Тёмный

MUNGU WANGU! BIBI AMPA RADHI MWANAYE AKILIA MBELE ya MAKONDA - APIGA MAGOTI na KUJIAPIZA KWA MUNGU 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 17 тыс.
50% 1

MUNGU WANGU! BIBI AMPA RADHI MWANAYE AKILIA MBELE ya MAKONDA - APIGA MAGOTI na KUJIAPIZA KWA MUNGU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 4 месяца назад
Pole mama yangu Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mama yangu mpenzi mahali pema peponi Amina Amina
@tato8979
@tato8979 4 месяца назад
Vijana tutafute vyakwetu tuache kutesa wazazi wetu jamani 😢😢😢😢
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 4 месяца назад
Pole mama yangu Mungu anakuona 😭 nothing is impossible to God 😢😢
@alodiadiocless3546
@alodiadiocless3546 4 месяца назад
Nimelia jamani heee Mwenyezi Mungu mlinde makonda wetu nimetokea kumpenda mnooo Moyo wake ni mwema mnooo
@neemanziku5403
@neemanziku5403 4 месяца назад
Asante Makonda Bibi kakutakia baraka tele
@StellaMwasha
@StellaMwasha 4 месяца назад
Makonda kabeba baraka za huyo mtoto
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 4 месяца назад
Mmm! Watoto hao jamani unamsumbua mzazi kiasi hicho jamani mama wawatu alikosea kukuzaa ha! Mwisho wake ataupa tu ha!
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 4 месяца назад
Mungu akubariki Mh. Makonda Mungu amekuleta kwa kusudi lake duniani.Mungu akulinde wewe na familia yako na awatunze
@SuzyMuhando-yf8do
@SuzyMuhando-yf8do 4 месяца назад
Wenye mama zao wanawatesa wengine hatuja bahatika haya Mungu wajua mlinde makonda Mungu wetu sote
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Mungu atakulipa makonda na jerry
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 4 месяца назад
Vijana tafuteni pesa sio kusubiria mirazi ya baba kisheria uwezi risi mali ya baba yako kama mama yako yupo hai. 😢
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Hakika 🤝🤝
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Makimu majaji mungu yupo wazili wa katiba na shiliya laisi samiya chochonde wafukuzwe kazi mahakimu majaji na mawakili wao watafute kazi nyingine
@FridaMichael-oy6jp
@FridaMichael-oy6jp 2 месяца назад
Mungu akusaidie baba
@joycemwango943
@joycemwango943 4 месяца назад
Bibi pole mungu akupe tamanio la moyo wako
@JohnKilagini
@JohnKilagini 4 месяца назад
Aise nimeumia sana kusikia mama anilizwa na mtoto wa kuzaaa aise pole sana mama Mungu akulinde kwa yote hayo
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb 3 месяца назад
Mungu umrehemu uyokijana laana zisimpate maana ajuiatendalo
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 3 месяца назад
Mama agekuwe nigempa ata marizagu zote kunizaa tu ndo maripo yangu sasa ametanguria mbere za haki sina neno nime mwachia mungu
@RehemaSaid-sr1hp
@RehemaSaid-sr1hp 2 месяца назад
Nimelia sana jaman swez kumfanyia mama yangu mambo ya ajabu kunileta tu Dunia inatosha ni dhambi kubwa sanaaa
@mahirmohd1931
@mahirmohd1931 4 месяца назад
Yaani kwa anavyo saidia watu namna hii utasikia ana zalilisha 😢 MUNGU mlinde makonda🙏
@ackenkubetta9541
@ackenkubetta9541 4 месяца назад
Pole bibi
@Paulinawilliam-n8f
@Paulinawilliam-n8f 4 месяца назад
Mkuu mpatie ulinzi huyo Bibi asiende kumuua huyo shetani
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior 4 месяца назад
Daaaaah inaumizaaa sanaaaaa😢😢😢😢😢
@HidayaMwakilema
@HidayaMwakilema 4 месяца назад
Wengine wanatafuta wakina mama wanawachezea
@aishakimaro2795
@aishakimaro2795 4 месяца назад
Mungu tujaalie vizaz vilivyo vyema ili tuwe na mwisho mwema
@umbaliche
@umbaliche 4 месяца назад
Tukipata nafasi ya kumsikiliza mtoto tunaweza kuelewa. Haya mambo ya familia magumu sana.
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 4 месяца назад
Hata kama wazee wakisha kuwa umri umeenda sisi watt ndio tunapaswa kuwatafutia wazazi wetu ni aibu hii mzee wa miak 85 aliekuzaa unamsumbua kama hivo
@AngelHemrod
@AngelHemrod 4 месяца назад
Usipopenda wazazi wako ,utampenda nani ktk Dunia hii!?? nimeumia sanaa😢😢😢😢
@Zubaiba
@Zubaiba 3 месяца назад
Jamani wtt hawa 😭
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Kwanza hata akiwq na hizo mali hazita dumu maana ni mali ya laana 😢😢
@samkoka3
@samkoka3 4 месяца назад
Toto limeachiwa laana mbele za watu litajua mwenywe mama ameumia sana
@ReginaPaul-nz1ez
@ReginaPaul-nz1ez 4 месяца назад
😢😢😢😢
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 4 месяца назад
Bibi kaongea kwa hisia kali sana na hii ni laana ya milele kwa mtoto
@MariamMariam-f6s
@MariamMariam-f6s 4 месяца назад
Emungu kwann ulimchukuwa mama angu mapema wengine wanamama zao wanawafanyiwa hivi daah
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior 4 месяца назад
Daaaaah inaumizaaa sanaaaaa😢😢😢😢😢
@DeogratiusMwanicheta
@DeogratiusMwanicheta 4 месяца назад
😮hiv yule Mwenyekiti anaona kweli haya
@CatherineLekule-l7z
@CatherineLekule-l7z 4 месяца назад
Kuna watu tunalaana hii dunia hadi shetani anatushangaaa
@MfaumeIbrahim
@MfaumeIbrahim 4 месяца назад
Hatakama mama anshuda vip huwezi mpeleka mama Yako mzazi mahakaman ni ushenzi kabisa na laana
@khamisomarkhamis
@khamisomarkhamis 4 месяца назад
hoi
@solangesoso3100
@solangesoso3100 4 месяца назад
Inasikitisha sana mzazi kuliwa na mwanae😭😭
@neemanziku5403
@neemanziku5403 4 месяца назад
Yan baba jitu zima lenye miv????Lina take Mali za mama yake Yan toto Kama hili ikinusa likiwa tumbon unalifyatulia mbali
@leonardobedi4779
@leonardobedi4779 4 месяца назад
unaimezea p2 😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 4 месяца назад
Umenichekesha wewe kunywa soda naja lipa Huyu mtt ana laana mimi mama angu mtumzima mimi napambana kumtafutia ili asihangaike yy anamsumbua mtu mzima huyu
@anoldmtatiro8114
@anoldmtatiro8114 4 месяца назад
Hakka makonda n mtu mwema tanzania hii anafata njia za magufuri
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 4 месяца назад
Sisi wazazi wetu hawatupendi sababu hatuna kitu bibi amewapa mpaka Mali
@FIDESMARENGE
@FIDESMARENGE 4 месяца назад
Jamani😭😭😭😭watoto jamn
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 4 месяца назад
Kiukweli huyo mwanamke atakua nalana kumliza mama huyu atakua na mwisho mbaya😢
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 4 месяца назад
😢
@deochami6421
@deochami6421 4 месяца назад
We mtoto una laana ya Mama yako katubu haraka we mtoto.
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Huyo hakimu aliye pokea kesi hiyo anyongwe
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 4 месяца назад
Huyu mama mungu amepe nguvu maana hiyo mtoto hakuna mjara atafutwe naakaa ndani kwanza
@joycemwango943
@joycemwango943 4 месяца назад
Pole MAMA,,ila watoto mbona mnatesa wazazi jameni ? si mtapata laaana nyieee.
@joycemwango943
@joycemwango943 4 месяца назад
Mimi ni m Kenya hata nadondoka na machozi 😭
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 3 месяца назад
Sasa kama mtoto una mnyanya mama ako baraka utapata wapi sasa ata mari itakufikisha wap
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 месяца назад
HUYO NI SHETANI TUU. MTU MAMA YAKO MZAZI, unampeleka mahakamani?
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 4 месяца назад
Katika family lazima atokee mmoja gengemea asumbue wenziwe
@faridbinjumaonlinetv9258
@faridbinjumaonlinetv9258 4 месяца назад
Nauliza atakae mnyima kura makonda akigombania urais nimjue apa wanaoumia wjue km tupo wengi
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 4 месяца назад
Jamani namfahamu uyu bibi'
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb 3 месяца назад
Daaa
@MagrethEvaresth-dd1lb
@MagrethEvaresth-dd1lb 3 месяца назад
Niyakweli ayo
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 3 месяца назад
@@MagrethEvaresth-dd1lb ni kweli ni mwanae wakike na anauwezo' ila ndio kabila huenda linachangia mana ni waMachame haswaaa
@StellaMwasha
@StellaMwasha 4 месяца назад
Makonda kabeba baraka za huyo mtoto haki
@saidyabdalla7410
@saidyabdalla7410 4 месяца назад
Kuweni na huruma na wazeee😢
@barakarobert1029
@barakarobert1029 4 месяца назад
Nchi hii ngumu sna
@msungumwilapwa4234
@msungumwilapwa4234 4 месяца назад
kwani watoto wake wengine wako wapi, wamsaidie mama kupambana na ndugu yao, hata hapo nilitegemea mtoto angalau mmoja agejitokeza kumsaidia mama kuongea kwa sbb kwa ilipofikia wote watakuwa wanajua hiyo kesi.
@charlessomi2506
@charlessomi2506 4 месяца назад
Yana mama tu anasumbuliwa ivo hao watoto wenzie undhan watamuweza au unataka awamalize na wanafamilia zao zinawategemea.
@matatamatatatours3237
@matatamatatatours3237 4 месяца назад
BIBI KAMA HUYU ANALALAMIKA NI MAMA ZAIDI YA HUYO OFISA WAMETAFUTA NGOS ZA KUWASAIDIA UDHAIFU WAO ETI KIDOGO TUNA NYANYASWA WAKATI MAKOSA NI YAKE MAKONDA ALIMSIFU MKE WAKE NI MZURI HUYO OFISA HAKUWA SERIOUSLY NA MASWALA YA WANANCHI BRO MAKONDA KAZA KAMBA
@ndinzeissa4778
@ndinzeissa4778 4 месяца назад
Viongozi mnakazi aaaaaaaaaaaa
@ZekaniS
@ZekaniS 4 месяца назад
Mjinga atafute zake chozi la mama fimbo kubwa
Далее
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 432 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 2,8 млн
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 432 тыс.