Meli vita ya matibabu iitwayo Peace Ark ya Jeshi la Ukombozi la China ipo nchini kutoa huduma kwa wiki nzima ambapo watashirikiana na madaktari bingwa wazawa pamoja na hospitali za ndani ikiwemo Muhimbili, Amana na Mbagala.
Akiipokea meli hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ushirikiano ya miaka 60 ya Tanzania na China pamoja na Maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Wananchi (JWTZ) ambapo zaidi ya madaktari 100 watahudumia watu 600 kwa siku.
✍@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024