Тёмный
No video :(

Juma Nature Afunguka Kuhusu Maisha Yake Ya Muziki | Shajara na Babbie Kabae 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Mkongwe wa Bongoflava Juma Nature akiifungua Shajara yake kwa Babbie Kabae

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@superhemed7590
@superhemed7590 6 месяцев назад
Juma humu umeelezea vzr sn bro km ukiwa ujalewa unakuwa mtu powa sn. Acha pombe ndg yetu urudi kwny game km zaman unaua kipaji na historia yk nzuri ndg yetu tunakupenda sn. ACHA POMBE LETA MASHAIRI HALISI YA NATURE MZEE
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 6 месяцев назад
Nimekuelewa Sana huyu jamaa akiachatu pombe ujue anarudi kwaharaka Sana
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 4 месяца назад
Kipindi kizuri na Juma Nature ni moja ya watu waliobeba historia ya muziki wa bongofleva, mahojiano haya yangefana sana kama mtangazaji angekuwa mkongwe pia na anayeujua, kuufuatilia na kuupenda muziki wa bongofleva tangu zamani, hakika kipindi kingeshiba sana lakini hakijapendeza kabisa kwa sababu mtangazaji hajahoji mambo yote ya msingi na kwa kina mfano TMK Wanaume Family ilianzishwa mwaka gani, ikavunjika mwaka gani na Juma Nature kuunda Wanaume Halisi, yaani miaka mtangazaji haulizi wakati kipindi hiki kinaweza kabisa kuwa rejea ya mtu fulani aliyeamua kuandika historia ya muziki wa bongofleva au ya Juma Nature. Tambua Juma Nature ni msanii mkubwa sana na mkongwe sana na anayepaswa kuheshimiwa sana katika muziki wa bongofleva hivyo unapomhoji jitahidi kuuliza maswali mengi na ya msingi kwa faida ya kizazi chake, cha sasa na vizazi vijavyo. Kifupi sijapendezwa na mtangazaji, sina chuki naye binafsi na simfahamu ila sijapendezwa na alivyofanya mahojiano kwa msanii mkubwa kama Juma Nature, hajamtendea haki.
@allykota8355
@allykota8355 2 месяца назад
Yani Juma kapona kweli uchawi upo yani Juma leo kaongea vizuri sana
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 6 месяцев назад
Huyu mtangazaji hajui mziki wala hajamfuatilia Juma Nature vizuri kabla ya kufanya nae mahojiano.
@devymwanjala1123
@devymwanjala1123 6 месяцев назад
Nakukubar sana nature kwenye sim yangu zimejaa nyimbo zako
@gatsonmatiko8000
@gatsonmatiko8000 6 месяцев назад
Safi sana musitu wa vina sanecha
@pajambeshi7347
@pajambeshi7347 6 месяцев назад
Namekubali sana msani wangu bora wa muda wote
@ray45king84
@ray45king84 6 месяцев назад
R.i.p BK... kiungo muhimu sana kama gundi kwenye kundi la Wanaume. Ahsante Nature kwa kumpa shavu kwenye Sitaki demu rmx, Mbichi hizi,Tatu bila,Yaliyopangwa na Mungu..kama emcee ,BK,Dollo na Bob Q wapo underrated sana..Respect
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 6 месяцев назад
Kibla nature❤💥kaka Saidi my tune of time😊
@dr_deo
@dr_deo 6 месяцев назад
Juma Nature ni hazina kubwa sana...a living legend
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 6 месяцев назад
Wimbo HISTORY sijaupata. Nimeutafuta sana sana. Holaaaa
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 6 месяцев назад
Uyu mama haku fit kabisa kumuhoji juma😅
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 6 месяцев назад
Hajui mziki wala historia ya Nature, yaani yuko hapo kama ndugu msikilizaji tu
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 6 месяцев назад
Watu wanafiki sana, Juma Nature kama asingedanganywa ajitoe kwenye wanaume family Leo hii asingekua hapo alipo, halafu waliomdanganya wanayoka hii hii kitu ambayo love hii ameitea tena waje wamcheke
@BarakaSety-gn3dj
@BarakaSety-gn3dj 6 месяцев назад
Acheni hio tabia mungu ndo amewafikisha hapo mlipo... Tunaomba mtusaidie from simanjiro
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 6 месяцев назад
akusaidie mungu wako.. acha kulilia watu
@user-bd8vo9sn3i
@user-bd8vo9sn3i 5 месяцев назад
Nkunda staa
@user-bd8vo9sn3i
@user-bd8vo9sn3i 5 месяцев назад
Nkunda sta
@labanimakangila-il4fw
@labanimakangila-il4fw 6 месяцев назад
Hatari sana msitu wa vina
@alexmoses1430
@alexmoses1430 6 месяцев назад
Napenda sana kumsikiliza nature utamani amalize kuongea
@user-yv3jk5bl2p
@user-yv3jk5bl2p 6 месяцев назад
Nature yn ni mtu wa wa2
@AMwamzola
@AMwamzola 4 месяца назад
Sister nilikua namkubal Uyo jamaa
@BarakaSety-gn3dj
@BarakaSety-gn3dj 6 месяцев назад
Mbona mnakuwa tofauti natunavo wasikiliza Wana clouds
@emmanuelkitomali3143
@emmanuelkitomali3143 6 месяцев назад
Hii interview inadeserve sehemu ya pili aisee , kuna vitu bado natamani kujua zaidi Issue ya kuondoka tmk chanzo Nini Issue ya Sinta Nadhani ingetufanya tumjue nature zaidi. Babie plz em fanya namna basi
@enockmbogoni-lw4bp
@enockmbogoni-lw4bp 6 месяцев назад
Wakike yule haaa demu
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 6 месяцев назад
Hahahahahahahahah😂😂😂😂😂😂 eti kiroho sayona.
@user-ru9gl5jr1t
@user-ru9gl5jr1t 6 месяцев назад
Kirobotoooooooo
@lujobilz7482
@lujobilz7482 6 месяцев назад
Nature Nature Nature Nature Nature
@ip_header
@ip_header 6 месяцев назад
Quality ya camera kama miaka ya 90's, mbona mna rudi analog wakati mmeshafika Digital 😊
@raphaelmheta
@raphaelmheta 6 месяцев назад
MSITU WA VINA
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 6 месяцев назад
Absolutely to him we lov you
@mzeebaba6045
@mzeebaba6045 6 месяцев назад
Kiroboto
@unjuinkuganda1991
@unjuinkuganda1991 6 месяцев назад
FAKE CAMERA
Далее
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
Cristiano ronaldo VS Tibo Inshape ! 😱😱
00:20
Просмотров 3,1 млн
Shajara ya Coy Mzungu | Afungua Kurasa za Maisha Yake
57:52
Teke Tek Özel - 15 Şubat 2009
3:48:30
Просмотров 391 тыс.