Yoweri Kaguta Museni kiongozi mwenye msimamo namkubali sana..Mimi napenda viongozi wenye msimamo against western countries haijalishi anatoka wapi..Africa lazima tuwe pamoja ili tuendelee..Mungu blessed Museveni and Africa
NENDA UGANDA UONE NCHI ILIVYO CHAFU NDO UTAJUA MZALENDO AU MWANASIASA TU KAMA WANASIASA WENGINE NA SOON FAMILIA YAKE YOTE ITAKUA SERIKALINI KAMA ILIVYO ADA
Ndizi zilizuiwa kuingia zenj from bara to ndiz zenj ni ghali wakat bara ni rahisi. Zenj wanaagiza Michele kutoka nje wakat Michele wa mbeya ni rahis na bora kwa mapishi kuliki huo wa nje.
Zenji washazoea mapishori alafu iyo mapishori wadudi kibao😢😢yani nilikuwa mgeni nilikuwa nakula tu baada ya siku mbili nikaanza kuingia jikoni kupika siku napika iyo michele yao daaaaaa nachangua naona wadudu n awal wakipika hawachagui wanaosha tu asee nilisikitika moyoni toka siku iyo nilikuma ugli mpaka nikaonfoka😂😂😂😂
@@EzzyEddy-il3ceata sukari ya zenji wabara wameizuia isiuzwe...ila wazenji hatujali wala nini..maisha yanakwenda..riziki anatoa mungu na si mpango wa mtu yeyote.
Mzee Museveni uko vizuri sana, mawazo yako na maoni yako yakifanyiwa kazi kwa vitendo, nchi zetu na watu wake watastawi na maendeleo yatapatikana. Hongera sn Mzée. Viongozi wetu tufanyie kazi ushauri huo
Tanzania hatuuwezi uzalendo km wa Museveni. Imagine bidhaa inanunuliwa Zanzibar ukifika bara ushuru , nini maana ya nchi moja? Waloweka hixo kodi ni kutuumiza kwa kunufaisha wachache.
@@abuuramadhan8093ipate kodi ya nini akati huwa inapokea hela kwenye budget ya kila mwaka, Unataka ipate kodi kutoka Tanzania bara kwani Zanzibar sio Part ya Tanzania?? Hamtosheki na tunachowapa mna greed
Tatizo watanganyika mmedanganywa mpk mmekua hamjijui nyinyi ni nani?tanganyika na zanzibar ni nchi 2 tofauti .mnalazimisha iwe moja.kujengeka kwa tanzania ni kwa kuungana baadhi ya mambo tu. Na si vyenginevyo hebu kwanza anzeni hapo mjiulize tanganyika iko wapi??why zanzibar ipo?tuendelee tu kusukumana maana hakuna anaeridhishwa si bara wala zanzibar
shida ya Ghadaf alichelewa sana,alihangaika sana na waarabu alafu wakamtenda,ndo akageukia Africa kwa kuchelewa.....angaenza harakati zake mapema Angeweka mabadiliko kidogo
Aisee umeelezea vyema sana na kupiti hii chanel yenu tutazinduka,binafsi ninahasira sana na hawa magharibi lakini sina kipaza sauti,Mungu awabaliki sana guyz
Natamani mpaka kesho nije kusikia tu kiongozi mmoja kabeba japo michanga ya nchi zote za east Africa alaf anawasubili viongozi wenzie mezani waje kuunganisha iwe nchi moja kwa ujasili mmoja hata kama kunaugumu kiasi gani isijalishe liwalo na liwe iwe nyumba moja
Kaka nakupenda sana mimi nakufatilia nikiwa Oman unafanya vizuri sana nakuekuelewa ila viongozi wetu wa kiafrica kinachowatesa uchu wa madaraka na kutaka umimi
Huyu ndye mfalme wa Africa kwa Sasa ,anao udhubutu.,wengine ni ndumila kuwili,vibaraka na hawana vision yoyote zaidi ya kupokea maagizo Toka magharibi .
Waliwatambua kwamba mna penda kuwa tegemezi, nakusema santeee Kila Mara, ingawa Kila kitu kinatoka huko. Saidieni waafrika wanao maliza siku nzima makanisani,. kuzaa nakuzaaana, bila kufikiria Mtoto atsishi je. Chapeni kazi, time is money. Hata kama ni faida chache. Mnyakue heshima tena . Jamani hapakuage vya Bure tuamke na mvivu mvuteni. Ache kupenda heshima na Sifa zabure. Maendeleo ya jirani ifurahie in positiv way . Ili ikunufaiche pia. Umoja Na kuchukuliana hapo Mambo yatawezekana. Tusiache Nakuelimishana. Maneno na matendo. Nakufikiria mbali au maisha ya baadaye. Sante kwa interview hii
Kaka big up.... ulivyotaja swala la mafuta.... Nimeumia sanaa... ni kweli mafuta ya MRUSI ni bei chee___lakini tunalazimishwa kununua mafuta kwa bei ya juu.... inatuumiza sanaaaaa sisi watu wa hali ya kawaida____
Uyu mzee kaja kuamsha marehemu wote tatizo viongozi wetu vigeu geu lakini mweshimiwa rais museven kaongea ukweli tutumie bizaa za urusi kama mafuta vyengine kama chakula na salafu ziwe zetu.
Mzee yupo sawa soko la Africa ni kubwa shida ni hii mipaka na vikwazo vinaturudiaha nyuma sana, ukweli ukifika boda ya Sirari na Mtukula biashara ya mchele ni kubwa sana
Aise nimekupenda sana aise rais wa Uganda. Pamoja sana ndugu yangu wa Africa 🌍. Pamoja sana na marafiki wa Africa 🌍. Lkn ujue juzi jamaa yangu mmoja alikuwa marekani. Huyu ni adui. Mwangalieni sana. Unaenda kutafuta nini kule marekani? Ni upumbavu mtupu. Unaenda kutafuta nini huko? Kila kitu kiko hapahapa Africa 🌍.
M7 huyo East Africa Community Vipi kwani haturusiwi kufanya Biashala pamoja ? M7 naomba uwambie mawazili WA Feza watengeneze sarafu Moja . East Africa hela.
Dahh! Sijui nisemeje lakn uyo Ami anaongelea mkakati wa kuikomboa dunia, ikiwa afrika ni kujiweka sawa ili tusimame na semee dunia. Nimeichukua hii nitaishi nayo daima Sikumzania kusem hivyo kamwe, lakn anaongea akiwa hana nguvu😢