Upo vizur sana dada MashaAllah mungu akubariki hao wapangaji fukuzaaa wotee pangisha upya na uangalie wanaume wa kuwa nao kwan wengi wao skuiz wanapenda kitonga na tayar ww huna njaa njaa dada usilee mtt wa mamkweee komaa kivyako mapenz fanya kwa starehe tu wanaume wengi saiz waongo mnooo
Mama ukipata kibentel usimpeleke nyumbani kwako.usimwonyeshe mwanaume mali zako.ndio wanachotaka ni mali sio wewe.waweke watoto mbali na wanaume wako.painfull😢
Yani watanzania sijui tupoje mtu analilia haki ya watoto wake mnamsema kisa yeye mtu wa viwanja acheni tabia mbaya msiangalie mapungufu yake angalieni haki ya watoto
Huyu mtoto hata ivo Hana adabu napia Hana hofu ya mngu uwezi danganywa kiasi na watu umfanyie mamaako vitendo vya kinyama namna iyo miaka Kumi na NNE tayari NI binti ambaye anakua na uelewa wa kujitambua ... MUNGU amuongoze huyu binti mana dunia ya sasa na hawa vijana WATOTO wetu wanazidi kupotea ✍️
Without a FATHER nothing will be possible thats why i needed him looking for him everywhere searching for him but am luck enough to be a good mother ans set the good example to all weman no matter whoever do something good will never be appriciated 😅😅🙏am not enough buddy
Pole kipenz mm sisemi kitu sabu nina watt wa kike ila mm nilicho kiona wanawake tuweke mipaka kwa watt kama hamna baba zao na ukipata mwanaume usiwaoneshe watt na kumleta nyumbani uyo mume ili kuepuka zalau kwa watt pole sana
Wa kwanza mlimuuua ni mzungu , Wa pili mkampa maneno akaondoka ni mchina Huyu wa sasa kaondoka ni Mhindi nasemaje huyu sasa tuachane 💃💃💃 jamani msaidien mama matibabu apone akaendeleze kula bata 😂😂
Mirembe tayari wana kadi yangu bro asante kwa ushauri mzuri baba huruma nyie ndo wagawa bure mnaidharirisha serikali yetu ionekane imeruhusu haya mambo na watoto kuingiliwa
Huyo muhindi waandishi fatilieni na mhakikish huy mama anabak salama maan matendo hayo wanataka kufanya ni hatr kwa jamii na inaonekana ina watu wengi nyuma yake. Serikali tafadhli tunataka kuskia mwisho wake hatua kwa hatua, polis tafadhl msile rushwa ya hao wahindi tunataka kuokoa jamii yetu.
Daah kumbe mwanaume alomuoaa ni mzungu,, dada yupo vizuriii ila acheck na afya yake kama ipo vizur unakuta muhindi kashamuambukiza na mwanae alivyombaka
Mother don't fear death, Their greatest fear is leaving their children in this world, knowing no one will love them like her....GOD PLEASE HELP HER KEEP HER STRONG 🙏 😢
Mmh dada mwanaume unadate nae miez miwili 2 lkn each and everything khsu life lako unamueleza kwel jmn daah . Ila pole me nakuombea kwa mungu 2 upone na wote walioshiriki wachukuliwe hatua.
Watu huona mafanikio ya watu wengine bila kifahamu hata wao wanaeza kufanyikiwa na hii ndiyo upelekea kuhusudiana na kufanyiana ukatili sio vizuri, maskini mali zake mwenyewe mtoto wake na maisha yake ndiyo inamfanya anapitia machungu yote pole .ila watu wawe maakini na wawe wakijitambua kueka mpaka na msisahau kuombea vile Mungu alivyowapa ombea mali maisha yako na watoto wako .kuna watu wanaeza kutumia ulivyo navyo kama sila ili tu wakumalize kisaikolojia na kimaisha halisi pole.weka maisha yako siri hata ukipata mume usiwe mwepesi wakimsimulia uliyonayo mapema watu hawako sawa na hawaamini hupenda kufanya hiyana pole sana mama.
Huyu mama kaeleza vzuri na anaumia ila watanzania mkiona m2 kapenda mchina, muhindi n.k wa2 wa nje mnahisi malaya si hvo ndo maan kashaenda polisi na wapangaji kafukuza na mwenyekiti anajua hvo acha kujudge wa2 vibaya😭😭😭🙌🙌🙌
Kuna shida hapo kwa huyu mama, kwa nini wapangaji wako hawakuheshimu ,kwa nini wote wanajiunga wakudhuru,kwa nini huwapi Notice watoke hapo,mwanao umempa malezi gani ,kama unaleta wanaume nyumbani kwako,wanao unawaharibu mwenyewe, tabia yako ndiyo inayofanya wapangaji wako wasikuheshimu ,pole sana mwanamke mwenzetu ,nakushauri uwe bize na watoto wako ,hiyo ndiyo familia yako
Kama ni kweli huyo Jamaa ni shoga halo ni hatari Sana Moja ya tabia ya mwanaume ambae aishakuwa shoga Moja ukijuwa Siri zake halafu upo kinyume chake usalama wako ni 0 Pili wale wana connection kubwa Sana Ukimpangishia nyumbani mmoja lazima watajazana wao nyumba yote maana hawawezi kukaa mahali pa mchanganyoko wa jamii nyingine KIRAHISI huyo mama aspokuwa muangalifu litamkuta jambo baya na familia yake Nashauri sirikali ifanye uchunguzi wa kina Sana
Pole sn dd lkn ktk Hali ya kawaida ulitakiwa kumpeleka huyo binti hospitali ili kuthibitisha kwa ushahidi alichofanyiwa. Sshv ushahidi wwt utakaopatikana utakuwa circumstantial ambapo itakua rahisi kwa mtuhumiwa kupindua mahakamani.
Kwanza mwenyezi mungu alitwambia tusiikurubie zinaa sisi tunakua na vichwa vigumu huo ndio mshahara wa uzinifu kwanza wewe ni mzinifu lazima mungu akupe mzinifu mwenzako pia nawatoto lazima wajifunze tabia mbaya kama wewe mzazi wao una michepuko sasa watajifunza nini kutoka kwako
tatizo ni nin? kama sio wivu tu, tanzania ukiwa na mahusiano na mtu wa ngozi tafauti wanajua pesa, waakti wengine hawana pesa, wewe kwa nyumba hiyo na anaishi na wapangaji, hana hata hela ya kujitibu huyu mama ana maisha ya kawaida tu
Wivu wao tu bro,kwani wao mbona wanadate hata waswahili 10 mzunguko,wa umeme,wa vocha,wa maji Bill shida mimi kuchagua kuwa wa mataifa?tena after break up with one I take another not futuring
Nyama ya chini kaendekeza baba wa kambo mtarajiwa na mwanae as ndo walizoea hivi ili waniue huyu siyo wa kwanza,,Yule wa Arusha mtu mzima hovyo aloshiriki na waganga wa kienyeji kumuua mamaake nae mama anamakosa???Kosa letu kuwazaa au kuwatafutia baba msiwe mayatima?
Kama huwezi kuishi mwenyewe basi oleweni kisheria, hayo yote ni kwa sababu ya ushenzi tu, uzinzi tu hadabu hakuna kuji fanya kuku 2 kila aina ya jogoo we sawa tu.😏
Dada wekendi kumbe unapemda kujirusha🤣:: wahindi walisha kupa mikataba ulitaka ufungue na kituo cha yatima ili uingie ubia na ushoga :: umegawa sana nyama APO BADO OTTOMANI nae alija utampa 🤸🏻♂️🤸🏻♂️
Amini Amini kweli nawaambia😅😅😅hamkumuamini YESU mwana wa Mungu mimi ni nani mniamini?Nabii hakubaliki kwao acha mataifa mengine yaniokote nyie mmezoea na mmeridhika na dhambi
Mama unaonekana hata wewe unatabia mbaya unaperekaje mwanaume kwenye nyumba ambayo amejenga mume wako hata kama nimarehemu.badirisha tabia zako kwanza hapo unaumwa mkono bado umebandika mawingi kichwani .wahindi wazungu wachina
Wewe ukifiwa mume usihitaji nusura kisa una nyumba nikupe hongera,,Nusura ya kuwa na mume ni bora hata kama anadhiki kama anajiheshimu kama baba kuishi nae siyo kosa angalia BI HADIJA na MUHAMMAD A.Salaam
Tukio la kutisha sana nadhan serikali ifatilie kwa ukarb sana mashirik n watu wanaoulazimisha kuungiza ushoga tz mikoa yote aisee hili jambo linashika kasi kama moto kwenye msitu, huyo mwanaume akamatwe yaan dalili anaonesha tyr anampango huo wa kufanya ukatili huo kwa vijana so sad jamii inaenda wapi jamn, wazaz kuweni makini fatilieni watt wenu vyema na watu kama hao ni kuwachoma moto tu wanaharibu jamii.