Тёмный
No video :(

MCHEZAJI WA PSG HAKIMI ALIVYOTUA NA RAIS WA YANGA KUTALII SERENGETI 

Yanga TV
Подписаться 646 тыс.
Просмотров 58 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 179   
@HassanBds
@HassanBds Месяц назад
Hakimi ❤🇲🇦🇹🇿❤️
@minazsaid2470
@minazsaid2470 Месяц назад
MashaAllah Rais wangu mungu akupe umri mrefu uzidi kuiheshimisha club yetu 🙏❤
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 Месяц назад
Amina Inshaallah
@user-it2pz1hf9t
@user-it2pz1hf9t Месяц назад
Honger Rais wet kwa kazi unayo ifanya maan hutumikii club peke yak unalitumikia taif honger san Allah akuzidishie kila la kheri
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 Месяц назад
Best defender from PSG hopefully one day will part of yanga squad everything is possible under the sun😊😊
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 Месяц назад
Sasa Ali umejibu Nini baada ya kuulizwa hilo ni kombe? 😅😅😅 Ila Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 🔰🔰🔰🔰 tunasifa sana ,, Daima mbele nyuma mwiko
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f Месяц назад
Eng.Hersi kipenzi Cha wananchi💛💚💛🙏we love you brother 🥂💐
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 Месяц назад
GOD is good all the time and all the time GOD is good congratulations Engineer good work all the best be blessed all shalom
@JudithNiyogushima
@JudithNiyogushima Месяц назад
I❤❤❤❤❤ you yanga from burundi
@5googleuuu727
@5googleuuu727 Месяц назад
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote alihamundulih mungu awalinde na awajaalie afya njema
@saliieking7279
@saliieking7279 Месяц назад
Enginia hersi ana akili mingi sana
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 Месяц назад
Engineer ni Mzalendo, anaipenda timu na nchi yake. Hongera kwa kutangaza utalii wetu.
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Hongera semaji 🎉🎉🎉unawakilisha vema
@KitamuMsulwa
@KitamuMsulwa Месяц назад
Kweli raisi unaonyesha ukubwa wako kua kweli wewe nimwenyekiti wavirabu vyote Africa congratulations❤❤❤
@abderahimrahim2557
@abderahimrahim2557 Месяц назад
نحن أسرة واحدة وإبننا حكيمي يحيي صلة الرحم بارك الله فيك .
@chazzmgonja4077
@chazzmgonja4077 Месяц назад
Raisi wa Yanga ni Balozi Mzuri TZ anahitaji TUZO
@thisispablo88
@thisispablo88 Месяц назад
Definitely
@husseinjunior9620
@husseinjunior9620 Месяц назад
Wa kwanza leo 😅
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs Месяц назад
Kuna wa2 wanaumia 😂😂😂😂 Hakika engnier kawaingizia selikali pesa unajua xhingapi awo kukaa apa bongo adi waje kuondoka tulio soma chini ya mipela tunajua yanga bingwa adi 230😁🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Месяц назад
Mungu atujalie
@moisugar_tz
@moisugar_tz Месяц назад
Yanga 🎉🎉
@MalkiaMurekezi
@MalkiaMurekezi Месяц назад
Mwenyekiti wa wasemaji Africa❤
@MoTalentTz
@MoTalentTz Месяц назад
Yanga bingwa
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Месяц назад
Asante raisi wa yanga
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
Yanga Taifa Kubwa Africa utake usitake kiuhalisia tu .tuko mbaaaaaaaaaaaali mungu amueke Eng Her na ampe afya njema kila leo jamaa ni mtu wa mpira .Dar Young Africa wala tusiwe na wasi wasi mambo mazuri yanakuja muhimu ibada na kuishabikia timu yetu kwa upendo.
@mohammedhilal1855
@mohammedhilal1855 Месяц назад
Mbarikiwe san kwa kila hatua viongz wetu na kwa taifa nzur upo vizur eng heris
@user-sy1fn2lr3i
@user-sy1fn2lr3i Месяц назад
😂😂😂😂 nimecheka kweli eti aly kame anajua kukera hata bado hujasema mpaka mseme
@vualemakame-ec2el
@vualemakame-ec2el Месяц назад
Fantastic ❤❤❤
@kelvinimunishi3334
@kelvinimunishi3334 Месяц назад
President Hersi 🔥🔥
@HellenProsper-tx6vl
@HellenProsper-tx6vl Месяц назад
Ila yanga...💚💚💛💛
@SalmonMenyeye
@SalmonMenyeye Месяц назад
We Eng mungu akupe maisha marefu
@ramadhankombe2643
@ramadhankombe2643 Месяц назад
Mm namwangalia Kamwe tu😂😂 yaan nacheka sanaaa.maana sipati picha akirud mjini😂😂😂
@moshielfesty7992
@moshielfesty7992 Месяц назад
😂😂😂😂Atasumbua Sana kamwe 😂😂😂
@ElishamaMulokozi-pi8nm
@ElishamaMulokozi-pi8nm Месяц назад
Nani alikuwa kwanza ni ushindi YANGA kombe la CRDB BANK PLC
@GeraldMsele
@GeraldMsele Месяц назад
Kwakweli kama D mbili huwezi kutuelewa Yanga piga kazi raisi wa vilabu Africa
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 Месяц назад
Engineer ni zaidi ya rais wa yanga
@johnmalisa9373
@johnmalisa9373 Месяц назад
Ali na kombe lake haliachi😅😅😅😅
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Месяц назад
Hongereni tunawatamani jamani wengine tunaishia tu kukomenti na kulaiki sijui huko tutafika lini😂😂😂😂😂
@estherobrey8153
@estherobrey8153 Месяц назад
🔥🔥🔥
@user-fc7zp2nd4m
@user-fc7zp2nd4m Месяц назад
Nawapenda sana wana yanga
@ellymichael4147
@ellymichael4147 Месяц назад
Ila yanga ila kamwe
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Sipati picha hii connection ya Hakimi kama angeipata Murtaza Ali Mangungu......Mgogoro na kelele za madunduka zingeisha hiyo ni fursa kubwa mno kwa chairman mangungu
@gracemtonga3263
@gracemtonga3263 Месяц назад
My team 🎉🎉🎉🎉
@user-zr2cw2dy4w
@user-zr2cw2dy4w Месяц назад
Miaka 100 yanga mbereeeeeeee
@joeldaniel3348
@joeldaniel3348 Месяц назад
Vitu kama hivi huwez vipata sehem nyingine ila nae ally komwe sifa zimekuwa nyingi sana
@Beatuce_TV
@Beatuce_TV Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yussufshaaban1013
@yussufshaaban1013 Месяц назад
Eng. kama vipi ongea na GSM tumsajili Hakimi uyo
@hemedsalum6476
@hemedsalum6476 Месяц назад
Mm Naomb niulize wanayanga we zangu huyu Ali. Kamwe mbn ppot analichukua hili kombe kuna usir gan na hili kombe😂
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
Jaribu kuvaa viatu vya charman mangungu na uo ujio wa Ashraf Hakimi ......😂😂😂
@Hbmeditv
@Hbmeditv Месяц назад
Wana yanga wenzangu naomba like zenu na mni follow
@michaelkamunyu567
@michaelkamunyu567 Месяц назад
Rais wa,yanga Kawa tour guider
@LaurentSabaya-xc3uu
@LaurentSabaya-xc3uu Месяц назад
Alikamwe anajipitisha na Mkombe wake 🤣🤣🤣😁😁😁🤣👍👍👍
@BADAWY575
@BADAWY575 Месяц назад
Wako wapi vijakazi wa muhindi sisi yanga mashavu yanazidi tu.Kama hivyo prezoooooondanta anakula furaha na Hakimi ni kuwa ji prezoooondanta linafikiria soka tu utaitaka hiyo wana jangwani kwenye field ji prezooo mtubwa mpira hatuna shaka dalili njema alipiga mbonge moja la bao adi raha ni ishara njema Alhamdulillah. All way from Sweden .plz naomba namba ya Eng Hers plz
@epafraditopajenga4650
@epafraditopajenga4650 Месяц назад
DKT Na ENG HERS SAID Unastahili kuitwa Doctor
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 Месяц назад
Injinia na raisi wa wanaume hakimi
@fatmaeliasa
@fatmaeliasa Месяц назад
Good
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 Месяц назад
Mashaallah
@ikrahtune
@ikrahtune Месяц назад
Uyu anafaa kuwa raisi wa nchi
@w4kwestnails08
@w4kwestnails08 Месяц назад
Ila alikamwa kabeba kombe🎉😂😂❤
@ayoub1906
@ayoub1906 Месяц назад
Anae muona Hersi After 7 years serikalini ❤
@husseinkombo-3447
@husseinkombo-3447 Месяц назад
kama umegundua kitu,raisi wa yanga anajaribu kuwa karibu na jamaa ila jamaa alichochukizwa ni kumletea kombe yaani kumuhusisha na swala la mpira anali yupo mapumzikoni na familia yake....
@SimonMlomo-jv8zj
@SimonMlomo-jv8zj Месяц назад
Kwan Kuna shiidoo 😢😂😂😢😂😢
@AyubuMsindo
@AyubuMsindo Месяц назад
Kwahyo hapo ndommetangza time yenuau 😂😂😂😂😂
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Yanga 😊
@jr_mkumbojr
@jr_mkumbojr Месяц назад
Kweli yanga tunaishi kauli ya kazi na dawa😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Yanga 🎉🎉🎉
@burudatv751
@burudatv751 Месяц назад
Mimi ni yanga nimejaribu kukaa upande wa simba halafu nimeangalia hii imeniuma saaaana
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Yanga
@AllyMohammed-nv5sj
@AllyMohammed-nv5sj Месяц назад
Amekuja kutalii siyo kwa ajili ya yanga mwangalie anavyowashangaaa
@user-by6ld5wj6h
@user-by6ld5wj6h Месяц назад
Manara yupo Zurich, president hersi yupo na achrafu hakim bongo yan yanga n lidude likubwa sana
@mtoshauri9183
@mtoshauri9183 Месяц назад
Wow❤❤❤
@YassinGofrey
@YassinGofrey Месяц назад
Yanga SC ni Bingwa tena
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 Месяц назад
Embu tuondolee miutopolo yako apa ,,kwani kaifuata yanga hapa au ??? Cheki Ali kamwe anavyozulula na ule mkombe wake Hakimi anamuona uyu jamaa vipi uyu !!
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt Месяц назад
​@@isdorchuvu6280Sasa unaumia nini khaa 😢😅😅😅😅😅 pole Kwan we kusema kolo bingwa vp umezuiliwa 😂😂😂😂😂
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Месяц назад
Bado hujasema Dunduka
@azizambise
@azizambise Месяц назад
Ila Ally Kamwe hapana anajua kukera sana aisee
@JackCherk
@JackCherk Месяц назад
Hakimi kusaini yanga
@DanielSinavangi
@DanielSinavangi Месяц назад
Uongozi Bora katika soka la kisasa😄😄😄🙏
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Alikamwe 🎉🎉🎉
@SussankhanKhan
@SussankhanKhan Месяц назад
💛💛💛💛
@jumashedafa
@jumashedafa Месяц назад
Dogo Ally ngoj cku Rais Hersi apumzik ktk majukum ya kuwa Rais tukupe urais utuzingue maana Rais amekuonesha kila chocho
@allyseba172
@allyseba172 Месяц назад
Ume sema kwel kabisa
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Месяц назад
Kabisa
@MTUMZIMADAWA
@MTUMZIMADAWA Месяц назад
❤❤❤💚💚💚💚💚
@mathiasntalika2900
@mathiasntalika2900 Месяц назад
Ni zaidi ya uzalendo juzi uliitangaza Serengeti na sass unaendelea kutangaza vivutio vingi vya utalii Kwa kuleta watu maarufu. Big up our President for presenting well mama yetu Pres. Dr. Samia in promoting tourism. Keep it up bro.
@wabantuorganization2035
@wabantuorganization2035 Месяц назад
wapeleke nyumba kubwa baba home boy nawaangalia hapa @four season safari lodge serengeti national park
@frankphocus7866
@frankphocus7866 Месяц назад
🎉🎉
@faresmatage7994
@faresmatage7994 Месяц назад
Naona Yanga imekuwa balozi wa utalii hakika yanga ni kweli ina watu # mzee mswahili aka mzee mpili
@malietamaliet
@malietamaliet Месяц назад
makolo wanaleta ukolo hapa ila awajui hii ni faida ya tanzania na sio yanga kueni na akil jmn
@WilliamNoel-e5b
@WilliamNoel-e5b Месяц назад
Mbona hata hilo kombe hajataka kuligusa
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Месяц назад
Daima mbele nyuma mwiko
@user-qg8rp7kl6o
@user-qg8rp7kl6o Месяц назад
Yan ww ndio lais wakaza kuleta mushezanji mkubwa hapa tazania
@AmmyMakita-bt4ip
@AmmyMakita-bt4ip Месяц назад
Anapata hasara SI kamlipia Kila kitu au
@Naomi-jo9tn
@Naomi-jo9tn Месяц назад
💛💚💛💚
@geeasap825
@geeasap825 Месяц назад
Like kama umemuona Nakaaya Sumari🎉
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Месяц назад
Yanga raha bwana Yanga Bingwa tena
@mwanangusana
@mwanangusana Месяц назад
😢
@shabanponera2895
@shabanponera2895 Месяц назад
Atuachie mbinu za kukwepa madanga
@maikoatufigwegemwakapoja8709
@maikoatufigwegemwakapoja8709 Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@aishabakari8040
@aishabakari8040 Месяц назад
🔥🔥🔥🔥
@EnosSimon-wx3ri
@EnosSimon-wx3ri Месяц назад
allikamwe anajipitisha na kombe lake
@user-et8sg4kt2r
@user-et8sg4kt2r Месяц назад
We chizi una wivu utakufa sura ka mavi
@JastinKibona
@JastinKibona Месяц назад
Oya oya oya we mwenye jes nyekund nikilika apo nitakupiga kicha😂😂😂😂😂😂
@JastinKibona
@JastinKibona Месяц назад
Mi uwaga nacheka tu
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 Месяц назад
Sio poa 💚💚💚💛💛💛
@user-ml2fv8lv2n
@user-ml2fv8lv2n Месяц назад
Ila alikamye
@user-yn4di1lj7f
@user-yn4di1lj7f Месяц назад
Yaani sijapata kuona timu ya kishamba Kama yanga sasa icho kikombe cha nn na ashraf 😅😅😅😅😅😅😅 punguzeni ushamba bwanaa yanga
@YusuphSomo
@YusuphSomo Месяц назад
Nice.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Месяц назад
ROYAL TOURS ❤
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Месяц назад
❤❤❤❤❤❤
@user-hh5tp2wr7s
@user-hh5tp2wr7s Месяц назад
Wawooooo
@richardsule4454
@richardsule4454 Месяц назад
Ni kitu kizuri sana kilichofanyika sema huu ni wakati wa wachezaji kusahau mambo ya mpira na ku-refresh mindi,,,,kwenda na makombe mbugani sio brand ila ni ........
Далее
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shorts
00:15
Symmetrical face⁉️🤔 #beauty
00:15
Просмотров 4 млн