Тёмный

MSAFARA WA LISSU WAINGILIWA, WASIOJULIKANA WAMFUATA KWA NYUMA, WASIPOJITOKEZA, ATAWAANIKA HADHARANI 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 164 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Msafara wa Lissu waingiliwa, watu wasiojulikana wafuatilia msafara wake hadi kwenye mkutano wake katika Jimbo la Singida Kaskazini, awapa muda wajitokeze, wasipojitokeza kesho Alhamisi atawaanika, apata picha zao.
Zaidi: • MSAFARA WA LISSU WAING...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

4 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 85   
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 2 месяца назад
Mungu akulinde na kukutea na Damu ya Yesu ikufunike popote ukanyagapo🙏🏽
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 2 месяца назад
wakitaka kukufanyia ya miaka ile hawata toboa sisi wanainch tukomacho lisu oyeeeeeee 😅❤❤❤
@florencejohn6427
@florencejohn6427 2 месяца назад
Jamaa anajua sana kuelezea mambo
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 2 месяца назад
Ni fundi wa mpangilio wa maeneo yenye akili Sana. Sijawahi ona tangu niwaone wanasiasa. . Ana akili kuwazidi ndio maana wanamuonea wivu. Mungu ni hakimu mzuri.
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 2 месяца назад
Kama unatetea Haki ya watz mwenyezi Mungu atakutetea ktk jina la Yesu Amin
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 2 месяца назад
Tundulissu nakuombea Mungu akulinde daima, hao wanaokufuata kimya kimya siyo watu wazuri! Kwani kama wangekuwa watu wazuri wasingekuja kimya kimya! Hebu waweke wazi ili washughulikiwe na wananchi! Kama wataendelea kimyakimya hebu onyesha vijana wako na wananchi kwamba hawa ili wananchi washughulike nao! Kama wametumwa wajaribu tena waone Mungu atakavyokutetea!!!
@user-mm6sm9rt9x
@user-mm6sm9rt9x 2 месяца назад
Mungu akulinde kaka Lissu For sure you create much awereness among the Tanzania! Binafsi Toka nimeanza kukusikiliza nakuaminia sana Uoga nishaachana nao!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Tanganyika yetu Amani inayoimbwa na viongozi wa chama na serikali I WAPI🤔🤔🤔🤔💔
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 месяца назад
Hivi tunashindwaje kuwateka nao hao waitwao "wasiojulikana???"kulalamika lalamika tu ni uzembe,ifikie kipindi chadema izalishe vijana wakakamavu wenye ujuzi wa kutumia silaha zote,ili tudili vema na hawa wapuuzi,kama noma na iwe noma
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 2 месяца назад
Wasenge waache usenga ww Ndo mtetez wetu mungu atakulinda
@musamwambene1323
@musamwambene1323 2 месяца назад
Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana
@jerumayamwasomola1065
@jerumayamwasomola1065 2 месяца назад
Ameongea Kwa hisia sana
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i 2 месяца назад
Nashikwa na hasira sana na hao watu
@eliajimmy95
@eliajimmy95 2 месяца назад
Atuonyeshe tu hao watu watajua hasira za sisi wananchi
@ElizabethMwalongo
@ElizabethMwalongo 2 месяца назад
Yaani wasijaribu Mungu wa Tundulisu anatisha
@JacksonBayyo-uo3eg
@JacksonBayyo-uo3eg 2 месяца назад
Uwe na amani usiogope🎉
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Waulizeni Amani.ipo Selikali.jibu.?
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 2 месяца назад
TAIFA, SERIKALI, POLISI JE BADO MTAKAA KIMYA KWA HILI NALO!! KAMA.MLISHINDWQ KUFANYA UCHUNGUZI ina maana bado mnamfuata!! Ni Uchungu mkubwa sana kama haya mambo mnayo!! Jeshi la polisi mmemsikia msikae kimya kwa hili !
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Hao wadhalimu Hawata weza kwa jina la Yesu allah akbar
@omaryidd4373
@omaryidd4373 2 месяца назад
Lisu usifanye masihara Bado tunakuhitaji
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 2 месяца назад
Omary Idd ukimhitaji LISU, na wewe Mungu atakuhijitaji Damu ya Lisu mikononi mwako na kamwe hayuko mwanadamu yeyote awezae kuilipa damu ya mtu!!!! Utabaki na majuto, kilio na kusaga Meno milele kwa ujinga wako kisa uchawa tu uchawa wenyewe mnaambulia MAKOMBO YA MAFISADI WAO WANAKULA VINONO ILA NI HARAMU!!! NCHI NI YETU SOTE TUBISHANE KWA HOJA ZA NGUVU SI KWA KUMWAGA DAMU MAKUSUDI NA ATENDAYE DHAMBI KWA MAKUSUDI HAKUNA MSAMAHA KWA MUNGU MILELE. OGOPA SANA HILO.
@user-cz3gk2op9r
@user-cz3gk2op9r 2 месяца назад
Perfect
@user-ms6wc7ug6w
@user-ms6wc7ug6w 2 месяца назад
Dah maskini lisu anapambana sana aise,mungu amjalie
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 2 месяца назад
Iliyobakia ni Kupiga kelele kote. CDM mko wapi? Viongozi amkeni mtoe matamko kwa umma na Jeshi la Polisi!
@AlexChawe
@AlexChawe 2 месяца назад
Hao walio tumwa watageukana wenyewe watafungana kwenye viroba watakufa wao
@avithmassawe8205
@avithmassawe8205 2 месяца назад
Kuna jamaa kavaa koti la jeans kabeba kibegi hapo naona kajistukia kafichaficha uso, kageuka baada ya kuona camera inam mulika yeye akaamua kuondoka. Ndo mmoja wapo ama??
@lonyorilaizer2649
@lonyorilaizer2649 2 месяца назад
Jembe la Taifa
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 2 месяца назад
Wanaweza kumwua , tatizo vita wanamiliki uchumi yaani CCm anawavua nguo wako uchi!!
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 месяца назад
Dawa yake wakamatwe na wanainchi wamaeneo hayo wapigwe sana
@saiddaji6342
@saiddaji6342 2 месяца назад
Mungu akulinde jembe letu
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 2 месяца назад
Naomba muungano wetu ujitetee na siyo viongozi kuutetea, kama ni mzuri utajitetea, kama unafaida utajieleza la sivyo serikali 3 ndiyo mwarubaini hauepukiki
@user-kj5jp2ii5n
@user-kj5jp2ii5n 2 месяца назад
Mbunge wa hapo ni nani? Alihusika vipi na issue ya Dr. Ulimboka kung'olewa kucha? Anzieni hapo kwanza!
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 2 месяца назад
Kama mnijua hiyo gari kwani msiwaue, maana wataendelea kuua kutesa
@JacksonMahende-ho2wb
@JacksonMahende-ho2wb 2 месяца назад
Hao washighulikiwe na wananchi mapema Kwa kipigo na kuchoma Hilo gari kama hawajilikani
@ahmedhamis
@ahmedhamis 2 месяца назад
Ngoja tukusaidie kazi ya kupambana nao
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 2 месяца назад
mungu hata hendelea kuku linda hende lea kutu tetea
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 месяца назад
Watu wasiojulikana na serikali yenye mamlaka,na mkono mrefu wanatutisha,na kutudharau kwasababu ni kundi lililoundwa kisiasa na serikali,kwa faida za kisiasa. Ni aibu,na uongo kwa serikali kukaa kimya tangu 2015 mpaka 2024!
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 месяца назад
Sasa nikulize magufuli yupo hapo hao niwanani unajua kaka jitaidi usikariri walifu wabaya wapo tu Leo magufuli hayupo hao wanatoka wapi chukua tahadhari nahao vibaka
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 месяца назад
Season moja inaitwa PORUS. Ni nzuri kuingalia. Wahusika PORUS, mfalme Alexander, mfalme bamni, dalayasi. Nchi ambayo mfalme Alexander na dalayasi walitaka kuiteka na kumiliki kwa sababu ya utajiri. Wake. Season hiyo inaweza kuelezea hali halisia ya nchi nyingi za kiafrika.
@MataighaTiro
@MataighaTiro 2 месяца назад
Kwa hiyo nawewe unatuzibitishia kua magu ndio alitekeleza au mnaumia kila kitu
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 месяца назад
@@MataighaTiro hujuwi kuhoji soma vizuri SMS nimekuliza milimtuhumu magufuli kua ndio alie watuma Leo hao wametumwa nanani
@JacksonFrances
@JacksonFrances 2 месяца назад
HAO WASIOJULIKANA KWANINI Mheshimiwa Lissu USITUONESHE TUANZE KUWASHUGHULIKIA ILI IWE FUNDISHO KAMA HAWATAKI KUJITOKEZA HADHARANI ?"
@judicateurassa7817
@judicateurassa7817 2 месяца назад
Íli watanzania wawajue
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s 2 месяца назад
Kiukweli lisu nimkombozi wetu. Nikiwa Chama tawala mnampiga vita. Basi anayosema ni ya kweli. Na ukweli huuma mungu anamakusudi nae. Msitake kushindana na mungu.
@judicateurassa7817
@judicateurassa7817 2 месяца назад
Mheshimiwa tunakuomba utuonyeshe hao wasiojulikana
@didaslunkoto
@didaslunkoto 2 месяца назад
Hata 2017 ulisema mapema kuna gari linakufuata kila mahali matokeo yake yakawa kama yalivyokuwa. MUNGU mkuu akulinde. Malaika wa Bwana wakuzingire
@AthumanDauda
@AthumanDauda 2 месяца назад
Mungu mkubwa atakulinda
@ajmstationery6157
@ajmstationery6157 2 месяца назад
Brother Lisu usikawie kuwaweka hadharani tafadhali, ni hatari haina haja ya kuwataarifu
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 2 месяца назад
Acha ujinga lisu mzazi anapaswa kujua mwenendo wa mtoto wake
@prospermalala6636
@prospermalala6636 2 месяца назад
Hakika IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu, Sasa CCM uwezo wa kujibu hoja zinazo elimisha jamiii ielewe kinachojiri kwenye Taifa letu, ndiyo maaana wamekuwa waoga wakiambiwa ukweli wanakimbilia bunduki, wakizani wapo salama ktk USO wa Dunia, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha/ Tanganyika yetu
@e11said23
@e11said23 2 месяца назад
Unaweza kusoma sawasawa kama wewe lakini mzee yani wewe una mamayako yeye hawezi kua mama yako unaashiria nini kwa maoni yangu daa pole mzee tafuta sera ama chukua mamilion unayo pewa ya demokrasia yako upige round tu
@dottomatola5905
@dottomatola5905 2 месяца назад
Akili ya kuambiwa changanya na zako
@theonalyalfred8087
@theonalyalfred8087 2 месяца назад
Waseme mapema watakuuwa
@malingazeboss9351
@malingazeboss9351 2 месяца назад
Time hii hatoki mtu... Lisu akiwanyoshea kidole tu tuna chinja wote hatuta jali chochote.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
👍✌️🙏.
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 2 месяца назад
HAO WANAOMFWATILIA MHESHIMIWA LISU WAACHE MARA MOJA WAKIMDHURU TENA HAPATATOSHA ,DAMU YETU ITAKUWA CHAI. WATAINYWA. HATUTAKUBALI TENA. YANAYO SEMWA NA TUNDU LISU YANAUKWELI 100%
@allyshaban406
@allyshaban406 2 месяца назад
Ok
@deogratiustweve2611
@deogratiustweve2611 2 месяца назад
Chamaa kiandae vijanaa wakakamavu
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад
Washindwe
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si 2 месяца назад
Sasa gari linakufuata na umewaona si uwaulize ? Kama uliomba ulinzi vipi uwaongope hao walinzi? Usilete ngojera hapa ,! Sasa kila mahali ulipo.wapo mbona wasikudhuru?
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 2 месяца назад
Unaliwa nyuma wew
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 2 месяца назад
Ungeongea unaonekana ungeflayi we msenge
@gangan4618
@gangan4618 2 месяца назад
Wageni waondoke by mbarikiwa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 месяца назад
Utrina ubee Lissu tozo,zimetuumiza 25000 hio kutesa raia, shule zilkwepo,mkoloni alijenga shule nyingi,hakukua na mchango,wino na madaftar ilikua bure, hio n kweli,huna baya,
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 2 месяца назад
Zamu yao tuambie tu tunyoke nao
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 2 месяца назад
Tuonyeshe tu
@BarakaYasini-lp3ys
@BarakaYasini-lp3ys 2 месяца назад
Catholic church movement yani ccm 7:31
@allyshaban406
@allyshaban406 2 месяца назад
Kamanda tuambie tuanze nao,
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 2 месяца назад
Tanzania strong hold opposition tundundulisu complain about been following by car wich they don't adentefy every place whatever goes on his rally give them worning and say has got no trust with. That car if is gavment car following him every place whatever goes has say tundundulisu if your a gavment official better tell me saylence or l tell my saport to do what they can because al afraid following by car wich l don't adentefy it can be seem problem wich was happening on palament Palestina place been shooted by 16 bullet Tundundulisu explanation if truth mince ccm leadership is they responsibility to protect this tanzania opposition by all cost Incase happened again his life been lost will be a big problem into Tanzania gavment because every where opposition has to be protected by send gavment even if is opposition we sighin agreement on intranational ecle protect opposition into Tanzania national consern his life is under ccm leadership protection remember has came out under German embassy security goes outside of tanzanian world is worching tundundulisu vary close and Africa national following tanzania politics vary close is up to ccm leadership see strong hold opposition in vary sensitive way let asepty compation of politics like Kenya Malawi Zambia sauthafrica the end of day tanzania is one send peaple seem national we are not spouse to be one single nation we hart each other or crush among ourselves we are Tanzania into one single nation call Tanzania
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 месяца назад
Safari watasababisha machafuko
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 месяца назад
Acha uoga piga kazi usiogope
@eliajimmy95
@eliajimmy95 2 месяца назад
Fala wewe
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 месяца назад
@@eliajimmy95 huna hoja zumbu kuku
@Charleshangaya
@Charleshangaya 2 месяца назад
Unasema hukulia niwewe hata hivyo hatuwalilii waliokufa maana tumaini letu si kwa wafu usilaumu wafu lisu mwanga sela zako achana na magufuli hicho nichwa kingine tz hapa tukuambie
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 2 месяца назад
Pontio Pilato anatajwa kila siku tukumbukapo kesi ya Yesu Pilato yupo? Historia haijawahi kufa.
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 2 месяца назад
usiogope MKUU
@samsonmweta5040
@samsonmweta5040 2 месяца назад
Kiki
@BarakaYasini-lp3ys
@BarakaYasini-lp3ys 2 месяца назад
Tanu ni Tanganyika afrika nation union Asp ni Afrika shilazi part unganisha vyama hivi viwili Kama utapata hata helufi moja ya ccm bari ccm utapata Catholic church movement
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 месяца назад
Akili ikusaidie kukuongoza kufika msalani!, Kuhusisha CCM na mambo ya dini ni utapia mlo wa akili. Orodhesha viongozi wakuu wa CCM kila mmoja na dini yake tujue ni wangapi ni wakatoliki. Acha chuki na uchochezi wa kidini, vinginevyo ni ukosefu wa akili na hoja!
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Huu kuweka udini au udhehebu na ukosefu wa ufahamu acha huo upumbavu jitafakari
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 2 месяца назад
Mungu akulinde Lisu
@musamwambene1323
@musamwambene1323 2 месяца назад
Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana
@dottomatola5905
@dottomatola5905 2 месяца назад
Akili ya kuambiwa changanya na zako
Далее
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
BALAA! CHAULA YUKO WAPI?
6:53
Просмотров 165
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
Просмотров 764 тыс.