Hiki kipindi sio kizuri hawa watu wanao ambiwa mwambie mume wako maneno kama haya hawana akili mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
Kati yako na yeye wakupimwa Akili Nani maan ingekutokea wew ungeonekana kama yeye unavyomwona alfu kuwekana ukweli Ni vizr au akishakufa ndio ajue kuwa anawatoto njee
🤣😀🤣 mwana kulifaindi mwana kuliget. Iv unaweza ww mwanamke. Kuongea na mmeo mbele ya watu hayo maneno. Sasa haya. Huyo kiledio kakuachia ungomvi yeye kaondoka kama ifuatavyo mwenzio anaenda kwa mkewe anampepea ww huna wa kukupepea
Wanawake sijui mwalimu mwenu alikuwa nani anaazaje kumpigia cm mumeo kuongea upumbavu km huyo huoni km unajiharibia ukiachwa huyo alokupa challenge humuoni tena
Angalieni Mambo Ya Kuiga Mfano Uyo Jamaa Akiwa Ndio Dereva Na Yuko Kwenye Amjui Kama Anaweza Kuleta Ajali Achia Apo Akiwa Karibu Na Nyumbani Na Akabeba Mtoto Na Kukata Panga Apo Vipi Ebu Serikali Zuieni Mambo Aya Kutawala Tanzania Yetu Mtu Kama Anapenda Aende Kuigiza Kwenye Taifa Uko Alikoona Iwe Kenya Au Wapi Aende Uko
nakushauri kiredio usiingilie ndoa za watu wakiachana utabeba msalaba wao siku zote kumbuka kua wewe pia umezariwa na wazazi na mama yako ndio anaejua ukweli wote kuhusu wewe USHAURI WA BURE Ukitaka kufanya challenge za mahusiano ukimuhoji mtu akikuambia ni mke wa mtu au ni mume wa mtu badilisha hiyo challenge kwani ndoa ni ibada, sio vyema kutingisha ndoa za watu. hizi viewers zipo tu ndugu yangu 🙏🙏🙏
Ata ichi kina tija tuache si tupate raha wanaokubali kufanyiwa challenge ndio wajinga we umeolewa afu unasem mtt sio wa bwn mtot akianz kubaguliwa utamlaum kiredio ye anaingiza zake pesa koo uez sema anavovifny avina tija wakati ndio anapatia pesa
Jamani watu mpunguze hasila kiledio sii mjinga kuhalibu ndoa za watu nahao watu sio wajinga kuhalibu ndoa zao ila tu nimovie kama movie zingine kiledio anawapanga kwanza na huyo mwanamke sio kwamba anaongea na mmewe ilatu anaongea na mwenzie kiledioo😂😂😂😂
Aisee naomba hii challenge uiache rafik yangu hujui baada ya challenge watu wanapitia kipindi gan Kiredio unacheza na mioyo ya watu tafadhali acha huu mchezo unaweza patwa na kitu kibaya sana baadae kuwa makin mahusiano yamebeba sehem kubwa sana ya uhai wa mwanadam kuwa makin sana
Ushauri tu,, challenge dizaini hii achana nazo. We hujiulizi kwanini vipimo vya DNA havipo mtaani,, sio kwamba watu hawana pesa za kununua hizo interview utafanya watoto wa mtaani waongezeke. Ikiwezekana buni namna nyingne
Hii challenge ni hatari sana inaweza leta mauaji je huyu bwana akirudi nyumbani fasta akamkata mapanga mtoto au akamkata mapanga huyu dada je mtasema ni challenge?ndugu kiredio uwe unaangalia na challenge sio kila kitu tu.huo ni kucheza na uhai wa mtu huwezi jua huyo anayefikishiwa ujumbe anaupokeaje?.