui ya kiroho iyo mkuu plus madini ulonayo utasaidia watu,fungua kanisa achana na makuu ya dunia
@LobikiekiMarko
@LobikiekiMarko Месяц назад
UMEMALIZA DARASA LA TATU🤑🤑🤑🤑
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад
Wewe mwamposa kanunua gari la wagonjwa unafanya mchezo mpeni jizo hela watoto wake wapo mbea baadae wataishi maisha mazuri baadae
@K-go1qj
@K-go1qj Месяц назад
Dudu afungue kanisa sasa
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni Месяц назад
Ufunuo 22:17-18
@user-ib3tc4dc4s
@user-ib3tc4dc4s Месяц назад
Dudu maisha yamemshinda na analaana ya kumpiga mr nice na alimvunja kiuno laana inamuandama ana wivu huyooo
@kingdavidmoto6149
@kingdavidmoto6149 Месяц назад
Dudubaya umekuwa mchungaji
@Laizer3
@Laizer3 Месяц назад
Mambobya dini hamna ajuae ukweli.
@VeloniceDonard
@VeloniceDonard Месяц назад
Ww hakili zako haziko vinzur Kaz ya kujadil ya wenzio yako umeyaweka wap toa na yako tuone
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Месяц назад
da wewe unachelewa kuelewa kwan mbona kaongea vzr tu jmn si anahojiwa
@NiceWatson
@NiceWatson Месяц назад
Navona inawachona sana hii ya juzi Baba mwamposa kujjaza watu ya usiku usio sahaulika Alerujha Alerujha Alerujha
@sarahrichard2813
@sarahrichard2813 Месяц назад
Msikilizeni alichokiongea ni positive
@user-jj3os9bx6m
@user-jj3os9bx6m Месяц назад
Toka hapa chizi
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed Месяц назад
Dudubaya we mtu wamungu tangu llini sauti sura vyote vinekufa na gongo
@SimonHaule-tp3ny
@SimonHaule-tp3ny Месяц назад
Yesu alisema mwenye afya hamhitaji tabibu,bali mgonjwa,udhaifu wake ndy unaomsogeza jirani na Mungu.
@user-tr4ib1pr1t
@user-tr4ib1pr1t Месяц назад
Umeokoka?
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Месяц назад
aka yake Imemponza😂😂OIL CHAFU HUWA HAINA MVUTO
@selemanshaban7496
@selemanshaban7496 Месяц назад
Shetan ww mvuto gan unataka awe nao Ili iweje
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Месяц назад
@@selemanshaban7496 umekurupuka tu MVUTO wa jina. OIL CHAFU SIO JINA ZURI KUJIITA. NDO HIVYO
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz Месяц назад
Jesus is everything
@brown5418
@brown5418 Месяц назад
Endelea kusubiri Mungu anakusudi na wewe
@nicholasmkama2877
@nicholasmkama2877 Месяц назад
Acha uongo wewe.kila mwanadamu ni mtu wa mungu.ila hujawa mwana wa mungu.ulichelewa kuacha Bangi na Gongo.make bado afya na akili haijakaa vizuri.kazi ya mungu huiwezi.endelea na uchawa.
@user-xl5xi1uq9z
@user-xl5xi1uq9z Месяц назад
Mbona sauti inaonyesha imekauka kwa ajili ya bangi na pombe kali ,afu una maneno ya kiuni tu eti konki master hatar
@napendahuruma3320
@napendahuruma3320 Месяц назад
Hanywi pombe wala havuti bangi wala sigara so usimjaji mtu kama humjui
@augustinemainde
@augustinemainde Месяц назад
Dudu baya Kama unaweza na wewe tumia nguvu za Giza uvute watu acheni ujinga wenu,na wivu wenu
@samwelsitta5089
@samwelsitta5089 Месяц назад
Braza samahani naomba ukasome warumi 10:2-3
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
@KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r Месяц назад
Ivi uyu alisikia intervew au unafata zako iyo capshen tu😂
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Месяц назад
Kweliiiiiiiiii jee?
@PatrickTeshaTesha-zp4ld
@PatrickTeshaTesha-zp4ld Месяц назад
𝕄𝕥𝕦𝕞𝕚𝕤𝕙𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖𝕧𝕚😂
@napendahuruma3320
@napendahuruma3320 Месяц назад
Hanywi hata pombe uliza tunaomjua so usimuelezee mtu kama humjui
Далее
MCH HANAJA APIGA NONDO NZITO KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI
28:20