Emmanuel aka Nay is a skillful wordsmith and a philosopher of his own kind. He is in the likes of Bob Marley, Sam Cook, Tupak, John Lennon etc. He is a gemstone Tanzania should treasure and protect him at all cost! For you Nay keep on asking those hard and philosophical questions. God is there and I know you know HIS always there. Mola azidi kukulinda kaka mdogo.
Kabla hqmjamlaumu Nay mkamuhukumu hebu skilizeni hii nyimbo vizuri...Nay analia watu wanoteseka na kudhalilishwa na Mungu yupo hivyo nilivyomfahamu mm yeye anataka Mungu achukue action ili hayo matatizo aliyoyaeleza yasitokee......gonga like kama umemfahamu nay hapa
Watu wametekwa na mihemko, wameshindwa kuelewa alichokimaanisha na kuropoka wanachofikiri wao... Hapo ndo utaelewa nn maana ya msanii?? Na nn maana ya sanaa!! *Hongera kwake Ney*
Nay anachojaribu kuongea kina mantiki fulani, maana najua hakuna kufuru yoyote katika hilo, swali hilo hakuna asiyejiuriza kwa siri ila yeye kaliweka wazi, Mungu yupo ila inahitaji busara kubwa kutambua uwepo wake maana yeye atenda tofauti na mawazo yetu yawazavyo kabisa. Hongera Nay kwa kuwakirisha mawazo yako vizur na yaliyo mawazo ya wengi. Jesus loves you
Mungu yupo. Mabaya yote unayosema Mungu anayaona, si kwamba yupo kimya n kwamba anatupa nafac ya kujirekebisha na kutubu, Mungu ni mwenye huruma sana kwa watuo🙏
Najuta kwann nimeingia kuangalia Mungu nisamehe kwa kuangalia nyimbo hii. Ney pumzi inakupa kiburi,tubu mapema huu ujinga wako huwezi jua umebakisha siku ngapi kujigamba na pumzi hiyo hadi kufikia kukashifu kiasi hiki. LAANATULLAH
Jamani hv mnaosema Ney kaimba ukweli ukweli gani kama si kumdhihaki Mungu! Hv kweli Mungu ndie anaempa hela shoga? Hv kweli Mungu ndie anaempa hela mdangaji na kumwacha dada mlokole anaetafuta riziki kwa njia zilizo halali? Sambamba na hilo Mungu hawezi kumhukumu mtu kwa matakwa ya watu wake, Mungu anahukumu kwa kufata kanuni zake,hvo hata kama kuna mtu amekufanyia mabaya kiasi gani usimlazimishe Mungu ampatie adhabu kwa jinsi wewe unavyotaka kwasababu sisi sote ni wakosaji mbele za Mungu,Mungu ndie anaejua huenda kafiri unaemuona wewe ni mbaya huenda akawa msamalia mwema siku za usoni hvo tutende wema kwa kila jambo hata kama tumefanyiwa mabaya Mungu atatulipa tu. Hv kuna umuhimu gani wa kuishi maisha ya raha kwa kutenda dhambi ambapo hatima yake ni motoni? Sini bora ukakubari kuishi maisha ya dhiki ambayo yatakufanya ukaishi milele peponi. Ney Mungu aweze akusamehe huenda ukawa hulijui ulitendalo, fanya jambo lolote katika Dunia hii lakini usijudge kazi ya Mungu adhabu yake huenda ikawa haina kifani hapa Duniani.
Mzee Ney iyo imani ambayo upo wew ni mateso tu na hizo pesa utajili bila amani na uhuru ni sawa na bure, Mimi sitaki kuamini kwamba hauamini uwepo wa MUNGU ila ndo masharti uliyopewa katika iyo imani ambayo upo.Mda wa kutoka katika iyo imani ni huu kwasababu masharti yanayofata ni magumu zaidi ya ilo.
Anachoimba Ney ni maneno wengi hujiuliza wakiwa wanapitia kipindi kigumu sana kwene maisha...Mungu tu na wachache walopitia shida nyingi za dunia,wengine wakajinyonga,wakanywa sumu, wakajichoma visu,wakawa tayari kujitoa muhanga,wakatoa kafara wapenzi wao na kufanya mengi ya ajabu hujiuliza at last.Yahitaji moyo mpana na neema kubwa yake Mungu kuvumilia shida wapitiazo wengine na viwango vya imani pia vinatofautiana...I don't see anything wrong with his song.. Ni mtazamo wangu tu!
Tupo pamoja kaka hao ni wanafiki na ndo wenye Mali za Kwa waganga au wanaabudu mashetani na hawajui mini maana ya Msanii nay kaimba ambayo yapo na anatukumbusha tutafanyayo hivi kweli mungu yupooo????? Hajamaanisha walivyoelewa wao
Umeongea kitu kikubwa sana, mbongo akiambiwa hii ni A basi ataamini hivyo hivyo, hana time tena ya kujiuliza kwanini hii iliitwa A nk. Nay yuko sahihi kabisa kutoa huo wimbo, Kwa mfano mataifa yote matajiri unayo yajua dini si kitu kikubwa sana ila mataifa masikini dini ndio kubwa hatari
@@djkaka5580 true hustlers watafutao vya haki bila dhuluma huumia sana wakiona mwezi,wauwaji na watafutao kwa njia panya wakitoboa mapema..wengi hujiuliza sana kusema "Mungu uko wapi unaona yote haya?" Hii ni bonge moja la ngoma sema ingeongelea mapenzi ingehit sana
@@jeromemwingira7877 watu waliuawa sana recently SA, USA wanaandamana,wanaume wanaoana,rushwa za ngono ili utoboe,kafara,magonjwa ya kutengenezwa na watu kuua wenzao,baba kusex na kuzaa na binti yake nk...yanaumiza lazima ujiulize "Hivi kweli Mungu.....?"kuuliza hivi haimaanishi we ni Antichrist au freemason.
Km uelewa wako una mawanda mapana bas utaelewa kuwa maudhui ya "Mungu anakuona" na hii ngoma n sw sw amna tofauti kabisa yan n kuwaonya tu watenda dhambi kuwa Mungu yupo na anawaona.. jamaa n fundi sn alaf anakuwa na msg sn...
Nadhani mimi katika uelewa wangu ney alikuwa anazungumzia swali kwamba mungu yuko wapi? Hivi kweli mungu? Yupo ambacho mlitakiwa kusema ni kwamba mungu yupo au hayupo ney hajataja kutokewepo kwa mungu kauliza uwepo wa mungu
Kikweli wimbo wa NEY nimeipata kimaana na kimantiki. Japo wimbo huu umeimbwa kwa mafumbo makubwa, ila Maana yake iko wazi. Hongera kwa mtazamo wa mbali na kuwa mwana fasihi wa kufikirisha vichwa vya watu. Nimeona kuna mambo 3 NEY ameyafupish, nayo ni siasa( utawala) uchumi na uhuru wa imani. Kwenye kuonya ameonya na kufundisha kufundisha. Thanks for good song.
Wewe nae ndo walewale subirini hukumu yamungu hatowaacha! Ney anasema mungu akasepa kumuacha shetani halafu wewe unasapoti ujinga kama huo aise mna mfananisha mungu na kiumbe nyie maboya kweli hamna tofauti Farao subini hukumu yenu!
I see nothing wrong with these lyrics, absolutely nothing wrong. Nay is just singing out loud what most of us feel or go through sometimes in life but we are afraid to question. Who among us has never aske or question God if truly he is there and why does he allow a lot of injustice to happen under the sun. When you question God, he will give you the answers because he said call unto me and I will answer you and show you great and mighty things which you don't know....
Nay mdogo wangu Mungu yupo tena yupo kabisa. Kumbuka vizuri sana Amri ya ya kwanza na ya pili na ya tatu ya Amri kumi za Mungu. Nenda katubu mdogo wangu.
Mwenyezi Mungu amewapa Uhuru wanadamu hapa duniani aither Ushukuru au ukufuru. Hukumu ya Mungu Ni siku ya Mwisho, Utachomwa Kama ulikua mtenda dhambi, na utaishi peponi kama utakua mtu mwema. Kua masikini au tajiri sio kipimo cha kusikilizwa na Mungu, kwani Ni vigumu kwa tajiri kuona ufalme wa mbingu.
Hii nyimbo huwez kuielewa kama unaufinyu Wa kuelewa nimeielewa sana ina ujumbe mzito na pia kufkia yeye kuimba yamkini kuna jambo kwa sabb kuna wakati MTU unapitia magumu mpaka unahis Mungu yuko wapi kumbe Mungu yupo na nimwaminifu huu wimbo hajaimba kumdhihaki Mungu anashangaaa watu wanafanya ya ajabu hawaazibiw wale wabaya ndy wanamamlaka anasahau mfalme Wa dunia ni shetani na MTU akiipenda dunia na vya dunia huyo si Wa Mungu huo ndy utofaut Mungu yupo lakin kuna mfalme wa dunia anaetesa ulimwengu Yupo mfalme Wa mbingu na nchi ndy Mungu kwa hiyo shetani ana nguvu kubwa anaweza kukutajirisha na ww uliye kwa Mungu ukabaki maskin kumbe Mungu anajua waz ww ukipata Mali unaweza muasi na Mungu anatupnda anatamani twende Mbinguni ndy maana Mungu anaangalia moyo Wa Mtu si kama shetani akikupa utajir una mashart kama unakubal gonga like
So truee...Nay seems to be through hard times and he is asking God to hear his cry... I can deeply understand this.... At times we do get into depression and tend to think Maybe Mungu ametusaaahu lakini la kweli ni kuwa Mungu yupo na kamwe hamuachi mja wake
@@ketsonempire talking about Ney in that light might be wrong since there's nothing to support that statement. He has a recording studio, this song is almost a million views in just two weeks, he has a better life than most to be depressed. He just said the truth unashamedly just like he does. Wakati aliimba shika adabu yako does it mean alikuwa na matatizo ya kiadabu/tabia?? Alipoimba alisema does it mean alikuwa na matatizo?? Let's not create stories without supporting evidence
Mungu yukoo na majibu ya maswali yako ambayo umeulizaa kwa huu wikboo yako kwa bibliaa ....Tunaamini sana Mungu Jehova jire yuko kila mahali tubu nay umrudie Mungu wako...wachana na tamaa ya duniaa mwisho wake una madhara makubwaa.😊😊
Hawa ni maswali kila mmoja hujiuliza at sometime in life when things are going really bad, you wonder kwani Mungu yupo wapi wakati unayapitia hayo.!.Lakini Mungu yupo naamini.
Mwenzanguuu mungu yupo ata kama tume mshutumuuuu ...... Mimi ni yule yule Patka dw mcawiiii mkubwa na endeleeee weka waaa nabiiiiii kwenye chama iluminaty ...... Tuamini kama mungu yupo.....
Kila mtu amini anacho amini kwani nini nay mitego kasema lake analoaamini kila mtu anauhuru wa kuamini atakacho kwani nyie mnaoumia mmekuwa mungu mwachie mungu sisi wengine tumemuelewa nay wa mitego
Kama uliwahi kuwa kwenye nyakati ngumu sana, ukakosa chakufanya, ukafika hatua yakuona kama umezaliwa ili uteseke, ukajiuliza nini maana ya maisha, wakati huo unawaona wanaofurahia maisha yao. Kunamaswali magumu sana umewahi jiuliza au kumuuliza Mungu kuhusu uwepo wake. Kunanyakati za Mashaka maishani. "Lakini Mungu yupo"
Mtu akiwa duniani ana kila sababu ya kuchagua njia anayoiona kwake ni sawa maana ameweka mbele yetu laana na baraka,pia uzima na mauti hivyo basi mtu akitaka kumfuata Mungu na amfuate na anayetaka kuisikiliza sauti ya shetani aisikilize lakini ukweli unabaki kuwa Mungu ni yeye yule,jana,leo na hata milele na hajawahi kubadilika. Nadhani Ney wa Mitego sio mtu wa kwanza kuuliza Mungu yupo wapi maana hata Farao alishawahi kumjibu nabii Musa kuwa Mungu ndio nani?matambo yote ya wanadamu huishia kaburini. Walikuwepo waimbaji wakubwa kama wakina Michael Jackson lakini wameshasaulika tena na ndivyo maisha ya binadamu yalivyo hata sisi watatusahau pamoja na huyo Ney wa Mitego. Lakini Mungu hawezi kuwasahau watu wake hata siku moja,pia utajiri anaoungelea Ney wa Mitego ni upi?maana ninachokijua mimi kuna watu kama wakina mtume Petro wamekufa wakiwa maskini lakini ni matajiri wa rohoni hivyo basi kuimba kuwa dada aliyeokoka hana pesa halafu kahaba ana pesa hiyo haimaanishi kuwa kahaba ni tajiri. Siri moja ipo hivi shetani akitaka kukupa utajiri unaouimba wewe ni lazima akupe masharti kwanza ambayo yatakunasa kwenye mtego wake na huo mtego unaweza kukupelekea kifo na unapokufa katika upande wa shetani unakuwa ni mmoja wa wafuasi wake watakaotupwa jehanamu hivyo lazima tujue mshahara wa dhambi ni mauti siku zote.
@@happysalva9480 vnamake sense kwa yoyote mwenye brain, do u know y? Akil za Mungu ni beyond za mwanadam, ukiona mambo ya Mungu yanamake sense kwa tuakil twako tudunchu jua umewrong njia. 😂think big,
Weeee!mungu yupo kweli km huwamini ngoja siku yamwisho kukata kauli yako ndo utamini kweli km mungu yupo au hayupo fanya masiyara tu eeeeeh,mwe'mungu atujaliye mwisho mwema amin.
Naona wengi mnaendelea kumkashifu Nay kwa huu wimbo wake.Nawaombeni radhi endapo kutakua na yeyote mwenye nitamkwaza,kwanza huyu Nay kwa akili na mawazo ya kibinadamu ako sawa pili katika vitabu vya dini unaambiwa usiwe ni mwenye kumhukumu binadamu mwenzio,wangapi wanafanya maovu gizani na mbele ya Jamiii wanaonekana wema.Mimi ninaimani Mwenyezi Mungu yupo ndiposa siezi mhukumu binadamu mwenzangu utashangaa Pastor akienda motoni na malaya peponi. Kwa akili ya kibinadamu ushawahi jiuliza kama Mungu anatupenda wote kwa nini wengine wafe kwa njaa na wengine wawe matajiri kiasi cha kutupa chakula? Je ushawahi jiuliza ni kwa nini watendao maovu hadharani ndio wanatamba ulimwenguni.? Kama Mungu anatupenda kwa nini uteseke? Je wazungu na warabu wasingalikuja huku kwetu tungekua na dini gani?Hayo yote nilioandika ni mawazo ya kibinadamu lakini ukweli ni kuwa Mwenyezi Mungu yupo na kila kitu huwa na sababu yake.
Video inatisha kweli but tukizungumzia maneno anayoimba Nay ni vitu ambavyo vipo na tunaviona MF. Watu wamezidi ukatili sana kila kukicha ni mauaji vitu ni vingi sanaa mpaka unajiuliza "Mungu yuko wapi kwamba haya yanayotokea hayaoni? Ila Mungu yupo na ndo mana akasema " Ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta USO wangu na kuziacha njia zao mbaya nami nitasikia toka mbinguni na kuiponya nchi yao" Kwahyo Mungu c kama hayupo Bali anasubiri tujinyenyekeshe kwake. Tuzidi kumuomba Mungu wapendwa
Ngoja nikuelimishe kidogo #MrNay Mungu kampa Shetani mamlaka ya kutupepeta kama ngano, kampa Shetani utajiri mkubwa sana kuliko binadamu yeyote Duniani, kampa mamlaka ya kumfanyia binadamu kitu chchte anachotaka kufanya isipokuwa hana uwezo wa kuigusa nafsi ya binadamu, hivyo basi unapoamua kuokoka ujue umeanzisha vita na Shetani hivyo kupata utajiri ni ngumu sana ni mpaka uwe mkamilifu kweli kwa Mungu pia mtu kwenda kwa mganga na kupata utajiri hiyo ni kutokana na Shetani kuwa na uwezo wa kumtajirisha binadamu yeyote anayemnyenyekea na kufuata masharti yake! Nikuibie SIRI!! Shetani hamwamini binadamu na ndio maana akikupa utajiri lazima akupe masharti ili akudake vizuri!
imani yako itakuponya... #kwann alimpa utajiri..!? #hawa waja wanoteseka na haya maisha waende wapi..!? waganga wana siri gani ambayo mim na ww hatuijui.!? maswal yote hutoyajib kwa imani imani tyu... unakaa kwanza kisha unatafakar ukiweka iman mbele na iman ambay yakuipokea tyu kutok ughaibun
Kulingana na mafunzo ya Kidini ni wapi palipoandikwa Shetani ana uhasama na Binadamu???? Yaani Mungu amuumbe Shetani ampe shetani mamlaka ya kupoteza watu alafu apeleke watu motoni kwa kukosea???? Atakua Mungu wa aina gani huyo???
Mara yakwanza nasikiliza huu mwimbo.Naona Ney alitaka kuwasilisha ujumbe kuwa anahisi Mungu anaona maovu yote na bado wanaofanya maovu wana endelea kufanikiwa.Ney Mungu huwa anasamehe hata waovu na anawabiriki kadri wamwombavyo.Pili Imani ya mtu ndiyo inayomfanya aweze kupata au kukosa jambo flani analolihitaji.Kumbuka hata kwenye vitabu vitakatifu tulielezwa kuwa wakati wa mwisho kutakuwa na Manabii wauongo na tujue hilo.Sasa Mungu yupo na pia Shetani yupo. Wanao mwabudu Shetani pia wanapata wanayo yaamini lakini pia wanao mwabudu Mungu pia watapata kadri wa mwombavyo.Ila siku ya mwisho ndipo kule tutakapo kuwepo tutaona ule ubaya wa kumwabudu Shetani na ule Uzuri wa kumwabudu Mungu.Mungu alitupa fursa ya kuchagua either kumtumikia yeye au Shetani so sisi yatupasa kuchagua vyema.Mwimbo wako unafundisha sana tena sana una onyesha mabaya yanayo tendeka na pia una tupa ufahamu kuwa Shetani ananguvu pia hivyo tukeshe tukiomba asije akaiteka Dunia nzima.Mimi na penda mwimbo wako ila sijapenda theme ya video, najaribu kufikiri labda nguo nyekundu ni damu na nguo nyeusi ni giza...Hivyo nahisi unaamanisha giza limetawala na pia imani inatoweka kwasababu ya mambo machavu yanayo endelea dunia.Nikweli hata Ayubu Baba wa Imani alipata mapigo makubwa akauliza Mungu uko wapi, umeniacha? So ni swali tu na sikwamba ulijaribu kukufuru...Ila Ayubu alikaa na Imani akajua kuwa Mungu yupo na hakumwacha so najaribu ku connect Swali lako la hivi Mungu yuko wapi kwa namna hii.Next time bora nishauri wana Mziki mtoe Brief at least kuhusu ujio wa mwimbo na maana yake ili jamii isipate msg tofauti iliyo pangwa kuwafikia.🤗
Hapana huu wimbo ni ukwel wa hali halisi Mungu ame tutupa mkono sisi binadamu hana mpango na sisi hata usali vipi yeye akiamua usote duniani uta hangaika tu sasa Mungu gani ndio maana mi nmesha acha hata kusali bora nitafute maisha tuu na taabu zangu
Yupo ila si mzungu ndio naomba kila siku tujiandae kama wafrika na kiri kuwa tanzanian ndio mama wa dunia gonga like kama mkubaliana na historia ya kweli long live tanzania
Ujumbe mzuri sana ukitafakari. Wanahotesa wengine Ni wale wanahojifanya wanamjuwa mungu. #ney sikwamba hatambuwi huwepo wamungu Bali Sanaa yahitaji ubunifu.
Aisee big up sana brother hii ngoma imesimama. Umeongea ukweli mtupu. Nadhani inahitaji mtu kuisikiliza nyimbo mwanzo hadi mwisho kabla ya kukurupuka na kujaji aisee.
Mungu yupo. Ila ndugu yetu anahitaji mahubiri ama mawaidha atatulia. Kakwazia maswali mengi kichwani yamemchang'anya. Mungu amsameh na kumuongoza Inshallah
Pole kk Allah akusameh bure man hujui nn ukifanyach nahis kunaunach tafut mung atakup ipo sik utakipat ukitakach Allah takurudish kwenjia sahihi one day
He is always there and he is watching u bruh Ok believe what u believe but mungu ni wa wote uwe jini shoga mwizi ata kuskiliza ukimuomba na kama ajakupa dont give up mda wako utafika amina.
Kiwango cha kuelewa ni tofauti toka kwa kila binadamu, mwanzo niliona media moja ikitoa taarifa ya Ney wa mitego (true boy) akitukanwa na mashabiki wa mziki juu ya wimbo huu. Ukweli ni kwamba tuendelee kujifunza kuchambua maudhui ya mziki maana bado uelewa wa wengi ni mdogo sana katika uchambuzi. Big up Ney wa mitego
Nay Mungu yupo... Mashoga, Malaya, wezi, manabii wa uongo hao wote wafwasi wa shetani... Na dunia hii ya shetani wema makao yao iko mbinguni.... Utajiri ni wa duniani tu... Ka unaamini gonga like tukisonga
Mungu yupo, na kama yupo kimya anakupa muda ww pamoja na watu wote waovu ili mbadilike na kuachana na uovu. Mungu hana hasira za haraka, ana huruma na ni mwepesi wa kusamehe. Ogopa sana hasira za Mungu. kumbuka sodoma na gomora, kumbuka mapigo kumi ya farao, kumbuka mke wa lutu alivyogeuka na kuwa jiwe la chumvi. Kwahyo jibu ni kuwa ni kweli Mungu yupo anakupa muda uache uovu zingatia muda acha dhambi
Jerome Mwingira mi mwenyewe najiulizaga Sana kwa nini watu wa Mungu wengi ni masikini??,Ila ninachoamini ni kwamba watu wa Mungu ahadi yao kubwa ni kuurithi ufalme wa mbinguni sio dunia...
Am a Ugandan but I love this guy On the point these are daily questions we all have, good persons why are always poor ? Why do people die if God is caring ? Kila mtu una maswali mengi unajiuliza kwann dunia aiko fair ata mim some times najiuliza kwann watu Wangine Wana pesa wengine hawana na wenye pesa ndo wale wenye roho mbaya Sana Tena wengine wanaish kwa ndagu So I think we should just appreciate his work bringing out such questions to know that everyone has them inside him or her Quote me well mungu yupo kweli and he is caring lakin tunajiwuliza kwasababu sis Ni binadamu tu atui mbere na atujui kwann vitu vingine vinatokea maishan
If you listened in between the lines he mentions that our God is not his god then displaying the money,he says he does not expect us to understand him....listen and understand the hidden meaning of this lyrics..
This are next level skills...Mungu anayemuongelea Nay hapo sio huyo wa mchongo tuliyeletewa na wazungu! yeye amemaanisha Mungu wa kweli aliyeumba ulimwengu mzima. Note: Mungu sio kiumbe.
*Alafu uyu jama ana jivuruga ki noma mu Nyimbo yake ya alisema maman kuna mustari ambao ana imba eti《 MUNGU yuko ata tu one uko mbele》 🤔 leo ina kuwa eti Mungu ayupo* *Wewe ambaye una soma iyi comenti yangu kama una amini Kama Mungu yupo na ana tenda gonga like tu juwana🙏🙏*
Mungu yupo ney sema waliona majina na umaarufu ndio wanaopotosha watu ,,,manabii wa uongo na wengineo Karibu ney moja kwa moja kwenye ufalme wa Mungu ndani ya Dunia yenye ufalme wa Giza.
Kla nkiskilza hii nymbo najfunza k2 Me bado nakusaport Mr Nay nkfatilia vizur mistar ya hii nymbo hakka nakubali umenena,Nkwel kla mtu anaiman yake wapo manabi wauongo hlo lpo kbsa wapo Watu wanaua wenzao watajilike kwan nn umekosea ama kusema ukwel kwngu sarut Mr Lg
Ilo sis wote tunaamini..subiri tu siku ya kujua ukweli ipo illah can't b bothered about earthly materials... Ata ukue tajiri ajj...wen ur day will come izo zote taziacha umu duniani tu... #254🇰🇪🇰🇪
Astaghfiru llah Astaghfiru llah Astaghfiru llah Kwanza nyimbo yenyew inatisha kuangalia na kusikiliza pia.eeh mwenyez mungu nijaalie mwsho mwema Mimi na wote wanaokuamini❤️♥️❤️❤️❤️
kuna kipindi binadamu unapitia mateso yanafatana mpaka unajiuliza hivi mungu yupo,...lakini nachojua huyo ni shetani apendi kuona mtu anafuraha au amani aswa pale unapokazana na maombi basi matatizo mikosi ya hapa na pale ndio yana pamba moto lakini kukweli Mungu yupo na kila kitu kina mwisho wake🙏🏽chakufanya hapo nikumshukuru Mungu wako tu kwa Mabaya au Mazuri🙏🏽
wahh kama ujamwelewa nay utaongea ushambenga humu nay ni mkweli mbona unafanya thambi nauna hela naumeokoka ila unakufa umaskini piga like kama umemuelewa nay
Mi najiuliza nakosa jibu.sisi sote tutakufa kila Mtu kwa wakati wake Aliopangiwa.swali linalonipa shida sikuombei Mabaya najiuliza tu.hivi Ney siku Ukifa Utazikwa kwa Dini gani?,Alafu siku Ukikutana na Mungu Utamwambia nini. Utamuuliza Maswali kama haya au!!.Muombe Mungu Msamaha kabla.Atujui kesho yetu.In sh Allah Atufanyie wepesi sote