Тёмный

MAKONDA "Natoa Amri OCD Kamata Huyu Mwenyekiti ni Mwizi" SINA MUDA WA KUCHEKA na WALA RUSHWA,.🙌🙌 

HABARIMPYA TV
Подписаться 613 тыс.
Просмотров 77 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 68   
@evidencekangimba1538
@evidencekangimba1538 Месяц назад
Hongera sana mkuu wa mkoa! Tanzania 🇹🇿 kuna mkuu wa mkoa mmoja tu Bw. Makonda na ndiye Rais wa nchi ya Arusha!
@asedimaketa8694
@asedimaketa8694 Месяц назад
Aseee huyu Makonda namuona mbali sana
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Месяц назад
Mushapata Raisi wenu kwenye nchi ya Arusha hongereni sana😂😂😂😂
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Месяц назад
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Месяц назад
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@user-xn1ly2yx7j
@user-xn1ly2yx7j Месяц назад
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
@Masta313
@Masta313 Месяц назад
Safari hii mtayanywa haswaa ...hongera mkuu wa mkoa
@MezdDimoso
@MezdDimoso Месяц назад
Safi sana mkuu chapa kazi nasisi tunakuombea kwa mungu akupatie ulinzi wake🎉
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 Месяц назад
Makonda mungu akubariki sana zaidi ya sana unafanya kazi poa ❤❤❤❤
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 Месяц назад
Viva Makonda vivaaaaa
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw Месяц назад
Hongera sana makonda
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
Tanzania bila ya watu Kama Makonda ni dhuruma tupu. Watu hawana haya kudhurumu wengine bila AIBU
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Месяц назад
HONGERA BABA MAKONDA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA. UMEWAPA SAUTI WATU WASIOKUWA NA SAUTI.
@juliussamwel6606
@juliussamwel6606 Месяц назад
Big up makonda Mungu aendelee kukuinua
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Месяц назад
MHESHIMIWA mkuu wa mkoa huko pembeni kuna Madudu mengi sana wananchi tunateseka sana
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn Месяц назад
Safi Sana tumechoka na Wala rushwa wa nchi
@adamshilinde2529
@adamshilinde2529 Месяц назад
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
@user-bl3ee2vx4d
@user-bl3ee2vx4d Месяц назад
Mungu mwemw wakati wote
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i Месяц назад
makonda nmekukubali laaana.....ukikaa miaka10 arusha tutakua km ulayaaaa
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 27 дней назад
Hahaaaaaa hongeren Wana arusha migogoro itaisha
@paulmaganga9700
@paulmaganga9700 Месяц назад
Bonge Moja la KIONGOZI
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf Месяц назад
Nabora walikupeleka.arusha kulikua na.matukio sana.arusha
@njaujustin56
@njaujustin56 Месяц назад
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
@MariumChristopher
@MariumChristopher Месяц назад
Ndio ni mungu amekutuma mkuu wa mkoa makondo ndye yeyeye akulinde nakukufinikab
@octiminja5260
@octiminja5260 Месяц назад
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Месяц назад
hakika wewe ni mkuu wa mkoa kweli na raisi wa Mkoa wa ARUSHA
@user-qv2tg9cz8c
@user-qv2tg9cz8c Месяц назад
Aiseeeee
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 Месяц назад
Hii nimeipenda
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Месяц назад
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu Месяц назад
Mungu akulinde kila silaha itakayoinuka ju yako haitafanikiwa
@octiminja5260
@octiminja5260 Месяц назад
mmeyakanyagaaaaaaa big up mkuu wa mkoa
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 Месяц назад
Majitu yanyakati hizi wezi sana hawana hata uogaa na vitu vya serekali
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Месяц назад
Safi san mkuu
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Месяц назад
Mku hongera
@KulwaFadhiri
@KulwaFadhiri Месяц назад
Mungu akutuze meler
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 Месяц назад
kaka yangu Piga kazi
@zubedahussain2133
@zubedahussain2133 Месяц назад
Hata wanunuzi hamna Akili wewe unatoa hela bila kuwachunguza siungechunguza kwaza
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Месяц назад
Magufuli is alive !! Hakika Mh. Magufuli bado yupo hai !! Huyo ni Mh. Makonda lakini ndani yake yupo Magufuli kabisa !!
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w Месяц назад
Mpaka wasemee
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 20 дней назад
Mambo ni moto Arusha kwa Makonda.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Месяц назад
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
@laylayl5166
@laylayl5166 Месяц назад
Jamani nyie dhulma mbayaaa hamnahata khofu ya mungu wala huruma hamna
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Месяц назад
Mh mkuu wa mkoa Kuna kijiji Cha sekei Kuna uchauchafu mwingi mno kwa viongozi kuweka Saini mara mbilimbili
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 Месяц назад
Mama samia makonda akimaliza Arusha tuletee lindi huku
@thomaschengena6369
@thomaschengena6369 Месяц назад
utawaua wamwera
@RashidMadoti
@RashidMadoti Месяц назад
Wapige supana tu mshua hata mimi nimekuluhusu wagonge subana wajinga kabisa
@sospeteralex378
@sospeteralex378 Месяц назад
Piga kazi
@user-ib2ew9ec3d
@user-ib2ew9ec3d Месяц назад
Kunajitu linacheka kwanyuma yajamaa lingefukuswa bhana
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Месяц назад
KULA KICHWA MKUU WA MKOA HAWA NDIYO WEZI NA WANAOSABABISHA MIGOGORO
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Месяц назад
Shida samia makonda chapa kanzi
@ShabanShabanmpil
@ShabanShabanmpil 17 дней назад
Akuna Kama makonda
@jumakilongo-qz1jb
@jumakilongo-qz1jb 25 дней назад
Jizi hilo beba likapate haki yake kupapapake
@RobsonEnock
@RobsonEnock Месяц назад
Mh.makonda wewe ni magufuri wa Tanzania tunazidi kukuombea uje uwe rais wa nchi.
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 29 дней назад
Mzee wa spana kaza nati
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w Месяц назад
Makonda upo injuries
@ShamsiKasoma-fn4cl
@ShamsiKasoma-fn4cl Месяц назад
Mtaanyooka Arusha mpaka mseme
@sfggf468
@sfggf468 Месяц назад
Matapeli ni wengi hii nchi sio Arusha tu
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 27 дней назад
Namkumbuka alivyo kuwa mkuu wa .koa wa daresa Salam wewe walio terekeza watoto wailiipata😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ RC makonda
@snipershort6988
@snipershort6988 Месяц назад
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
@KabikamjukuuInagamlyambelele
@KabikamjukuuInagamlyambelele 20 дней назад
Niponipo
@ExaudyMwalongo
@ExaudyMwalongo 19 дней назад
Hongera sana makonda
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Месяц назад
Mbona shamba hammpi mpaka mnajengea pesa yake ofisi wezi nyie
Далее
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Просмотров 16 млн
Rais Ruto alaumu mashirika ya kigeni kwa maandamano
2:35
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
Просмотров 76 тыс.