Тёмный

Salama Na Jokate Ep 3 | KAMISHNA Part 1 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 320 тыс.
50% 1

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
KAMISHNA
Maana halisi ya ’nyota njema huonekana alfajiri’, najua sikuwepo hiyo ‘alfajiri’ wakati Mh Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe anazaliwa lakini hakika nilikuwepo wakati anamaliza wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania mwaka 2006. Nilikuwepo pia kushuhudia jinsi alivyokua anapangua mikuki na mishale iliyokua inarushwa upande wake kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu kabla hajapata cheo alichonacho sasa.
Jokate amekua muerevu toka siku ya kwanza na kwa mazungumzo haya nilifanya naye bila ya shaka yatakupa mwangaza zaidi juu ya haya niyasemayo. Focus alokua naweka kwenye kila afanyalo ni funzo tosha kwetu sote na maana halisi hasa ya adui wa ndoto zako ni kupotea njia na kusahau nia na madhumuni ya mambo yako ulojiwekea kuyakamilisha.
Ni msomi, mrembo, mwenye huruma, mwenye kumjua Mungu, mwenye connection zake, mwenye kutafuta na asichoke na mwenye akili zake timamu haswa. Kama rafiki, nikaona nisiwe mchoyo na kwa ruhusa yake ambayo tuliifuata Kisarawe tumeweza kukaa nae mezani na kuzungumza juu ya siku ya kwanza alipopata tarifa ya kwamba ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, usomi ndani ya familia yao, kwenda chuoni baada ya kugombea taji la urembo wa Miss Tanzania, jinsi anavyopambana kuijenga Kisarawe na kumbukumbu zake za utotoni.
Please Enjoy.
Love,
Salama.
Listen our Podcast on
Boomplay Link boomplay.lnk.to/SalamaNa‬
‪Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 318   
@Ivy-pn2gc
@Ivy-pn2gc 4 года назад
Muheshimiwa she is such an empowerment , I love her so much . Nimejifunza sanaaa ameongeza nguvu yangu flani ivi
@emmahKK2024
@emmahKK2024 4 года назад
I admire this woman soo much she has inspired me to be in government some day,not a politician but as a public Servant.Wewe ni Shujaa Jokate
@gracekay2084
@gracekay2084 4 года назад
Jokate is such a role model to be looked up to.
@richardmakala9354
@richardmakala9354 4 года назад
indeed
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 4 года назад
Jokaty umeongea poit saana. Naimenigusa saana kuhusu ulezi wawatt nikiwepo mimi wanagu wanalelewa na bibi yao illa nitalifanyia kazi. Asante
@ukumbini24
@ukumbini24 4 года назад
Am a Kenyan but jokate is a good role model to young women.
@nuruhmnyota2482
@nuruhmnyota2482 4 года назад
True❤️❤️❤️
@estherbakabona9930
@estherbakabona9930 3 года назад
Kweli kabisa leo nime mpenda sana
@shayonapatel1408
@shayonapatel1408 3 года назад
Soook true! I love what she does!
@fatmakigula8634
@fatmakigula8634 4 года назад
yan uzuri wa mtu akae bila kujipamba kama muheshimiwa, yan muheshima mashaallah mzuri had maneno yake mazuri
@danieljoseph778
@danieljoseph778 4 года назад
Hata salama yuko good hapaki makorokoro usoni
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 года назад
Najifunza mengi kwa watu wanaopita kwenye kiti cha salama🙌🏽 ur the best cheupe😀
@hamispeter1605
@hamispeter1605 4 года назад
Anaweza salama mashallah
@samkiria450
@samkiria450 4 года назад
Jokate ni jembe since day one na anajitambua sanaa. Keep going Jojo ✊🙌
@marthascmahl5787
@marthascmahl5787 4 года назад
Yaani yupo vizuri mno..angekuwa ni msichana mwingine hapo na hicho cheo tungekoma kwa mamekup na makope kila kona
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Ujembe wake ni nn
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
@@marthascmahl5787 🐵🐵🐵🐵
@islandgirl4578
@islandgirl4578 4 года назад
Kweli mtoto WA nyoka ni nyoka mashallah jokat karith uheshimiwa kutoka kwa wazazi wake watu wasimchukie
@brianmzenga9789
@brianmzenga9789 4 года назад
Salama nimefurahi sana kuona interview yako na Mh. Jokate Mwegelo...namfurahia sana...she is young very energetic and surely she is growing with Responsibilities asante kwa interview...young people should take time to be inspired and even parents should listen to this....moulding kids should be the first priority to parents....as we have seen it family pushed her to where she now....and for Kisarawe big thumb up for her...she is changing it to the whole new level...now naona miradi ya maendeleo inafanyika....maji ....shule the most part we needed it(I am from Kisarawe),hopeful in five years to come more and more will come....Asante sana salama....hongera kwa kipindi kizuri...."Yahstonetown is the thing "....endelea kuleta rahaa.Asanteee
@TemuTV
@TemuTV 4 года назад
Kipindi kizur sana najifunza sana kwenye kila Episode, salama next level sana, production kali sana naiman wengi wanatakiwa kuja na ubunifu km hivi. Hongera sana 👏👏
@ellymtima3673
@ellymtima3673 4 года назад
Salama anafanya serious interviews na serious people ,Big chawa mwanangu Sana ye anafanya makuuz flan hiviiii na watu ama wasanii waliopoteaaa
@hafsaabdul8347
@hafsaabdul8347 4 года назад
Yhj
@hafsaabdul8347
@hafsaabdul8347 4 года назад
Elly Mtima
@zelminanuhu6866
@zelminanuhu6866 4 года назад
Salama i wish siku na ww uwe interviewed tujue kuhusu ww i think you have a looot to share to us, please do for us
@adamidrisa9232
@adamidrisa9232 4 года назад
naicheki SALAMA NA nkiwa na fakamia msosi wamtamu nliondaliwa na mke wangu kipenz
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
Adam Idrisa Hongera
@agnesmatemba525
@agnesmatemba525 3 года назад
I real appreciate Miss Joket. You state on Personal Consistance and Confidence on your plan/dream,absolutely nimekuelewa koz if you keeps listen each people reacts kwakwel hutofika katika lengo au ndoto husika. Let me keep and work upon my dream. Be blessed Mh.Mwegelo Joket.
@Amani715
@Amani715 4 года назад
Doing a good job Salama. As for Jokate...she is an amazing woman.
@veronicanywage1493
@veronicanywage1493 4 года назад
She oz mm real model for us
@christinamasawe8171
@christinamasawe8171 3 года назад
🔥🔥🔥
@veredianamagesa5229
@veredianamagesa5229 4 года назад
Joket mhesimwa umeongea point za maana Sana na leo umenipa kitu kwenyew maisha
@estermwantole2572
@estermwantole2572 4 года назад
Hakika yupo vizuri na tumejifunza mengi
@teddyklex6618
@teddyklex6618 4 года назад
Jokate you're the best, inspirational to others.. role model to young ladies Natamani viongozi wengine wajifunze toka kwako,ndani ya muda mfupi wa uongozi wako umefanya mengi Kisarawe,natamani siku moja nikuone waziri kwenye wizara fulani
@queenseptember4640
@queenseptember4640 4 года назад
Nimecheka msosi ulipokuja Jojo anamwambia Salama "ukianza wewe na mimi nitafata" Salama alivyoanza tu uwii Jojo akamaliza, seems she is a food lover. Best interview ever.
@mumbayeashata993
@mumbayeashata993 4 года назад
😀😀😁 uko makini
@amanikyala1812
@amanikyala1812 4 года назад
Hvgty
@zakhiamohamed2178
@zakhiamohamed2178 4 года назад
She's so smart MashaAllah
@fidelisnongwe5164
@fidelisnongwe5164 4 года назад
Mimi kwangu Salama ni mtangazaji bora wa kike wa misimu yote.
@philemonmgasha3670
@philemonmgasha3670 4 года назад
Hakika
@tatunjenje5365
@tatunjenje5365 4 года назад
Allah anatosha,Allah ni mjuzi wa kila kitu kikubwa ni kumuanini kwa kila kitu.
@alexshallom3094
@alexshallom3094 4 года назад
NYINGINE TENA YA UHAKIKA, KUBWA YA HESHIMA YENYE MAFUNDISHO
@bettymassanja881
@bettymassanja881 4 года назад
Hakika, Jokate wewe ni sawa na mimi. Watu wamekuwa wakijaribu sana kunipiga na mawimbi mazito mazito, lakini wameshindwa kabisaaaa, kwani Mungu wangu amekuwa akinipigania kwa nguvu nyingi sanaaaa. Mungu wangu ndiye njia na kimbilio yangu kila sekunde hapa duniani.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
Binti kidoti nakuelewa sana. Salama big up with good interview jamani. Na huo msosi jmn unavutia
@rukiachamani1101
@rukiachamani1101 4 года назад
Salama na Jokate. Love u so much guys.
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 3 года назад
Safi sana Mheshimiwa J Mogelo umekua shujaa katika wananchi wa Kisarawe katika kubust Elimu ya Kisarawe Endelea kupambana Usisikilize kelele za Mlango Endelea kutanua Mbawa Zako katika kukabiliana na Upepo Angani
@kamaurehema6763
@kamaurehema6763 4 года назад
beauty wid brainz big up sizzz
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 года назад
Thanks i love you Salama I love Jocket congratulations
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 года назад
Uyu mungu kamjalia kama masiara tu
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 года назад
Salama ukivaa baibui unakuwa mrembo Zaid MashaAllah
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Unadhani ni anaweza
@jesus4lifetvtzworldwide958
@jesus4lifetvtzworldwide958 3 года назад
Mungu Aendelee kukupigania na kukupa hekima Mh. Jokate Mwegelo, ahsante Salama kwa kipindi
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
Jokate ni beautiful sna kwakweli🌹❤.
@AhmedAhmed-ph3wq
@AhmedAhmed-ph3wq 4 года назад
Bora ww,wallah
@AhmedAhmed-ph3wq
@AhmedAhmed-ph3wq 4 года назад
Wallah,ww nimzuuri kuliko yyte hapa Duniani
@michaellorry3448
@michaellorry3448 4 года назад
Kama wewe sema wasoma comment lazima kuonana nakuona kwenye kila habari auachwi
@ipsostanzania8799
@ipsostanzania8799 4 года назад
Mm ni raia wa kawaida sana na wala so staa or what but infact I started admiring this lady ever since she was a little star I admire her alooooot
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 года назад
Safi sana salama,nakupenda sana hiyo huyo tu hata Mhe Majaliwa tunapenda sana Waziri wetu na viongozi wengine pia.
@G.S985
@G.S985 4 года назад
I'm Rwandan napenda kipindi hiki,tunajifunza mengi, kutokata tamaa katika maisha, be blessed Salama .
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 года назад
Hi Liliane, uko poa wewe?
@raiswamasela7641
@raiswamasela7641 4 года назад
Nimekupenda bule Dada joketi umajielewa sana 😽😽
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 года назад
Very intelligent woman, wanaume sijui huwa mnaangalia ninii kwa mwanamke yaani mwanamke kama joketi ati unamwacha aende,yaani unaacha pure silver nachukua pure mabati 😁 kweli usichokijua ni sawa usiku wa giza, 😂 hope werevu wamenielewa.Hongera mheshimiwa joketi ,hongera mheshimiwa Rais magufuli kwa kuchagua chombo hujakosea,salama your the best woman presenter bila kigugumizi.👍🤝
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 года назад
Wanamwogopa, ila mumewe yupo.Wanaume wetu wa kibongo wanapenda watukute mamburula ili wale vyetu wasepe.
@witnessnyange8567
@witnessnyange8567 4 года назад
Ndoa nindoa na maisha ni maisha
@babydayna3523
@babydayna3523 4 года назад
Hakina kizur kisichokina kasoro huwez jua kasoro yake
@johnsonhaule9743
@johnsonhaule9743 4 года назад
Hyu jokate hakuleta siasa yy alikuja na vitendo nampenda sna hyu dda
@nuratamir6705
@nuratamir6705 4 года назад
Namkubali Sana Jokate
@glorymunuo8851
@glorymunuo8851 4 года назад
Binafsi Mimi namkubali sana Dada jokeite she is so good
@jacklineswallo3643
@jacklineswallo3643 4 года назад
My favorite show .....
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 4 года назад
🔥🔥🔥
@zaitunikivelege5569
@zaitunikivelege5569 4 года назад
Joket my role model forever ✨
@shayonapatel1408
@shayonapatel1408 3 года назад
Jokate, you are a role model!
@ummydaudi4940
@ummydaudi4940 4 года назад
Role model wangu
@augustfive5279
@augustfive5279 3 года назад
Ibra from 254 napenda Mheshimiwa Joketi anavoongea👏👌💪
@queenkimambo6134
@queenkimambo6134 4 года назад
Tunaoisubir kwa hamu gonga like 😀😀
@andreageorge2611
@andreageorge2611 4 года назад
Ni moja ya interview Bora kabisa nilizowah kuzishuhudia
@queenkimambo6134
@queenkimambo6134 4 года назад
Yaaan watu kama hawa ndio wakuwasikiliza sio wakina Amberlulu sijui 🤣🤣🤣
@نصراسلطان
@نصراسلطان 4 года назад
Kweli kabisa
@praxedadominic9864
@praxedadominic9864 4 года назад
😂😂😂😂😂
@mariyaal5366
@mariyaal5366 4 года назад
😁😁😁😁😁
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 года назад
Kweli kabisa
@joycefelix9047
@joycefelix9047 4 года назад
KWELI dia na Hamorapa...tunataka watu kama hawa.
@rosejoely4518
@rosejoely4518 2 года назад
Nakupenda saaaana mh jokate
@12322879
@12322879 4 года назад
Yuko bright sana kushinda muonekano.
@onesmonyololo7810
@onesmonyololo7810 4 года назад
Joketi kujieleza siyo mzuri kaniangusha
@esterdanford5563
@esterdanford5563 4 года назад
Aliyesikia mifupa kama mimi na anapenda alike hapa😀😀😀
@aliabeid5122
@aliabeid5122 4 года назад
Jokate mashaallah mzur jaman
@bunnasib1961
@bunnasib1961 4 года назад
Tatizo huwa salama anaanzisha vipindi vinapendwa alafu anakatisha
@mwasitiiddy7425
@mwasitiiddy7425 4 года назад
Bun Nasib yaan
@ab3ab313
@ab3ab313 4 года назад
wawoo
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 года назад
🤣🤣🤣🤣👍
@philemonmgasha3670
@philemonmgasha3670 4 года назад
Akipata tu mpinzan anahamia pengine
@seifabdallahamad3029
@seifabdallahamad3029 4 года назад
Salma upo tofautii nahichoo sio kipindiii ni chuo chama funzo From now you are the 👑 of hoster
@aishayahya7687
@aishayahya7687 4 года назад
Nakupenda jojo na kweli unatuinsepare sana kama vijana sijutii kuangalia kipind sweety
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 4 года назад
Mwenye nacho anaongezewa Hana ugenious wowote, mtaani kuna vichwa ambao hawajulikani.sema duniani sio unajua nini ila ni Nani anakujua basi.na ili nani akujue mpaka wazazi wako walikuwa wanajuana na Nani.
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 года назад
George Daniel Kwel kabisa
@rebeccjackson1520
@rebeccjackson1520 4 года назад
Kabisa ujakosea.george
@simonsanga2129
@simonsanga2129 4 года назад
George Daniel sio mbaya nao ni mtazamo
@allyomary8130
@allyomary8130 4 года назад
Mtazamo tuu huo bro
@chrislameck1436
@chrislameck1436 4 года назад
Mageneous tupo wengi tatzo connection tu
@magrethedward4207
@magrethedward4207 4 года назад
Her lifestyles have been inspired us a lot...
@happywambura6910
@happywambura6910 4 года назад
Nimependa sana hii ya joketi natamani tena umludie kumuoji ili azidi kutufundixha zaidi
@leonardniwaidi5807
@leonardniwaidi5807 4 года назад
👏👏
@teddyklex6618
@teddyklex6618 4 года назад
Salama you're the best dearest🙌🙏🙏 Kipindi kizuri,wewe ni mbunifu Vipindi vyako vyote huwa ni vizuri sana na vinagusa jamii na watu tunapata mafundisho💕💕
@fatmaabdallah8743
@fatmaabdallah8743 4 года назад
Salama nakupenda mipango.yako.yote ni mizuri.lakin leo umechemsha na hiyo style ya kufunika mic sikupenda hayo matambara 😀
@onlytecna9498
@onlytecna9498 4 года назад
Fatma Abdallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@getrudejohn8147
@getrudejohn8147 4 года назад
I really enjoyed and I learned many things through this interview!!!
@rizdenpopitin2537
@rizdenpopitin2537 4 года назад
Please salama tutafutie na seven mosha ufanye nae interview
@adamidrisa9232
@adamidrisa9232 4 года назад
Rizden pop it in bonge la wazo aisee ninavyo mcheki seven nae ana madini mengi sana
@queenkimodokimodo2682
@queenkimodokimodo2682 4 года назад
Mpo very nice
@jimmybongotz1751
@jimmybongotz1751 4 года назад
Yu a strongest leader jokate!!!
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 4 года назад
Watu wenye sauti ya muheshimiwa wanakuwaga na sauti nzuri sana wakiimba
@nickyvampire7103
@nickyvampire7103 4 года назад
Jokate is so matured siku hizi
@salimanguramo2557
@salimanguramo2557 3 года назад
Yuko vizurii sana kujibu kwa hakili na umakini i like
@bwirajacksoncomedy4954
@bwirajacksoncomedy4954 4 года назад
Safi sana Salama long time
@kingson6568
@kingson6568 4 года назад
kwahiyo jokate una uraia pacha Tanzania na marekani. na unamiliki passport mbili kwa wakati mmoja. halafu serikali tz inakataa raia pacha
@funnyvideosandvichekesho.1862
@funnyvideosandvichekesho.1862 4 года назад
well done salama, yani nakukubali kinoma noma mwana toka kitambo.
@priscaremmanuel1374
@priscaremmanuel1374 4 года назад
Am really inspired by this interview
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 4 года назад
uyo dada wa chakula anatako jaman mmmmh wa jikoni
@cutebaby3247
@cutebaby3247 4 года назад
😂😂😂
@paulwilbrod2038
@paulwilbrod2038 Год назад
😂😂😂😂heee
@hajiharuna786
@hajiharuna786 4 года назад
Dah mtt mzur
@paschalpeter4540
@paschalpeter4540 3 года назад
Wawoo kumbe umarecan kidg upo, Mungu awatunze mnafaa kuigwaa na jamiii
@natalianicky3772
@natalianicky3772 4 года назад
Kiukweli nimevutiwa na kipindi chako da salama.....nakuwa inspired sana
@samanthaali873
@samanthaali873 4 года назад
Salama nimewakubali ww na Jojo kula msosi Jojo😃😃
@recheljames1499
@recheljames1499 2 года назад
Jokate your amazing
@abdallahdachi5732
@abdallahdachi5732 4 года назад
Natamani sana kuwasiliana na muheshimiwa kuna vitu natamani kumshauri kuhusu kisarawe
@irenegasper3386
@irenegasper3386 4 года назад
Nakupenda jokate unaongea point 2pu
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 Год назад
Ameeeeeeeeen
@umkulthummohammed9713
@umkulthummohammed9713 3 года назад
Ali kiba mjinga Sana kaliacha toto zuri tenalinaakili 🥰🥰🥰
@abbyadams8691
@abbyadams8691 4 года назад
Natangaza rasmi kumuoa Kidoti.This lady has some brains
@nasloyal5886
@nasloyal5886 4 года назад
She's genius and perfect girl 👧
@benedictngowi8631
@benedictngowi8631 4 года назад
I luv her #agemate
@evadindi7243
@evadindi7243 4 года назад
Mweshimiwa movie yako ya mikono salama ni movie ambayo ni emotional sana
@bennlekule9688
@bennlekule9688 2 года назад
Nakupenda sana Joket uko vizuri
@jumahamic9104
@jumahamic9104 3 года назад
Salama hujawahi kuleta MTU hasiyekuwa na kitu cha maana thanks
@ipsostanzania8799
@ipsostanzania8799 4 года назад
Infact she is much a rolemodel to be looked at cjaachaga kumckiliza
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 4 года назад
Salama kila kitu sawa kabisaa 😚😘but wish u used zile mic ndogo za ku weka nguoni n not those big ones kwa Meza na vitambaa . Waiting fr AY n FA / Professor J on the show
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 года назад
Kweli
@amirijosiah7897
@amirijosiah7897 4 года назад
Mheshimiwa Joketo salute
@saidimadady6240
@saidimadady6240 4 года назад
Kwann moyowang unakupenda ivyo joketi
@sportsfocus8469
@sportsfocus8469 4 года назад
Hahahaha
@fatmaally859
@fatmaally859 4 года назад
Najifunza vitu vingi kupitia joketi nampenda sn
@miss_kanissa
@miss_kanissa 4 года назад
Jokate is smart &bright..anajielewa sana
@helloshow1467
@helloshow1467 3 года назад
Hongera kwa hlo
@khuzaimanassor325
@khuzaimanassor325 3 года назад
I wish I cld see you one day mh Jokate, I really need to tlk to someone who can make changes in somethings or jst to guide me in one way or another
@sharifamfaume9342
@sharifamfaume9342 4 года назад
Hongera Sana salama
@borryab00
@borryab00 4 года назад
Hello Salama, I like your show my dear sister. Got one silly question, why your microphone covered with scatf/cloth.
@andersonmwanga287
@andersonmwanga287 3 года назад
Salama na wewe zamu yako lini?
@fatmasaid2289
@fatmasaid2289 4 года назад
Salama namimi nataka unifanyie interview pls😘😘
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 года назад
Safi salama na Mh jokate.
Далее
Salama Na Barnaba Ep 4 | FUNDI Part 1
28:17
Просмотров 59 тыс.
PERFECT PITCH FILTER.. (CR7 EDITION) 🙈😅
00:21
Просмотров 4,5 млн
V16 из БЕНЗОПИЛ - ПЕРВЫЙ ЗАПУСК
13:57
Mkasi - SO5E03 With P Funk
29:34
Просмотров 151 тыс.
JOKATE MWEGELO: "Wazazi Wangu Hawakupenda Nijiajiri"
9:08
Mkasi - S02E03 with Steven Kanumba
26:51
Просмотров 1,3 млн
Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
29:56
Просмотров 334 тыс.
Salama Na Gigy Money Ep 12 | ZILE KHADITHI Part 1
25:27
PERFECT PITCH FILTER.. (CR7 EDITION) 🙈😅
00:21
Просмотров 4,5 млн