Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikiwa ni wiki mbili zimepita toka alipojiunga na Chama hiko akitokea Chadema.
KURUNZINZA UNAMFANANISHA NA MBOWE . UNA MAANA GANI . Usizungumze ya wengine wala kufananisha na wengine tena sio wa nchi yako.Wewe ni wa ajabu sana. Kila mwenye akili anakushangaa kwa sababu umekuwa ukila na hao Chadema zaidi ya miaka 20 leo ubaya wao umetoka wapi?
Matako zenu chadema Msigwa amenda kwa wenye kujielewa siyo huko kwenu miungu watu mwenyekiti anakaa maisha kama mfalme Msigwa kachagua palipo na nema Msigwa anajielewa nye mazuzu endeleni kumuabudu Nkurzinza wenu 🤣🤣🤣🤣
Huyu amekwishsaa kisiasa baada ya miezi sita itakua hasikikii tena atumie hivo vipesa alivopewa vikimaliza ashukuru mungu hao ccm hawatamuamiamini hata siku moja
Wewe si ndio Nkurunziza ambaye unataka uongoze peke yako umeshindwa ukakimbia kisa njaa na cheo na chama kisipo kupa uongozi utaondoka na huku. Waheshimu viongozi wa CHADEMA huku ccm hatutaki fujo
Msigwa wewe nimwongo huna akili kushinwa uchaguzi kwako na kuhamia chama kingine sio uukashifu uliko toka wewe ni mchungaji uwe na maneno yenye yanayokujengea heshima.
msigwa kwanza natamani kujuwa uwezo wako wa kufikiri je kumuita mtu kurunzinza huijuwi siasa huyo unaye muita kurunzinza arikibia taifa huyo sio mzarendo wa taifa rakini baada ya ❤mama kushika taifa baada ya baba kufa waereze kuwa huyo rissu😮 ariwahi kusema kuwa hajawahi kuona toka taifa rinapata uhuru hajawahi kupatikana raisi kama mama samia nakumbuka kipindi unatowa kauri hiyo rissu wewe urikuwa uberigiji na mbowe arikuwa mateka 😅😂 huyo rissu ndiye mtu wa kwanza kumuomba raisi mariziano ikiwemo kuomba kufutiwa kesi mbowe nasauti hiyo irisapotiwa na watanzania wa dawasipora warioko inje na mama arisikia ❤akaruhusu mbowe afutiwe kesi turiona mbowe baada tu ya Kuachiwa tu arikwenda ikuru arivyo toka ikuru mbowe akiwa kwenye mkutano wa kinamama chadema arisemaje juu ya kumsifia mama samia❤❤leo mnajifanya hamjuwi mema ya mama samia jamani mnyonge mnyongeni ira haki yake mpeni ❤❤❤❤mama unaweza nachamwisho namuomba mama ❤❤awaache wafanye kapeni nawewe mama bajeti yako ya kapeni juu ya uraisi fetha hizo mama❤ erekezea kwenye maendereo nakisha siku ya mwisho kwao tufunge wote ccm jangwani nawao wawe uwanja wa taifa mama nikutowe wasiwasi unawashinda mbari haijawahi tokea hata kesho wasi wasi wangu nindani ya ccm tu mama ira huku mtaani mama una maua yako❤❤❤❤❤❤❤❤mama tunakuomba ukipata mda karibu msm dc mengi umeyqfanya ❤kwa vitendo
Ni kosa kubwa na unastahili kukamatwa na kuwekwa kizuizii kwani unahatarisha mahusiano mazuri ya kidiolomasia.. nkurunziza Ni Rais WA nchi. Tena Kwa sasa Ni marehemu. Shika adabu yako. Na mh Rais Samia. Plz plz.plz. mchikulie hatua za kinidhamu msigwa ili tabia hizo zikomee hapo hapo.
Hukumu ya yunda askarioti pita hukumu Yako inakuja makani utaona Cha mtemakuni ktk sanduku la kura labda usipitishe na ccm aibu itakupata mungu hacheleweshi
Eti njaa hivi nye lini mtakubali kwamba CCM ndo chama imara ndani ya Tanzania mtatukana sana lakini ukweli utabaki palepale Tanzania bila CCM haywezekani 🤣🤣🤣🤣Sisi na Msigwa 🥂🥂🥂🥂🥂🥂
Wewe Ni Njaa na HAKUNA Hoja Ya Msingi Hapo Na Mbowe Sio Nkurunzinza Bali wew NDIYE!!! Huwezi Huwez Jenga Hoja Tena za Msingi Zaidi Utasifia2 Na SHIDA Yako kubwa UNAPENDA Sana MADARAKA na UONGOZI!!!!! KUKOSA Uenyekiti Kanda Unakimbia Kambi kwa njaaa wew Sio Kiongozi HATA Kidogo.