Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
majaliwa mh .huyu mama ndo chanzo hajali na hajui watu wanaiba sana rushwa ndo kazi halfu wanamsifia anaweza urais kumbe majanja yanamoumbaza yapige pesa
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
Vilio wanavyolia WaNchi lazima mpaka nanyie mtakipata tu sku zote Adu uwa achezi mbali yy uwa kigeugeu ata kwenu hivyo hivyo wawajengee tu vijumba kama kaburi kwa milioni mia mbili 😂🤣
Una roho ya magufuli majaliwa nakupenda binafsi sema umekaliwa juu,unashindwa kufanya kazi kama moyo wako unakokutuma kwa wananchi,utakuwa raisi tu nilishakutabiria mda sana