Twende mbere tuludi nyuma nyie wote Huwa hamfanyi makosa ,,,,na mti wenye matunda hupigwa mawe,,,,,na Hilo nijalibu mungu kakupa Naminiko pamoja nawewe,
Wabunge wengi wanachangia hoja za siku zote japo ni muhimu kama( barabara, maji, afya ) na mambo mengine yaliozoeleka. Lakini ukija upande wa kuisimamia serikali na kuishauri hawatimizi majukumu yao sijui kwakua ni ccm au uwezo wa kuchambua mambo kitaalamu ni mdogo. Mfano mzuri wa kuisimamia serikali ni kuhoji vitu kama anavofanya Mpina, na ndipo tunaweza kuona madudu mengi lakini kwa kunyamaza tu kwakua waziri ni ccm mwenzangu ndio hayo Bunge lijayo tunanza kujadili hoja zilezile za Bunge lililopita kwakua wabunge hawachimbi vizuri mambo mengi wanachangia kihoyahoya tu.
Acha sababu xa kitoto izo,.kwani ulipoingia bungeni ulikuwa unatoka katika familia ya kitajiri hata leo ufukuzwe kwa umaskini, weka wazi sababu za kufukuzwa usidanganye umma.
Huna lolote unashindwa kuona mchango wa huyu mwamba unazani godfather wa mwiguru ni nani kama sio samia uwe na akili ya kuona mbali huyu jamaa ni jembe yupo tayari kumwaga ugari Kwa ajili ya wapiga kula
Ndio shida yako ww ni mbinafsi na kiburi mbona ulipokuwa waziri haukutushitakia eti unatoka familia masikini miaka 20 bungeni njoo kitaa uone familiar masikini lofa sana ww
Shida yake huyu mtu hana nidhamu ikiwa ni pamoja na kufuata utaratibu, alitakiwa asubiri hukumu ya tuhuma zake dhidi ya waziri lakini hakufuata utaratibu huo. Kwakawaida huwezi kupeleka kesi mahakamani halafu kabla ya hukumu wewe huku ushaanza kushughulika nayo.