nmekuelewa sana dingi, hebu ngoja nami nisubiri banda lijae mana nmechoka kula marage! si mimi tu hop watanzania wote labda tuwe na subra daaah! nmekuelewa sana sjui ka wamekuelewa ka umemsoma Mjomba gonga like kuonyesha umechoka marage hahahahaaaaa
You are the best in Africa my father only you you are last Odia Warrior in Africa more people have to suffer more people have to die don't ask me why it is Africa natural mistake
Mjomba wimbo ni Mzuri sana ila huwa natumia muda mwingi sana kuelewa. ...I have dream...want to meet you one day. nahisi siku hiyo maswali yangu yote yatapata majibu sahihi.
KUKU ANAE TAGA ACHIJWI AKICHIJWA MSIBA. TUSUBIRI ATOTOE TUHESABU VIFARANGA NA MAYAI VINZA. HESHIMA AKO MPOTO. AWAIJUI MIIKO KUA SI WAFUGAJI UKUTA VIMETEGWA KWENYE SAHANI.
Twasira kamili inadhiirika Nyumbani +254 kwasasa.sijui tuzike au tehesabu idasdi ya maiti zinzotembe kwanza.Mjomba natamani tukutane kumikumi kwa Wallah Bin Wallah kwa mara nyingine mwaka huu.
Sasa, na vp wale waliokua wanaish kwenye nyumba bila kutupa taka wala kwenda chooni. Au yale mashimo yaliyochimbwa, yalishafukiwa? SIZONJE..! Hiki ni kitendawili. Lkn je, utakitegua au utanipa mji ili nikutegulie? Salute mkuu. Naamin tunaokuelewa ndo uliotulenga kutupatia ujumbe huu.
Kama tumechoka maharage, tusubiri basi kwanza banda lijae ... ha ha ha nadhani baada ya miaka saba litajakuwa limeshajaa, mitatu iliyobaki tutaanza kubadili mboga. Boooooooomm!!! 🔥🔥🔥👊👊👊 LIKE kama umemuelewa MPOTO!! 😃😃😃
Jamani huyu jamaa ni nowma sana, apewe sapoti muziki wake ufike mbali, maana anaongea maneno kuntu sana, maana mashairi yake ni kama dawa, kama unaumwa lazima upone, nakukubali sana mpoto, mungu akupe maisha marefu
huyu kuku anataga mayai mengi sana na tuna shaka kama atatotoa yote: mipango na miradi mingi inaanzishwa, he ataiweza yote? sizonje kila anayeingia ndani anatoka nje sijui ni kwa nini: uongozi ni dhamana ya muda maalumu na wakati ukifika utaondoka tu.
Nilikuita ili uingie ndani kwasababu kila anayeingia ndani lazma atoke nnje.......... Kiukweli watu wanalia...... Wapo wanaolia kwakuhisi wamedanganywa......... Wali mweupe kwa sheikh.....
Unaonaje tuzike kwanza au tuheaabu idadi ya maiti zinazotembea ....duuuuh #nimekupata mkuu m naona tuzike tu tukihesabu haziishi mbona znaongezeka alafu zitatuozea bora tuzizike tuuu
Shikamoo Anko mpoto Ijapokuwa wengi wetu inatupa kazi kuielewa fasihi ya nyimbo zako lakini buradani tunaipata na hiyo ni moja ya kazi za fasihi kuburudisha ingawa naamini msingi kuu ni message that Is to be communicated kwa hadhira sikati tamaa nitaisikiliza hata mara mia ili tu niburudike na ujumbe niupate Ikiwa vema tuwekee wepesi tuelewe vema na mapema kabla time haijaitwa too late
Mimi nimekusikia sana mwl. Wa kiswahili s/s. Tz, hyo misamiati naielewa sana ila! unapoiunganisha na kuzaa sentensi ndo tunakopishania mkuu. Sizo za nje sura zilizopo ndani.