Napenda consistency ya Mpina. Unapo jibu maswali yake unatakiwa kuwa makini. Najifunza kitu hapa. Hongereni wabunge wa CCM. Hongera mheshimiwa Waziri wa Fedha.
Hatuna wabunge wazalendo Kama mpina mpina anaomba wabunge wamuunge mkono kwajambo la msingi kwa taifa lakini wabunge wanashindwa kumuunga mkono kweli bunge letu lipo kwa maslahi yao tu na pia sipika hayupo sawa mpina anatoa hoja za msingi yy anamkatisha kwanin?acha amalize hoja yake ndio umuulize swali bunge lipo kwajili ya kuibana serikali kwa vitu ambavyo sio vya msingi lakin ukiona bunge letu linatetea hata vitu ambavyo vipo nje ya msingi
Mpina, Mdee na ....ni majembe wanatusaidia sana. Mengi wabunge hawaelewi ...next uchaguzi kwenye majimbo tuchague wabunge wenye uwezo wa kitaifa. Wanao weza kujadili haya mambo kama haya maana ndo kunapigwa mabillioni.
Sasa huyu mbunge pembeni ya Mwigulu anagonga meza kusherehesha nini sasa???Mwigulu hata umpigieje makofi,huku mitaani mkisikia maneno ya wengi na hawamuamini,mpo humo kwa sababu ya wananchi,na wananchi hawa hawa ndo wanaoongea mashaka yao dhidi ya huyu Mwigulu