Wangapi walioguswa na msuba wa ruge hadi wakaitafuta hii intaview yake baada ya kifo chake leo ndio mara kwanza kuiangalia tujuaneni hapa kwa like zenu bc natuzidi kumuombea boss wa clouds apumzike salama
Huyu ndio boss Ruge anayemulikwa leo hii November 2018. Kwa kweli jamaa ni stadi, mweledi na mwenye maono kwechekweche. Alichokiongoza Mungu hakipotoshwi na mwanadamu. Big up boss Ruge, Mola akutangulie kila khatua. Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. 👏👏👏👍👍💯💯💯👊👊👊👍👍
Nlimjua RUGE wakati wa mgogoro wake na baadhi ya wasanii wa bongo flava kama Commando lkni kifo chake kimenihuzunisha sana alafu nlipoona ona hii interview nmeona RUGE alikua kichwa,maneno anayoyaongea yamejaa hekima na busara.Lala salama RUGE.Poleni ndugu ze2 watanzania kwa msiba huu,sisi KENYA tupo pamoja nanyi
Chaajabu sikuwahi ifatilia haya mahojiano ya ruge na salama, ila sidhan kama kunamtu atatokea na kuja kufanya mema aliyoya fanya huyu ruge, alikuwa mstaarabu na hana kukurupuka hata mala moja maana kila swali aliloulizwa amejibu utazani amekwenda anafaham ataulizwa nini daaaaaah hili ni pengo la karne limetokea. Pumzika kwa aman kaka RUGE mola amekupenda zaindi na alihitaji ufanye uliyoyafanya kaka daaaaaaaaaaaaah nenda bro
Nasikitika kwa sababu na mimi nipo ktk wale waliokuwa wakimpenda ila sikuwahi kusema hilo. Lala salama Ruge, daima utabaki shujaa wa kupigiwa mfano 😭😭🙏🏾
Dah Ruge umetutoka! Lakini namna pekee ya kukuenzi mchango wako kwa Watanzania hasa kwetu sisi kama vijana ni katika kuendeleza matamanio ya kufanyia kazi fursa zinazokuwa mbele yetu kwa manufaa ya kupiga hatua ya kimaendeleo katika ngazi ya kitaifa, kwasababu hakuna mbadala wa maisha ya mtu isipokuwa yeye mtu mwenyewe ndo mbadala wa maisha yake. Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema peponi Amina.
ktk uhai wake nilisikia mengi kuhusu ruge mazuri na mabaya nikawa na mitazamo tofauti juu yake km mwanadam hakua amekamilka hvo kasoro zake wanafaham walio dili nae kwa namna moja au nyingine ila nimetazama maongez yake tofauti kiwemo na hili hapa huyu mtu alikua kichwa si mchezo R.I.P ruge
Kweli brother nilikuwa sikujui ila baada ya umauti wako kukufikia ndio nikajua wewe ni Nani naulikuwa unafanya nini kuelimisha jamiii na kuwatoa watu kimaisha nakuwaonesha mwanga ulikuwa uko sahihi kwakila unacho kifanya nimeamini kweli mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kweli wewe ni mti wenye matunda pumzika kwaaamani brother mungu akulaze Mahala pema peponi Amen. Imeniumiza sana moyo wangu ila tumuachie mungu ndie muweza wa yote.
You are a great leader This is how leaders should do Viongozi wengi wanarushiwa mawe kwa sababu ya kusimamia kile wanachokiamini Sijawahi kukuona hata kwa macho lakini nakutetea kwa kila hali ,in fact you were the best.
2:30 - 2:36 "...wale wanaofanya vizuri wafanikiwe, na ambao hawafanyi vizuri wasifanikiwe. Kwa sababu, that's how business is..." The Entrepreneurial Mindset.
The first guest in Mkasi that talks sense ,he really is very intelligent . Salama I don't think the other 2fit in the interview,I wish it could be just you coz there's no point of keeping people who don't even know what they are asking the guest ,secondly they don't look intelligent enough to be holding the talk show
I thnk salama want those guys to learn how to.. but the good point to crash is for them not to grow up kujua kuswalika hayo maswali.. kuishi maisha ya aina moja miaka yote ni uzembe wa akili. Nazam wamekuwa saiv
The more I listen and see how people are about his death the more I understand then when I see his interview God always take good things 😢😢 you did well sir Ruge
Nashukuru Mungu kanipa nafasi ya kutoa heshima ya mwisho kwa mwili wako kwani uliutendesha kazi kwa umakini na ushujaa mkubwa,nilipokuoana umelala sikuamini sana ila sasa inabidi nikubali japo maumivu yatadumu....Pumzika kwa amani mentor wangu wa fursa #Ruge rest in paradise boss🙏
Yaani baada ya kuiskiliza hii intervew, inaeezekana kabisa huyu kaka kifo chake kuna mkono wa MTU au mikono ya WATU . Hiyo kidney failure inawezekana kabisa SUMU imehusika . Rest in peace RUGE
Nimedhani hivyo pia, huenda kuna mtu au watu wamemwendea pabaya. Wenye nyimbo yao hazikupigwa, kati ya hao watu, amemuua Ruge. Am a Kenyan , watanzania poleni.
Aisee sjawahi kuona ruge u had something special I wish in ur lifetime ningeonana na wewe keep rip ila I will learn u through ur documentaries and interview u had in ur time keep rip again brother ruge
Language tone ya Ruge ndiyo maana wengi hawakuwahi kumuelewa, kumchukulia kwa ubaya na wengine kuona amewakwamisha kimaisha, lkn ukweli ili umjuwe ni mtu wa aina gn lzm kwanza umuelewe ni mtu wa aina gn tz ni wachache sana watu km hawa
Ulizaliwa mwezi Wa 5 Tarehe 1(Moja)Mwaka1970 Umefariki Tarehe 26 February 2019 Siku ya Juma5 Jumatano #PumzikaKwaAmani Nilipata Tarifa Za Kifo Chako Nikiwa Dodoma Tanzania.Mishale Ya Saa3Usku🙏🙏🙏