We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa
Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.
Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?
Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.
Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa. Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote. Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya. Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea
Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho
Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.
Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa
Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo
Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?
@@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani
Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa @@abednego3876
Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!
Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.
Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni
Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.
Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa
Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.
Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa
TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua. Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili??? Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi