Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu