Haina haja ya kusema wewe ni mkongo, mkongo mtanzania mkenya mganda mrwanda mburundi mmalawi na wengine wote siwezi maliza hapa wewe mimi dj sma wote ni watoto wa mama Afrika, tusijbague kwa kutaja mataifa, japo najua lengo lako ni Dj Smaa ajue ana watu wanaomsikilaza mpaka Congo si vibaya sana japo usipendelee sana kujitambulisha kama ni mkongo au mtanzania.
All the from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Siwezi nikapitwa na darasa lako naelewa vipi unavopata tabu kutuletea haya madini na kote huko hatuyapati hapa ndio nyumbani, big up dj.sma✊🏾😎
Nchi zote za Kiafrika inatakiwa ziamke km wenzao wa nchi za Guinea,Mali, Burkina Faso na Niger kupinga Unyonyaji, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Utumwa wa kifikra kutoka nchi za America na Ulaya pia kuja na njia mbadala za kujiinua Kiuchumi,Kisayansi na Teknolojia maana Afrika imebarikiwa kuwa na kila kitu kitakacho chagiza maendeleo la Bara la Afrika,Mm natokea Mbeya mjini ila kwa sasa nipo Chato, Mganza Mkoa wa Geita
Unajua bro mnoo natamani ungekuwa hata kaka yangu wa damu 😥 jinsi navyopenda sana hizi analysis kutoka kwako,Much Love ❤️ endelea kutupa elimu achana wale wasiojielewa kazi kukoment pumba 😂😂
kwa nini Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi wa nato,wingereza, ujerumani,marekani Ufaransa wanao kufa vitani nchini Ukraine ?. au ni magogo yanakuwa siyo watu? haki za binadamu hawaoni? haki za binadamu wanashirikiana na marekani kuficha ukweli kwasababu haki za binadamu ni mali ya marekani. ingekuwa ni Africa hawatangazi asikari wanaokufa marekani angeweza vikwazo.angetuma kikundi chake kinachojiita haki za binadamu waje kulazimishwa wanajeshi wanaokufa watangazwe lakini yeye anaficha kuogopa aibu na rawama kimataifa jinsi wanavyo kufa wanajeshi wengi.
Asante Sana mtaalamu wa current affairs, scientificallyj. Ukweli unazidi kuibuka duniani. Wazungu Ni zamu yao kulipa kwa dhulma ya mali walizotunyonya enzi za ukoloni wao
Africa tungeungana tukarumia jeshi moja na pesa tungetumia tungekuwa na umoja inaitwa ALPF yaan AFRICA LOVE PEACE AND FREEDOM vita isingekwepo africa wala tusingetawaliwa kiakili na viongozi wetu wangekuwa na umoja Africa tumelala tuamkeni tuwe na umoja
Asante kwa ujumbe mzuri na wenye matashi mema ndani yake, mzalendo wa kweli Putin hanawanyoosha mabeberu Ukraine mpaka Niger, Mungu ambariki na kumlinda Putin.
Kwan kafanya nin laa maana watu wa africa jitizameni washeni ujinga Mbon usa 🇺🇸 haitegemei chochote kutok Russia 🇷🇺 Uyo aashe uongo usa 🇺🇸 wapi vizur kwa kila hatua
@@davcodavid8651 We mwangalie Biden na Marekani yake sambamba na nchi za magharibi ambao ndio chanzo cha mizozo yote Duniani kwa maslahi yao binafsi, kwani bila raslimali zetu mataifa yao sichochote. Urusi ya mzalendo wa kweli Putin sio mara ya kwanza kulisaidia bara letu la Afrika, walifanya hivyo kutusaidia kupata uhuru wa bendera tulionao, kwa viongozi wachache wanaojitambua ni wakati wa kushikana na Urusi kupambania uhuru wetu wa kiuchumi. Urusi anazo raslimali za kutosha haji Afrika kuchuma km hao mabeberu, Urusi hajatawala nchi yeyote ile Afrika wala hakuna nchi inaongea Kirusi, kwangu mimi Urusi ni taifa teule dhidi ya ushoga, usagaji na mambo mengi ya ovyo ya mabeberu.