Sasa mtoto na binti wa kazi walikuwa na kosa gani jamani😢ila hii Dunia🙌mume wa marehemu sijui ana hali gani,na wazazi wa binti wa kazi,Mungu usiache waliofanya huu unyama waishi kwa amani,Mungu awatie nguvu ndugu wote
Wao wapo kulinda Mnyika kanisani, na wanasema wanaitelejensia za kujua mikutano ya Chadema na kila kinachoendelea sasa wanaulizia nini sisi raia wanatuwinda na kutuswaga
Uchunguzi uanzie kazini kwake huko kwenye mahesabu je kamkagua nani?au kuna biashara gani kafanya na mtu ?.Pia atafutwe Mama wa huyo Mtoto aeleze ilikuwaje Baba akawa na mfanyakazi wa ndani na Mtoto tu ?.Je hawapo pamoja ?Je analolote analojua kuhusu maisha ya Marehemu?.
Unaelewa vzr ndugu...alifariki ni Jonaisi ambae ni mama na mtoto wake pamoja na dada wa kazi baba au Mume yeye alikua Yuko dar kwaiyo dar wanamji na huko wanamji kwaiyo Alie fariki ni mwanamke