Тёмный

SIRI nzito ya kwanini UFARANSA, ECOWAS & EU wanaikomalia sana NIGER - Na DJ Sma 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 51 тыс.
50% 1

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

20 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 286   
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 10 месяцев назад
Nigeria black wenzetu wanatuangusha sana, ndio maana BRICS wamewatema!
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 12 дней назад
Nasikiza kutoka munchen nikweliunayo sema
@emmanuellehani9698
@emmanuellehani9698 11 месяцев назад
Natoka Marekani, Indiana. Mm bado ndo nimeanza kukufatilia nimevutiwa sanana nauchambuziwako 7bu hunatowa ushaidi wauwakika. Hongera sana. Soon utapata supports zetu.
@arbogastnyaulingo3560
@arbogastnyaulingo3560 10 месяцев назад
Hongera sana kwa uchambuzi makini wa makalu za kimataifa nipp tayali kutoa support ili tuweze kupata madi ya nguvu kaka
@regnalddanda9364
@regnalddanda9364 10 месяцев назад
Toka Njombe ,ahsante sana .elimu nzuri
@ismailradjabu3871
@ismailradjabu3871 11 месяцев назад
From south Africa, naomba hata kila siku huwe na tudondosheya kitu, duuh big up saana dj sma. Mimi ni mcongo
@davidcurtis175
@davidcurtis175 11 месяцев назад
Haina haja ya kusema wewe ni mkongo, mkongo mtanzania mkenya mganda mrwanda mburundi mmalawi na wengine wote siwezi maliza hapa wewe mimi dj sma wote ni watoto wa mama Afrika, tusijbague kwa kutaja mataifa, japo najua lengo lako ni Dj Smaa ajue ana watu wanaomsikilaza mpaka Congo si vibaya sana japo usipendelee sana kujitambulisha kama ni mkongo au mtanzania.
@khalifaalmugheiry9232
@khalifaalmugheiry9232 11 месяцев назад
All the from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Siwezi nikapitwa na darasa lako naelewa vipi unavopata tabu kutuletea haya madini na kote huko hatuyapati hapa ndio nyumbani, big up dj.sma✊🏾😎
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 11 месяцев назад
Asantee ustadh smaaaaa 🎉❤ from PEMBA upembani nawakilisha 🎉🎉
@khamisshee803
@khamisshee803 11 месяцев назад
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
@morganyiskaka815
@morganyiskaka815 11 месяцев назад
Mungu akupe afya unatupa mambo mazur sana From Rukwa
@emmanueljonas84
@emmanueljonas84 11 месяцев назад
Dj smaa machozi yamenitoka.Asante sana 🙌🙌🙌👏👏
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 11 месяцев назад
Tuko pamoja sana DJ Smaa kutokea Harare,Zimbabwe
@subetizaid6515
@subetizaid6515 11 месяцев назад
Allah bless you dj smaa
@user-mz9lb2em1y
@user-mz9lb2em1y 11 месяцев назад
Ahsante sana dj. Ss tunaelewa ishu nzima endelea kaka mm naitwa msuri kaita natoka mwanza wilaya nyamagana.
@billskeez92
@billskeez92 10 месяцев назад
Dj Sma Mii nimshabiki wako kindaki ndaki👌👌👌
@amadecassamo1606
@amadecassamo1606 11 месяцев назад
Dj sma nakufuatilia kutoka Mozambique❤
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 11 месяцев назад
Wewe ni mchambuzi Bora kutokea ktk kizazi hiki Big up bro !!
@ramamfunga-jl6tl
@ramamfunga-jl6tl 10 месяцев назад
Well spoken brother
@JohnMhagama-jr3hn
@JohnMhagama-jr3hn 10 месяцев назад
Dj sma naskiza madin haya nikiwa muheza tanga .namkubali Sana kazi zako
@emanueljohn9240
@emanueljohn9240 10 месяцев назад
Brother I like your content najifunza vingi sanaaaaaaa brother MUNGU akuweke inshallah
@hajinachembe4310
@hajinachembe4310 11 месяцев назад
Masasi Mtwara, big up dj smaa, yaani ukikaa zaidi ya siku tatu hujatupa up date nakua nimechokaaa maana habari zako ni naoumaa
@billskeez92
@billskeez92 10 месяцев назад
Aise bro unatupa darasa to Sha👏👏👏
@shafiibakar704
@shafiibakar704 11 месяцев назад
Nasikia from zanzbar dj sm
@issagervase9588
@issagervase9588 10 месяцев назад
nakukubali my brother tuwaombee sanaa naiger washinde hii vita Endapo naiger watashinda Africa tumeshinda
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td 11 месяцев назад
DJ sma unaweza bro nakupenda from 🇧🇮👊🖤
@Sifa_bendera_bilove
@Sifa_bendera_bilove 10 месяцев назад
Nakusikiliza nikiwa America, mu africa damu, big up sana
@user-eg6uq2eo9u
@user-eg6uq2eo9u 11 месяцев назад
Big up xana kakaa
@damianandrew3074
@damianandrew3074 11 месяцев назад
Respect sana bro
@maiyussuf9324
@maiyussuf9324 11 месяцев назад
Asante sana
@issamaulidi8860
@issamaulidi8860 11 месяцев назад
From USA 🇺🇸 state Rhode Island city 🏙️ providence 🧟‍♂️
@KIMEA995
@KIMEA995 11 месяцев назад
Ahsnte kwa uchambuzi mzuri bro karibu Arusha
@AliAli-no3eq
@AliAli-no3eq 11 месяцев назад
Thank you DJ for your time
@alibinali_
@alibinali_ 11 месяцев назад
Thanks for this
@YohanaMboma-vz3sl
@YohanaMboma-vz3sl 11 месяцев назад
Iko vizuri sana,Asante kwa point mbili nzito.
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 11 месяцев назад
Nchi zote za Kiafrika inatakiwa ziamke km wenzao wa nchi za Guinea,Mali, Burkina Faso na Niger kupinga Unyonyaji, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Utumwa wa kifikra kutoka nchi za America na Ulaya pia kuja na njia mbadala za kujiinua Kiuchumi,Kisayansi na Teknolojia maana Afrika imebarikiwa kuwa na kila kitu kitakacho chagiza maendeleo la Bara la Afrika,Mm natokea Mbeya mjini ila kwa sasa nipo Chato, Mganza Mkoa wa Geita
@dominiquedavid87
@dominiquedavid87 10 месяцев назад
big up
@didoniwa4206
@didoniwa4206 11 месяцев назад
uko vizuri mkuu from south Afrika
@abdullysaid2584
@abdullysaid2584 11 месяцев назад
Nimeelewa vizuri sana
@alhajjwaupe4593
@alhajjwaupe4593 11 месяцев назад
asante sana kaka nime kupata vizuri sana kutoka saudi arabia
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 10 месяцев назад
Ahsante
@mutetimusa4698
@mutetimusa4698 11 месяцев назад
Kenya apaa bro musa mteti nachek sana
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 11 месяцев назад
All the way from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲 lsk
@zephaniamanembe6929
@zephaniamanembe6929 11 месяцев назад
Nakusikiliza kutoka Mza kisesa, nakupata vizuri
@user-id7wx2wj1e
@user-id7wx2wj1e 11 месяцев назад
Unajua bro mnoo natamani ungekuwa hata kaka yangu wa damu 😥 jinsi navyopenda sana hizi analysis kutoka kwako,Much Love ❤️ endelea kutupa elimu achana wale wasiojielewa kazi kukoment pumba 😂😂
@nick1o7bang17
@nick1o7bang17 11 месяцев назад
Bless up from 🇺🇸
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 11 месяцев назад
kwa nini Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi wa nato,wingereza, ujerumani,marekani Ufaransa wanao kufa vitani nchini Ukraine ?. au ni magogo yanakuwa siyo watu? haki za binadamu hawaoni? haki za binadamu wanashirikiana na marekani kuficha ukweli kwasababu haki za binadamu ni mali ya marekani. ingekuwa ni Africa hawatangazi asikari wanaokufa marekani angeweza vikwazo.angetuma kikundi chake kinachojiita haki za binadamu waje kulazimishwa wanajeshi wanaokufa watangazwe lakini yeye anaficha kuogopa aibu na rawama kimataifa jinsi wanavyo kufa wanajeshi wengi.
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 11 месяцев назад
Big up
@MohammedMgao
@MohammedMgao 10 месяцев назад
Nakupenda sana elimu yako kakupa mungu tutetee mungu akulinde
@joggy96
@joggy96 11 месяцев назад
Thanks sana brother for the knowledge ...love from saudi arabia
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 11 месяцев назад
Daaa! Watupatie nchi zetu waizi sana from kigoma
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 11 месяцев назад
Listening n watching from Bahrain.
@eliamdeka9279
@eliamdeka9279 11 месяцев назад
Wakwanza like zangu
@djsma255
@djsma255 11 месяцев назад
🎉
@mwalimudavidkizazihuru
@mwalimudavidkizazihuru 10 месяцев назад
Kwakweli unafanya kazi nzuri kaka, huu ni uchambuzi ilioenda shule na wakizalendo kabisa ❤❤
@Dadydadonmiki-dg3nl
@Dadydadonmiki-dg3nl 11 месяцев назад
Big up bro.
@LaurentEmmanuel-zb3cd
@LaurentEmmanuel-zb3cd 11 месяцев назад
Ninakueliwa br pamoja sana
@MohammedMgao
@MohammedMgao 10 месяцев назад
Ongela sana mungu akulinde Mohammed mgao kutoka songea
@nuruaiwen9536
@nuruaiwen9536 11 месяцев назад
Asante kwa kutufumbua macho, from mabella muscat oman
@HemediAhmedi
@HemediAhmedi 11 месяцев назад
Shukrani sana kaka
@frankthobias-ux7lj
@frankthobias-ux7lj 11 месяцев назад
Dj smart upo vizuri unaongea facts. Nimfuasi wako kindakindaki. Kigoma
@mikidadmhando2504
@mikidadmhando2504 10 месяцев назад
Umetufungua macho na masikio, Waafrika hiarini kusuka ama kunyoa, kazi tunayo, Mungu atunusuru
@bakariomari8758
@bakariomari8758 11 месяцев назад
Kutoka, dubai upo vizuri kaka smaa
@sombochristian8373
@sombochristian8373 11 месяцев назад
From Stockholm 🇸🇪
@mcmetroboom530
@mcmetroboom530 10 месяцев назад
Kaka tubaenjoy sana unajua mkuu dany from mbeya
@prospersanga7942
@prospersanga7942 11 месяцев назад
Unajua Sana 🙌
@adammed6037
@adammed6037 11 месяцев назад
Good job Frm dar es salaam
@eduardozacariasgabrieledua9981
@eduardozacariasgabrieledua9981 11 месяцев назад
Big up brother nakupata kutoka Mozambique/Pemba
@Majhidymhessa
@Majhidymhessa 11 месяцев назад
DJ Sma Ninakupata na kukufuatilia toka "PADOVA"Italy I love you DJ Sma
@njololoilashikon4978
@njololoilashikon4978 9 месяцев назад
💯 from 🇮🇩 Kazi nzuri kaka
@Gulfnas1
@Gulfnas1 7 месяцев назад
Mwamba, inakuaje??
@Gulfnas1
@Gulfnas1 7 месяцев назад
Naomba kuongea na wew
@hassanpashua
@hassanpashua 11 месяцев назад
Nmechelewa kiasi from Kenya bigup
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 11 месяцев назад
Asante sana mkuu tuko pamoja ❤❤❤❤❤❤
@ntwarimuhammad7742
@ntwarimuhammad7742 11 месяцев назад
From 🇧🇮
@amissibekere2880
@amissibekere2880 11 месяцев назад
Safi sana
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 11 месяцев назад
Upo sahihi kabisa Dj Sma
@habibumnibo4000
@habibumnibo4000 11 месяцев назад
Watatu. 😂
@mwenendoassani9127
@mwenendoassani9127 11 месяцев назад
Yani ni Atari kbs awani djiya ya kum kwepa kbs Mrussi 😂😂😂😂😂 DJ SMA ❤❤❤❤❤
@idrisirakoze2235
@idrisirakoze2235 9 месяцев назад
Mwenyezi mungu akujaliye baba kwakuamsha wa africa
@abubakaralamoody2667
@abubakaralamoody2667 10 месяцев назад
From Mombasa Kenya kusema kweli uchumi wa Western watoka Africa na sisi wa Africa hatujakuwa united hayo maoni yangu
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 11 месяцев назад
Dhahiri ni kwamba ukithubutu kuelezea ukweli wa Uganda utafungiwa hlafu haya madin tutayakosa tuachie wanafyuzi tufatilie wenyewe kimyakimya, shukrani bro.🤝 ibnu Jumanne nakufuatilia nikiwa S.A
@rwechunguraissa1394
@rwechunguraissa1394 11 месяцев назад
Asante Sana mtaalamu wa current affairs, scientificallyj. Ukweli unazidi kuibuka duniani. Wazungu Ni zamu yao kulipa kwa dhulma ya mali walizotunyonya enzi za ukoloni wao
@ZIDANE_makiese
@ZIDANE_makiese 10 месяцев назад
😅😅mbn mpk ssa wanaendelea
@simonwambo8345
@simonwambo8345 11 месяцев назад
Maoni yangu ni kwamba kwa hivi vita mrusi lazima ashinde ..naitwa simon dj sma nakuskiza kutoka kenya
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 11 месяцев назад
Ok mkuu❤
@hassansempoi106
@hassansempoi106 6 месяцев назад
Salute to you!!
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 11 месяцев назад
❤ djsma ufaransa Chali wametunyonya Sana zama zimebadilika Sana na kutuletea magonjwa zamu Yao nakulushia bando upunguze garama.
@djsma255
@djsma255 11 месяцев назад
🙏
@wadudi2741
@wadudi2741 10 месяцев назад
Vizuri
@joe_was_here.
@joe_was_here. 11 месяцев назад
Mungu akubaliki kaka 🙏
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 11 месяцев назад
Huna baya Dj sma tupo nawewe ktk kuchambua Africa na dunia yetu kwa ujumla.
@J4UPro
@J4UPro 11 месяцев назад
Safi sana kiongozi
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb 10 месяцев назад
😂😂😂 marekan na ufaransa wamenaswa
@mustafamruma1307
@mustafamruma1307 9 месяцев назад
Daah! Siku ikipita sijakusikiliza dj sma siridhiki, nipo tayaei kuchangia kabisa, pia nalitamani Hilo group la WhatsApp sana
@johnkitwima6963
@johnkitwima6963 11 месяцев назад
One love bro . Mwanza 🇹🇿
@sakuranitillya6088
@sakuranitillya6088 11 месяцев назад
Upo vizur sana kaka mungu akupe maisha marefu uendele kutupa madini nakufatilia sana
@robertokasike4824
@robertokasike4824 11 месяцев назад
Hivi hawa AU wapo kweli kwanini wasiende kupambana na hawa ECOWAS
@brayanhamaro5514
@brayanhamaro5514 10 месяцев назад
Wana fuse mm huwa naacha tangazo mwanzo mwisho liishe Hii naifanya kama sapoti na for love bless up kwa wote wana sns
@sadamslay2380
@sadamslay2380 10 месяцев назад
Yaani unanifunguwa sana
@amadecassamo1606
@amadecassamo1606 11 месяцев назад
Nakwelewa sana ndugu
@nayairon1450
@nayairon1450 11 месяцев назад
Africa tungeungana tukarumia jeshi moja na pesa tungetumia tungekuwa na umoja inaitwa ALPF yaan AFRICA LOVE PEACE AND FREEDOM vita isingekwepo africa wala tusingetawaliwa kiakili na viongozi wetu wangekuwa na umoja Africa tumelala tuamkeni tuwe na umoja
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p 11 месяцев назад
Asante kwa ujumbe mzuri na wenye matashi mema ndani yake, mzalendo wa kweli Putin hanawanyoosha mabeberu Ukraine mpaka Niger, Mungu ambariki na kumlinda Putin.
@user-md9iy9qn1k
@user-md9iy9qn1k 11 месяцев назад
Kwan kafanya nin laa maana watu wa africa jitizameni washeni ujinga Mbon usa 🇺🇸 haitegemei chochote kutok Russia 🇷🇺 Uyo aashe uongo usa 🇺🇸 wapi vizur kwa kila hatua
@jayaron5991
@jayaron5991 11 месяцев назад
​@@user-md9iy9qn1kwewe ulishawai kugika usa au
@davcodavid8651
@davcodavid8651 11 месяцев назад
Huyu putin waafrika tumwamngalie kwa jicho la tatu maana isije ikawa anampango wake baadae tukajabakia midomo wazi haya twende
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p 11 месяцев назад
@@davcodavid8651 We mwangalie Biden na Marekani yake sambamba na nchi za magharibi ambao ndio chanzo cha mizozo yote Duniani kwa maslahi yao binafsi, kwani bila raslimali zetu mataifa yao sichochote. Urusi ya mzalendo wa kweli Putin sio mara ya kwanza kulisaidia bara letu la Afrika, walifanya hivyo kutusaidia kupata uhuru wa bendera tulionao, kwa viongozi wachache wanaojitambua ni wakati wa kushikana na Urusi kupambania uhuru wetu wa kiuchumi. Urusi anazo raslimali za kutosha haji Afrika kuchuma km hao mabeberu, Urusi hajatawala nchi yeyote ile Afrika wala hakuna nchi inaongea Kirusi, kwangu mimi Urusi ni taifa teule dhidi ya ushoga, usagaji na mambo mengi ya ovyo ya mabeberu.
@user-km7rw2ov6w
@user-km7rw2ov6w 11 месяцев назад
From znz Please elezea kuhusu hiyo vita ya kagera
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 11 месяцев назад
Vita sio best option at all!But kama watu wanawavamia ktk nchi yenu Best OPTION hapo ni kukinukisha nothin else
@manzimanzi4456
@manzimanzi4456 11 месяцев назад
Ahsnte sana..Nakusikiliza nakuelewa pia.
@theresechristensen8190
@theresechristensen8190 11 месяцев назад
🙏🙏🇩🇰
@milliew1572
@milliew1572 11 месяцев назад
Ninacho kijua ni kwamba Hakuna Nchi Hata Moja Ilipatauhuru wa Ukweli Hadi Sasa
@Steve.3175
@Steve.3175 11 месяцев назад
Hapa ndio nimeelewza vzr
Далее
Which national team are you rooting for at Euro 2024?
00:17
Спецэффекты в Симс 4
00:36
Просмотров 300 тыс.