Тёмный

"KARIAKOO KUNA SIASA, NILITUMA TIMU KWA SIRI" RAIS SAMIA AFICHUA YA KARIAKOO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 37 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@MiwagoTz
@MiwagoTz 3 дня назад
"Nenda"Mama Hongera Kazi iendelee.. Maendelea Daima,utaratibu ukifuatwa mambo yataenda Vizuri..Kariakooo❤❤❤❤❤
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 3 дня назад
Ataki machawa
@JafariHamisi-gu4ef
@JafariHamisi-gu4ef 3 дня назад
Hongera sana raisi wetu samia
@RaT8493
@RaT8493 3 дня назад
We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa
@mussamsakamali3930
@mussamsakamali3930 3 дня назад
Mama komaa hivyo hivyo.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 дня назад
Hongera sana Raisi wetu
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg 10 часов назад
Mama Tuko nyuma yako tunakuombea ila pia jiombee mwenyewe kesha ukiomba usiingie majaribuni.
@OmallyMkinde
@OmallyMkinde День назад
Kwa tuliokuelewa mama❤ kazi iendelee💯
@SelemanAlly-lz4sb
@SelemanAlly-lz4sb 3 дня назад
Hongera mama 2025 ni wwe
@lilangasayi1689
@lilangasayi1689 3 дня назад
Hao watu uliowateua wakusaidie ndiyo hao wanaofanya wananchi wakuchukie wewe kutokana na utendaji wao mbovu,weka sahihi
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 3 дня назад
Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini
@user-hd5bg8qw1b
@user-hd5bg8qw1b 2 дня назад
SIKUHIZI HAWATUMBULIWE BALI WANAHAMISHWA,VIVA JPM JEMBE LA ULIMWENGU
@BartonMwakyejo
@BartonMwakyejo 3 дня назад
Madai yao mbona yalikuwa waz siasa ipo wapi
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 3 дня назад
@@BartonMwakyejo cheif b yeye ndio anatuletea siasa
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
@@BartonMwakyejo kwani ww hujui kua kariakoo hawatoi risit Sawa wanaandika bei ndogo
@MickyMgeri
@MickyMgeri 3 дня назад
Kkoo kuna biashara hakuna siasa nyoosha maelezo,chukua hatua za msingi sio bla bla.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 дня назад
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 дня назад
Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.
@mufaddalmoawalla8522
@mufaddalmoawalla8522 2 дня назад
Ahsante sana mama,hongera sana sasa tutukuwa n uhuru tulikuwa kama tumefungwa.jela
@RamadhaniMachenje
@RamadhaniMachenje День назад
Safi sana mama yetu wa taifa
@nickson3473
@nickson3473 3 дня назад
GEN Z WAKIAMKA UTAKOMA , OLD BRAINS CAN NOT MATCH NEW IDEAS AND CAN NOT CHALLENGE YOUNG BRAINS
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 3 дня назад
Hakuna kwetu gen z
@DewGroupTech
@DewGroupTech 3 дня назад
K​@@alzawahirabdallah2299
@HASASON
@HASASON 2 дня назад
Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?
@davidrweyemamu938
@davidrweyemamu938 2 дня назад
Ahsante sana Mheshimiwa rais hili nilishauri muda mrefu kuhusu wamachinga kuuza bidhaa za wenye maduka makubwa ili kukwepa kodi!
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 3 дня назад
Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 3 дня назад
Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa. Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote. Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya. Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea
@saeedally268
@saeedally268 3 дня назад
Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 дня назад
Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.
@magorymara5515
@magorymara5515 3 дня назад
Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
Elewa anachoongea ndio otoe comment, hajakataza wageni kariakoo
@imallya6513
@imallya6513 3 дня назад
Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo
@Worldunite
@Worldunite 3 дня назад
Siku hizi watching,wadosi walishapitwa na wakati
@user-df7xo5nu9z
@user-df7xo5nu9z 3 дня назад
Kwakwel jafo yuko vizr sbb utendaj wake ukoje tunaamini hili ni jembe na atamaliza mzozo
@AwardHakimu
@AwardHakimu 3 дня назад
Binafsi namkubali hanaga sifa sifa za kijinga au mihemko
@russia1253
@russia1253 3 дня назад
😮 mama tuma watu wakanunue vitu usikie kama awaja kamatwa na Tra nakuwaambia risiti azitoshi 😢 kenge hao
@apolinarymboya3231
@apolinarymboya3231 3 дня назад
Kweli mama machinga alipi.kodi afu wanazuiya walipa kodi kufanya kazi wakijengewa machinga complex akakai.sasa wakionekana kariakoo ata mikowani wamejazana barabarani ushuru awalipi wengine wanalipa ushuru halmashauri ikayazingatiye piya mama❤
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 3 дня назад
Hakuna siasa mama kwani ukweli ukowazii
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?
@bahatielias6443
@bahatielias6443 3 дня назад
​@@ShesheJahshlazima wafanye hivo bcz ya utitiri wa Kodi,wewe simfanya biashara hivo hujui vingi
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
@@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani
@birianination7097
@birianination7097 3 дня назад
​@@bahatielias6443 Utitiri gani, uwizi tuu
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 2 дня назад
@@ShesheJahsh HII YOTE INATOKANA NA KUWA KODI KUWA NYINGI KODI HAIANGALII FAIDA INAANGALIA MAUZO
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye 3 дня назад
Machinga kazi munayo mamae
@khamishemedi8517
@khamishemedi8517 3 дня назад
MAMA Allah akulinde unajitahidi kuweka sawa but wachache wenye kuelewa unachokusudia kwenye taifa letu
@abednego3876
@abednego3876 3 дня назад
Kwa lipi hasa!
@SuleimanMussa-x5i
@SuleimanMussa-x5i День назад
Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa ​@@abednego3876
@Nijuzetzdigital
@Nijuzetzdigital День назад
hakuna mfanyabiashara anaegoma akiwa hajui kitu kwann anagoma
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 2 дня назад
Mama uyo wazili wako anaetumia karolaiti ndo anazingua;
@hashimuuhehwa1320
@hashimuuhehwa1320 3 дня назад
Huyu mtu Urais sio saizi yake kabisa 😮😮
@robertzingu9889
@robertzingu9889 3 дня назад
Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!
@abednego3876
@abednego3876 3 дня назад
Kwaio kariakoo watu wanagoma hawajui wanagoma nini ?? Mungu wangu 😅😅😅
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 дня назад
SASA MAMA NAKUELEWA KUNA WAHUNI WANATAFUTA PA KUTOKEA, , MIMI KADI YANGU NAITUNZA
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 дня назад
😂😂😂watanzania hamnaga umoja masikini yooooh wenzenu wame wauza😂
@FerickKazori-rt5cw
@FerickKazori-rt5cw 2 дня назад
Vizuri ila msing ushaanza bomolewa
@user13375
@user13375 3 дня назад
Umeelewa kuwa wanaume ndo wanauwezo eeee😮
@elijahfresh5985
@elijahfresh5985 16 часов назад
Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.
@J4Mnokote
@J4Mnokote 2 дня назад
Usipokua makini wafanya buashara watatumia sana udhaifu wako , Kumbuka kila mwamba ngoma huvutia kwake😂
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 3 дня назад
Huo muungano sio
@RamadhaniMadanga-ne7jk
@RamadhaniMadanga-ne7jk 3 дня назад
Nimetuma mashushu kwasiri Kwa viwanabiashara😢😢😢😢
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 дня назад
Jamni jamani huyu mama duh
@onespour7189
@onespour7189 3 дня назад
Hivi siasa ina nini,,,mpaka wanasiasa hawaikubali
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 3 дня назад
Hao uliowatuma nao watumie watu kwa siri wawachunguze
@user-kk6gj7cw3h
@user-kk6gj7cw3h 3 дня назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 3 дня назад
Kwahili nakupongeza❤
@salumchema5098
@salumchema5098 3 дня назад
Safiiii
@gilbertmchai2490
@gilbertmchai2490 3 дня назад
Kwanza huyo mkuu wa mkoa hatumuelewi. Biashara Tanzania imeanguka kwa asilimia kubwa sana wageni sasa hivi hamna. Ni maumivu matupu
@user-et8wy1us9t
@user-et8wy1us9t 3 дня назад
Mama sio kweli machinations wananunua kwa hao hao?wachina wengi,wahindi,ndio balaa??mama mabos wankimbia kodi
@MohamedSaidnassor
@MohamedSaidnassor 3 дня назад
Humu mbeya siasa zipi zinafuatwa jamani
@victaboy7273
@victaboy7273 3 дня назад
Simuelewi mama
@msafiriomary893
@msafiriomary893 2 дня назад
Wanakudanganya watu wako hakuna siasa bari ni rushwa za TRA
@feisalkhamis9445
@feisalkhamis9445 3 дня назад
Sio kweli hakuna siasa mnazingua
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
Wote tupo kariakoo risiti hakuna anaye andika Sawa mzigo mteja anatoa mil 5 rist inaandikwa 1-5 huo ndio ukweli
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n 3 дня назад
​@@ShesheJahsh ina maana we pia ni miongoni mwa wanaoiibia serikali yetu 😂😂😂
@feisalkhamis9445
@feisalkhamis9445 3 дня назад
@@user-qg3nu1kv2n bro mm ni mzanzibar lkn bimkubwa anazingua kijinga yni
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
@@user-qg3nu1kv2n huo ndio ukweli
@HASASON
@HASASON 3 дня назад
Wezi ninyi wafanyabishara cha ajabu mnajifanya mmeshika dini majizi makwepa kodi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 дня назад
Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni
@mfaumeally4476
@mfaumeally4476 3 дня назад
Wadanganyika mpoo?
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 3 дня назад
Bishara ya transporter nayo ni vurugu tupu kariakoo na mtaa wa amana ilala
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 3 дня назад
Rais hapo umepatia jafu k koo ataiweza mkuu wa mkoa na yy ana siasa yg
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 дня назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑
@checkchannel3876
@checkchannel3876 3 дня назад
Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.
@avitusmichael5
@avitusmichael5 3 дня назад
Uliowatuma huenda walikudanganya ila ukweli upo wazi
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 3 дня назад
Wamempanga bimkubwa 😂😂
@febby8308
@febby8308 День назад
Mwiguru punguza makodi mai nimagumu kupituliza
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 3 дня назад
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@zawadix9574
@zawadix9574 3 дня назад
Ukweli 😅😅😅😅
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 дня назад
WAKO HURU SANAA WACHINA ALAFU MAKWAO WANAUMIZA WAGENI HASWA WATU WEUSI
@magorymara5515
@magorymara5515 3 дня назад
Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa
@mohammededy7086
@mohammededy7086 3 дня назад
mama Simama ivo cc wa mtaan tunajua Kwann wanafanya ivo kwnn shda matusi ubaya hauishi kwako mama una maduwi wing sana ila MUNGU akusimamie
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 3 дня назад
Ukiwa kama kijana uchawa aukufai
@Nijuzetzdigital
@Nijuzetzdigital День назад
Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.
@iddysonyo1356
@iddysonyo1356 3 дня назад
kumbe hata viongozi wasiasa hawaiyamini siasa
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 3 дня назад
Nimecheka
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 3 дня назад
Kweli mama Samia nakukubal kisa mzanzibari wanataka wakuzinguwee
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 дня назад
Usimueke mtu kwenye?kazi ambayo wamjua haiwezi atakuangusha weka pembeni watu wapo na ambao hawatakuangusha
@GivenMgani
@GivenMgani 3 дня назад
Mmh
@GreezyMaker
@GreezyMaker 3 дня назад
Mitano tena
@user-sk1yd4pw1v
@user-sk1yd4pw1v 3 дня назад
Acha uchawa
@benardmwinuka6948
@benardmwinuka6948 3 дня назад
Mtu katolewa kafara
@HASASON
@HASASON 2 дня назад
Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 2 дня назад
We boya unazingua simu umenunuliwa na baasha wako ndo unaleta zalau kavae eleni;
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 дня назад
TRA HAKUNA SIASA TRA NI KWELI WANASUMBUA
@ShesheJahsh
@ShesheJahsh 3 дня назад
@@lovemusicnoreen9185 ukiuza hasa ww andika risit Sawa na ela unayo pokea Kwa mteja uone kama utasumbuliwa
@nin6324
@nin6324 2 дня назад
TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua. Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili??? Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 3 дня назад
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 3 дня назад
Nchi yoyote duniani lazma ilipe kodi, kwanza unaweza kuta una lalamika na huna hata biashara
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 3 дня назад
Hujui unachokizungumuza ila tetea ugar wako
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 3 дня назад
@@wilsonandlea8614 malalamiko hayawez kukutoa ulipo kikubwa nku pambana, mbona wafanya biashara wengine hawa lalamik
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 дня назад
​@@mosesnyelo1380Tatizo sio kulipa kodi hizo kodi zinafanya nini? Ilikuwa raha kulipa kodi wakati wa Magufuri kwa sababu tuliona mafanikio yake.
Далее
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 1,1 млн
POLI зовет Газана
00:12
Просмотров 794 тыс.
The Hardest Challenge!
00:37
Просмотров 11 млн
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 1,1 млн