Тёмный
No video :(

MKOJO WAMVURUGA HUSSEIN BASHE, MAAJABU YA MKULIMA IRINGA 

Uhondo TV
Подписаться 595 тыс.
Просмотров 66 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@linusjohn4941
@linusjohn4941 Год назад
Huyu mh waziri Bashe anafaa kwenye wizara zote big up waziri wa kilimo
@jamesjohn9160
@jamesjohn9160 3 года назад
Safi saana Mh. Bashe Ingefaa huo mti ufanyiwe utafiti wa kama hiyo sumu haina madhara kwa matumizi ya Binadamu na kwa muda gan baada ya kupuliza Ni salama hizo nyanya kutumika kwa Binadamu TMD na Mkemia Mkuu wanaweza kusaidia. Na zikiwa approved basi tushirikiane na viwanda vyetu ku-scale up huo mmea katika sehemu zingine
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 4 месяца назад
Hongera mh. Bashe....
@jaafarwibonela7402
@jaafarwibonela7402 Год назад
Bashe, wewe mtu wa watu. Mungu akubariki na akuhicadhi. Nakuheshimu, nakupenda
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 9 месяцев назад
Hongera sana Mh. Bashe
@charlesmanga7362
@charlesmanga7362 2 месяца назад
Hongera sana mheshimiwa waziri..... huwa nakuona lkn sasa nakuamini ni msaada........
@sosthenessotter9432
@sosthenessotter9432 5 месяцев назад
Well done mheshimiwa BASHE!!
@azizimpwanyera-oo2iw
@azizimpwanyera-oo2iw 11 месяцев назад
Bashe ur the best minister
@CK-ri1mo
@CK-ri1mo 4 месяца назад
Namkubali sana waziri bashe🙏🙏
@ericagalla6921
@ericagalla6921 2 года назад
Aisee milion 400 nyingi sana hongera sana muheshimiwa
@paulmayunga-bz5mr
@paulmayunga-bz5mr 3 месяца назад
Bashe umetisha
@salumnyiga3801
@salumnyiga3801 4 года назад
Kwa Bashe kweli tumepata jembe Hongera sana
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Год назад
Bashe Yuko vzr sana
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457
@benjambesseltdltdt.v.shiny9457 3 года назад
*☺☺😊Tulepela wasukuma tujuane*
@karimujuma-mj3uj
@karimujuma-mj3uj 3 месяца назад
Bashe apewe kuwa rais tu Basi anafaa Sana.
@laulymo2063
@laulymo2063 3 года назад
Kweli hii ni timu ya KAZI hongeren sana bashe
@reganmartin5485
@reganmartin5485 4 года назад
Safi ile mikataba ya kutuuzia madawa yenye sumu mwisho itakoma tu
@user-nt6zo4no5l
@user-nt6zo4no5l 8 месяцев назад
muheshimiwa, bashe, naomba, unisaidie, niludishiwe,. mashine, yangu, ya, kuvutia, maji, niliyonyanganywa, na, mkuu, wa, wilaya,. nilijalibu, kufuatilia, sikuweza,. Kufaniliwa,. naomba, unisaidie
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 4 месяца назад
Naomba mh. Bashe unifahamishe namba yako
@stanlugallah-ux1vn
@stanlugallah-ux1vn Год назад
Kilimo ndio mpango
@eyoboboytzeyobo1187
@eyoboboytzeyobo1187 4 месяца назад
Naomba namba yako mr msekwa niko mkwa university hapa nahitaji nije kujifunza kilimo cha nyanya kwako apo
@mariamm2724
@mariamm2724 3 года назад
Iringa sehem gan jmn nimfuate huyu mzee nikajifunze
@msalikemedia
@msalikemedia 3 года назад
Iringa Tanangozi kijiji cha malagosi
@aidamkemwa6393
@aidamkemwa6393 Год назад
@@msalikemedia nitapataje mawasiliano
@Sutfashion
@Sutfashion Год назад
Bashe zidi kupiga kazi na mi natamani kuingia kwenye kilimo.
@najmamgallah8154
@najmamgallah8154 10 месяцев назад
Ndg yng funguen mipaka mahindi rukwa 55000 gunia moja, n mbolea mbazid kupandisha bei, je hy mbolea tunanynua na nn? Ikiwa hatujauza mazao tunalima vip , tuoneeni hurumaaa
@lawrenciamkolwe796
@lawrenciamkolwe796 2 года назад
Naomba namimi nijiunge na wewe kwenye kilimo hicho
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 4 месяца назад
Naomba namba yako mh. Mkulima.
@mosesamon6233
@mosesamon6233 2 года назад
Naomba nitumie picha ya muda na je unachanganyaje huo mikono. Maji kiasi gani.
@simonmwanyika8288
@simonmwanyika8288 3 года назад
alie sikia kambun gonga like yako hapa,
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 Год назад
Mimi AFISA UGANI ABDALLAH MDILIKO KUTOKA BAHI. NAELEWA SAWA FALSAFA YAKO YA KILIMO. MALENGO MAKUBWA KUWAINUA WAKULIMA WA TZ. KILIMO NI BIASHARA
@mussasadick770
@mussasadick770 Год назад
Dawa za mitishamba nazo zitumike kwenye kilimo ili kupunguza gharama kama zinauwezo wa kufanya kazi
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 8 месяцев назад
Kweli kabisa
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 года назад
Hi serikali ilikuwa makini sana kwa umeme huyu waziri makamba amebadilisha ķaabisa Tanesco yetu imekuwa ngumu mpaka wanyonge haitujali
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Год назад
Enzi za Jpm hizo hakuna kulala
@yohanasefue869
@yohanasefue869 2 года назад
Mi natafuta hiyo machine ya kungolea miti nitapata wapi
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 10 месяцев назад
Mh bashe ni jembe Sasa wakulima wapewe Nini tena jamni
@nderingomunis5398
@nderingomunis5398 Год назад
Unaitwa utupaaa huoo
@pascalsamson4721
@pascalsamson4721 Год назад
duu
Далее
Девочки, у вас тоже так? 💅🏻✨
00:17
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo
2:30
Просмотров 152 тыс.
NAMNA SAHIHI YA UANDAAJI WA UDONGO
8:39
Просмотров 8 тыс.