Sisi hilo bunge hata huwa hatulioni tunawasubiri kwenye kampeni jimbo lako lina majanga una kazana kuangalia mavazi kama alikukataa ndo uanze kutusumbulia mbunge wetu na ukome
Mbona we dada mtangazaji unabishana kwenye Jambo ambalo likowazi? Unakua Kama unavijinasaba vya ukahaba. Maana hoja ilitolewa bungeni na ikaonekana nihoja kamili akatolewa nje. Sasa unabishana Nini?
Haswaaa? Waambie dada yangu. Maana wengi hawajielewi. Mbunge nikioo Cha jamii. Sasa anapoonyesha fasheni bungeni anaaibisha bunge, na kutia doa Jimbo likomchagua. Nikama Jimbo zima limekosa mtu wakuwakilisha Jimbo!! Napia pale bungeni wapo watu wazima wengi, Kama alikua kaonewa wangepinga. Lakini spika baada yakumtoa kauliza kunahoja kupinga uamuzi wakumtoa? Wakasema hakuna. Sasa ukiona vimtu huku mtaani vinatetea, unajua niwalewale asili ya ukahaba. Hongera Sana dada kwa mchango wako wakuelimisha jamii. Safisana Amina.
huyo mbunge hana vitu vya maana vyakuchangia bungeni hadi anaanza kukagua mavaz ya watu vazi zur halina shida umemzalilisha bule dada wa watu halaf huna busara kabisa huyo kama amekosea ungemtmia mbunge mwenzie wakike amuelimishe cyo kulopoka bungen dunia nzima inafuatilia bunge mzee umechemka
Amekosea sana aombe radhi huyo mbunge tena kama alivyolopoka bungen huyu mzee amenichefua kama amemdhalilisha dada yangu ki ukweli spika wa bunge ana busara sn mungu akubaliki ndungai
Wewe nimiongoni mwao Nini? Mbona unamdomo mchafu hivyo? Huoni aibu kusema mzee Kama Yule eti amemtongoza? Unaongeanini wewe? Elewa bungeni sio club. Na mbunge nimuwakilishi wa wananchi. Jimbo haliwezi kuwakilisha na mtu mwenye mavazi yasiyostaha. Na bungeni sio eneo lakuonyesha fasheni. Kama mtu anavijinasaba vyakikahaba bungeni sio mahalapake. Inafaa kutafakari kabla yakuamua. Kwahiyo usipotoshe jamii, kusema kwamba kaonewa. Elewa pale wamo watu wazima wenzie wengi, Kama angeonewa hojahiyo ingepingwa palepale. Lakini kitendo Cha wote kukubali kua hajavaa kwa staha atoke akabadili nguo niishara kua wengi waliona baadhi ya wanawake hawajimbui, wanatia aibu na kutia doa bunge. Ndomana wote wakasapoti atoke, sasawewe ninani mtaani upinge? Elimika mwanamke.
@@azizahamisi7349 aziza kua muelewa. Bungeni sio club. Wala sio eneo la kujionyesha maungo au kuonyesha fasheni. Wewe Ni mwanamke gani usiyeona haya kwa uovu huu? Yani wataka kusema bunge lote lililoridhia atoke naspika kumtoa niwajinga, wewe na yeye, nawote wanaomtetea ndo werevu? Elimikeni wanawake, kujionyesha maungo sio kupendeza nikujidhalilisha. Nawala hakuna mwanaume anayevutiwa na mwanamke wahivyo. Sanasana walevi, wahuni, ndo wanavutiwa na vitendohivyo. Lakini watu makini wanapenda watu makini wanaojitambua. Kwahiyo aziza usipotoshe jamii kuwaza kua alikuasahii kuvaa vile bungeni. Hatakana alishazoea kuvaa nguo zakuonyesha mapaja ajue kua mbunge Ni kazi nyingine iliyotukuka. Lazima abadilike. Lasivyo aache ubunge, ajiunge na watu wa fasheni..
@@azizahamisi7349 aziza muhimu hapa tusaidiane kuelimishana BWANA tusipotoshane. Hatawewe sidhani Kama Mwanao akija na mchumba kavaa kichupi, au kisuruali Cha kikahaba mbele ya wakwe utajisikia vizuri. Bilashaka utamkanya Mwanao kua huyo nikrukanjia aachane naye. Sasa elewa ndohaya yamekemewa na bunge. Ili watoto wetu wajue mavazi yenye staha wasije kukosa waume sahihi. Maana haiba ya mtu inapimwa kwenye muonekano wake, yakiwemo mavazi. Kwahiyo nimuhimu Sana wanawake mjitambue mjue ninyi ndo mnaotegemewa kujenga jamii yenye maadili. Malezi mema nk. Sasa ukimuona mama au mwanamke kavaa vijinguo vya ajabu kwakweli nijanga la taifa, maana watoto wataiga mulemule. Namwisho tutakua najamii yenye asiliyakuzimu