Тёмный

Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version 

MkasiTV
Подписаться 173 тыс.
Просмотров 532 тыс.
50% 1

Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version

Развлечения

Опубликовано:

 

14 сен 2015

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 468   
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 5 лет назад
Wangapi walioguswa na msuba wa ruge hadi wakaitafuta hii intaview yake baada ya kifo chake leo ndio mara kwanza kuiangalia tujuaneni hapa kwa like zenu bc natuzidi kumuombea boss wa clouds apumzike salama
@farijidee2386
@farijidee2386 5 лет назад
Nipo hapa
@hasnakimaro8494
@hasnakimaro8494 5 лет назад
Am here
@kaiemujaya7697
@kaiemujaya7697 5 лет назад
Believe me, nimeiangalia hii baada ya kifo cha huyu Legend.
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 5 лет назад
Mi hapa nikiwa +966
@stellaloves9879
@stellaloves9879 5 лет назад
Mimi ndio nagalia Leo pumzika kwa Amani nimilia siku zote na sikujui from Kenya but kifo yako imeniuzinisha
@charleswilliam7354
@charleswilliam7354 5 лет назад
Duh! Kumbe ndio maana Clouds imesimama imara kwa muda mrefu. Huyu jamaa alikuwa genius.
@aishasaid6700
@aishasaid6700 5 лет назад
Sichoki kuitazama, Ruge ulikua the best...we're the dust and to the dust we shall return..R.I.P legend😭😭😭
@chibudangote5446
@chibudangote5446 5 лет назад
Watanzania poleni sana kweli mumpoteza mtu wa hekma Sana love from Kenya
@mgishajafali9904
@mgishajafali9904 5 лет назад
Dah
@annethmwasamwene5110
@annethmwasamwene5110 5 лет назад
chibu dangote asante sana 🙏
@emidahayoub8849
@emidahayoub8849 5 лет назад
Ahsanthe saana
@methodmbovella4145
@methodmbovella4145 5 лет назад
Thanks bro
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 лет назад
🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@kaulimbiu181
@kaulimbiu181 5 лет назад
Huyu ndio boss Ruge anayemulikwa leo hii November 2018. Kwa kweli jamaa ni stadi, mweledi na mwenye maono kwechekweche. Alichokiongoza Mungu hakipotoshwi na mwanadamu. Big up boss Ruge, Mola akutangulie kila khatua. Kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. 👏👏👏👍👍💯💯💯👊👊👊👍👍
@catenzeki678
@catenzeki678 5 лет назад
Nlimjua RUGE wakati wa mgogoro wake na baadhi ya wasanii wa bongo flava kama Commando lkni kifo chake kimenihuzunisha sana alafu nlipoona ona hii interview nmeona RUGE alikua kichwa,maneno anayoyaongea yamejaa hekima na busara.Lala salama RUGE.Poleni ndugu ze2 watanzania kwa msiba huu,sisi KENYA tupo pamoja nanyi
@wayfoward2066
@wayfoward2066 5 лет назад
Mkasi ni show kubwa...Trust me itaishi milele, Asante Owners, producers, Directors, wahojiwa wote...
@magymagy2156
@magymagy2156 5 лет назад
Mungu wetu akuweke mahali pema pepono kaka Rg. Ulikuwa mistaharabu, mwenye busara naekima. Akusamehe makosa yako. Pumuzika kwahamani. Amem
@bensonfikirini4112
@bensonfikirini4112 5 лет назад
Chaajabu sikuwahi ifatilia haya mahojiano ya ruge na salama, ila sidhan kama kunamtu atatokea na kuja kufanya mema aliyoya fanya huyu ruge, alikuwa mstaarabu na hana kukurupuka hata mala moja maana kila swali aliloulizwa amejibu utazani amekwenda anafaham ataulizwa nini daaaaaah hili ni pengo la karne limetokea. Pumzika kwa aman kaka RUGE mola amekupenda zaindi na alihitaji ufanye uliyoyafanya kaka daaaaaaaaaaaaah nenda bro
@egattamkaima676
@egattamkaima676 5 лет назад
R.I.p Ruge unaonyesha kias gan akili yko imekomaa nenda baba
@hameedmbogo3633
@hameedmbogo3633 5 лет назад
R.i.p wat a humble guy polen tz love fro Kenya
@fredrickmathias6478
@fredrickmathias6478 5 лет назад
Eti leo haongei hya tena jmn loh!!inauma aisee Mungu tusaidie na tupe maono mazuri pia
@hanifakimaro2179
@hanifakimaro2179 5 лет назад
Nasikitika kwa sababu na mimi nipo ktk wale waliokuwa wakimpenda ila sikuwahi kusema hilo. Lala salama Ruge, daima utabaki shujaa wa kupigiwa mfano 😭😭🙏🏾
@agesag.m2476
@agesag.m2476 4 года назад
This Guy Ruge is very good in answering questions in a better and composed manner....RIP Bro.
@charlesngallaba9868
@charlesngallaba9868 5 лет назад
Ruge kila la kheri Mungu akupumzishe baada ya shida na tabu za hapa Duniani...we'll always remember you..
@HenriHSP
@HenriHSP 5 лет назад
This guy is a genius. RIP Ambwene na Salama Rudi kwenye mkasi please. We need it . Is very good contents
@barakamathias3903
@barakamathias3903 5 лет назад
Duh r.I.p bro
@SED_78TV
@SED_78TV 5 лет назад
Dah Ruge umetutoka! Lakini namna pekee ya kukuenzi mchango wako kwa Watanzania hasa kwetu sisi kama vijana ni katika kuendeleza matamanio ya kufanyia kazi fursa zinazokuwa mbele yetu kwa manufaa ya kupiga hatua ya kimaendeleo katika ngazi ya kitaifa, kwasababu hakuna mbadala wa maisha ya mtu isipokuwa yeye mtu mwenyewe ndo mbadala wa maisha yake. Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho ya Marehemu mahali pema peponi Amina.
@seifmohamedseif9384
@seifmohamedseif9384 5 лет назад
ktk uhai wake nilisikia mengi kuhusu ruge mazuri na mabaya nikawa na mitazamo tofauti juu yake km mwanadam hakua amekamilka hvo kasoro zake wanafaham walio dili nae kwa namna moja au nyingine ila nimetazama maongez yake tofauti kiwemo na hili hapa huyu mtu alikua kichwa si mchezo R.I.P ruge
@oscarmakumbuli1592
@oscarmakumbuli1592 4 года назад
Duuuuuuh genious ruge umemuweza salama mpk anaishiwa maswali
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 лет назад
Tatizo la wasanii wa Tanzania hawataki kuambia ukweli ila Ruge alikuwa mkweli sio mnafiki Innalillah wainalillah rajiun Ruge
@zaynsalma3466
@zaynsalma3466 5 лет назад
Ukipanda Muhogo Utavuna Muhogo Ila Ukizika Mtu Harudi Tena 😭😭😭😭Udogo Ulokula Wewe Baba 😭Pumzika Salam #Ruge Mbele Yako nyuma yetu #Baba 🙏🙏🙏🙏
@mshamsan4338
@mshamsan4338 4 года назад
Zayn Salma hujambo wewe zayna
@irenenguta2893
@irenenguta2893 5 лет назад
I can listen to him 1000 times.cool,calm and collected RIP Ruge
@mashakimaro3890
@mashakimaro3890 5 лет назад
Nitakuenzi daima ruge your my hero Mungu akulaze mahala pema peponi sitaogopa chochote Mungu akusamehe makosa yako yote utaishi milele
@jovinmutakumwa9611
@jovinmutakumwa9611 2 года назад
Kama umeangalia maojino haya Ya Ruge na Salama baada ya Manara kuibukia Yanga gonga like Twende! So Sad 😭 Pumzika kwa Amani Brother Ruge.
@stellaloves9879
@stellaloves9879 5 лет назад
Pumzika kwa Amani Ruge kumbe ulikuwa mwenye hekima Sana..kesho tunasherekea kama ulivyo Sema siku ukitoweka tusherekee.. Rip
@ahmedalwy
@ahmedalwy 5 лет назад
Ruge is talking facts ! mungu amlaze pahali pema peponi.
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 5 лет назад
Pumzika kwa amani Boss Ruge... Tanzania tumepoteza kiungo!
@abdulmshana7708
@abdulmshana7708 8 лет назад
Ruge ni mstaraab sana na ana hekima kweli....namkubali sana huyu jamaa .....good job mkasi
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 лет назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QFxqqJOO9lA.html
@idrathrubagumisa1485
@idrathrubagumisa1485 5 лет назад
abdul mshana rip ruge mutahaba mbele yetu nyuma yako pumzika Kwa amani
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Kweli kabisa , apunzike kwa aman
@gloriousn6425
@gloriousn6425 5 лет назад
I am impressed hukusubiri mtu afe ndo umsifie,you are one in a millions brothers
@stephanojohn5317
@stephanojohn5317 5 лет назад
Kweli brother nilikuwa sikujui ila baada ya umauti wako kukufikia ndio nikajua wewe ni Nani naulikuwa unafanya nini kuelimisha jamiii na kuwatoa watu kimaisha nakuwaonesha mwanga ulikuwa uko sahihi kwakila unacho kifanya nimeamini kweli mti wenye matunda haukosi kupigwa mawe kweli wewe ni mti wenye matunda pumzika kwaaamani brother mungu akulaze Mahala pema peponi Amen. Imeniumiza sana moyo wangu ila tumuachie mungu ndie muweza wa yote.
@philipmchina6919
@philipmchina6919 5 лет назад
We missing you Ruge world 🌎...never happen again RIP_ruge
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 5 лет назад
Ruge umelala .lala baba tutaonana Mbinguni.kazi uloifanya duniani inaonekana
@kingkevynshaphyck3963
@kingkevynshaphyck3963 5 лет назад
You know what bro u was a hero R I P legend
@elizabethmbena8174
@elizabethmbena8174 5 лет назад
pole sana rungu.mungu haiweke roho yako peponi kaka.mbele yako nyuma yetu
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 5 лет назад
Mwanadamu kukubalika ni kazi sana hasa akiwa bado hai ila akifa utasikia sifa zake.ukweri luge ni greet thinker
@HamiduChamboko
@HamiduChamboko 5 лет назад
safi Sana unaconvert negative Kuwa positive ..R. I. P ruge Leo ndio nimekusoma
@kamchapelukas3223
@kamchapelukas3223 5 лет назад
Kama umejuwa leo hii ruge hatupo nae
@travelahmbowe437
@travelahmbowe437 5 лет назад
Dah na kwel ametangulia
@joelmlavi400
@joelmlavi400 5 лет назад
Hakuna alojua miaka minne kasoro iliyokuja mbele huyu mwamba tutampteza.. R.i.p Ruge😢😢
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 лет назад
Deep explanation or documentation is needed on ugonjwa wa ruge mpk kupelekea kifo,,pumzeka kwa amani genius,ur legacy will continue !
@ellyjoshua9337
@ellyjoshua9337 4 года назад
R.i.p. Ruge mutahaba
@merisangoda7273
@merisangoda7273 5 лет назад
Dah jamn anavo sikiliza swar kwanza alaf anatzama juu alaf anajib ddah hakika kila mtu ana asiri yake yu were genious bro r.i.p
@ewhite2806
@ewhite2806 5 лет назад
Dah clouds imepoteza jambo, ooh hapana Tz tumepoteza mtu jamaniii no no no Dunia imepoteza kichwa yah yah that's right Dunia imepoteza kichwa.
@gabrielymathias5516
@gabrielymathias5516 5 лет назад
poleni
@adinanibongebonge1552
@adinanibongebonge1552 5 лет назад
Malehem hana makosa
@happypaul8803
@happypaul8803 5 лет назад
Mungu akupe maisha mema huko ulikuko enda kaka njia ya wengi
@mabroukabeid148
@mabroukabeid148 5 лет назад
Dah hii show Kali sana Rais atakae kuja kama hata tambua mchango wa wasanii atakua ameingia chaka.
@sophieaden5367
@sophieaden5367 5 лет назад
Mstaarabu sana, mungu ailaze roho yake pema peponi
@idrathrubagumisa1485
@idrathrubagumisa1485 5 лет назад
Bwana ametoa na ametwaa jina lake lihimidiwe amen pumzika Kwa amani Ruge mutahaba
@jacklinevosevwa9859
@jacklinevosevwa9859 5 лет назад
Ruge alikuwa mpole sana Rip ruge poleni sana watanzania am from kenya
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 5 лет назад
You are a great leader This is how leaders should do Viongozi wengi wanarushiwa mawe kwa sababu ya kusimamia kile wanachokiamini Sijawahi kukuona hata kwa macho lakini nakutetea kwa kila hali ,in fact you were the best.
@kimjisena45
@kimjisena45 4 года назад
2:30 - 2:36 "...wale wanaofanya vizuri wafanikiwe, na ambao hawafanyi vizuri wasifanikiwe. Kwa sababu, that's how business is..." The Entrepreneurial Mindset.
@clararaphael6142
@clararaphael6142 4 года назад
Yule mtu kati ya watu mia ndo alikuwa huyu,mwenye HEKIMA ,asokurupuka mtulivu na mwenye heshima ,, dah we will miss u bro,RIP Ruge
@marycelineevergreen9257
@marycelineevergreen9257 8 лет назад
yaah tusijaji sana watu bila kuwafahamu au vtu bila kuvijua yes maelezo mazuri Ruge.
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 лет назад
Yani marehemu angekuwa Raisi nchi ingekuwa hakuna wazururaji Rip Ruge tunaangalia intevew zako tunakupenda kaka
@watotowamungubyfreconicide1505
Watching again today 15th Nov 2018,learning a lot from this Mastermind.
@eliassiki6758
@eliassiki6758 5 лет назад
Kma umesikia mpanga rizk n mwenyez MUNGU pia siwez kumshusha wala kumpandisha mtu #27:7. R.i.p master mind
@aminakazogolo9914
@aminakazogolo9914 5 лет назад
Rest in paradise Ruge🙏You were the hero 100%
@tuntufyemwakalukwa1704
@tuntufyemwakalukwa1704 5 лет назад
Huyu jamaa levo nyingine tumjue tumtambue tumuenz
@laurenciaenos1522
@laurenciaenos1522 5 лет назад
Ni haki barnaba alie kumbe alikuwa kipenzi chako
@mudrickbarton8911
@mudrickbarton8911 6 лет назад
yani huyu jamaa sichokagi kumsikilza anajua sana kujibu maswali
@rahmasalum6420
@rahmasalum6420 8 лет назад
The first guest in Mkasi that talks sense ,he really is very intelligent . Salama I don't think the other 2fit in the interview,I wish it could be just you coz there's no point of keeping people who don't even know what they are asking the guest ,secondly they don't look intelligent enough to be holding the talk show
@joelmlavi400
@joelmlavi400 5 лет назад
I thnk salama want those guys to learn how to.. but the good point to crash is for them not to grow up kujua kuswalika hayo maswali.. kuishi maisha ya aina moja miaka yote ni uzembe wa akili. Nazam wamekuwa saiv
@halemamohammed2381
@halemamohammed2381 5 лет назад
Ulikua kichwa sana unaona mbali kweli tumepoteza MTU muhimu Na halafu mti wenye matunda ndio hupigwa mawe redio yako inafanya vizur
@pinelaitayok1187
@pinelaitayok1187 5 лет назад
Pumzika kwa amani Baba forever in our heart....
@fatmaalmas4782
@fatmaalmas4782 5 лет назад
Daaaah!, M'mungu akujaalie kauli thabiti.🙏
@evemurugi3399
@evemurugi3399 5 лет назад
The more I listen and see how people are about his death the more I understand then when I see his interview God always take good things 😢😢 you did well sir Ruge
@aksamnyamazi7650
@aksamnyamazi7650 5 лет назад
Duuuuu kifo hichi bwana Mungu tusaidie sana...R.I.P RUGE
@annethmwasamwene5110
@annethmwasamwene5110 5 лет назад
Nashukuru Mungu kanipa nafasi ya kutoa heshima ya mwisho kwa mwili wako kwani uliutendesha kazi kwa umakini na ushujaa mkubwa,nilipokuoana umelala sikuamini sana ila sasa inabidi nikubali japo maumivu yatadumu....Pumzika kwa amani mentor wangu wa fursa #Ruge rest in paradise boss🙏
@halimaramadhanimwevi2472
@halimaramadhanimwevi2472 5 лет назад
Yaani baada ya kuiskiliza hii intervew, inaeezekana kabisa huyu kaka kifo chake kuna mkono wa MTU au mikono ya WATU . Hiyo kidney failure inawezekana kabisa SUMU imehusika . Rest in peace RUGE
@beatriceconsolataachiengan5979
Nimedhani hivyo pia, huenda kuna mtu au watu wamemwendea pabaya. Wenye nyimbo yao hazikupigwa, kati ya hao watu, amemuua Ruge. Am a Kenyan , watanzania poleni.
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 5 лет назад
nikwel ata mie naisi ivy ivy wala s wewe t ila inasikitisha ila akun njia ten
@velmaagwona1945
@velmaagwona1945 5 лет назад
Kwa kweli haikosi kaekewa sumu inauma jamani
@jamilamasoud1216
@jamilamasoud1216 4 года назад
Kumbe nawewe umeona ndugu yangu kakika utafutaji kazi sana
@Majengojr
@Majengojr 5 лет назад
Huyu alikuwa MTU mwenye hekima sana na hana haraka wala temper.
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 5 лет назад
Oh Ruge tutakukumbuka sana lala salama Gunious amen
@michaelkigaraba5784
@michaelkigaraba5784 5 лет назад
Aisee sjawahi kuona ruge u had something special I wish in ur lifetime ningeonana na wewe keep rip ila I will learn u through ur documentaries and interview u had in ur time keep rip again brother ruge
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
Daaahh kwel nikitazama interview za ruge sichoki kulia r.i.p ruge😢😢😢😢😢
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 лет назад
Na uku upo shoga kma mimi walai huyu baba ametuliza kweli
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
@@asiazuberi9722 acha ty yan acha apumzike kwa aman
@josephatmatiku2358
@josephatmatiku2358 5 лет назад
queen gee maskitiko makubw
@saidangel8958
@saidangel8958 5 лет назад
Eti leo baba umelala usingizi wa milele bosi ww haya bwana tumepoteza jembe aisee inauma sana
@mirriamwille9677
@mirriamwille9677 5 лет назад
Yaaani mungu achagui,kila roho itaonja mauti inauma
@secylovenessadaa4245
@secylovenessadaa4245 5 лет назад
Rip brother, Mungu akulaze pema peponi Amen and Amen
@aboubakarkisuju6002
@aboubakarkisuju6002 5 лет назад
My god tumempoteza mtu muhim sana.kudadeki
@FRODOLLASSEAN
@FRODOLLASSEAN 5 лет назад
Ruge mungu kulaze maali unapostahili kwa matendo yako
@maxlupapa4468
@maxlupapa4468 5 лет назад
akili imeondoka jamani zimebaki pumba tu
@kelvinmichae728
@kelvinmichae728 5 лет назад
Yaani sichoki kuangalia hii video RIP RUGE.
@roselaurence1093
@roselaurence1093 5 лет назад
Hivi huyu jamaa aliumwa nini hicho kisichotibika?! Oooh Lord😭😭😭😭
@yousupjabri7304
@yousupjabri7304 5 лет назад
Hahaaa wew nae unakufulu mungu tena mwenyewe kesha sema hakuna k2 cha bahat mbaya...
@gracerosi6179
@gracerosi6179 5 лет назад
Eti Kama nifigo ua inawekwa nyingine na Kama niukimwi unadozi aktaka kufa anakatka lkn huyu kaugua miezi 8 duu wabaya watu
@alidamgeni7051
@alidamgeni7051 5 лет назад
Rose Laurence hujui kwamba mwanadam umeumbwa kwa udongo na mavumbini utarudi basi wakati wake umefika
@heriswidalyaunga5491
@heriswidalyaunga5491 8 лет назад
namkubali huyu kaka hana roho mbaya ila watu wanamtafsir vibaya
@davidbedda5007
@davidbedda5007 5 лет назад
wanaokupenda hawasemi na wanaokuchukia hawakujui
@abroadconnectededucationlt5435
''mti wenye matunda hupigwa mawe'' ruge
@merryn4891
@merryn4891 5 лет назад
R,I,P Ruge mwenyezi mungu akupokee
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 лет назад
Magu hebu njoo uangalie hii video upate shule ya uchumi.This man was more than geneous
@benedictrkorosso153
@benedictrkorosso153 5 лет назад
I didn't know this guy before R.I.P but he was a man of vision, actually we as a country have lost an asset.
@zandonaabrondi1906
@zandonaabrondi1906 4 года назад
Punzika kwa amani
@zandonaabrondi1906
@zandonaabrondi1906 4 года назад
Tutakukumbuka daima milele
@maryngotho3614
@maryngotho3614 5 лет назад
He seems he was a very humble guy,may he rest in peace
@annethmwasamwene5110
@annethmwasamwene5110 5 лет назад
Mary Ngotho he was more than that
@mwakahassan8742
@mwakahassan8742 5 лет назад
Mungu akusameh makosa yako yaan hy mkka kapole sanaa na ana hekma sanaa
@doctorsixbert3510
@doctorsixbert3510 5 лет назад
daaaah kwel ruge ni shujaa.....
@hajimjaja1163
@hajimjaja1163 5 лет назад
Language tone ya Ruge ndiyo maana wengi hawakuwahi kumuelewa, kumchukulia kwa ubaya na wengine kuona amewakwamisha kimaisha, lkn ukweli ili umjuwe ni mtu wa aina gn lzm kwanza umuelewe ni mtu wa aina gn tz ni wachache sana watu km hawa
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 5 лет назад
He was a true genius, R.I.P @Rugemutahaba
@kituyekituye1101
@kituyekituye1101 5 лет назад
R.I.P RUGEMANZIRA@Jasiri muongoza njia
@kaulimbiu181
@kaulimbiu181 5 лет назад
Rest in peace Boss Ruge 😭😭😭
@safari23
@safari23 5 лет назад
RIP bwana Ruge...you could have been a great philosopher. I liked your perception towards life.
@vicentpalingo5808
@vicentpalingo5808 8 лет назад
"Kumshusha mtu yeyote alioko juu thats true" huo ni utamaduni wetu asee.....!
@shekhekhandereizer559
@shekhekhandereizer559 5 лет назад
daaaaaa jamaa kama yupo hai ndio anaongea live kumbe daaaaaaa
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 лет назад
Msiba umenirudisha hapa RIP RUGE
@victoriadenis1694
@victoriadenis1694 5 лет назад
Yan sauti yake nzuri ya hakima Na busara...RIP boss ruge
@geoffreymlowe7190
@geoffreymlowe7190 7 лет назад
majibu ya jamaa poa sana uwazi ktk kila jambo kwa kadri mtu ajisikiavyo ni safi sana.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 лет назад
Ruge ana akili na busara, mti wenye matunda hupigwa mawe siku zote
@kyannickk2be
@kyannickk2be 8 лет назад
+Kapulo Chansa hahah kumbe naye kaandika hiyo hiyo mti wenye matunda kama niliota hahaha
@zuwenazuu1367
@zuwenazuu1367 7 лет назад
Kapulo Chansa ..
@bayudacamp7217
@bayudacamp7217 5 лет назад
Jamani mpaka mtu afe ndio tumsifie ahiisee noma sana
@jandaboytztz6314
@jandaboytztz6314 5 лет назад
Ulizaliwa mwezi Wa 5 Tarehe 1(Moja)Mwaka1970 Umefariki Tarehe 26 February 2019 Siku ya Juma5 Jumatano #PumzikaKwaAmani Nilipata Tarifa Za Kifo Chako Nikiwa Dodoma Tanzania.Mishale Ya Saa3Usku🙏🙏🙏
@latifasilaji7484
@latifasilaji7484 5 лет назад
Dah i don beleive kwamba kuna kitu cha bahat mbaya in life...RIP
@mariej6962
@mariej6962 5 лет назад
Sasa minyimbo mibaya itaanza kusikika na kupoteza ushindani wa muziki Tanzania
@benoitniyukuri4959
@benoitniyukuri4959 5 лет назад
RIP legend Ruge
@kinotasontravel3883
@kinotasontravel3883 5 лет назад
Ulikuwa mkweli boss Ruge
@leolaswai2762
@leolaswai2762 5 лет назад
hakuna kitu chochote cha bahati mbaya. "Ruge " kama una Bahati mbaya jua huna Bahati kabisa "Hamis mwinjuma " big points.
@michaelkigaraba5784
@michaelkigaraba5784 5 лет назад
Rip ruge wewe kweli ni genius aisee
@athumanikaroyo5999
@athumanikaroyo5999 5 лет назад
Jamaa anaakili sanaàaaa duuu
Далее
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
Просмотров 273 тыс.
ПАПА ГАМБУРГЕР
00:13
Просмотров 163 тыс.
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
Просмотров 1 млн
Mkasi - SO5E12 With Majuto
28:26
Просмотров 690 тыс.
Mkasi - SO5E03 With P Funk
29:34
Просмотров 150 тыс.
ХАЛТУРЩИК
0:23
Просмотров 4,6 млн