Тёмный

''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 169 тыс.
50% 1

''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 258   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@MACHOZIKAMBI
@MACHOZIKAMBI 4 месяца назад
😂😂😂ON
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 4 месяца назад
Kuwa makini sana nyakati hizi za usiku mkuu Viva Makonda Vivaaaa
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 UCHUMI UTAPANDA MALA KUMI YAKE KILA MTU ATAOGOPA KUIBA MANAYAKE PESA YOTE ITAINGIA SEREKALINI UCHUMI NDIO LAZIMA UPANDE BRAVO MAKUFULI JUNIOR 👏
@sadikingitu
@sadikingitu 4 месяца назад
Nimependa sana huyu jamaa anavyowasilisha hoja, he is too confident. Briliant!
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 4 месяца назад
Very coool person
@ushindidaycare234
@ushindidaycare234 4 месяца назад
Walikubeza wakisema hunahakili nime hakiki mwenyewe unahakili nyingi za upendeleo (usije uka muacha Mungu).
@epimackjohn461
@epimackjohn461 2 месяца назад
Mbona mama huyu katoa maelezo yaliyonyooka moja baada ya jingine , kwa hiyo kijana aliyemchongea labda ana KINYONGO binafsi au haelewi taratibu za kikazi .mheshimiwa MAKONDA kazi yako ni nzuri sana naomba kuwa makini wengine wasije wakatumia nafasi hiyo kuingiza MAJUNGU na UONGO wa kuwachafulia wengine sifa kazini .
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 4 месяца назад
Kijana kavaa Kapero ya CCM iliajenge majungu Asante sana Dada kwa kujibu hoja kisomi.
@davidkalama5426
@davidkalama5426 4 месяца назад
God of heaven may bless you, horn: Paul Makonda, for good work to help your people.
@moddy8744
@moddy8744 4 месяца назад
Kwa kweli Makonda sizani duniani kama kuna kiongozi kama Makonda anaejitolea kusikiliza shida za watu kama hivi sijawahi kuona ni kazi kubwa sana inataka moyo
@selelilumambo2157
@selelilumambo2157 4 месяца назад
@jonasamos555
@jonasamos555 4 месяца назад
Kwa maellezo ya dada inawezekana kabisa ni mwanaisasa na sio mtumishi wa umma
@JoseeSarakikya
@JoseeSarakikya 4 месяца назад
Natamani siku moja makonda awe raisi wa nchi
@avitusmichael5
@avitusmichael5 4 месяца назад
Huyo demu anaonekana alivyo mchafu wa kinywa na nyodo, yawezekana kweli analiwa na vigogo
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 месяца назад
Mtumishi wa UMMA huruhusiwi kuwa siasa hadi hapo dada umezingua labda wakulinde tu sababu ni ccm mwenzao
@LewadiNyasaland-re9tu
@LewadiNyasaland-re9tu 4 месяца назад
Makonda ni fireeee ❤❤❤
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Babaaaa hiyo mida uwe makini sana manyangau ni wengi hawapendi unachokifanya usije kuraluliwa tukakukosa bado tunakuhitaji
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 4 месяца назад
hahaaaa manyangau
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 4 месяца назад
Ni kweli kabisa.
@elizabethisaya136
@elizabethisaya136 4 месяца назад
Mungu akulinde makonda
@olyomary317
@olyomary317 4 месяца назад
Ndio makonda mama mkwe wako mwalimu mkuu wetu mama Masenge tunamjua sanaaa
@osodowilberforce
@osodowilberforce 4 месяца назад
This is what we call "OPEN AIR PUBLIC ADMINISTRATION"
@hashimrweabula9
@hashimrweabula9 2 месяца назад
Manenoo mengiii wamekuiliza swali moja unajielezea sanaaa aaah mashaka matupuu siasa Yann ancheka cheka tuu mashaka matupuuu
@Mweya-87
@Mweya-87 4 месяца назад
Farida nimekupenda sana dada yangu.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 месяца назад
Mwenyewe nimempenda sana,katika wote waliojibu kisomi ni pamoja na yeye.
@anamsaid8610
@anamsaid8610 4 месяца назад
Anaongea kwa hoja na takwimu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 месяца назад
@@anamsaid8610 mnooo
@zanubharoon
@zanubharoon 3 месяца назад
Mtu wamaana kabisa dadaagu❤
@musalumbi8490
@musalumbi8490 4 месяца назад
Hii ndio Prof. PLO Lumumba anaita "Magufulification"
@NancyPatrick-il8zj
@NancyPatrick-il8zj 4 месяца назад
Hili dada limekaa kichagudoa kabisa. Makonda toa hiyo takataka hapo
@meshackeliau8973
@meshackeliau8973 4 месяца назад
Nawapenda sana hao wamasai wanaposema tunamlinda kwa huku nyuma maasai are very wise🎉😅
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m 4 месяца назад
Usiogope vitisho vya maadui hawawezi kwa chochote mwenyezi mungu atakurinda🤲🤲🤲🤲
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Issue ya bandari haipo hapo, wala ya kutukana viongozi hapa
@ushindidaycare234
@ushindidaycare234 4 месяца назад
Nimekukubali Makonda you are spesion one ,Yani Mungu anamakusudi nawewe
@JennipherGabriel-rx6jc
@JennipherGabriel-rx6jc 3 месяца назад
Kushindana na mwalimu katika maelezo ni changamoto wanajuwa kujieleza na wanapanga maelezo vizur yan inatakiwa ujipange
@rizikimarco6451
@rizikimarco6451 3 месяца назад
Ogopa
@benjaminwaswa2039
@benjaminwaswa2039 19 дней назад
Wanaichi wa Tanzania mweshimu bwana makonda good job anayofanya
@EdsonMichael-fe2pe
@EdsonMichael-fe2pe 4 месяца назад
Anaweza kuchagua moja, utumishi wa umma au siasa! Ukichagua moja dada Mungu atakuinua!
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад
Napenda kukushaur Dada,,ww nimtumishi WA umma,,Acha na sias,, fata ulichokisomea,,siasa na kaz wanapi,,,,,utashika kipi
@NowelaRaymond-zq4ys
@NowelaRaymond-zq4ys 4 месяца назад
Hongera kwa kazi nzuri !
@AsungaSteven
@AsungaSteven 4 месяца назад
Makonda wewe ni kiongozi aisee,njoo tena Dar
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 4 месяца назад
Daa hii kweli ni kazi. Huyu Dada kweli ni mchafu kwa kinywa Ila pia kuna jambo hapa makonda anatakiwa atumie busara
@maulidi8479
@maulidi8479 4 месяца назад
Yaani mtu akijibu kwa kujiamini anaonekana mbaya
@NoelNoah-y9z
@NoelNoah-y9z 2 месяца назад
Farida! Sister angu unapgwa majung Mungu yupo asee
@benjaminwaswa2039
@benjaminwaswa2039 19 дней назад
I like him
@emmanuelndotela9412
@emmanuelndotela9412 4 месяца назад
Safi sana dadaangu unajiamini 😂😂❤ ila ungehamia kwenye siasa moja kwa moja kuliko kuwa mtumishi na wakati huo huo mwanasiasa.
@silvanusmyovela6545
@silvanusmyovela6545 4 месяца назад
Tunaomba Makonda awe mkuu wa mkoa nchi zima
@J4UPro
@J4UPro 4 месяца назад
Yaani umewaza kama mimi. Yaani awe mkuu wa mikoa.
@josephatdunda1937
@josephatdunda1937 4 месяца назад
Hahaha atakuwa kashakuwa Rais tu
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 4 месяца назад
In short awe Rais
@JaydenBahi
@JaydenBahi 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Kweri sana
@jumas.sendekwa2788
@jumas.sendekwa2788 4 месяца назад
Hivi inaruhusiwa kuwa watumishi wa umma kuwa na vyeo vya kisiasa?
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 3 месяца назад
😅😅😅😅😅😅
@dorcasmruma9001
@dorcasmruma9001 4 месяца назад
Huyo dada msaniii tuu labda wamlinde kwa ajili ya chama chale ila anaonekana chenga tyuuu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 4 месяца назад
Wezi wanarindana sana
@rogersiddy
@rogersiddy 4 месяца назад
Dada Farida anaonekana yeye ndo tatizo hata iyo Bandali atakuwa amemsingizia tu ili asimsikilize tu huyu lkn ukweli utajulikana tu huyu Farida inaonekana tatizo sana
@carlossabbo1184
@carlossabbo1184 4 месяца назад
Huyu jamaaa hakiamungu ni elimu2 ndogo lkn anachokifanya anakijua nisuper Tena hapa TZ hkuna mkuu wa mkoa anafanya kazi Kama huyu 🔥
@IbrahimMohamed-c3c
@IbrahimMohamed-c3c 4 месяца назад
Elimu kubwa ipi?
@carlossabbo1184
@carlossabbo1184 4 месяца назад
@@IbrahimMohamed-c3c huelew nn hapo sasa
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 4 месяца назад
Elimu ya wap !? 😂😂
@emmansolo4477
@emmansolo4477 4 месяца назад
Anahoji km vile yeye ndio kamwajiri huyo dada
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 4 месяца назад
Hata huyui maana ya elimu
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 4 месяца назад
Jamaa labda unamtaka dada wa watu shida watumishi hamtutaki raia tukiwapenda hamtusikilizi😢😢😢😢😢
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 4 месяца назад
Dada anaonekana ananyodo sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 месяца назад
Icho kidada kifupi inaonekana kinalindwa na wakubwa na itakuwa ni chakula chao
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 месяца назад
Yes
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 месяца назад
Wanawake wote ni chakula cha wanaume.
@kamarhelo
@kamarhelo 4 месяца назад
Akiwemo mama ako
@khanafrica22
@khanafrica22 2 месяца назад
Wanaokula humo nao vipofu
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 3 месяца назад
Safi mratibu elimu nakupenda
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 месяца назад
Mtumishi wa uma kwann upo kwenye siasa? Shida ndo inaanzia hapo
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 4 месяца назад
Logbook si zinajazwa tu
@hassan-sarumbo
@hassan-sarumbo 4 месяца назад
farida unafaa kua mwanasiasa
@Espoir9535tvtx
@Espoir9535tvtx 4 месяца назад
Kwani mungu ame tutunuku magufuri toto ❤
@Zaburi-
@Zaburi- 4 месяца назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@milkamushi2548
@milkamushi2548 4 месяца назад
Huyu kijana jmn
@BugandaLushanga
@BugandaLushanga 4 месяца назад
Makonda uko sawa maana wanyonge hawatendewihaki
@DaviMaiko
@DaviMaiko 17 дней назад
Dada maelezoyamekuamengi sana
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 4 месяца назад
Mheshimiwa hawa watu wanalinda kwani huyo dada apearence yake tu anaoneka na ni jeuri
@ommy2525
@ommy2525 3 месяца назад
mtumisha wa chana na sirikali🖐🖐🖐🖐
@samkoka3
@samkoka3 4 месяца назад
Watanzania wengi wamesoma sio kama zaman
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 месяца назад
Dada unamaneno mingi sana,
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Uliza wananchi
@MezdDimoso
@MezdDimoso 4 месяца назад
Huyu dada kama mwanasiasa
@KiangoKipingu-f2y
@KiangoKipingu-f2y 4 месяца назад
Dada yuko vizuri
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Kivipi
@robertzamani5612
@robertzamani5612 4 месяца назад
Makonda tunakuomba ikifika sa 12 uwe unaahirisha mkutano,manyang'au hawapendi unachofanya kwa kuwatetea wananchi wa hali ya chini
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Kabisaa
@kivatirokitojo657
@kivatirokitojo657 4 месяца назад
Huyu sio pimbi etii hapo amekaa kimichezo anajua yupo targeted Ila hii chuma ni mafia
@AmAl-x9j
@AmAl-x9j 4 месяца назад
😂😂kweli ni mafia aiseee
@BarakaMwaikenda-ty1bt
@BarakaMwaikenda-ty1bt Месяц назад
Viongozi wa juu na wabunge igen mfano wa makonda wanachi wanawaonea kweli watumishi
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Uchunguzi ufanyike
@GeofreyBalyo
@GeofreyBalyo 4 месяца назад
hee kumbukeni mwanadada ni kada ..na mnajua kitakachofata
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 4 месяца назад
Makonda unatumalizia Bando,,😂😂😂😂
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Kwa wiki unatumia shingapi ???? Nione kama tuko sambambaa
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 4 месяца назад
@@khadjamhozya Dada Khadija naishi nje ya nchi hata sijui Ni kiasi Gani Nikiweka kwenye TZ shillings,🤣🤣
@solomoneglesias9752
@solomoneglesias9752 4 месяца назад
Jamaa🙋🙋au ulimuomba akakukatalia au alikujibu ya kuwa ukipeana utaweza na???😂😂😂😂
@sisterblessed-my9jd
@sisterblessed-my9jd 4 месяца назад
Au mapenziiiiiijjjiijiiiiiiiiii!! Lkn siasa isichanganywe na kazi bhana.
@emanuelkattani9906
@emanuelkattani9906 4 месяца назад
Nahitaji part 2, ya hii
@bushbabytz
@bushbabytz 4 месяца назад
eti mtumishi wa umma anakiri kabisa kwenye umma kuwa yeye ni mwanasiasa! ...mtumishi anakuwaje kwenye siasa!?
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 4 месяца назад
Acha ajikaange mwenyewe
@bushbabytz
@bushbabytz 4 месяца назад
@EmmanuelBatholomew-xq1sb kaka tuna kazi sana kwenye hii nchi...yaani ingekuwa amesema yeye ni chama kingine tofauti na ccm kesho ungesikia tamko kumsimamisha kazi..ila ipo siku tu yatakwisha
@Shehafa
@Shehafa 4 месяца назад
Kashasema na hamumfanyi chochote😂😂😂😂
@givenjackson5449
@givenjackson5449 4 месяца назад
Mwaka 2022 kwenye chaguzi za ndani watumishi waliruhusiwa KUJAZA fomu so yupo sahihi kuwa mtumishi na mwanasiasa
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 4 месяца назад
@@givenjackson5449 ili ujaze form lazima uache kazi yako kwanza. Huruhusiwi kujaza form bila kujiuzulu nafasi ya utumishi. So asingekuwapo hapo
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 месяца назад
Sidhani kama ana elimu ya kiwango cha kazi yake manake anajibu Kwa milolono ya matukio Mara siasa
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 4 месяца назад
WEWE ni mtumishi wa umma au ni mwanasiasa!!!
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m 4 месяца назад
M mkuu wa mkoa chapa kazi brooo natamani nikusaidie sasa cjui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 4 месяца назад
Utachanganyaje kazi na siasa?
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l 4 месяца назад
Baba kegan mungu akulinde
@Zaburi-
@Zaburi- 4 месяца назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@LossaruNgira
@LossaruNgira 4 месяца назад
Daaah, siasa na utumishi?
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 месяца назад
HUYO ANATAKA MASHINDANO NA HUYO DADA.
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад
Mtumishi na siasa wapi na wapi inabidi uchague siasa aua utumishi
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад
Dada anamajivuno
@NeemaManase-x8n
@NeemaManase-x8n 4 месяца назад
Jamani baba makonda njoo tusaidie wananchi huku tunabomolewa nyumba zetu we baba tusaidie uwiii
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Huyu dada inaelekea anajenga mazingira ya kukwepa issue
@lusajomwakalinga5813
@lusajomwakalinga5813 4 месяца назад
Hau mtumishi ni mwanasiasa.
@neemasalema1546
@neemasalema1546 4 месяца назад
Hapana jamani ni kweli mnafanya kazi ni nzuri na inaonekana lakini naomba mle afya zenu ni muhimu sana
@spantonsamba6191
@spantonsamba6191 3 месяца назад
Dada Farida ametumia kila sekunde aliyopewa kuwa analindwa na wakubwa...
@laurianogerold5129
@laurianogerold5129 4 месяца назад
Wengine ni walimu ila sio walimu wanakazi maalumu
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 месяца назад
Mtumishi wa umma kuwa mwanasiasa Tena KIONGOZI wa chama ni sawa?
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад
Allah awatie nguvu
@johngerald4677
@johngerald4677 4 месяца назад
Dada mbona kalowa baada ya kutoa ushahid
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 4 месяца назад
Hapo nakukubali Makonda
@BedaMbaga
@BedaMbaga 4 месяца назад
Huyodada nimwana siasa alafu ananyodo sana haendi kazini
@CharlesMwaluko
@CharlesMwaluko 4 месяца назад
Part 2 iko wap
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 месяца назад
WEWE NI KAMA NANII .
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад
Wenye majibu kama hayo wengi sana kwenye hii nchi kilaidara.
@JohnMahu-f1g
@JohnMahu-f1g 4 месяца назад
Ccm wajanja sana wametengeneza tatizo leo wamemleta makonda msanii
@MACHOZIKAMBI
@MACHOZIKAMBI 4 месяца назад
No
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад
Nafikiri dada amejieleza vzr kwa kukanusha maneno ya mwananchi Lkn huyu dada yupo kisiasa zaidi inanekana kwakua huyu bwana ni chadema wanamtukana wakijua hataenda popote
@hamzermahundu6371
@hamzermahundu6371 4 месяца назад
😮
@nkwabidonald4277
@nkwabidonald4277 4 месяца назад
Good
@AbdulMwengwa
@AbdulMwengwa 4 месяца назад
Mwananchi huyoooooo😂😂
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 3 месяца назад
Anaweza kua anasaini tu anaondoka
@NdekejaKamuli-sh5pe
@NdekejaKamuli-sh5pe 4 месяца назад
Mmmmh we dada sio
@juliusdonard933
@juliusdonard933 4 месяца назад
Huyu dad kwanza n mhuni
Далее
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 335 тыс.
@ItsMamix учу делать сигму😎
00:12
Просмотров 554 тыс.
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 335 тыс.