Kama kesi zote Tanzania zingekuwa hivi hakika tungekuwa na mfumo mzuri sana wa kisheria. Mtu amekamatwa jana na leo chap mahakamani ili mambo yaishe chap. Sio mtu anashikwa 2024 anakua mahabusu miaka 12 au kesi yake haisikilizwi kwa wakati na ikisikilizwa tarehe zinarushwa siku mpaka 40 mbele huku anaozea tu gerezani.
Wanamuondoa kwenye maandamano ya Tarehe 23.....huyo jamaa ni kiungo mchezeshaji....anaweza kuandamana peke yake. ....very bold ...ni Jasiri Hana Woga kabisa....
Wasi.wasi.wangu sio hiki ninachokiona miaka hii 15 iliyopita ila naogopa Aina ya viongozi tutakao kua nao 20 25 or 30 years to come watakua viongozi wa aina gani mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..😂😂
mm naona haikuwa na haja ya kumkamata wangemkamata mafwele afu mashahidi waje wadhibitishe basiiiiij mafwele atumikie adhabu yake na hata maandamano yangekoma sasa mtu kaua hatafutwi ila mtu kaasaidia police kutafuta tu wauaji kakamatwa 😂😂😂😂
Mtu alituma watu wakamubaka na kumlawiti binti mdgo hajafanywa kitu alikuwa ana bembelezwa kwenda mahakamani baada ya sku Leo huyu ndgu yetu mhuuuu hapo upelelezi umeisha kamilika tayari kaishafikishwa mahakamin dah😅😅😅😅😅
cc watanzania tunaendelea kushukuru kwani huu unyanyasaji unamwisho namwnzo waselikari zalimu kushindwa ndo huu katakamata na mau?????? cc turawashindia kwenye sanduku lakuka
Hawa watu wanataka kutuletea vurugu hapa nnchini kamata wote fungia ndani kagfuga ndevu kama jambaxi sugu sukuma ndani uchu wa madaraka hii nnchi haitolewi kwa makaratas tukumieni na hiyo🎉🎉🎉🎉🎉🎉