Тёмный

NIMEFUKUZWA BUNGENI KWASABABU NATOKA FAMILIA MASIKINI, SİNA MTETEZI - MPINA 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

29 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@symonmhoja3102
@symonmhoja3102 23 дня назад
Hongera sana mwamba kwa kututetea! Mungu azidi kukulinda
@user-wh2mm1eq2x
@user-wh2mm1eq2x Месяц назад
Mpina, Yote kwa yote jikabizi mikononi mwa Mungu, nae atakujibu kila hitaki lako
@johnshirima6176
@johnshirima6176 Месяц назад
Hii ni mashine ya kazi haogopi ki2
@GmakaYusuph
@GmakaYusuph 2 дня назад
Mungu akutangulie baba, unapambana kwaajili yetuu
@NOELKISONGA
@NOELKISONGA Месяц назад
Pole sana wananchi tunaoña ipo siku watapata majibu
@user-od8mf3hi2p
@user-od8mf3hi2p Месяц назад
Huyo tulia asubiri 2025 atatulia mbeya tutalinda kula mpaka mwisho asijaribu chochote Wala hana ujanja jimbo aliachie tu
@user-ey5ui5wk1z
@user-ey5ui5wk1z 28 дней назад
Wapuuzi nyie mnaomkashifu mpina The strongest man is that who stand alone mpina piga kazi kijana
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Месяц назад
CCM NDIO WANAYOFANYA NA WIZI MAJAMBAZI CCM
@ChristinaThomas-y8m
@ChristinaThomas-y8m 13 дней назад
Twende mbere tuludi nyuma nyie wote Huwa hamfanyi makosa ,,,,na mti wenye matunda hupigwa mawe,,,,,na Hilo nijalibu mungu kakupa Naminiko pamoja nawewe,
@Sesakwaukweli3
@Sesakwaukweli3 Месяц назад
Oya haijalishi huyu mwamba yupo chama gani ila nahisi ana roho yauchungu na wananchi kw namna flan mwamba wee ndio mfano wa viongozi wengine
@birianination7097
@birianination7097 Месяц назад
Angekuwa anaroho njema na nchi asingepinga serikali kuingiza
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 Месяц назад
Kwa njia ipi
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z Месяц назад
Hii ndo TZ
@Efrahimunganyama
@Efrahimunganyama Месяц назад
The bestfetty imekuwaje hapo
@tukuyufm.
@tukuyufm. Месяц назад
Hahaha wameitrack na kuiiba sehemu
@ChristinaThomas-y8m
@ChristinaThomas-y8m 13 дней назад
Mungu yupo atakulinda
@gilbertmwakalebela2862
@gilbertmwakalebela2862 Месяц назад
Wabunge wengi wanachangia hoja za siku zote japo ni muhimu kama( barabara, maji, afya ) na mambo mengine yaliozoeleka. Lakini ukija upande wa kuisimamia serikali na kuishauri hawatimizi majukumu yao sijui kwakua ni ccm au uwezo wa kuchambua mambo kitaalamu ni mdogo. Mfano mzuri wa kuisimamia serikali ni kuhoji vitu kama anavofanya Mpina, na ndipo tunaweza kuona madudu mengi lakini kwa kunyamaza tu kwakua waziri ni ccm mwenzangu ndio hayo Bunge lijayo tunanza kujadili hoja zilezile za Bunge lililopita kwakua wabunge hawachimbi vizuri mambo mengi wanachangia kihoyahoya tu.
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk 29 дней назад
Bunge ni la majuha watupu mpina mwamba
@Nkonyololuchana
@Nkonyololuchana 26 дней назад
Mpina ndio mbunge wetu watanzania tuko pamoja nae
@DenisonTheonest-yj3mk
@DenisonTheonest-yj3mk 29 дней назад
Mbeya watanzania tunawalaumu ninyi mnatuletea mini bungeni
@danielmgalla558
@danielmgalla558 Месяц назад
Kuwa na discipline kwanza
@joshuanjau3429
@joshuanjau3429 Месяц назад
Do know meaning of discipline?
@danielmgalla558
@danielmgalla558 Месяц назад
Mfundishe discipline kwanza rafiki ako, akagombee ubunge chadema next year
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui Месяц назад
WEWE MPINA AJAKUWA MBUNGE KWA NGUVU ZA JPM
@joshuanjau3429
@joshuanjau3429 Месяц назад
@@danielmgalla558 poor 🧠
@geraldluiso6792
@geraldluiso6792 Месяц назад
Una umaskini Gani?
@AliAliahmada-ht4ri
@AliAliahmada-ht4ri Месяц назад
Acha sababu xa kitoto izo,.kwani ulipoingia bungeni ulikuwa unatoka katika familia ya kitajiri hata leo ufukuzwe kwa umaskini, weka wazi sababu za kufukuzwa usidanganye umma.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Месяц назад
Hivi akili yako ina akili
@PastorMasasi-vg1qh
@PastorMasasi-vg1qh 27 дней назад
Mpina tuko na wewe
@joeljames8420
@joeljames8420 Месяц назад
Unajitetea kitoto kama vile sio msomi. Ulitumwa kwenda kusema nje ya Bunge? Hapo ulitereza Mr waziri Mustaafu.
@HappyBooks-dj6oy
@HappyBooks-dj6oy Месяц назад
Hauna Story
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 Месяц назад
😢😢😢
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Месяц назад
UNATAFUTA KIKI WEWE UNAJUWA VIZURI SHERIA ZA BUNGE
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 Месяц назад
Huna lolote unashindwa kuona mchango wa huyu mwamba unazani godfather wa mwiguru ni nani kama sio samia uwe na akili ya kuona mbali huyu jamaa ni jembe yupo tayari kumwaga ugari Kwa ajili ya wapiga kula
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Месяц назад
@@shijandobehe4953 KIKI HIZO ATAPEWA UDIWANI 🤪🤪🤪
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm Месяц назад
Mpumbavu sana wewe huna lolote.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Месяц назад
@@JesusJesus-ny1sm ASANTE PALOKO UJUE HAKUNA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Месяц назад
Ndio shida yako ww ni mbinafsi na kiburi mbona ulipokuwa waziri haukutushitakia eti unatoka familia masikini miaka 20 bungeni njoo kitaa uone familiar masikini lofa sana ww
@user-zn4jl5wy3d
@user-zn4jl5wy3d Месяц назад
Mwongo na anatafuta huruma kwa watu wasiofikiri. Huyu ni kibaraka wa viwanda vya sukari
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 Месяц назад
Saws kwahiyo viwanda vyasukali vife mwambieni raid avifunge ndio utawala bora
@zuberisalum2004
@zuberisalum2004 Месяц назад
Na mashamba ya miwa wapewe nguruwe usitetee watenda dhambi kaka waache wajitetee wenyewe
@FelicianSimon
@FelicianSimon Месяц назад
Akili yako ndogo ndugu
@bundalathomasyohana-yu3ld
@bundalathomasyohana-yu3ld Месяц назад
😮
@ramadhanikatongo305
@ramadhanikatongo305 Месяц назад
Shida yake huyu mtu hana nidhamu ikiwa ni pamoja na kufuata utaratibu, alitakiwa asubiri hukumu ya tuhuma zake dhidi ya waziri lakini hakufuata utaratibu huo. Kwakawaida huwezi kupeleka kesi mahakamani halafu kabla ya hukumu wewe huku ushaanza kushughulika nayo.
@worldherotv
@worldherotv Месяц назад
NDUGU YANGU UNATAFUNWA NA JEURI YAKO ULIYOWAFANYIA WAVUVI WA NCHI HII. NA BADO UTARUDI ULIPOANZIA
@FelicianSimon
@FelicianSimon Месяц назад
Ww kenge
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 23 дня назад
Mpuuzi wewe...chuki zako na kutaka sifa sasa unalialia nn...pumbavu sana
@Mumewangu
@Mumewangu Месяц назад
Ulikuwa unyamaze tu kimya utafute ugali umejitia kimbele mbele kutafuta umaarufu sasa yamekukuta nyamaza kimya! Mwanakulitafuta mwana kulipata.
@WilbertMalula-vv7ml
@WilbertMalula-vv7ml 23 дня назад
HII NCHI INAHARIBIWA NA WATU KAMA WEWE ,HUWAHURUMII WATANZANIA WENZIO UNATAKA ZURUMA ZIENDELEE NCHI HII
@andrewmbwiga1389
@andrewmbwiga1389 Месяц назад
😅bado haijaisha
@isolatedman-ou7ok
@isolatedman-ou7ok Месяц назад
Ongea kiswahili vzr hujuw hata kuongea unataka uwaziri siulipewa lkn ulikushinda nenda kalime kijijin kwenu huko
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад
korona
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
USITAFUTE HURUMA
@worldherotv
@worldherotv Месяц назад
Kwani uganga ni kashfa
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Pumbavuu
@JimongMchele
@JimongMchele Месяц назад
Saw mtoto wa mbashe
@FelicianSimon
@FelicianSimon Месяц назад
Kichwa chako kina kamasi tupu
@user-qi7px6nb8r
@user-qi7px6nb8r Месяц назад
Mpina unatafuta nini? Hauna jipya wewe ulikuwa waziri je ulifanya nini? Kaa kimya mzee.
Далее
вернуть Врискаса 📗 | WICSUR #shorts
00:54
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Просмотров 58 млн
Мыла наелся
0:21
Просмотров 4,1 млн
Czn Burak vs Argenby Which sigma is better?
0:19
Просмотров 14 млн