Тёмный
No video :(

MUME WANGU JOHN KOMBA KANIACHIA WATOTO 6 WA NJE YA NDOA NA ALISEMA NIWALEE KWA UPENDO WA HALI YA JUU 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 29 тыс.
50% 1

MUME WANGU JOHN KOMBA KANIACHIA WATOTO 6 WA NJE YA NDOA NA ALISEMA NIWALEE KWA UPENDO WA HALI YA JUU
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

27 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 5 месяцев назад
Mwalimu wangu Lugalo Primary School Darasa la 7 Miaka ya 93 Mungu Akupe Maisha Marefu Legend
@clarajoachim9658
@clarajoachim9658 5 месяцев назад
My mama mwenye moyo wake ubarikiwe mama 🙌
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 5 месяцев назад
Homgera sana mama kwa kuwa mama mwema na mwenye upendo kwa watoto wote…Mwenyez Mungu aendelee kukutunza mama…hakika wewe ni mama wa kuigwa❤
@RoseMayige-gn9qb
@RoseMayige-gn9qb 5 месяцев назад
Nakupenda Mwl wangu, Lugalo Pr. School, nakumbuka ulinifundisha geography enzi hizooo za 1981 ....! Mungu aendelee kukutunza.
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 5 месяцев назад
Mwl wangu shule ya msingi lugalo LY 1989 alikuwa mwalim mzuri sana wa hisabati
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 5 месяцев назад
Mwalimu wangu mama komba alinifundisha hesabati pale lugalo ps mwaka 90 mungu akujaalie mwalimu,,,,nimefurahi kukuona mwalimu wangu ntkuja mbezi sk moja
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 5 месяцев назад
Madam Salome Ur no.1 in a million.
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 5 месяцев назад
Aliempaka huyu mama wanja sijui alíkuwa na kusudi gani
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 3 месяца назад
Duh😢
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 5 месяцев назад
Huyu mama mpole sana nampenda mno
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 5 месяцев назад
Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Lugalo
@RoseMayige-gn9qb
@RoseMayige-gn9qb 5 месяцев назад
Jamani tuliomaliza Lugalo Pr. School 1983 tujuliane khali......
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 5 месяцев назад
Hee mie hata mimba yangu aijafikiliwa hapo,hongera cn😂
@jamesmasome359
@jamesmasome359 5 месяцев назад
Mwalimu wangu wa darasa la nne Lugalo
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 месяцев назад
Wanawake wa style hii hakuna tena.. subutu.. kizazi chetu cha tiktok na Snapchat.. wanawake wote mavideo vixen akulelee na watoto ulozaa nje ya ndoa?
@ikungetajohnluketa8601
@ikungetajohnluketa8601 5 месяцев назад
Basi ni muhimu mwanaume kuacha kuzaa nje. Maana ME ya TZ wanaona kuchepuka ni sawa tuu.😢
@user-yr6pp5tv6z
@user-yr6pp5tv6z 5 месяцев назад
🎉hongera mama mfano mmoja mzuri jamani.tafakari Chukuwa hatua.mama aliukunjua Moyo,,,kabaki amestawi kama uwa la rose🌹
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 5 месяцев назад
Keptani alikuwa mwanaume mngoni na mgoni
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
😂😂😂hahahahaaa wangon hata kwenye kichaka haon shida
@MohamedMkota
@MohamedMkota 5 месяцев назад
Mm nalea bila shida kbc
@josephlorri431
@josephlorri431 5 месяцев назад
Ukapteni hadi kwa pochi manyoya.. alikuwa kamanda hasa
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@fdizzo
@fdizzo 5 месяцев назад
😂😂😂 kapteni katuwakilisha vzr
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂pochi manyoya 😂😂😂
@DavisEnglishTv
@DavisEnglishTv 5 месяцев назад
Wangoni ndo walivo. Mm hapa babangu mngoni tupo kama 20 hiv mama tofauti tofauti. Kwa mamangu tulizaliwa watatu. Hao 20 ni ambao mimi nawajua, nna uhakika kuna wengine nisiowajua kwahyo uskute tunafika 28 huko ama 30 kabisa. Ngoni noma.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 5 месяцев назад
Hujakosea, umesema ukweli kabisa.😂😂😂😂 Wangoni wana watoto wa nje kama wote.
@Njeriii536
@Njeriii536 5 месяцев назад
Duuu30
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 5 месяцев назад
Mmh 😢
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂jaman watan mko vizir japo Mme wangu ni mngon nae unaambiwa mngon muagize mzigo wa pesa utafika salama ila sio mwanamke atamzungusha mpaka amzagamue 😂😂😂😂😂nacheka tu ila
@judyngowi391
@judyngowi391 5 месяцев назад
Mzee alijua kuchepuka
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 5 месяцев назад
Uhuni ni mbaya sana.
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 5 месяцев назад
Mmmh wangoni wajomba zanguu shikamonii
@martinwangwe8966
@martinwangwe8966 5 месяцев назад
huu ndo mfano wa mkristo
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 5 месяцев назад
Ni changamoto sana.
@votojoseph6178
@votojoseph6178 5 месяцев назад
Kwani hao watoto 6 uliwazaa wewe.Kwa nini uwalee?
@JosephMilinga-nl4zh
@JosephMilinga-nl4zh 5 месяцев назад
Wewe chizi
@votojoseph6178
@votojoseph6178 5 месяцев назад
@@JosephMilinga-nl4zh jibu kwa hoja.Usilete mihemko.
@votojoseph6178
@votojoseph6178 25 дней назад
​@@JosephMilinga-nl4zhwalelewe na mama zao
@MarthaHaule-ng9il
@MarthaHaule-ng9il 5 месяцев назад
Baba yangu mngoni ndoa yake mke 1 Hana mtoto wa nje na hatuna mama mdogo mbaka Sasa anamiaka 70 nakupenda sn babaangu Mzee haule
@athumanfuko199
@athumanfuko199 5 месяцев назад
Mmmmhhh kajitahidi kuwakataa watoto,😂😂😂
@subiraibrahim8100
@subiraibrahim8100 5 месяцев назад
Ila wew nimecheka😂😂😂😂😊​@@athumanfuko199
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 5 месяцев назад
weee huyo c asili ya m'ngoni ,, hao ukifuata history akina haule ni wakuja songea so hako katabia ni haki yake asiwe nako,, lakini hawa akina KOMBA,, NGONYANI,,, MAPUNDA,, MATEMBO,, na wengine wanaofanana na hayo majina ni hatali asipo kufa kaacha watoto kumi nje ya ndoa bac ujue hata wawili tu 😂
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 5 месяцев назад
Akina Haule sio wangoni OG ni wabena hao
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
Mimi baba mkwe wangu ni haule na ana mke mmoja tu shughuli ni hawa watoto jaman tema mate😂😂😂😂😂
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 5 месяцев назад
Simchezo
@Yomiyomi6897
@Yomiyomi6897 5 месяцев назад
Basi na wewe umekuwa zuzu.
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 5 месяцев назад
Mmh mke kama uyu ayupo tena kalne hii
@marymtagwa3065
@marymtagwa3065 5 месяцев назад
Atoke wapi nani ataka kulea ujinga huu
@didasseveline9013
@didasseveline9013 5 месяцев назад
😂😂😂​@@marymtagwa3065
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 5 месяцев назад
😂😂😂
@EmmyMshana
@EmmyMshana 5 месяцев назад
​@@marymtagwa3065Umenichekesha sanaa😅
@petermanala6138
@petermanala6138 5 месяцев назад
😂😂😂😂nimebak mim akiniletea nalea vzuri
Далее