Kaimu Meneja wa Wakala mkoa wa Dar es Salaam Bw. Joseph Matara na Afisa Utawala Mwandamizi Bi. Saada Kangeta wakielezea kuhusu mfumo wa kielektroniki wa "GPSA Integrated Management Information System (GIMIS)" na namna mfumo huu utakavyoleta mapinduzi katika utoaji wa huduma za Wakala kidijitali popote ulipo.
Maboresho haya ni sehemu ya mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali ya awamu ya sita ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
#samia365 #kaziiendelee #GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali
22 мар 2022