Weee, Mimi huyu niko nje ya nchi, halafu nilee mbuzi ya mwanamke mwenzangu. Mwenyezi Mungu nakuomba nilindie Mama yangu , angalau nilipie hata sabuni aliyoniogeshea
Nyege tu huwa zinawasumbua baadhi ya team strong 😅😅😅 Alafu kiredio komaaaaaaaa nakwambia hiyo miundombinu ya Jembe letu (Magu)💔 Wadada fanyeni Kaz wanaume wenye mapenzi ya kweli wapo tu acheni kuwahonga meumbwa kuhongwa na sio kuhonga hebu acheni vihereheree 😅😅
@@ZuhuraMwalimuShabani hahahaha hata mie nilikua nahisi huenda ni content tu wanafanya na sio kweli ivi pesa ilivyo ngumu hivyo eti utoe pesa yote hiyo umpe mwanaume tenaaa boyfriend kwakweli mie hapanaaa hata kama awe mume wangu na niwe na Watt naye 🙌😂😂
@@hamidahamidu16 ila wapo mazuzu wa kuhonga mwanaume akirudi anabaki kulia lia pengine hii ni content tu wanafanya ila wapo Masha ghala wanawapa wanaume pesa sijui hawawazi make wao wapo huku huko bongo bwanake naye anahonga kama alivyomuhonga yy 😅😅😅
Hamna cha omani wala nini kwanza huo sio mlango wa arrived ni mlango wa departure pili hicho kibegi hakina ushirikiano wa mtu aliekaa nnje miaka mitano
Naombeni mshaurini huyo dada kama anajipenda na anahitaji kuishi maisha marefu asirudie tena hiyo tabia ya kuja Tanzania kwa mpenz wake bila taarifa,wenye akili timamu wameshanielewa hii ni bongo
Kumpa mwanaume pesa sio kama unamuhonga pengine uyo dada alikuwa anaweka izo pesa kwa uyo kijana ili akirudi waendelee na biashara kumbukeni yakuwa wapo watu pia waaminifu sio wote matapelikama uyo kaka kama umemsikiliza uyo dada hapo amesema sasa mkataba wake umeisha karudi nyumbani ili yeye na mpenzi wake waendelee na biashara kwaiyo msikimbilie tu kusema Kwamba alikuwa anamuonga pengine kulikuwa na makubaliano flani
Wallah hawa wanaume daaaaahhhh me yamenikuta haya kwa mwanaume wa chuo nmemvmilia nmepmbna naye nahangaika namtumia pesa mwish wa ck qmenisalit na msom mwenzie mpka sasa cna ham na mapenz 😢
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN msiseme dada wa oman sema mfanyakazi alikua oman anafanya kazi oman mkataba wake wa miaka miwili imeishaaa huyoo ni mtanzania siyo muoman
Walah kweli izi pesa atupati kirahisi mtu unakuja kuhumia mwanaume khaaa!! Mwenyezi mungu atunusuru yaani unalala ukiamka pameshakucha na miguu inatetema kama unacheza kiduku kwa kusimama wanawake tujione huruma wanaume awabebeki
Sio kweli huyu yupo Dara sani anafundisha Wana wake wanao fanya kz omani jinsi wanavo endekeza mapenz wee miaka mi 3 kibegi kidogo afu kimoja? Ila hongera Sana ❤❤❤
Mimi nilivyomis wanangu na wazazi wangu huwaga nikirudi break ni nyumbani kwetu na wote wanakuja airport kunipokea tunaanza kupiga stori kwenye gari mpaka nyumbani
Wewe kama mimi nipo uk huu mwaka wa tano ila akili yangu yote ipo kwa familia yangu hata wakinitapeli ni ndugu zangu inauma lakin sio kutapeliwa na mtu baki na hata mwaka nikirudi jambo la kwanza kuona familia yangu na kumshkuru mungu kunipa uzima na uhai kunikutanisha na familia yangu tena
insha'Allah my mie mwaka Jana nimeludi family yote wamekuja tena na gari Yale magari nyuma wazi wamekodi tumejazana kibao hapo story mbaka tunafika sijawa na kihere here kumjuza mwanaume mbaka week 2 ndio nimemtafuta 😂😂😂😂😂😂😂 nashangaaa hao wanaoludigi wanawaza wanaume kwanza kuriko family zao majaabu😂😂
😂😂😂😂😂mama eee..hivi huyu shangazi nae ni mpumbavu hivi kweli kabisaa miaka mitatu huyo mwanaume ni hanisi au anataka akute imeota kutu pumbavu kabisaaa😂😂😂😂
Tena Muongo sana hana cha omani wala nini Tizama zamaradi TV wamefanya sijui birthday wamevaa nguo nyeupe wapo watatu na shoga yake anatwa Asha mmanga wiki mbili zilizopita haya uko omani kaenda kufanya kazi lini eti ndio anashuka airport Muongo sana huyu dada na kiredio wake
Kwanza watu wa oman tunawajua na beg zao sio hizo lamd km anaendaga kudanga maan kule bora dubei omani umetokea wp get la arrival ujatokea hapo wee si wasafiri msitudanganye
Hebu mje huku mwanzo kwa wale ambao wanataka kufanya kazi wakati upon mapumzikoni c kutegea hela za Oman tuu twasafiri hadi Philippines msikae tuu wadada
@@ywydhhd7941 hapana bby ul hakuna kurogwa sasa Bora yy anamjuwa mwanaume maana aliondoka wakiwa na mipango ila mm hata kama tuna mipango pesa yangu mmmh sasa Kuna huyo lafiki yangu anatumia pesa hata bwana hamjui mara nenda Hospital mara kanunue nguo mara ivi oyaa dear Alf nimda kidogo na bwana hawakuwahi onana 🤣🤣 walikutania Instagram akawa mke huko huko wakaachania Instagram 🤣🤣🤣 mm Bora nilewe kuliko huo ujinga nikirudi nikikukuta ni sawa mm sinipo ila nikutumie never pesa ni shetani humbadilisha mtu hata kama hakuwa na lengo baya ww unakaa ufanyi mapenzi yy anatumia pesa zako kuhonga apate k mmmh
@@ywydhhd7941 hakuna bana ni ujinga TU nakutaka kuonekana juu watu wana hisi ukimuhonga mwanaume ndo inamfanya asikuache au akupende sisi wa dada ndo Huwa tunapashikilia sehemu yenye miloo ila wanaume ni watofauti mwanaume ukimuhonga anakuona chizi kumbe ww unamnyanyu TU yy anaanza kukutumia ila sisi ukipewa pesa wallah utapashikilia Yani eeh mm naosha nyumba mabati Alf nikutumie pesa yangu sibora nikanywe mapombe TU 🤣🤣
😂😂😂 mambo ya kulea wanaume ni ushamba sana! Wanawake kujibishana ni ushamba maradufu, deal na huyo mwizi. Ukikaa ughaibuni date na watu wa hukohuko. date
Kapata alicho stahili hongera sana kaka fure weeh hela ya omani ilivyo ngumu na jua hili ukamfaidishe bwana mpuuuzi huyo dada na mpua wake km kabandikwa
Dada hauna ndugu wa kuwasaidia😂😂😂 hauna watoto hauna wazazi kama vyote hauna hata future huna😂😂😂😂 mamae we umerogwa nn kuna mwanaume mwaminifu siku izi, wallahi hizi mateso za omani mm kutoa hata buku tu kumuunga babangu kifurushi huwa inaniumaga 😂😂😂
😂wa Oman tukishuka Kwanza tumechora Hina pili tunakua na mikoba mkonon tatu mabegi yetu wanakua MATATU Hadi mawili pia hatuchori kucha twachora Hina 😂😂
Kwani hiii airport sio ya watanzania??? Mbona ilianzwa muda mrefu toka enzi kikwete??? Na inaweza hata kina mkapa waliacha na umejengwa kwa kodi za watanzania!!! Tuache maungo ya kushadadia msivyovielewa!!!