Kuna wa2 wanaumia 😂😂😂😂 Hakika engnier kawaingizia selikali pesa unajua xhingapi awo kukaa apa bongo adi waje kuondoka tulio soma chini ya mipela tunajua yanga bingwa adi 230😁🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yanga Taifa Kubwa Africa utake usitake kiuhalisia tu .tuko mbaaaaaaaaaaaali mungu amueke Eng Her na ampe afya njema kila leo jamaa ni mtu wa mpira .Dar Young Africa wala tusiwe na wasi wasi mambo mazuri yanakuja muhimu ibada na kuishabikia timu yetu kwa upendo.
Sipati picha hii connection ya Hakimi kama angeipata Murtaza Ali Mangungu......Mgogoro na kelele za madunduka zingeisha hiyo ni fursa kubwa mno kwa chairman mangungu
Wako wapi vijakazi wa muhindi sisi yanga mashavu yanazidi tu.Kama hivyo prezoooooondanta anakula furaha na Hakimi ni kuwa ji prezoooondanta linafikiria soka tu utaitaka hiyo wana jangwani kwenye field ji prezooo mtubwa mpira hatuna shaka dalili njema alipiga mbonge moja la bao adi raha ni ishara njema Alhamdulillah. All way from Sweden .plz naomba namba ya Eng Hers plz
kama umegundua kitu,raisi wa yanga anajaribu kuwa karibu na jamaa ila jamaa alichochukizwa ni kumletea kombe yaani kumuhusisha na swala la mpira anali yupo mapumzikoni na familia yake....
Embu tuondolee miutopolo yako apa ,,kwani kaifuata yanga hapa au ??? Cheki Ali kamwe anavyozulula na ule mkombe wake Hakimi anamuona uyu jamaa vipi uyu !!
Ni zaidi ya uzalendo juzi uliitangaza Serengeti na sass unaendelea kutangaza vivutio vingi vya utalii Kwa kuleta watu maarufu. Big up our President for presenting well mama yetu Pres. Dr. Samia in promoting tourism. Keep it up bro.
Ni kitu kizuri sana kilichofanyika sema huu ni wakati wa wachezaji kusahau mambo ya mpira na ku-refresh mindi,,,,kwenda na makombe mbugani sio brand ila ni ........