Тёмный

MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''.... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

MTOTO wa MANJI AMUOMBA MSAMAHA MSTAAFU KIKWETE KUTOMZIKA MANJI - ''ALITAKA AZIKWE na BABA'AKE''....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 177   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@MariamDilla
@MariamDilla 3 месяца назад
Pole sana kijana wetu mtoto wa Manji ... MUNGU akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu. Bado wewe waweza kuwa makini kuliko mzee watanzania Bado wapo sehem yenu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 3 месяца назад
Poleni sn kijana na ndugu yako na familia Kwa ujumla. Mungu atazidi kuwapigania.
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 2 месяца назад
💔💔💔🇹🇿🤲🤲🤲Allah awape subra na nguvu💪family yote ya manji
@LemiNgalu
@LemiNgalu 2 месяца назад
Ppp L​@@hafsalucky1088
@Shukurukoll
@Shukurukoll 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu Awajaze rehma na baraka. Poleni sana ! Tutamkumbuka sana baba yenu .
@ezramichael7038
@ezramichael7038 3 месяца назад
May God give you strength during this difficult period of your father's loss. In fact, my father has raised me with wisdom and prudence, we are all on the same path
@jamilajiwan9890
@jamilajiwan9890 3 месяца назад
Poleni sana Mungu awalinde awaepushe na shari za Dunia. Mungu amuweke mahali pema peponi ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia.
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 3 месяца назад
My deepest condolences to family members and friends of Yusuf Manji, may Allah give you strength at this difficult moment. Love from los angels California
@SatuParmukh
@SatuParmukh 3 месяца назад
Mwenyezi mungu amrehemu Marehemu Manji!😢 sote safari yetu moja...Ila Mtoto wa Manji uyo mwenye macho ya mzungu,yuko handsome sanaa Mashaallah!❤👍🏻
@aminadjuma7555
@aminadjuma7555 2 месяца назад
Mwehu ww unatamani mfate
@SatuParmukh
@SatuParmukh 2 месяца назад
@@aminadjuma7555 mwehu wewe mwenyewe,🤬weh vipi? Kwani nimekusifu wewe?
@ianak4
@ianak4 3 месяца назад
Poleni sana kwa msiba wa mzazi wenu, Mtanzania mwenzetu mpenda watu na maendeleo. Msiumizwe na comments mbaya za watu, ndivyo jamii ilivyo. Focus on love.
@subirajohn728
@subirajohn728 3 месяца назад
Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie kauli thabiti Yusuph! Poleni Sana familia!
@moriskalegeleshusha2619
@moriskalegeleshusha2619 3 месяца назад
Poleni sana kwa kuondokewa na mzee mliye mpenda
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 месяца назад
MashaAllah handsome boy may Allah bless you, RIP Yusuf Manji poleni sana
@ramadhanitawaqal8958
@ramadhanitawaqal8958 3 месяца назад
Pole Sana Mahboub karibu Sana Jangwani tupo pamoja na wewe
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 месяца назад
Afate nn mumpige kama babaake 😅😅😅
@MS.independent8934
@MS.independent8934 3 месяца назад
MUNGU awatie ngumvu sn family yoote kwa jumlaa inshallah ❤🎉
@stonetown578
@stonetown578 3 месяца назад
Allah amjaalie pepo Firdaus Amiin.
@daslamonline4665
@daslamonline4665 2 месяца назад
Mtoto ana busara mashallha
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Mungu atakulinda mwanchi mwenzangu
@mariamemadoshi5540
@mariamemadoshi5540 3 месяца назад
Pole sana mungu awape nguvu katika nyakati hizi ngumu rip manji
@mrokay1time958
@mrokay1time958 2 месяца назад
May Allah forgive him and take him in jannah firdaus sorry in difficult time
@frankevaristo6918
@frankevaristo6918 2 месяца назад
Pole sana Kwa kipindi hiki kigumu
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 3 месяца назад
Pole kijana
@chris_jabari
@chris_jabari 3 месяца назад
Hongera umeongea maneno mengi ya kiswahili kupita Wema Sepetu😊
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 3 месяца назад
Kwani umemaanisha nini hapo!!😅
@lucakakuru3138
@lucakakuru3138 3 месяца назад
😂😂😂
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig 3 месяца назад
😂😂
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂yaani teari mashangingi washamdaka na kiswahili kafunzwa teari ?
@MashaMbwana
@MashaMbwana 2 месяца назад
@@scholarmawala1403Wema ni mswahil lkn neno moja kiswahil maneno kumi kizungu 😅😅😅
@ShabbirAbdulsattar
@ShabbirAbdulsattar 3 месяца назад
Inna lillahi wainna ilayhi rajioon
@shabanrufumbo3701
@shabanrufumbo3701 3 месяца назад
pole sana safari yetu sote hiiii
@shirazremtullah3935
@shirazremtullah3935 2 месяца назад
Al fateha
@leaherasto929
@leaherasto929 2 месяца назад
Pole sana dogo
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 3 месяца назад
Poleni sana kwa msiba
@Jamila-v2l
@Jamila-v2l 2 месяца назад
Pole sana
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 3 месяца назад
Matajiri hao msiba wa baba Yao wanalia tu wamempoteza baba ila Hawaii kuwa ni masikini
@josephlorri431
@josephlorri431 2 месяца назад
Hakuna kupigana kwenye mgawanyo wa mali
@hanifaa1487
@hanifaa1487 3 месяца назад
Mashallah
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 2 месяца назад
Waaleyk msaalam, Allah ampe kauli dhabit
@NuriatyJeimali
@NuriatyJeimali 2 месяца назад
Poleni.sana
@111dudi
@111dudi 2 месяца назад
Hajui kusema innaa lillahi wa innaa lilahi raajiuun. Muislam gani
@IsmailMajani
@IsmailMajani 3 месяца назад
Poleni sana
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 3 месяца назад
Innalilah wahina illahi rajoun polen
@robertphilip385
@robertphilip385 3 месяца назад
Pole sana kijana
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 2 месяца назад
Lakini anaonekana yupo humble Pole kufiwa na baba inauma sana mzazi akikuacha
@bahatadof5543
@bahatadof5543 3 месяца назад
Pole Sana kwa kufiwa na Mzazi,R.i.p Manji
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 месяца назад
Sorry for the lose of your Father.Amen
@moriscollins4494
@moriscollins4494 3 месяца назад
Matajiri wanazaa watoto wachache sisi sasa 😅😅😅
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 3 месяца назад
Kila mtoto na ridhiki zake kuzaa mwanzo mwisho
@ErnestJosephat
@ErnestJosephat 3 месяца назад
Na Tuzae sana ili mungu akupe zaidi!!Usiogope kuzaaa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
siyo kweli
@eusebiaurassa3417
@eusebiaurassa3417 3 месяца назад
Masikini na wanae tajiri na mali zake😂
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 месяца назад
Masikini anazaa sana sababu tegemeo lake ni watoto, na ni lazima katika hao wengi kuna mmoja au hata saa nyingine wote wanakuja kuwa matajiri. Ndio maama msondo walisema"MASIKINI NA WANANGU TAJIRI NA MALI YANGU"
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад
Poleni sana vijana kufiwa na baba . Poleni
@ErnestJosephat
@ErnestJosephat 3 месяца назад
Am sorry😢😢
@beatricejohn1659
@beatricejohn1659 3 месяца назад
Pole sana Mungu ampe kauli thabit💔😭
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 3 месяца назад
Poleni sana familia nzima ila Allah amebakia atawalinda.
@FatmaFerej
@FatmaFerej 2 месяца назад
Allah amrehemu yarrab Amin
@jakayajuma9867
@jakayajuma9867 2 месяца назад
Very sorry
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Innalillahi wa innaillah rajeun
@noelswai2660
@noelswai2660 3 месяца назад
MUNGU amlinde huyu kijana na mashangingi wa mjini 😢😢😅😅
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 3 месяца назад
😂😂😂 mashangingi?
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 3 месяца назад
​@@ayoubmtumishi50hujaelewa
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 2 месяца назад
Hawapendi waswahili hawa wabaguzi
@SalumKanju-ik1bk
@SalumKanju-ik1bk 2 месяца назад
hahahahaha we mwehu sana hahah yan sisi tupo kwenye maombolezi we watuchekesha
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 3 месяца назад
Pole sana ndugu
@omeerrasheed7192
@omeerrasheed7192 3 месяца назад
Innaalillaah wainna ilyhi Raajioon ALLAH amsameh madhambi yake AMYN
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Yesu amuweke pema peponi
@dullahsaleh8507
@dullahsaleh8507 3 месяца назад
Hana uwezo huo
@ramadhanitawaqal8958
@ramadhanitawaqal8958 3 месяца назад
Yesu ana uwezo WA kumuweka MTU peponi 😂😂
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Pumbavu wewe
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 месяца назад
Makonda haya sasa furahi sana kwa kumdhulumu Yusuf manji ulimbambikia kesi ulizotaka!
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op Месяц назад
Kutokujua kiswahil ndo asiwe mtanzania mbona badhii ya wamasai kiwahili hawajui
@ayoubmtumishi50
@ayoubmtumishi50 3 месяца назад
Yani Global mmeeenda na camera moja utadhani hamjalipwa hela duuuu.
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 3 месяца назад
😢😢😢😊😊😊😊😊
@mshambaused3840
@mshambaused3840 2 месяца назад
😅😅😅
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 месяца назад
Global Wanajishusha Wenyewe
@davinaheven4794
@davinaheven4794 2 месяца назад
Poleni wafiwa, Mzee Mengi katoka jamani.
@SakinaIdrissa-o8b
@SakinaIdrissa-o8b 2 месяца назад
I loved Manji the most😢
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 месяца назад
Sijui kwa nini mtu akifariki wanamumiminia sifa. Mańji ni mmoja aliyoitafuna Tanzania. Alijiingiza kwenye moira na akakubalika. Ukitaka Kuwaitis watanzania jiunge na Simba au Yanga. Manji alisaidiwa na serikali ya Kikwete kupiga tenda za mabilioni. Mtanzania mwenye passport zaidi ya moja. Fedha alizopiga wenye kuelewa ni mabilioni. Mungu amusamehe kwa dhuruma aliyowafanyia watanzania.
@yusufismail3116
@yusufismail3116 3 месяца назад
Roho mbaya ni uchawi na umasikini , badilika kijana.
@seifmiraji43
@seifmiraji43 3 месяца назад
Ndo umeandika nini maana naona mauza uza tu😂😂😂
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
@@yusufismail3116 sisi ni matajiri sana. Ni masikini kwa ujinga wetu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
@@seifmiraji43 ni vigumu kunielewa, mpaka uwe na akiri za kuzaliwa
@seifmiraji43
@seifmiraji43 2 месяца назад
@@Mima-cl2im naanzaje kukuelewa ikiwa hata kuandika hujui, sasa "akiri" ndio nini!? 😂😂
@SeifAlly-g9i
@SeifAlly-g9i 3 месяца назад
Polesan kwa kifocha baba yako
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Chalamila anasemaje yumo humu kweli
@demicratia4071
@demicratia4071 3 месяца назад
Mnawapeka watoto nje mapema sana SASA LUGHA KWISHA GONGANA MANJIS😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
shida iko wapi??ni mwarabu Huyo
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 месяца назад
Ni Mtanzania
@shabanponera2895
@shabanponera2895 3 месяца назад
Pole sana dogo, ila kiswahili chako ni changamoto utafikiri sio mtanzania
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 месяца назад
Si ajabu kazaliwa huko kakulia huko huko, Kiswahili kakijua akija likizo bongo, kwa hali hii hivi atakiongea kama mimi na wewe?!😅😅😅
@MikidadiKimilike
@MikidadiKimilike 3 месяца назад
Yapo makabila hapa tanzania mpaka leo hawajui kiswahili mfano wahadzabe
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Wamasai.wazandaki n.k. hawajui sembuse aliyezaliwa nje na kukulia huko
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 месяца назад
​@@MikidadiKimilikehata wakurya 😅😅😅
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 3 месяца назад
Watt wa matajir hawaliagi msibani
@fatmaabdi7192
@fatmaabdi7192 2 месяца назад
Lakini wote wameondoka magu manji kec kwa hakimu aw haki
@denismasele4130
@denismasele4130 2 месяца назад
Hiii comment ndo nilkua naitafta haya tueleze vzr 😮
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi 3 месяца назад
🤲🤲🤲😭😭💔💔💔
@ericksonmuhulo1570
@ericksonmuhulo1570 2 месяца назад
❤❤
@avinrwegasira3448
@avinrwegasira3448 3 месяца назад
Matajir
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад
Mwacheni kijana. Kama mambo mabaya amefanya baba yake ni baba yake. Mtoto wa tajiri
@WillywiliamkihongossKihongoss
@WillywiliamkihongossKihongoss 3 месяца назад
Pole sn kijana ikuze kampun yamzee wako
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Mali ya Muhindi kufa ni ngumu sana, ukoo Mzima huziangalia kwa jicho la maendeleo zaidi.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
​@GeorgeAkasha-zx2rj siyo Waafrica watataka wauze utu
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 3 месяца назад
Mmhh tz😮 Imebakwa
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Dunia haipo huko ulipo Dunia ni ya binadam wote hiki ni chungu mungu alipotuweka
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 3 месяца назад
Mazishi yamefanyika wapi
@Namtumbo
@Namtumbo 3 месяца назад
USA
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад
Mwonho ukikata damu kijani au nyekungu?
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 3 месяца назад
Damu Yakiijani
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад
sasa huyu bwege sie jua kiswahili kabx kafata Nini uku linaonekana lina zarau kama malehemu baba yake alimuambia magufuli siongei Na mmbwa Naongea Namwenye mmbwa Next time yule mmbwa akaota meno manji alijua hajui
@yusufismail3116
@yusufismail3116 3 месяца назад
Kijana jifunze, maneno yatakayokusaidia mfano kufanya kazi kwa bidii. Roho mbaya ni uchawi unatakaokuloga wewe mwenyewe.
@birianination7097
@birianination7097 3 месяца назад
Kuwa na utu, punguza chuki usije kufa mdomo wazi
@ustawiwetu
@ustawiwetu 3 месяца назад
Kwani Katiba inasema kuwa Mtanzania lazima ujue Kiswahili?
@mussahussein3583
@mussahussein3583 2 месяца назад
Unaonekana unachuki binafsi mwezetu. Jiangalie
@patriciamaganga3891
@patriciamaganga3891 2 месяца назад
Umasikini ni shift sana
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
Kumbe hata kiswahili hajui na bado mnamuita mtanzania. Hawa siku zote wapo kuiba na kwenda kulia nje ya nchi. Kumbe wana uraia pacha halafu mnawazuia wachovu wengine waliojilipua huko majuu!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
kama amepewa.Uraia ni MTanzania tu wivu wako tu huo
@birianination7097
@birianination7097 3 месяца назад
Baba punguza chuki, kwani kua mtanzania ni kuongea kiswahili😂😂. Punguza roho mbaya
@ustawiwetu
@ustawiwetu 3 месяца назад
Kiswahili hakina faida kama Huna hela au umelala njaa
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 месяца назад
Mungu wangu huyu kijana anaishi nchi gani au kazaliwa wapi.Inakuwaje kuwa kiswahili kinamshinda kiasi hicho😢😢
@moriscollins4494
@moriscollins4494 3 месяца назад
Bora hata huyu anakimudu kidogo ingekuwa mwanao wema sepetu 😅😅😅 tena wa kishua
@salimalmughairi1634
@salimalmughairi1634 3 месяца назад
kwani hapo anaongea kisukuma mbona hata watanzania walio zaliwa tz hawajui kiswahili unashangaa nn
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 месяца назад
Hawa ni wachumi wanaojifanya watanzania kujitajirisha. Hawatukubali, sisi tunawakubali na kuwakabidhi mali zetu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
​@@Mima-cl2imwewe umegundua
@birianination7097
@birianination7097 3 месяца назад
​@@Mima-cl2im hao waliweze toa ajira 2370 wewe umetoa ngapi.
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi 3 месяца назад
Huyu nae anajiita mtanzania . Mtanzani wa wapi huyu 😂
@SaidiMkome-qq7hy
@SaidiMkome-qq7hy 3 месяца назад
Ubaguzi
@nassirali7499
@nassirali7499 3 месяца назад
Mtanzania ni mama ako tu! Mbuzi ww!
@ProsperUlungi
@ProsperUlungi 3 месяца назад
@@nassirali7499 mbona povu ndugu yako huyo au Shobo .kwa akili yangu unafikili ni ndugu zako hao . Hao wapo kwa niaba ya kutafuta2 ndio hata watoto wake wamezaliwa huko wamekulia huko hapa bongo wanakuja kutembea
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 месяца назад
Hao ndio wale watanzania walaji wa nchi yetu. Mtu siyo raia anakopa hela kwa wazungu wenzie ili kuiba utajiri wetu kwa utajiri hewa
@paulinaobiria9649
@paulinaobiria9649 3 месяца назад
Kwani mtanzania ni nani? Acha ubaguzi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 3 месяца назад
Ila mtu kama hajui kiswahili vzuri akawa anaongea inaweza kudhani fuse imekatika... Ila akiswitch kwenye English ndio utakuwa kumbe ni mzima.. MFANO bongozozo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
hahaha tuko wengi
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 2 месяца назад
@@trophywilson7211 nawewe hujui kiswahl vzr🤣
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 3 месяца назад
Shida ya baba Yako ni kutaka kuuza madawa ya kulevya kuaribu inch yetu🥹🥹
@timetravellor5367
@timetravellor5367 3 месяца назад
Alikuajiri wewe ukauze
@bockerNyarusahi
@bockerNyarusahi 3 месяца назад
Una ushahidi wewe au unaongea kwa chuki zako binafsi
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 3 месяца назад
@@timetravellor5367 Nyie najua ndio wale mnao jipendekeza kwa wenye nacho sema ukwel mungu atakusimamia usiwe na tabia za msaka tongue😂😂
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 3 месяца назад
Uzaa na ww km ni rahis😢
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 3 месяца назад
@@bockerNyarusahi Sina chuku mm ni msema kweli najua unataka mkate kidogo lakin uwez kupewa watoto wake unaona et hawajui kiswahili ata ujipendekeze upat kitu
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 3 месяца назад
Luga ya swahili huijui na mzaliwa wa tz what is wrong with this people
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 месяца назад
Mbona anajua unataka nini ??
@ustawiwetu
@ustawiwetu 3 месяца назад
Kama unajua Kiswahili na Huna hela ina maana gani
@AlexDitto-cf8ed
@AlexDitto-cf8ed 3 месяца назад
Pole sana
@shufaashaban3805
@shufaashaban3805 3 месяца назад
Pole sana
Далее
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36