Тёмный

WAZIRI MKUU AKASIRISHWA AMWASHIA MOTO MTUMISHI, "MMEJENGAJE MILIONI 11 HII NYUMBA, SITOWAVUMILIA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 124 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 сен 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 320   
@danielimeshack3712
@danielimeshack3712 Год назад
ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
@athanacnicholauc3555
@athanacnicholauc3555 Год назад
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
huyu alitakiwa kuwa rais
@jambo3751
@jambo3751 Год назад
Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
@kazikazini1042
@kazikazini1042 9 месяцев назад
Endeleeni kumchoresha
@sophiaalexandersophia8610
@sophiaalexandersophia8610 Год назад
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Год назад
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
@azizahharoun1236
@azizahharoun1236 Год назад
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
@abdulatiftu9836
@abdulatiftu9836 Год назад
Kabisa our next president
@johngerald4677
@johngerald4677 Год назад
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 Год назад
Nyokooo
@ramadhanisanze3631
@ramadhanisanze3631 Год назад
Rais alibaki tz ambaye anaweza
@JumaRashidi-qu6nv
@JumaRashidi-qu6nv Год назад
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
@abedomar5183
@abedomar5183 Год назад
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
@stefanomwanzarubi6216
@stefanomwanzarubi6216 Год назад
Hadinimemkumbuka magufuli
@bubelesatanzanialogistics3948
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
@fadhilimanjeka3729
@fadhilimanjeka3729 Год назад
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
@mahmoudabdallah4533
@mahmoudabdallah4533 Год назад
Duh
@antonychristian1369
@antonychristian1369 Год назад
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 Год назад
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
@sk-wj9or
@sk-wj9or Год назад
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
@ruthsawida8507
@ruthsawida8507 Год назад
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 Год назад
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
@juliusdonard933
@juliusdonard933 Год назад
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
@Really-football
@Really-football Год назад
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Mungu Akulinde Baba🙏.
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 Год назад
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 Год назад
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Год назад
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 Год назад
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
@ramadhanhemedi1554
@ramadhanhemedi1554 Год назад
Uko sahihi muheshimiwa hongera
@venancengunda3879
@venancengunda3879 Год назад
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
@egonemmanuelkudaba4945
@egonemmanuelkudaba4945 Год назад
Tunahitaji uzalendo
@richardchijana9665
@richardchijana9665 Год назад
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 Год назад
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Год назад
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
@mudihb1820
@mudihb1820 Год назад
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 Год назад
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Год назад
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 Год назад
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Год назад
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
@laurenciakamata
@laurenciakamata 9 месяцев назад
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
@sk-wj9or
@sk-wj9or Год назад
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Год назад
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
@imaninjau9135
@imaninjau9135 Год назад
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
@jamesjeremiah9416
@jamesjeremiah9416 Год назад
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana
@bonywahab9565
@bonywahab9565 Год назад
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
@maryamaliy8509
@maryamaliy8509 Год назад
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
@queenlizzyplatnumz4942
@queenlizzyplatnumz4942 Год назад
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Год назад
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
@jumambarale699
@jumambarale699 Год назад
Engineer anaharisha apoo....
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Год назад
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Год назад
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Год назад
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
@erickwilliam6610
@erickwilliam6610 Год назад
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 Год назад
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
@floraleonard9095
@floraleonard9095 Год назад
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
@erickwilliam6610
@erickwilliam6610 Год назад
Unaweza mkuu
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 Год назад
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Год назад
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
@gapablessgadison6863
@gapablessgadison6863 Год назад
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
@lovesallu5292
@lovesallu5292 Год назад
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
@sarahsimon8060
@sarahsimon8060 Год назад
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
@ummyjoel4308
@ummyjoel4308 Год назад
Hongera sana wazir mkuu
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 Год назад
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
@sherryeverest2522
@sherryeverest2522 Год назад
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
@ulafim2719
@ulafim2719 Год назад
Love 💕 Ep Is Out Now ru-vid.com/group/PLbFrAz29154WDEtvrThiA_fqUz0jUtKVd
@emmanuelerasti2405
@emmanuelerasti2405 Год назад
Bebaaaa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
@saidgoryo999
@saidgoryo999 Год назад
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
@shebbythespyro5393
@shebbythespyro5393 Год назад
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
@benjaminkiteleke8458
@benjaminkiteleke8458 Год назад
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 Год назад
Jifunze hukmu za quran gusa maandishi ya bluu hapa chini kama hautojali ru-vid.com/show-UCiIyK3R72QZNvRlzWezWIKw
@suleamberforreal7401
@suleamberforreal7401 Год назад
The real replacement of JPM 😥
@jerelkhondwani7165
@jerelkhondwani7165 Год назад
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 Год назад
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 Год назад
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 Год назад
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
@jamessimbaire3016
@jamessimbaire3016 Год назад
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
@mrndundugurushi9782
@mrndundugurushi9782 Год назад
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 Год назад
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
@diamondgeyser7987
@diamondgeyser7987 Год назад
Big up PM
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 Год назад
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
@bahatiamnon7579
@bahatiamnon7579 Год назад
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
@menovicmushy1032
@menovicmushy1032 Год назад
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
@hosea7919
@hosea7919 Год назад
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
@chinjochwayaa7250
@chinjochwayaa7250 Год назад
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Год назад
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
@jumahassan273
@jumahassan273 Год назад
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
@everever2807
@everever2807 Год назад
majaliwa mh .huyu mama ndo chanzo hajali na hajui watu wanaiba sana rushwa ndo kazi halfu wanamsifia anaweza urais kumbe majanja yanamoumbaza yapige pesa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
kweli kabisa watu wanampa sifa za uongo halafu huku yakiiba
@maryjoseph6973
@maryjoseph6973 Год назад
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
@fadhilidini1181
@fadhilidini1181 Год назад
mwamba wa uma tunakutegemea
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 Год назад
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
@malachcomedy4788
@malachcomedy4788 Год назад
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
@johngerald4677
@johngerald4677 Год назад
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 Год назад
Haaaah,Wazir wetu tunakupenda saana.lakini bana....MACHOZI yetu Kwa JPM Mpaka Sasa HAYAKAUKI.Eee Mungu mlinde Wazir wetu,MAJALIWA.
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 Год назад
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 Год назад
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 Год назад
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Год назад
Aya Mambo mtayaona sehemu nyingi Sana kwasababu baada ya jpm kufariki watu wa kupiga dili ni wengi Sana tena nchi nzima.sisi uku mnatutesa na tozo.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
na sasa wameachiliwa na bii Konokono
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
@@whatisthetruth.8793 racist
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Kwani Ripoti ya CAG kipindi cha Magufuli inasemaje?
@stivinmlelwa9860
@stivinmlelwa9860 Год назад
Majaliwa hongera ndoo tunachotaka watanzania tumeumizwa sana na huo UFISADI, wizi wa fedha za umma..
@mathewmathayo212
@mathewmathayo212 Год назад
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 Год назад
Rais analala
@athanacnicholauc3555
@athanacnicholauc3555 Год назад
Umeona eeeh😂😂😂
@erickwilliam6610
@erickwilliam6610 Год назад
Pole baba
@hidnakirungi3381
@hidnakirungi3381 Год назад
Yaaan zunguka wazir wetu mtihan sana wengi wapgaj PTA kra kata ukague!
@wakalimediatz
@wakalimediatz Год назад
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
@ahmadiomari6913
@ahmadiomari6913 Год назад
Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
@alonhappy9906
@alonhappy9906 Год назад
Honqera wazii mkuu wetu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 Год назад
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 Год назад
Wafungwe
@benancejohn1198
@benancejohn1198 Год назад
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
@maikobernado-4514
@maikobernado-4514 Год назад
Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏
@directoridd5893
@directoridd5893 Год назад
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Tumbua tu baba mijizi imejaa sana kila sekta
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 Год назад
Kazi ienderee
@aishahamisi5854
@aishahamisi5854 Год назад
Mungu akubark
@fakiikibakola1300
@fakiikibakola1300 Год назад
Msaidie mma samia maana yule mma ajui kitu wanampga tu
@johnsolo6709
@johnsolo6709 Год назад
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 Год назад
😅😅😅😅kazi kweli kweli
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Год назад
Vilio wanavyolia WaNchi lazima mpaka nanyie mtakipata tu sku zote Adu uwa achezi mbali yy uwa kigeugeu ata kwenu hivyo hivyo wawajengee tu vijumba kama kaburi kwa milioni mia mbili 😂🤣
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
aaah ! eti kijumba kama kaburi 🤣🤣🤣🤣
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Год назад
Ivi kuna fund bongo anajenga mfumo matofal 25
@floramwanja7860
@floramwanja7860 Год назад
Una roho ya magufuli majaliwa nakupenda binafsi sema umekaliwa juu,unashindwa kufanya kazi kama moyo wako unakokutuma kwa wananchi,utakuwa raisi tu nilishakutabiria mda sana
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 Год назад
Sio rahisi, yupo katikati ya walamba asali. Hapo wanamwangalia Riziwani na Makamba au mtoto wa membe
@fraviansweetbert2703
@fraviansweetbert2703 Год назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kila kher
Далее
I Missed With The Bottle😂
00:12
Просмотров 3,5 млн