Тёмный

MUSEVENI alivyokataa kuufungia MCHELE wa TANZANIA mbele ya RUTO na kutema CHECHE nzito 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 41 тыс.
50% 1

Credits to Citizen TV
No Copyright Infringement Intended
For Removal Email: info@snstz.com
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

26 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 232   
@zayumar2955
@zayumar2955 Месяц назад
Mungu ambariki Rais Musseven ni Moja kat ya Marais wazalendo Africa hii Mungu ampe maisha marefu na afya njema Amiiin yarrab 🤲🥰❤️🇺🇬🇹🇿
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht Месяц назад
amiin
@zayumar2955
@zayumar2955 Месяц назад
@@ARNOLDKARISA-fs3ht 🙏
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 Месяц назад
Amen
@user-pg2tw8yt4l
@user-pg2tw8yt4l Месяц назад
Allahumma aamiin
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv Месяц назад
Asante kaka yangu mkuu mseveni Tanzania we love you
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Месяц назад
Yoweri Kaguta Museni kiongozi mwenye msimamo namkubali sana..Mimi napenda viongozi wenye msimamo against western countries haijalishi anatoka wapi..Africa lazima tuwe pamoja ili tuendelee..Mungu blessed Museveni and Africa
@user-ff4sh6lq7t
@user-ff4sh6lq7t Месяц назад
Museveni is mzalendo and good leader in east Africa bravo kaguta
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 Месяц назад
Safi museveni upo sahihi mbaba wa Afrika
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 Месяц назад
"Ikumbukwe; Pokea msaada huku ukitambua ya kuwa, Mtu anayekusaidia ananunua uwezo wako wa kufanya maamuzi" salaam za heri kwako raisi Mseveni.
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Месяц назад
I believe it was ruto who advised him to stop the tanzanian rice.
@salimcharo699
@salimcharo699 Месяц назад
💯 true
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Месяц назад
Ni yeye mweusi kama ngozi ya mk*ndu😂
@heridunia
@heridunia 23 дня назад
ruto is not a president is kibalaka
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 Месяц назад
Babu mseveni Viva mzee vivaaaaaaa......
@LeventinaNyamya
@LeventinaNyamya Месяц назад
Viongozi km hawa Afrika wenye moyo wa uzalendo nadhani kabaki pekee yake .MUNGU mbariki Musseveni mpe maisha marefu
@atutweve4160
@atutweve4160 Месяц назад
NENDA UGANDA UONE NCHI ILIVYO CHAFU NDO UTAJUA MZALENDO AU MWANASIASA TU KAMA WANASIASA WENGINE NA SOON FAMILIA YAKE YOTE ITAKUA SERIKALINI KAMA ILIVYO ADA
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 Месяц назад
​@@atutweve4160sasa uchafu wa ganda wenyewe wendawazimu
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Месяц назад
Smaa upo vizuri snaa
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 Месяц назад
My role model,Mr genius,Sir Kaguta,uishi maisha marefu mzee wa Kazi
@mkatavitv1014
@mkatavitv1014 Месяц назад
NDOHAYA MLISEMA JANA KAMA RAISI MMOJA NIMZURI NIWAKUMUACHA TU/HAYA MAMBO YAKUBADIRI MARAISI NILOS SANA
@othmanally1230
@othmanally1230 Месяц назад
Uko saw haina haja ya kubadil rais kama huyu acha akae mpaka afe
@abdallahnamuha3357
@abdallahnamuha3357 Месяц назад
Dj smaa Mwanangu snaa kwenye geopolitics
@khamisshee803
@khamisshee803 Месяц назад
Safi Sana Mzee Rais Mseveni AKA BACHUCHU MOMBASA 001 +254
@imanyamiela5886
@imanyamiela5886 Месяц назад
Mseveni ni mtoto alieandaliwa nyerere so hayo ni mawazo ya baba yetu wa taifa Mungu aendelee kumtunza huko alipo
@komboruga4271
@komboruga4271 Месяц назад
Ndizi zilizuiwa kuingia zenj from bara to ndiz zenj ni ghali wakat bara ni rahisi. Zenj wanaagiza Michele kutoka nje wakat Michele wa mbeya ni rahis na bora kwa mapishi kuliki huo wa nje.
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce Месяц назад
Acha waendelee kuagiza nje na sisi wabara hatujal Wala Nini
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 Месяц назад
Ukishaona ivo ujue Kuna mkataba aliingia kiongozi mmoja MJINGA
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Месяц назад
Zenji washazoea mapishori alafu iyo mapishori wadudi kibao😢😢yani nilikuwa mgeni nilikuwa nakula tu baada ya siku mbili nikaanza kuingia jikoni kupika siku napika iyo michele yao daaaaaa nachangua naona wadudu n awal wakipika hawachagui wanaosha tu asee nilisikitika moyoni toka siku iyo nilikuma ugli mpaka nikaonfoka😂😂😂😂
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Месяц назад
​@@EzzyEddy-il3ceata sukari ya zenji wabara wameizuia isiuzwe...ila wazenji hatujali wala nini..maisha yanakwenda..riziki anatoa mungu na si mpango wa mtu yeyote.
@shabanilugi5858
@shabanilugi5858 Месяц назад
Magufuli ayupo Ila ina Tia Moyo kuona tuna Mzee wetu kwenye hekima Kama Museveni Asante the president Africa love you
@andreatutu6179
@andreatutu6179 Месяц назад
Appreciate UGANDA na tunawapenda sana
@musasaguti4760
@musasaguti4760 Месяц назад
Mzee Museveni uko vizuri sana, mawazo yako na maoni yako yakifanyiwa kazi kwa vitendo, nchi zetu na watu wake watastawi na maendeleo yatapatikana. Hongera sn Mzée. Viongozi wetu tufanyie kazi ushauri huo
@komboruga4271
@komboruga4271 Месяц назад
Tanzania hatuuwezi uzalendo km wa Museveni. Imagine bidhaa inanunuliwa Zanzibar ukifika bara ushuru , nini maana ya nchi moja? Waloweka hixo kodi ni kutuumiza kwa kunufaisha wachache.
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Месяц назад
Sasa ww unategemea Zanzibar itapata wapi Kodi
@mduda_i
@mduda_i Месяц назад
@@abuuramadhan8093ipate kodi ya nini akati huwa inapokea hela kwenye budget ya kila mwaka, Unataka ipate kodi kutoka Tanzania bara kwani Zanzibar sio Part ya Tanzania?? Hamtosheki na tunachowapa mna greed
@AlliyMohamedAlliy
@AlliyMohamedAlliy Месяц назад
🤦‍♂️​wee ni kichwa mchungwa!@@abuuramadhan8093
@kiatu
@kiatu Месяц назад
@@abuuramadhan8093 Kwani kodi inauzwa Tanganyika?😅
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Месяц назад
Tatizo watanganyika mmedanganywa mpk mmekua hamjijui nyinyi ni nani?tanganyika na zanzibar ni nchi 2 tofauti .mnalazimisha iwe moja.kujengeka kwa tanzania ni kwa kuungana baadhi ya mambo tu. Na si vyenginevyo hebu kwanza anzeni hapo mjiulize tanganyika iko wapi??why zanzibar ipo?tuendelee tu kusukumana maana hakuna anaeridhishwa si bara wala zanzibar
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 Месяц назад
Dah! Muamar Ghadaf's dream...Mungu Amuhifadhi.
@missp1814
@missp1814 Месяц назад
shida ya Ghadaf alichelewa sana,alihangaika sana na waarabu alafu wakamtenda,ndo akageukia Africa kwa kuchelewa.....angaenza harakati zake mapema Angeweka mabadiliko kidogo
@user-pt8wo4ss2p
@user-pt8wo4ss2p Месяц назад
Nimeipenda sana maongezi ya mseven
@19ddr
@19ddr Месяц назад
Huyu miseveni namkubali sana
@mkatavitv1014
@mkatavitv1014 Месяц назад
AISEE NOMA SANA MZEE YUKO SAWA
@binmakame3881
@binmakame3881 Месяц назад
Allah amlinde mh. Museven
@JacksonFrances
@JacksonFrances Месяц назад
Umeongea Hoja Nzuri na Hupendi Kulaliwa na Wazungu ila Kibaya Zaidi Rais Wengi Wa Afrika Mashariki na Kati Hawajitambui na Siyo Wazalendo "
@reubenhizza
@reubenhizza Месяц назад
Kenya na Rwanda ndio wanaotushudha sana umoja wa Afrika Mashariki. Bado wananyenyekea mno wakolini wao
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Месяц назад
Mungu sio Bwana.
@dayanahally
@dayanahally Месяц назад
Congratration museven you did well 4 africa
@reubenhizza
@reubenhizza Месяц назад
Jamaa ameshapileza malengo, hajui trna anataka nn. Anaenda kwa mzuka mzuka tu miaka m4 iishe
@ZubedaNzunda-wb3vd
@ZubedaNzunda-wb3vd Месяц назад
Heshima kubwa sana kwako mzee
@Godfreyolekidongo
@Godfreyolekidongo Месяц назад
Raisi Museveni hongera kwakuwa mzalendo👏👏
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 Месяц назад
nashangaa na watu wasiojua usiku wagiza wanao msifia bila kuchunguza kimakini eti mzalendo 🤦
@ramagwama
@ramagwama Месяц назад
Ii ndo inafanywa kenya kukataa mahindi ya tz kwa sabbu ii ndomana bidhaa ya unga ghali kama nn
@imanyamiela5886
@imanyamiela5886 Месяц назад
Aisee umeelezea vyema sana na kupiti hii chanel yenu tutazinduka,binafsi ninahasira sana na hawa magharibi lakini sina kipaza sauti,Mungu awabaliki sana guyz
@noahlameck1564
@noahlameck1564 Месяц назад
Ujue ruto alikuwa marekani
@rehemamnatende400
@rehemamnatende400 Месяц назад
Asante baba🎉🎉❤❤
@user-vt2oj3sr4k
@user-vt2oj3sr4k Месяц назад
Magufuli.... ungekuepo hapa..... dunia ilipo fkia ungetumia akili..kuish nao😢 hawa ndo marafiki ulipaswa kushiriana nao... God bless 🙏 ulipo baba
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Месяц назад
Hongera sana rais Mseven love from🇹🇿🇹🇿👏👏👏
@Solomonking257
@Solomonking257 Месяц назад
Naona huu mzee kaongea mambo ya maana ila Africa Nina ucoroni bado na kinachotusumbua zaidi ni ubinafsi ulio ndani ya hawa viongozi
@MirajiNjonjomi
@MirajiNjonjomi Месяц назад
Mwanaume msimamo bana Kwa mfano musseven ❤
@Gody360
@Gody360 Месяц назад
Pamoja sana mzeee
@abdallahkaskas6168
@abdallahkaskas6168 Месяц назад
Mi kila siku nasema Kwanini Wamasai na Wasomali wanafana sana , alafu Kuna Warangi pia 😂
@musasaguti4760
@musasaguti4760 Месяц назад
Hongera sn Museveni
@frankub8107
@frankub8107 Месяц назад
hata north Malawi swahili wanaongeya
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Месяц назад
Mseveni mungu akupe maisha marefu
@betinvestment3204
@betinvestment3204 Месяц назад
Natamani mpaka kesho nije kusikia tu kiongozi mmoja kabeba japo michanga ya nchi zote za east Africa alaf anawasubili viongozi wenzie mezani waje kuunganisha iwe nchi moja kwa ujasili mmoja hata kama kunaugumu kiasi gani isijalishe liwalo na liwe iwe nyumba moja
@joycekonga4095
@joycekonga4095 Месяц назад
dj smaaa umetisha sana
@MussajumaMiheza
@MussajumaMiheza Месяц назад
Big up strong Man
@abubakariswai
@abubakariswai Месяц назад
Hii formula nitaitumia kwenye maisha yangu wallah vikipanda kama sio muhimu achananacho Kuna option nyingine ❤
@dominic4727
@dominic4727 Месяц назад
Dj smaa wewe ni pan Afrika kama mimi
@user-ew7zb3jx7t
@user-ew7zb3jx7t Месяц назад
Kaka nakupenda sana mimi nakufatilia nikiwa Oman unafanya vizuri sana nakuekuelewa ila viongozi wetu wa kiafrica kinachowatesa uchu wa madaraka na kutaka umimi
@Is-hakaAbdallah
@Is-hakaAbdallah Месяц назад
Hawa ndiyo viongozi tunao wahitaji Africa sio wageni wa Dunia kaziyao kuzunguka kwenda kulialia kwa watu weupe kutaka misaada
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah Месяц назад
Magaribibi hawakawii kutuita gaidi nasi baadhi yetu tunashabikia sijui ni nani aliyetuloga waafrika
@user-kb8yw1up1k
@user-kb8yw1up1k Месяц назад
True mr museven
@Maulidism
@Maulidism 28 дней назад
You are the Father now who dares not to listen, thx to RU-vid this speech shall persist
@tradamus4158
@tradamus4158 Месяц назад
Big up sana mu8 mzalendo
@johnabery-vn7eb
@johnabery-vn7eb Месяц назад
Ruto alikuA ameenda kumkataza mseveni ili awaflahish wazng
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 Месяц назад
Nice
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 Месяц назад
Wazungu hawataki hayo mawazo ,yake naomba waganda mlindeni sana hiyo.Tazama nyuma kwa Gadafi,na magu na wengine , Mungu amlinde
@athumanmsuya2688
@athumanmsuya2688 22 дня назад
Aje tz tutamlinda
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Месяц назад
Museveni must very smart in History
@izamahmasaki4795
@izamahmasaki4795 Месяц назад
Huyu ndye mfalme wa Africa kwa Sasa ,anao udhubutu.,wengine ni ndumila kuwili,vibaraka na hawana vision yoyote zaidi ya kupokea maagizo Toka magharibi .
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 Месяц назад
Mbona mmepindisha ctory hapo alikua anatoa tu mfano i watched the whole speech
@sifaoksbagirishyasie2410
@sifaoksbagirishyasie2410 26 дней назад
Waliwatambua kwamba mna penda kuwa tegemezi, nakusema santeee Kila Mara, ingawa Kila kitu kinatoka huko. Saidieni waafrika wanao maliza siku nzima makanisani,. kuzaa nakuzaaana, bila kufikiria Mtoto atsishi je. Chapeni kazi, time is money. Hata kama ni faida chache. Mnyakue heshima tena . Jamani hapakuage vya Bure tuamke na mvivu mvuteni. Ache kupenda heshima na Sifa zabure. Maendeleo ya jirani ifurahie in positiv way . Ili ikunufaiche pia. Umoja Na kuchukuliana hapo Mambo yatawezekana. Tusiache Nakuelimishana. Maneno na matendo. Nakufikiria mbali au maisha ya baadaye. Sante kwa interview hii
@louangesid
@louangesid Месяц назад
Nampendaga huyu raisi Museveni mie❤
@aiyaavibes7610
@aiyaavibes7610 Месяц назад
Kaka big up.... ulivyotaja swala la mafuta.... Nimeumia sanaa... ni kweli mafuta ya MRUSI ni bei chee___lakini tunalazimishwa kununua mafuta kwa bei ya juu.... inatuumiza sanaaaaa sisi watu wa hali ya kawaida____
@user-xy6ed7ve6r
@user-xy6ed7ve6r Месяц назад
Naomba ufafanuzi wa kwa nini Pep Guardiola alikataa kumpa mkono mtu mmoja wakati wa sherehe za Ubingwa wa EPL
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Месяц назад
👏👏👏👏👏👏
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 Месяц назад
Huyu raisi , nampenda Sana , kukataa ushoga Uganda ,,baba,yangu museveni nAkupenda Sana Tanzania tunakupenda
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Месяц назад
Asante museven, kenya njaa itawatia dole la kati
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc Месяц назад
Uyu mzee kaja kuamsha marehemu wote tatizo viongozi wetu vigeu geu lakini mweshimiwa rais museven kaongea ukweli tutumie bizaa za urusi kama mafuta vyengine kama chakula na salafu ziwe zetu.
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 17 дней назад
Tatizo la umoja wa nchi za Afrika Mashariki ni Kenya.
@StephanoMoses
@StephanoMoses Месяц назад
Namuelewa sana komesha komesha yao mashoga hii apa
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht Месяц назад
Wallahi mzee huyu Allah SWT amuweke vizuri amjaalie afya na amuepeshe na uzee wa kuwakumtoa akili
@user-lf1bd4vj9c
@user-lf1bd4vj9c Месяц назад
Maisha mazuri tutayasikia tu kama viongozi wataki kuelewa ukoloni mambo Leo, ndiyo kitu kinachotutesa nchi za Africa.
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 Месяц назад
Dj Sma tufanyie alisis ya siasa za malema, na ndoto zake nizaukweli au, fanya analisis plz.
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 Месяц назад
Museven, we're together
@Qqambaa
@Qqambaa 29 дней назад
Ama kweli kupendwa na kuchukiwa ni kitu kimoja leo nitasifiwa kesho nitakashifiwa
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Месяц назад
Alllah mlinde mze wetu
@ErickMsodoki-de2gl
@ErickMsodoki-de2gl Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 Месяц назад
Mzee yupo sawa soko la Africa ni kubwa shida ni hii mipaka na vikwazo vinaturudiaha nyuma sana, ukweli ukifika boda ya Sirari na Mtukula biashara ya mchele ni kubwa sana
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Месяц назад
Aise nimekupenda sana aise rais wa Uganda. Pamoja sana ndugu yangu wa Africa 🌍. Pamoja sana na marafiki wa Africa 🌍. Lkn ujue juzi jamaa yangu mmoja alikuwa marekani. Huyu ni adui. Mwangalieni sana. Unaenda kutafuta nini kule marekani? Ni upumbavu mtupu. Unaenda kutafuta nini huko? Kila kitu kiko hapahapa Africa 🌍.
@nextstudiostz
@nextstudiostz Месяц назад
Dah! Nimemmis Magufuli🥲 Uyu mzee ni damu moja na the late JP Magufuli
@harunmruma2291
@harunmruma2291 Месяц назад
Usiwaamini wakenya
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz Месяц назад
MUNGU hamlinde zaidi Rais kweli anafanya vizuri sana kutetwa wafrika
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 Месяц назад
Museven🎉❤
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Месяц назад
Afrika viongozi wetu wanatakiwa waamke, tunaagiza vyakula vya nje badala ya kuuziana wenyewe, pumbavu sana.
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Месяц назад
M7 huyo East Africa Community Vipi kwani haturusiwi kufanya Biashala pamoja ? M7 naomba uwambie mawazili WA Feza watengeneze sarafu Moja . East Africa hela.
@animalchannel296
@animalchannel296 Месяц назад
HUYU MWANAUME... TUNAHITAJI WANAUME KAMA HAWA AFRIKA TUTATOBOA
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 Месяц назад
congratulations
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Месяц назад
🇹🇿🇹🇿✌
@BlandineMatata
@BlandineMatata 28 дней назад
Aaaaaaah ki swahili kigumu nilizani kwagis waganda wanaongueya kinguereza uyu atakiongueya kaka maji alafu naona kama kingereuza kigumu kwake
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
Huwa nawaambiaga Ugandans siku itakuja watamkumbuka Rais M7 usiku wa manane huku masikio yao yakigubikwa na milio ya mbwa
@stressfreezone1522
@stressfreezone1522 Месяц назад
Msaada pia ni kwasababu yakutu control.
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 24 дня назад
Mbona Magufuli alikua anapigania hii kwa miaka 5 ya utawala wake,, mlikua wapi kumuunga mkono JPM
@omarmussa5755
@omarmussa5755 Месяц назад
Naomba mama samia akamtembelee rais mseven ni rafiki mwema sana.
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx Месяц назад
Babu oyeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@bama9271
@bama9271 27 дней назад
Sasa hapo unachambua au una tafsiri tu!!
@user-pt8wo4ss2p
@user-pt8wo4ss2p Месяц назад
Lakini malais wengine watafanyia kazi???
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 Месяц назад
Dahh! Sijui nisemeje lakn uyo Ami anaongelea mkakati wa kuikomboa dunia, ikiwa afrika ni kujiweka sawa ili tusimame na semee dunia. Nimeichukua hii nitaishi nayo daima Sikumzania kusem hivyo kamwe, lakn anaongea akiwa hana nguvu😢
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 Месяц назад
I was very young boy museven akija kufungua kilifi bridge
@salimomary6913
@salimomary6913 Месяц назад
Mungu Mlinde baba yetu
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 28 дней назад
Kenya walipiga uuzaji wa vitunguu eti vina chemical (vinakaushwa na madawa)
@mbellaalba5676
@mbellaalba5676 Месяц назад
Nikweli lakini waache mauwaji nchini congo kiukweli ame nena maneno mazuri sana
@LeventinaNyamya
@LeventinaNyamya Месяц назад
Uganda haihusiki na congo ni Rwanda
Далее
3.5M❤️ #thankyou #shorts
00:16
Просмотров 684 тыс.
Yeni Özbək Mahnisi Yoxsa Vefali Reqsi? 😍
00:36
Просмотров 2,1 млн
3M❤️ #thankyou #shorts
00:14
Просмотров 5 млн
подчистили салон авто
1:00
Просмотров 2 млн
heavy equipment
0:26
Просмотров 8 млн
Respect🥺
0:35
Просмотров 2,2 млн
подчистили салон авто
1:00
Просмотров 2 млн