Li baba levo uko nyuma linataka kucheka maana linamjua mwijaku anajifanya kasoma sana kuliko yeye lakn wote wanakula vizuri mungu fundi la Saba na mzumbe wote kunguni kudadek😅😅😅😅
Muwambie wateja pia njia rahisi ya kupunguza gharama ni kupitisha mizigo Bandari ya mombasa pia maana kumekuwa na kasumba serikali kazi yake ni kuongeza tu kodi aijui changamoto za kufanya tafiti za kupata hayo machimbo ya bidhaa wanakaa Dodoma kupiga makofi tu