Тёмный
No video :(

Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati 

The Chanzo
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Leo Juni 28, 2024 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amehutubua wananchi wa Babati Mkoani Manyara katika muendelezo wa ziara zake za kufanya mikutano ya hadhara ya chama hicho nchi nzima.
Hata hivyo mapema kabla ya kaunza mkutano huo Mkurugenzi wa Babati amelalamikiwa na Chama hicho kuwa amezuia kwa muda shughuli za mkutano kufanyika katika eneo hilo na kuwataka CHADEMA kutafuta eneo jingine la kufanya mkutano wao huo. lakini baadaye waliruhusiwa kuendelea na mkutano wao.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад
Wanaichi wamekosa furaha sababu ya macicim yamewanyonya ndiiyo maana wanasikiliza tumaini jipya katka maisha yao CHDEMA
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Месяц назад
Akili Kubwa Mh Mwenyekiti Taifa Na Na Kanda Lema 👏
@StewartKileva175
@StewartKileva175 Месяц назад
Yasitufike ya Kenya2
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart Месяц назад
Sauti jaman
@eliaschessa5728
@eliaschessa5728 Месяц назад
Mbona mnazimazima hutuba ya mbowe mzuia watuwatisikie ukweli
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart Месяц назад
Ukwer utabaki kua ukwer chadema mnamaono mazuri kweri lakini kwa nini msimsaidie mama yetu mawazo yenu ayafanye tupate maendeleo kuliko kumtoa kwenye urais
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart Месяц назад
Kwer mh
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Kwa hivyo unataka wazungu wanyonye nchi na wasilipe kodi. Kodi wasipolipa ndio tukakope kwao maisha wakati huku wanasomba madini bila kununua na kulipa kodi
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 Месяц назад
Facts tupu
@user-nd4tq6nd8s
@user-nd4tq6nd8s Месяц назад
Wengi hatujapa kadi ya chama naitwa Alex Petro nipo Kilimanjaro
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Chadema acheni kuhamasisha watu wafanane na kenya. Wakenya sasahivi wengi wamekimbia kwao wapo hoteli za Tanzania wamejiifazi roho zao kwa kuwepa vurugu zinazoendelea kenya. Sisi Tanzania tunahimiza amani na utulivu. Na kama mnashindwa kuhutumia siasa za amani na utulivu acheni siasa
@user-vq3zu8ne9b
@user-vq3zu8ne9b Месяц назад
Hapa penyewe wanaotekwa na kuuawa kunatofauti gan na Kenya?
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Месяц назад
Elimu ya kupigania haki yao wananchi sio kuhamasisha fujo! Haki inapiganiwa haiombwi ! Mwalimu Nyerere angedhamini mshahara wake wakati Ukoloni uhuru wa Tanganyika isingepatikana! Acha mambo yako ya kudanganya watu.!
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Месяц назад
HAKUNA AMANI KAMA HAKI HAIPO. MWALIMU NYERERE HAJAWAHI KUWA MWIZI WA RASILIMAL ZA NCHI!
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 Месяц назад
Vijana tujitambue tumerara sana
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Kwanza badilisheni katiba ya Chadema Maana ndani ya chadema mpaka kufa viongozi ni mbowe na lisu.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Месяц назад
Chawa Hovyo Sana Nyinyi.
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Chadema mnatekana wenyewe acheni kusingizia
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Месяц назад
Akili Imeoza
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Si mlimkimbia Magufuli sasa Mama Samia kawarudisha mwanamwita Samia wa ovio.
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Mbona mnaongea porojo badala ya kuhutumia wananchi
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Mbowe mwongo we mbona ulidanganya bunge kuwa ulivamiwa na ukapigwa kumbe ulikuwa unakùla konyagi
@mgm412
@mgm412 Месяц назад
Msenge ww tulia dawa ikuingie
@othmanali5362
@othmanali5362 Месяц назад
Hutoba imekwenda shule
@stanleymanya438
@stanleymanya438 Месяц назад
Imekwendashulu Ila sio Ila haijaingiadarasani itakua inayopenda kipindi chamapumziko, tumechoshwa na watu walewale
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Chadema chama ni ya watu watatu tu mbowe lema na lisu.
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Месяц назад
Ukweli unauma sana? Kama Mbowe anaongea porojo mbona unamfutilia? Au wewe ulipelekwa Dubai kupokea ?
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Месяц назад
Rais Samia Suluhu Hassan hakurusi mikutano siasa Ni Katiba ya Tanzania inatolewa haki hiyo! Chama hakiweze kuunda tatizo ( Create) na kuja kusema inatowa suluhisho! CHADEMA KEEP IT! WATAELEWA TUU ,AU TUTAWALAZIMISHA KUELEWA!
@JacksonFrances
@JacksonFrances Месяц назад
Hiyo siyo hoja ya kuongea kwani hao uliowataja siyo viongozi?!?!"​@@Simions-q2i
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart Месяц назад
Chadema tuambieni mkipewa nchi mtafanya nini? Tunahitaji pointi za ukwer na siyo lawama tu yote unayosema wananchi tunayajua toa njia sahihi
@Annastaziarobart
@Annastaziarobart Месяц назад
Hiiiiiiiiiiiiiiiiii
@Simions-q2i
@Simions-q2i Месяц назад
Mbowe na lisu ninyi ni waongo hakuna wa kuwapa nchi. Mtauza nchi maana mlikuwa mnashadadia ndege ya nchi kushililiwe na watu wa nchi zingine. Chadema mmepoteza dira na mwelekeo hamna siasa safi siasa zetu chafu 😅😅😂
@JacksonFrances
@JacksonFrances Месяц назад
Acha Uchawa wewe Hayo Maneno kamwambie Mama Abdul "
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Месяц назад
Ww fara kweli unatapika
Далее
NPC Bloxfruits🤖🔥| Doge Gaming
00:13
Просмотров 640 тыс.
Мама приболела😂@kak__oska
00:16
Просмотров 804 тыс.
Othman Masoud Anatoa Tamko Leo Zanzibar
1:47:16
Просмотров 2,1 тыс.
🔴LIVE: KIKUNDE MUDA HUU MHE:FREEMAN MBOWE, LEMA,
44:51
NPC Bloxfruits🤖🔥| Doge Gaming
00:13
Просмотров 640 тыс.