Тёмный

MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA" 

kiswahili Tv
Подписаться 93 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

#Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
#madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
#mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 154   
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 месяца назад
siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili
@AdorophinapKahwa
@AdorophinapKahwa 4 месяца назад
Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 4 месяца назад
Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha. Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake. Si yule aliye Mbauda kule? Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 месяца назад
ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu
@AdorophinapKahwa
@AdorophinapKahwa 4 месяца назад
@@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao
@Mariam99-ld4gw
@Mariam99-ld4gw 4 месяца назад
Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 месяца назад
Kweli kabisa naona hata chalamila kaanzisha but Hana vibe
@robertmahenge3614
@robertmahenge3614 4 месяца назад
Makonda jembe awa wengine wababaishaji tu.
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 4 месяца назад
Ni kweli ,hawana uwezo wamefosiwa tu makonda no jiniasi
@noelbryson7840
@noelbryson7840 4 месяца назад
Kabisa ndugu ..
@husseinshabani3306
@husseinshabani3306 3 месяца назад
Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.
@QasammaMachibya
@QasammaMachibya 4 месяца назад
ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,
@florencejames-jo1cz
@florencejames-jo1cz 4 месяца назад
Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.
@florencejames-jo1cz
@florencejames-jo1cz 4 месяца назад
@@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin
@gasperandrew3719
@gasperandrew3719 2 месяца назад
Mh! Kwahiyo maiki niyakupokezana na mkuu wa wilaya 😂😂😂. Hii nchi hii
@JanetNjovu-e8s
@JanetNjovu-e8s 4 месяца назад
Uko vizuri mkuu
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 4 месяца назад
Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 4 месяца назад
Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 4 месяца назад
Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 4 месяца назад
Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 4 месяца назад
Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 месяца назад
Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 месяца назад
Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 месяца назад
Very true
@hanskitundu874
@hanskitundu874 4 месяца назад
Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao
@justerissaya9165
@justerissaya9165 4 месяца назад
Hawez mrudisha wakat anapewa rusha
@ssalimsalim3864
@ssalimsalim3864 4 месяца назад
Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!
@ludovickbenjamin6104
@ludovickbenjamin6104 4 месяца назад
Inasikitisha sanaa asee, Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 4 месяца назад
Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 4 месяца назад
Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO
@mwajumasakina9599
@mwajumasakina9599 2 месяца назад
Wa china wanajifanya wajeuri sana huku Africa hata kuuwa wanatuuwa yaani ndani ya Congo wanauwa mpaka Raia wa Congo ni kama tumerudi kwenye ukoloni wa mchaina wa Africa mufunguwe macho
@BedaKunguluche
@BedaKunguluche 4 месяца назад
Hii kweli ni Comedy
@ngejejemashubi4213
@ngejejemashubi4213 4 месяца назад
Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 месяца назад
Weka ndani mpuudhi
@billaljuma6297
@billaljuma6297 4 месяца назад
Tapeli huyo mchina
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.
@drtobias_
@drtobias_ 4 месяца назад
Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo
@YunisJerald
@YunisJerald 4 месяца назад
Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 4 месяца назад
Shida ya Wachina ni kamari
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 месяца назад
Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Mchina DADEKI 😂 Jamaa eti siyo Mtu wa Kawaida...😅😅😅 Mchina TAPELI fukuza Huyo Bwege..Tia ndani hata Serikali ya China haitaki wizi.. Afisa uhamiaji mbona umeniangusha Mama yangu unajua mtu kuwa hana Vibali unaongea hadharani hata Haibu huna..? Sasa unafanya Kazi gani..? Siku zote mko wapi..?
@Zubaiba
@Zubaiba 4 месяца назад
Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana
@mohddelo
@mohddelo 4 месяца назад
Safi
@Zubaiba
@Zubaiba 4 месяца назад
Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,
@hassnsalim5156
@hassnsalim5156 4 месяца назад
Wachina wezi tu
@michaelking-s7r
@michaelking-s7r 4 месяца назад
mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 4 месяца назад
DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE
@SaidHassen-gf5tx
@SaidHassen-gf5tx 4 месяца назад
Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
KIUFUPI NI MWIZI TU
@lovenessfracis
@lovenessfracis 4 месяца назад
Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu
@GoodluckKimbe
@GoodluckKimbe 4 месяца назад
Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa
@MathiasFrancis-hl4ph
@MathiasFrancis-hl4ph 4 месяца назад
Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 4 месяца назад
Mchina anaonewa kiboya. Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani. DC fala tu. Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 4 месяца назад
Mchina asikilizwe
@supersoulsupersoul4667
@supersoulsupersoul4667 3 месяца назад
Ana kitu,
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 месяца назад
Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂
@NasraN-hr5uh
@NasraN-hr5uh 4 месяца назад
Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 месяца назад
Mnyakuu tu huyu kelele
@Gamba177
@Gamba177 4 месяца назад
Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 4 месяца назад
Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.
@NuruNswebe
@NuruNswebe 4 месяца назад
Hii kweriiiiii comedy show
@DanielFisoo
@DanielFisoo 4 месяца назад
Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu
@AwadAbedalla
@AwadAbedalla 3 месяца назад
🇪🇸🤔👍👍👍❤❤
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад
INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?
@upgo6112
@upgo6112 4 месяца назад
Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia
@noelbryson7840
@noelbryson7840 4 месяца назад
Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
@asmartonline5030
@asmartonline5030 3 месяца назад
Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 4 месяца назад
Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina
@godlizennassari5525
@godlizennassari5525 3 месяца назад
Uyo mchina Yuko kibaha kwa sasa
@timothbenard8213
@timothbenard8213 4 месяца назад
Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 4 месяца назад
Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa
@sebastianthadeus5270
@sebastianthadeus5270 4 месяца назад
Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 месяца назад
Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine
@mariaikombe7839
@mariaikombe7839 4 месяца назад
Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 4 месяца назад
Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu
@lilianurio9781
@lilianurio9781 4 месяца назад
Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??
@saidmwangasama
@saidmwangasama 4 месяца назад
Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 4 месяца назад
Sukuma ndani huyu . . China's as
@wensislauschimba2792
@wensislauschimba2792 4 месяца назад
Ila Kwa huyo amesingizia mchina
@DenesceFredericks
@DenesceFredericks 4 месяца назад
Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 4 месяца назад
Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Kala russhwa bila shaka.
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 4 месяца назад
Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 3 месяца назад
Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 4 месяца назад
Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela
@fatmamansour676
@fatmamansour676 3 месяца назад
Unyanyasaji Wa tz tu nafanya
@godlizennassari5525
@godlizennassari5525 3 месяца назад
Wachina ni wakumaliza tu
@SylvesterAmbokile-ur2vd
@SylvesterAmbokile-ur2vd 4 месяца назад
Mil 11 kutengeneza subaru?
@SonitajoseDonita-tm5ex
@SonitajoseDonita-tm5ex 4 месяца назад
Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.
@user13375
@user13375 4 месяца назад
Dc😮😮
@CharlesMisungwi-f8t
@CharlesMisungwi-f8t 4 месяца назад
Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 4 месяца назад
Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi
@Malimba_M.L.B
@Malimba_M.L.B Месяц назад
Katuni muhimu mvuluge basi
@phaustinemmao424
@phaustinemmao424 4 месяца назад
Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 4 месяца назад
Mtangazaji ki Swahili jitaid
@mwatelaedward1638
@mwatelaedward1638 4 месяца назад
Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
MCHINA HUYO MWIZI TU USIMTETEE.
@piusnagawantu8475
@piusnagawantu8475 4 месяца назад
Kwanza anatakiwa awekwe ndani. Halafu sheria ifuate mkondo wake. Maamuzi gani hayo wewe mkuu wa wilaya? Haibu tupu.
@Zubaiba
@Zubaiba 4 месяца назад
Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn
@oam14l
@oam14l 4 месяца назад
Mbona kama maigizo?
@nehemiamwailongano2960
@nehemiamwailongano2960 4 месяца назад
Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike
@SylvesterAmbokile-ur2vd
@SylvesterAmbokile-ur2vd 4 месяца назад
Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 4 месяца назад
Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo
@kingkinye1419
@kingkinye1419 4 месяца назад
Anamuiga makonda
@estakapufi7582
@estakapufi7582 4 месяца назад
Mchina anakichwa kama kobe😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 месяца назад
SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 4 месяца назад
Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau
@justerissaya9165
@justerissaya9165 4 месяца назад
Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo
@msafiriomary893
@msafiriomary893 4 месяца назад
Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata
@cleverjesus
@cleverjesus 4 месяца назад
Pilato hi!
@YahayaKishakwi
@YahayaKishakwi 4 месяца назад
Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia
@evidencekangimba1538
@evidencekangimba1538 4 месяца назад
huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo
@nellysukuret9560
@nellysukuret9560 3 месяца назад
Wachina hamnakitu
@nehemiamwailongano2960
@nehemiamwailongano2960 4 месяца назад
Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 4 месяца назад
Na akikimbia je
@melejijohnson3257
@melejijohnson3257 4 месяца назад
Viongozi wamekua waigizaji
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 4 месяца назад
Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake
@AbdulrahimSwedi-ll9ly
@AbdulrahimSwedi-ll9ly 4 месяца назад
mpango was kulipa ndo tunataka
@piusnagawantu8475
@piusnagawantu8475 4 месяца назад
Haya mambo yanafanyika Tanzania tu kwa sababu watanzania tunaonekana wajinga. Serikali yenyewe ndio hivyo ya kubahatisha tu kwa sababu sheria zetu zinachezewa na wageni. Nchi imekuwa jalala tu. Hana vibali lakini yuko na garage. Haibu kwa nchi nzima.
@upgo6112
@upgo6112 4 месяца назад
Eti asurubiwe.
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 4 месяца назад
Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice
@kingkinye1419
@kingkinye1419 4 месяца назад
Mh
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 месяца назад
HIVI WATANZANIA WANAWEZA WAKAFANYA HIVI CHINA NA WASIFUNGWE?..MNAWALEA SANA HAO.
Далее
When Goalkeepers Get Bored 🤯 #3
00:27
Просмотров 2,4 млн
When Goalkeepers Get Bored 🤯 #3
00:27
Просмотров 2,4 млн