Тёмный

MSWAHILI: ATENGENEZA GARI KWA KUTUMIA INJINI YA PIKIPIKI / INAKIMBIA SPEED 120 KWA SAA / WATU WAWILI 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 526 тыс.
50% 1

MSWAHILI: ATENGENEZA GARI KWA KUTUMIA INJINI YA PIKIPIKI / INAKIMBIA SPEED km 120 KWA SAA / WATU WAWILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 628   
@ruthwatson3057
@ruthwatson3057 2 года назад
Mungu amjalie kaka yetu kwa kujitahindi. Milango yake ya bahati ifunguke na aweze kuendelea na sifa mzuri na mafanikio ya nduniani isimpite hata kidogo. Hongera sana mdogo wetu🙏🙏
@dille_td
@dille_td 2 года назад
♥️
@godifrey5268
@godifrey5268 2 года назад
Asante
@trio12gito
@trio12gito 2 года назад
Kazi nzuri kijana. Serikali iwasaidie vijana kama hawa katika kujiendeleza katika ubunifu.
@ayshaaisha7630
@ayshaaisha7630 2 года назад
Maishallaha mtaji wamasikini ninguvu yake mwenyewe allah azidi kuwatia nguvu papanene tutafika
@djddjd2726
@djddjd2726 2 года назад
Wow that's nice keep it Mungu azidi kukuongezea hicho kibali
@mahmoudmeja2469
@mahmoudmeja2469 2 года назад
Hongera sana kwake hivi ndo vitu tunavyovitaka Tanzania…. Investors muiangalie hii kwa hicho pana saaaanaa jamaa anajua kinachotakiwa hapo ni support sasa….
@henrystanley4077
@henrystanley4077 2 года назад
Duh safi sana n hongera sana kijana wa kiafrika kufanya ubunifu mkubwa namna hii🇹🇿😘
@saidathuman2998
@saidathuman2998 2 года назад
Safi sana mzee kwa ubunifu mkubwa. Big Up
@mnyampaamnyampaa5780
@mnyampaamnyampaa5780 2 года назад
Safi sana mzee Zembwela. Nadhani hii clip ingewafikia viongozi
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mashallah, hongera sana mdogo wangu kwa kazi nzuri
@mugoaron7937
@mugoaron7937 2 года назад
Mwanzo mzuri
@georgengolo4553
@georgengolo4553 2 года назад
Au wa mecall mbona kama siyeye
@officialmadylove4418
@officialmadylove4418 2 года назад
Safi sana kwa ubunifu
@joelchomete2372
@joelchomete2372 2 года назад
Mwenyezi mungu alinde African huu mtanzania ni Bora na miongoni mwa wakwanza ktk greatest artist
@rezikomer9552
@rezikomer9552 2 года назад
Namufurahikiya saaana mashaaallah mungu amubariki
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 2 года назад
Ongera Sana kwa ubunifu, endelea na fuata mawazo ili ufanye Jambo kubwa zaidi ya hilo
@azizally5283
@azizally5283 2 года назад
Hongera sana kijana mwenzetu ushauri uliopewa ufanyie kazi tengeneza kikubwa zaidi
@laurentjoseph5646
@laurentjoseph5646 2 года назад
Nimependa Sana hiyo gari, Wa TZ oyeeeeeee! Kumbe tunaweza bana nakubali wazee
@Khadija-qr4cr
@Khadija-qr4cr 2 года назад
Hongereni sana mmejitahidi sana na nzuri sana
@matimati7013
@matimati7013 2 года назад
Mtangazaji fala Sana Ana choyo Sana na kuhusudu na kudharau. Hafai hata kuwepo kwenye screen mjinga. Aende akadome. Mpe moyo, msifu mpe matumaini. Kaka Safi Sana jitahidi kuwa creative mungu akuongoze ufanye makubwa.
@benedictkihombo348
@benedictkihombo348 2 года назад
Hongereni sana jamani Vijana kwa ubunifu wenu mzuri,,, Serikali iwaangalie kwa jicho la tatu iwawezeshe.
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 2 года назад
Kazi nzuri sana umeifanya ila ushauri uliopewa na mzee mbwela n mzuri sana kiongeze kiwe na space ya kutosha kitakuwa kitam sana
@evelyneproduction7343
@evelyneproduction7343 2 года назад
So talented, Mungu akusaidie sana ufika viwango vya juu
@juliusmayala5770
@juliusmayala5770 2 года назад
Wapo vizuri tatizo mtaji
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Ubunifu wa hali ya juu sana 🙌🇶🇦
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Sana
@ommythebestotb4383
@ommythebestotb4383 2 года назад
Shida turiyonayo katika taifa letu_hatutakikabisa kuwapa_sapota VIJANA wabunifu. Kijana hongera!!! Mm nikushauri ukomae zaid acha kutegemea saaaana serikal. Hongera sana
@irenejoseph5925
@irenejoseph5925 2 года назад
hongera sana
@edwardmyinga3030
@edwardmyinga3030 2 года назад
Hongera sana Godfrey,ww nimekuvulia kofia,maana nifundi mzuri sana wa magari, now umeunda chako,Hongera sana
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 2 года назад
Yuko sehemu gani uyu mwamba
@godifrey5268
@godifrey5268 2 года назад
Asante
@j.a.c.o.4429
@j.a.c.o.4429 2 года назад
@@godifrey5268 mwanang saanaa unapatikana wapiii naomba namba yako
@PelnesWilbard
@PelnesWilbard Год назад
Yes vizuri sana
@jomba6514
@jomba6514 2 года назад
Mungu awasimamie mfike mbali ila mtangazaji kweli mswahili khaaa
@gladwelltailor
@gladwelltailor 2 года назад
Well done Tz for Africa keep going with engineering 🇰🇪🇬🇧✍🏽📖🙏🏽
@sabunitv2121
@sabunitv2121 2 года назад
Saf San shida hawatamuona dah
@gladwelltailor
@gladwelltailor 2 года назад
@@sabunitv2121 write to samba suruhu might be a solutioin to exposing tz to the world 📖🛐🙏🏽
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 2 года назад
Nimeipenda.hongera sana fundi.pia bwana zebwera umenifurahisha sana umempaisha Jamaal mtanzania.nipe tano
@stewartomary8922
@stewartomary8922 2 года назад
Kweli ww kabali Yao babu,chuma big up brother 🙌 umetisha sana hapo kwenye gearbox mzee
@hendrykessy2007
@hendrykessy2007 2 года назад
Ubunifu mkubwa sana kijana mwenzangu Mungu ajalie upate watu wakukuwezadha upige atua kubwa zaidi dunia ikutambue kwa ubunifu wako
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 2 года назад
Hongera sana kwake kazi nzuri sana
@charleswaraka821
@charleswaraka821 2 года назад
Acha ufala we mtangazaji sasa unawakosoa hao jamaa unajikuta fundi kumbe msenge acha dharau, Hongera sana hao jamaa
@cyprianerick5980
@cyprianerick5980 2 года назад
Jaman awezeshwe anaweza naomba serikali imuendeleze ndo mambo yanavyo anza mapa kufikia kitengeneza magar yetu
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 года назад
Nimeipenda San hiyo ni kitu kikubwa San hiko watu kam hawa wangetusaidia kutengeneza nagari yetu wenyewe wapo wengi sana kama hawa
@fredkakamilion5497
@fredkakamilion5497 2 года назад
Very talented, congratulations brother
@jonajimify
@jonajimify 2 года назад
Hongera sana ndugu yangu. Omba kibali kwa serikali uweze kuunda magari kama hayo na kuuza....👍
@mamaprince5420
@mamaprince5420 2 года назад
Wabongo 2nakuwa wajuaji saaana kuliko mwenye kitu
@AsiaMkusa
@AsiaMkusa 2 года назад
Sasa hapo zitajitokeza mamlaka za ukaguzi kama mia na zitaleta Giza kwenye Nuru kama yule wa bajaji
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 2 года назад
Umeona sasa. Yani mpaka RITA wataenda
@reaganrogathi5615
@reaganrogathi5615 2 года назад
Nakubal
@husseiniddy5401
@husseiniddy5401 2 года назад
Na gari la kipanya
@taifocuscompany9246
@taifocuscompany9246 2 года назад
😀 Tanzania yetu
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 года назад
Safi Sana,zembwela huyo anaweza kufanya Zaid ya hapo tatizo mfukoni
@hojabinafsi1471
@hojabinafsi1471 2 года назад
Ndugu yangu unahoji kuhusu chombo au unaenda kutoa ushauri kwenye chombo cha watu, uliza next model itakuwaje
@zakatothman1645
@zakatothman1645 2 года назад
Simuelew
@TheNdaki
@TheNdaki 2 года назад
Respect Sana Kaka!
@galantsoldier9258
@galantsoldier9258 2 года назад
perfect timing to me, thanks bro.
@hamicbrighton4746
@hamicbrighton4746 2 года назад
Wewe mswahili unasumbua sana Yeye katengeneza ya kuendesha mwenyewe halaf una4ce ikufae wewe
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 2 года назад
Ingekuwa video chafu wangeomba connection but kwa ubunifu huu hawaongei🤭🤭🤭
@herielinassary3645
@herielinassary3645 2 года назад
Broo nakupenda sana toka ukiwa East Africa redio wee uko nakipaji toka kwa Allah aki unachekesha sana ataukiwa unabonga
@sicac33
@sicac33 2 года назад
Amejitahidi sana! Wange mpa msaada zika zalishwa in mass production then hata wakaanzisha michezo ya hii kama kuleta awareness
@januaryskale6130
@januaryskale6130 2 года назад
Hongera Sana ongeza bidii maana kipaji unacho
@tajirimubishiwaukweli2993
@tajirimubishiwaukweli2993 2 года назад
Big up sana kwa kazi
@kozzomix120
@kozzomix120 2 года назад
Akakakitu noma sana big up from BURUNDI 🇧🇮
@gaspargboy8893
@gaspargboy8893 2 года назад
Hongera mswahili
@-kagerayetubw9jx
@-kagerayetubw9jx 6 месяцев назад
Mtangazaji mjinga sana akuna lamana apo ety simama vizuri Angekuwa mimi unsinge nioji ningeondoka zangu
@NourdnNourdn-v9q
@NourdnNourdn-v9q 6 месяцев назад
Mtangazaj far kweli siungetengenez wew yaan unamfundish mweny kipaj chak watangazaji wengine siuach kaz iyo bol uwe polisi
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 2 года назад
Huyu jamaa ametisha sana🇹🇿🔥🔥🔥
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 года назад
Ni kama anajikuna upeeleee 😅😅😅 Lkn ame tisha sana awezeshwe 2 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bakariabdul8377
@bakariabdul8377 2 года назад
Nice job African boy... Good one...bei gan kama ukiamua kuuza au kama mtu akitaka umuundie..? Saafi sana mwanasimba...Simba wa Tanzania... Nchi ikushike mkono baana...
@edwinwaluye2161
@edwinwaluye2161 2 года назад
Huyu kijana anahitaji sana kushangiliwa na kupewa msaada ili akuze kipaji. Inafaa akapeleka ubunifu wake Kitengo cha Ubunifu UDSM - R&D kwani huko anaweza kupata wanataaluma wakaboresha zaidi hapo alipofika.
@agnesmpiluka7929
@agnesmpiluka7929 2 года назад
Amejitahidi sana serekar imuone kwa jicho la pili
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 года назад
kazi nzuri bro
@salimsaid8757
@salimsaid8757 2 года назад
Mswahili ukosawa Kwa upekuzi 👍
@emanuelcrispin5721
@emanuelcrispin5721 2 года назад
Jamaa Yuko vizuri amebuni
@damiantz9828
@damiantz9828 2 года назад
Hongera sana kaka unajua
@starlightstudios0
@starlightstudios0 Год назад
safi sana hii, ubunifu wetu Mtaani
@AminaLibisa
@AminaLibisa 6 месяцев назад
Nampa hongera uyo kijana kwa uvumilivu wa kumsikiliza uyo zembwela maana anaboa ningekua mimi ningemtimua so poa kumvunja moyo badala ya kumtia moyo
@YFM-rq9td
@YFM-rq9td 5 месяцев назад
Kweli ametumia Lugha za Kejeli sana🤔🤔 yaani
@matthewanatory8077
@matthewanatory8077 2 года назад
Duuuuuh Aise Huyu Jamaa nihatari Sana Nashauli Apewe ulinzi maana wadhung wanatabia mbaya kwa watu wetu Kama Hawa. Fantastic 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️
@augustinomsuya5585
@augustinomsuya5585 2 года назад
Hongera sana kwa kipaji ulichonacho
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 6 месяцев назад
Uyu mtangazaji msenge sanaaaa
@vigorous9112
@vigorous9112 2 года назад
Respect Sana'a kijana
@mamarazaki8975
@mamarazaki8975 2 года назад
Hongera sana 💯 kwa ubunifu
@shadrackfidel809
@shadrackfidel809 2 года назад
Idea ya mbunifu wetu ninzuri sana, ila mtangangazaji wetu dah kidogo kajisahau bana mimi nikihojiwa hivo naweza kujikuta napanic tu
@abdul-rahmanahmed2791
@abdul-rahmanahmed2791 2 года назад
Sio mbaya ni muamko wa kumfanya atengeneze kitu Bora zaid
@rehemaamry4585
@rehemaamry4585 2 года назад
Badala ya kuonyesha tukio...nae anashangaa
@mosesmusopole7032
@mosesmusopole7032 2 года назад
Malalamiko mengiiiiii,, sikiliza Kwanza mwenzako ndo Mwanzo wa ubunifu
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 года назад
Kbs
@dannyelias382
@dannyelias382 2 года назад
Hafai huyo mzee hajui kumtia moyo mtu
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
Mpaka anatia kichefuchefu na huyo jamaa ana moyo sana, me ningemfukuza sababu amejawa na kebei
@bittostar3524
@bittostar3524 2 года назад
Jamaa wafungue kiwanda,wanaweza sana
@changanikisesa7021
@changanikisesa7021 2 года назад
Wawoo well done brother very creative.
@binthatv2794
@binthatv2794 2 года назад
Safi sana félicitations ila jalibu ukapanue kidogo ili kisha uweke kiyo cambele ili upunguze mupepeyo wambele kaza Kaka umepatiya kabisa🇧🇮 😍
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 года назад
Honger sana kwa ubunifu broo!👊👊
@afandebrighttz2887
@afandebrighttz2887 2 года назад
Waswahili baraaaa
@simonandrew1489
@simonandrew1489 2 года назад
Mtangazaji ovyoo sanaaa afaih hata kidogo
@daboy_255
@daboy_255 2 года назад
Sisi tuna ma genius sana sema wazungu wako na wivu sana hawapendi tunachokifanya
@FatmaFatmA-qk3zl
@FatmaFatmA-qk3zl 2 года назад
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
@SheeeMundoo
@SheeeMundoo 2 месяца назад
Look so good idea
@obrigadoofficial1506
@obrigadoofficial1506 2 года назад
Ni vizuri tuka support vipaji like this 🔥🔥
@ikeallaround794
@ikeallaround794 2 года назад
Hii ni concept ya kile kigari cha lodilofa...wahenga mtakuwa mnanisoma.
@vuva_vuvaofficial6209
@vuva_vuvaofficial6209 2 года назад
Kazi safi
@eliakimhomanje2719
@eliakimhomanje2719 5 месяцев назад
Kijana hongela sana ila muandishi wahabari sijampenda mjuaji.
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 2 года назад
Safi sana ubunifu mzuri
@benjaminabisemba5331
@benjaminabisemba5331 2 года назад
Safi sana kabisa
@ismailkinyoz1617
@ismailkinyoz1617 2 года назад
Ujuaji mwingi zembwela .....unasahau jamaa kajitengenezea yy na vipimo aliweka kwa ajili yake sasa unalazimisha kiwe unavotaka wew.....All in All muhamasishe jmaa mana kajitahidi then weka oda yako akutengeezee unayotaka wew
@Movic5806
@Movic5806 2 года назад
Idea nzuri
@mughairy6314
@mughairy6314 2 года назад
Safi sana 🙌🏻 ila uyu mtangazaji nahisi kapiga tungi, ovyo kabisa👎🏼
@mussagmasembo2447
@mussagmasembo2447 2 года назад
Keep moving
@ramadhanimussa3961
@ramadhanimussa3961 2 года назад
hongera mwana tz mwenzangu yani roho imeniuma sana viongozi wenye dhamana mkoap wanatuzalau sana wenye vpaji mtaani kipaji chenye kuangariwa ni mpiratu jamani huo niutajiri veta mkoapi sido mkoapi kusanyeni vujana kma hao wengi wanaishia mtaanitu mnataka nani ajetusaidie r.i.p jpm ungekuepo saaizi nadhani tusikika sauti zetu
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 года назад
Muhusika ya hii Briefing ana uelewa mdogo sn wa kutofautisha maana halisi ya gari na pikipiki na ndiomaana kaweza kuongea kwamba "mtu katengeneza gari kwa kutumia engine ya pikipiki,hiyo siyo gari bado ni pikipiki sababu engine yake ni pikipiki,najua akil yake inajua kwamba kila chombo cha moto chochote kilicho na mataili manne bc ni gari lkn si kweli,mfano trekta siyo gari bali ni machine operate,yale yote makatapila siyo magari ni mashine operete,hivyo tofaut ya gari pikipiki ndege na kadharka ni Engine na siyo kingine
@salimaanna6898
@salimaanna6898 2 года назад
I love Africa! Total Freedom! No licensing to drive! Thank you God!
@ruthwatson3057
@ruthwatson3057 2 года назад
What r u talking about no licence to drive in africa? Not from our current africa plus this guy just said he is a driver. Where n how do u think he learned about how a manual transmission works? Vyeti viko mkononi. Of cause there is freedom but that does not mean no licences. Usipoteze watu kwa uongo.
@mixinfo6202
@mixinfo6202 2 года назад
That's not true.
@brownchuze4441
@brownchuze4441 2 года назад
Nice one
@Bongoviking
@Bongoviking 2 года назад
Hahahah lol unazani sisi wanyama?
@salimaanna6898
@salimaanna6898 2 года назад
@@ruthwatson3057 You are right, but maybe you didn’t understand my point. Does the driver have a license to drive that invented vehicle? If yes, when will it expire? In the USA that vehicle cannot be on the road. There are procedures to let it be on the road. I understand we are on the same page. You tell me. Is it true that if you hold a class c driver’s license, you are “legally” allowed to ride a motorcycle or other types of vehicle in Tanzania? I LIKE OUR (AFRICAN) LIFE STYLE. Elsewhere you must be licensed for different types of vehicles. I LOVE MY CONTINENT (Africa)!
@francismiho226
@francismiho226 2 года назад
Nimeipenda na mm naitaji km hii
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 2 года назад
hongereni wamba
@chuxdanieldnl9076
@chuxdanieldnl9076 2 года назад
Duhhhh uyo jamaa noma Sana najivunia kuwa mswahili
@minabuelysee8
@minabuelysee8 6 месяцев назад
MashaAllah
@iguchiparkdaacha6882
@iguchiparkdaacha6882 2 года назад
High level
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Sema shida ya waafria hawawekagi maarifa yao anajua thaman ya alivyovitumia t lakin mzungu cost m6 ataweka na maarifa yake M3 wewe unatumia m2 halaf unauza M3.2
@thisboyisgreat
@thisboyisgreat 2 года назад
Kwaniwe sio mu africa?
@dannyelias382
@dannyelias382 2 года назад
Sawa mzungu
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 2 года назад
Nimeipenda iyo ya kwanza kumbe tunaweza kutengeneza ferari bongo
Далее
🧯Это Москва детка 🤣
0:46
Просмотров 12 млн
Придумайте название 😂
0:11
Просмотров 7 млн