Тёмный

MJUE JOHN OKELLO KIJANA SHUPAVU ASIYETAJWA ALIYEHUSIKA KWENYE MAPINZUZI ya ZANZIBAR 1964... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 4,6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 11   
@globaltv_online
@globaltv_online 9 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@hamadali5062
@hamadali5062 5 месяцев назад
Chuki ya kidini hiyo. Kauwa waislamu wengi Sana zanzibari. Sio warabu peke Yao hata wa afrika mwenzake walikuwa waislamu kawauwa. Allah amlipe kwa alicho kifanya. Yeye na walio panga hayo mauwaji
@robertphilip385
@robertphilip385 9 месяцев назад
Hawawezi kumtaja kwasabu yale hayakua mapinduzi bali yalikua mavamizi kwa sababu walivamiana wenyewe kwa wenyewe nijanjatu ulifanyika
@danielnicolaus
@danielnicolaus 9 месяцев назад
Okelo anatajajwe sasa kwenye mapinduzi na hakua mzazibari wala mtanganyika alikua raia wa uganda
@munirmukri2872
@munirmukri2872 4 месяца назад
Captain okelo tatizo playboy mpaka mke waa kiarabu waa colonial karame wetu 😂😂🔥 more fire revolutionary YAGADIM ☯️
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 9 месяцев назад
Duh, asante
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 4 месяца назад
Kwa ufupi nchi imetekwa NA tanganika NA wazanzibari wanastahiki waliyopata maana ni vibaraka wa meuza mamlaka yao
@gangmore9091
@gangmore9091 9 месяцев назад
Kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
@alawysupertalent7397
@alawysupertalent7397 8 месяцев назад
Kuna mganda anaejua kiswahili kama okelo acheni ufala okelo asili uganda lakini ni mzanzibari
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid 7 дней назад
Okello alikuwa jangili wa kulipwa na kuhadawa.Baada kufanya kazi yao uovu na ukatili alitupwa kwa kuregeshwa kwao.Huko alikuwa anachukuliwa kama mtu hatari kutengwa na serikali .Mtu muovu adui wa Waislamu
Далее
Brawl Stars expliquez ça
00:11
Просмотров 6 млн