Тёмный

NDARO na LEONARDO wawekewa MKWANJA kwenye SHOW yao/MSHINDI kuondoka nao/NDARO ataka kususia SHOW... 

Rick Media
Подписаться 887 тыс.
Просмотров 42 тыс.
50% 1

_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RU-vid channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 144   
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 4 месяца назад
Leonardo master wa comedy TZ 💯🔥 (kwa mbili mbili kwa mbili mbili) kama huna D mbili huwez kuelewa 😂
@highman2839
@highman2839 4 месяца назад
M naona Bora mmpe tu leornad kabisa kabla io Siku au wakuu mnasemaje
@fransyvedas9830
@fransyvedas9830 4 месяца назад
Ndaro namkubali sana mzee wa kutest kwanza
@RibinByamungu
@RibinByamungu 4 месяца назад
Ndaro naku kubali sana ndugu yangu. Toka Congo
@jeanbyelongo7830
@jeanbyelongo7830 4 месяца назад
Mbona tuna wakubali wote 🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️
@Fredmbawala-hq3pd
@Fredmbawala-hq3pd 4 месяца назад
Nakubali Sana baba levo jambo ulilofanya liko good hawa vijamaa vinaleta makasiliko Kisa wanaugomvi on the stage hasa huyu ndaro kanajifanyafanya,,, km mmemdiss ndaro Weka like hapo maana anazingua kwenye press
@lukundolucas199
@lukundolucas199 4 месяца назад
Sio msomi kwanza , Leonardo nimsomi kwanza ndo Mana anachekesha kisomi
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 4 месяца назад
Team ndaro Gonga like
@gotardntambara9602
@gotardntambara9602 4 месяца назад
Ndaro nakuombea sana pia nakuaminia kinoma
@yusuphmsigwa
@yusuphmsigwa 4 месяца назад
Ndaro Jeshiii
@NoelCharles-vu9zx
@NoelCharles-vu9zx 4 месяца назад
Mm namkubali sana ndaro kwa kuwa hana mambo mengi na Wala haji feel sana kama Leonard
@felicianboss6953
@felicianboss6953 4 месяца назад
Leonardo -hata kama unajua usiongee sana kaza me nakukubali lakin unaongea sana ndaro mkimya mpaka raha kunasehemu zingine Leonardo unakaza sio kujichetua°
@Feel_better_stidio
@Feel_better_stidio 4 месяца назад
Kinaongea kama mwajuma 😂
@juniorkamafa3391
@juniorkamafa3391 4 месяца назад
Aliekua anaongea saana ni Ndaro..
@ErickChristopher-rx6lq
@ErickChristopher-rx6lq 4 месяца назад
Mm ni muha na Niko upande wa ndaro lakin ndaro anaonekana kabaha na kumuogopa Leonardo na ukwer ndaro hamuwezi leonardo
@RemmisonSangatiti
@RemmisonSangatiti 4 месяца назад
Leonardo anaujua sana Ila ttzo lake anaonekan. Anajivuna sana anajiskia
@lukundolucas199
@lukundolucas199 4 месяца назад
Jamani hajivuni mbona
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 месяца назад
Babalevo bangi dula awe jaji kura zote atampa daro😂😂😂😂😂😂 kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere😢😢😢😢
@HamzaPresident-mt9mk
@HamzaPresident-mt9mk 4 месяца назад
Yani mtu yupo nyuma ya camera afu mnatuleteya kiki 👍👍
@charlesmtitu5606
@charlesmtitu5606 4 месяца назад
Leonard ni zaidi ya ndaro , ilo ndaro analijua na kukataa kushiriki yupo sahihi maana ni wazi atashindwa na linaweza likawa anguko lake bora akatae
@WilliamSirya
@WilliamSirya 4 месяца назад
Nakuombea bro niko nyuma yko japokua nko kenya I wish all the best❤❤❤❤
@BornloveMethods
@BornloveMethods 4 месяца назад
Ndaro baba
@kaingunashon-ph3wo
@kaingunashon-ph3wo 4 месяца назад
We have😂😂😂 tuna mambo mengi ya kuja kuwambiaa😂😂😂
@GodfreyKunambi
@GodfreyKunambi 4 месяца назад
Leornaldo is the besty
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 4 месяца назад
Namkubali saana Leonardo lakini kwa hili shindano inatakiwa ndaro ashinde.
@AbdalahDullah
@AbdalahDullah 4 месяца назад
Leornad ni master of comedy
@musamwambara6835
@musamwambara6835 4 месяца назад
Ndaro anajiona ameshakua star kwann ukatae kuhojiwa na waandishi anapaswa kuelewa ukisha kua na jina hapa bongo lazima waandishi wawashindanishe so unatakiwa kuzoea maisha ya umaarufu dogo
@mtutulaclassic6207
@mtutulaclassic6207 4 месяца назад
hivi nawewe unaamini unachokiona ni uhalisia
@Lilmbunah
@Lilmbunah 4 месяца назад
Kila kitu unacho kiona hapo kime pangwa usiwe mshamba wa mitandao
@MariamuAmuri-dx9hz
@MariamuAmuri-dx9hz 4 месяца назад
Ndaro 😊😊😊🎉🎉🎉🎉 kapita God bless you Ndaro
@MariamuAmuri-dx9hz
@MariamuAmuri-dx9hz 4 месяца назад
6/8/2024 😊😊 ndaro
@KishoraKishoralimbu
@KishoraKishoralimbu 4 месяца назад
Ndaro ana akili huyo kwanza ni anaenda na hesabu kila anachokifanya..
@FredrickJohho
@FredrickJohho 4 месяца назад
Kazi nzuri inaonekana hupaswi kuogofya Bro
@ngalenalojanjalo296
@ngalenalojanjalo296 4 месяца назад
Mwanang Leonardo hmuezi ng'oo w mshamba Ndaroo☆•••Acha nianze kmzomea ndaro iii ooo waaa 😮😮😮
@hermanndongolo1550
@hermanndongolo1550 4 месяца назад
😆😆😆😆
@HASHIM-rt4mf
@HASHIM-rt4mf 4 месяца назад
Ndaaro ni bola huyo dogo hanakitu
@BaltazaryAssenga
@BaltazaryAssenga 4 месяца назад
Leonardo anajua ❤❤❤ ndaro pia ana fanya vizuri ila kwangu mm Leonardo
@MgayaTwebe
@MgayaTwebe 4 месяца назад
Ndaro m nakukubari kaka
@deblacktz2981
@deblacktz2981 4 месяца назад
Huwezi shindana na Leonardo we muha
@Chriss_lo.
@Chriss_lo. 4 месяца назад
Kama ni hivo nampa ndaro
@MathewBernard-j3p
@MathewBernard-j3p 4 месяца назад
Ila mnajua kuingiza. Hasa ndaro, yaani kama ana bifu kweli na Leonardo
@CharamKabul
@CharamKabul 4 месяца назад
Ndaro ni mkali sana jamani
@MgayaTwebe
@MgayaTwebe 4 месяца назад
Ndaro anashinda
@lazarofredy
@lazarofredy 4 месяца назад
Leonardo is the best ndaro mwenyewe anaonekana anaogopa mwingine mpeni tu leonardo
@j...876
@j...876 4 месяца назад
Leodardo kinywa kita kuponza ndaro ni mkali sana!!
@lukundolucas199
@lukundolucas199 4 месяца назад
Pole saaana kwani hujaona mshindi
@gillandrobert
@gillandrobert 4 месяца назад
Mm nawakubali wote wawili hatar bora itokee draw ili wasigombane
@Tulizombago7633
@Tulizombago7633 4 месяца назад
Kama umekimbilia kuangalia comment umejua ndaro anapendwa sana gonga like apaaa
@hubertmwemezi8426
@hubertmwemezi8426 4 месяца назад
Team Leonardo 🔥🔥
@LamwaiMfinanga
@LamwaiMfinanga 4 месяца назад
yan kuna sura ukiziona tu zna chekesha aisee Tx dulla unaznguaga sana 😂😂😂
@issahaji8715
@issahaji8715 4 месяца назад
Yan hayo maneno unajua asa km ni kiki baba levo ameitengeneza ndaro na leornAdo hawana bifu
@hanifakassim8036
@hanifakassim8036 4 месяца назад
Leonard nikafiki kamekaaa kiongo ongo ndio maana akinenepi
@DotoByamungu
@DotoByamungu 4 месяца назад
Kamtu kame konda hadi uso ila mdomo bwana ni ashura
@lusakejackson1515
@lusakejackson1515 4 месяца назад
@Ndaro ashauliwe atulie. Comedian hapaswi kuw na hasira krahis ivo anatushangaz sana
@Msindo.Famiry.Korogwe
@Msindo.Famiry.Korogwe 4 месяца назад
Jamn, tuongeeni ukweli, ndaro namkubari ila siyo kwa leonard uyuui jamaa n moto kila cripu ana mpya Arfu anamalizia kama hauja d Mbili uwezi kuekewa
@SamuelKashindi
@SamuelKashindi 3 месяца назад
Nani ambaye alishindaka ? Naitaji kujuwa plz
@johnchitete
@johnchitete 4 месяца назад
Huu mchezo nimesha ushtukia kitambo Hapo hao jamaa wa White skim ndo wanatafuta hela kwakutumia vipaji vya hao vijana Hamna bitu wala nini Kila kitu hapo kimetengenezwa tu
@WilliamSirya
@WilliamSirya 4 месяца назад
Ndaro baba lao😂😂😂😂😂
@lumo9999
@lumo9999 4 месяца назад
Ila mnajua kuigiza nyie watu😂😂😂 asee hii mmeifanya kama kweli vile😂😂😂 noumaa😂sana
@ZainabuIdrisa
@ZainabuIdrisa 4 месяца назад
Fundi majumba ndani ya jumba
@japhetmwangwa2145
@japhetmwangwa2145 4 месяца назад
Leonardo huyo Ni fundi wa mafundi 😁😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑👑
@Josephkp629
@Josephkp629 4 месяца назад
Let me go 😂nikamchukue ila c e o
@Smart_package
@Smart_package 4 месяца назад
Kumbe Kampuni yenyewe ni baba levo 😅😅😅😂😂
@RemmisonSangatiti
@RemmisonSangatiti 4 месяца назад
Leonardo anajua kuchekesha Ila anazngua sana anaonekan mkolof
@fredrickLuoga-zb5ib
@fredrickLuoga-zb5ib 4 месяца назад
Mwanangu ndaro
@LetdiscussBusiness
@LetdiscussBusiness 4 месяца назад
Hii ni promoshen ya show hakuna ugomvi afu wamefanya bora sana asey
@DanielMollel-mi4yg
@DanielMollel-mi4yg 4 месяца назад
Wenye D mbili kamwe uwezi mwelewa Leonardo coz anatumia IQ kubwa kwenye comedy especially stending comedy✍✍✍✍✍
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 4 месяца назад
Mko vzr mnajua kutngeneza trick sana
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 4 месяца назад
Leonard ucjali wakerewe cc huwa tunaanza na upole kwa kumheshimu kila mtu baada ya hapo tutafanya ya kwetu kwa kumwambia bb
@musaamos2431
@musaamos2431 4 месяца назад
Leonard anazingua
@Zpauljr994
@Zpauljr994 4 месяца назад
Ndaro mjeshi kikofia you are the best
@Carloshamis
@Carloshamis 4 месяца назад
Ndaro anawatu ww Leonardo atamfikia wap,,,
@ramadhanijuma2691
@ramadhanijuma2691 4 месяца назад
Hahaha dakika ya 7sekunde ya 9 ndaro anaongea kuna mkono upande wa Leonard unamsukuma Leonard😅😅😅
@HawaJuma-cp2dn
@HawaJuma-cp2dn 4 месяца назад
Chibaba wangu ndaro
@NicolausMathias-e3h
@NicolausMathias-e3h 2 месяца назад
Leonardo punguza Peche unazdiwa kila ktu, alafu unajua na maneno meng.
@ELEONE2023
@ELEONE2023 4 месяца назад
Waliosema ndaro ni mkali msijisahau nyote😂😂
@HenryPaul-zm6pf
@HenryPaul-zm6pf 4 месяца назад
Ndaro atashinda
@lukundolucas199
@lukundolucas199 4 месяца назад
Mbona hajashinda sasa
@Faldofamilyog
@Faldofamilyog 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good
@SamwelMnaga
@SamwelMnaga 4 месяца назад
Baba levo mnaleta ngumi kwenye maisha ya ela😅😅😅😅😅😅
@kenedytheonest2798
@kenedytheonest2798 4 месяца назад
wanatofautiana settings kila mmoja anapoweza kufanya vizuri, kwa uchekeshaji wa kisomi Leonardo ana content za kufikirika saana Ndaro mzuri kuchekesha kitaani kwa watu wasosikiliza content kwa umakin huwez kuelewa kama huna D 2
@DotoByamungu
@DotoByamungu 4 месяца назад
Mbona ka Leonard kana jikubali sanaa
@djbegge_tz
@djbegge_tz 4 месяца назад
Ndaro umezingua...hukuonesha nidham hata kidogo....tumia akili ndaro
@bilallemba1919
@bilallemba1919 4 месяца назад
Anaanza kuvimba
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 4 месяца назад
Atakaeshinda hapo mpelekeni kwa eliud akajifunze
@Fran3pen
@Fran3pen 4 месяца назад
Wote ni wakali saana ila bro ndaro sijapenda kukataa kuhojiwa
@FatumaBakari-ye6tl
@FatumaBakari-ye6tl 4 месяца назад
Huo mpambano ni linii jamn😀😀😀😀😀 3×3 😀😀😀
@issahaji8715
@issahaji8715 4 месяца назад
Hahh yani hawa wanatafuta kiki tu hawajagombana
@OmarySamata
@OmarySamata 4 месяца назад
Uyo jamaa asipo jilekebisha atapotea hii ni zalau kubwa sana wakati wao waandishi wa abari ndio watuwao wakalibu
@OscarMuhumenya-yc4ot
@OscarMuhumenya-yc4ot 4 месяца назад
Ndaro ntakuja kukushabikia ww
@MarthaAlly-y7s
@MarthaAlly-y7s 4 месяца назад
Mwanaume haongei ongei nina wasiwasi na ww leonady pengine sio riziki huwezi kunyamaza kama muimba taarabu
@ramadhanyoungki6207
@ramadhanyoungki6207 4 месяца назад
Uyo .comedy
@chidaga_tz5653
@chidaga_tz5653 4 месяца назад
ndaro anajiona kabx atakavyopigwa
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 4 месяца назад
Manatugawa mbona Ndaro na Leonardo wote wakali
@HafssaMbwambo
@HafssaMbwambo 4 месяца назад
Sasa watakua wanachekesha watu kwa kusemana tuu na sio vinginevyo
@hussenihamisi2862
@hussenihamisi2862 4 месяца назад
Tuwa shindanishe baba lv na mwijaku nan zaid😅😅
@brothermuadhwam890
@brothermuadhwam890 4 месяца назад
Oya ndaro ni mkali bana
@abubakarmwachuo1337
@abubakarmwachuo1337 4 месяца назад
Huyo ndaro ajua hamuezi huyo boy
@tediciousndunguru1283
@tediciousndunguru1283 4 месяца назад
Kwahy gar alichukua mbele ya nani
@danieljoseph273
@danieljoseph273 4 месяца назад
Ndaro ninomaaa moto wakuotea mbali
@swadatimmbaga7435
@swadatimmbaga7435 4 месяца назад
Leonardo kwanza kiswahili imenyooka
@EzekielDebora-cd2ib
@EzekielDebora-cd2ib 4 месяца назад
Ndarooo
@AnthonyManyonge-qj9wz
@AnthonyManyonge-qj9wz 4 месяца назад
Namco Bali sana Ronaldo seal camera
@FURAHA_NI_HAKI_YAKO
@FURAHA_NI_HAKI_YAKO 4 месяца назад
Ila Leonardo
@Baira240
@Baira240 4 месяца назад
Leonard ajiamini ile 100
@ronaldowilson8165
@ronaldowilson8165 4 месяца назад
Ndaro wewe unajua.Achana na huyu mwenye mifupa ya mbavu kama majina ya kwenye baburi
@TweveSinkonde
@TweveSinkonde 4 месяца назад
Ndaro lazima atachemka tuu
@OfficialMsemwa
@OfficialMsemwa 4 месяца назад
Ndro
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 4 месяца назад
Kapumbavu ako ka ndarooo
@YusuphLyatenga
@YusuphLyatenga 4 месяца назад
Wanatengeneza bifu tuh hawa
@keshenidaniel770
@keshenidaniel770 4 месяца назад
Mkuu wa machawa Tanzania
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 месяца назад
Iyo kiki la tangazo lao hao..Amna ugomvi hapo..ilo changa
@NoelCharles-vu9zx
@NoelCharles-vu9zx 4 месяца назад
Ningependa kuona Leonard anashindanishwa pia na Steve mweusi
@Jayboy_billions_
@Jayboy_billions_ 4 месяца назад
3×3 😂😂😂😂
@OmmyDseven
@OmmyDseven 4 месяца назад
😂😂😂3+3😂😂😂😂
@johmziwanda985
@johmziwanda985 4 месяца назад
Hivi kuna mtu aliesoma pcm ajui hesabu za leornado? Mbna watz wngi wnamshangaa wkt mi naona kawaida tu🤔🤔
@JoramMalley
@JoramMalley 4 месяца назад
wewe umesoma PCM aya sas 35*155=
@KelvinConorard
@KelvinConorard 4 месяца назад
Apreciate uwez wa mwingin iyo wanawez wachache
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 4 месяца назад
Sio wot wanajua wewe, acha uchizy 😂
@stephanocyrilo1384
@stephanocyrilo1384 4 месяца назад
Hesabu ni ugonjwa wa taifa mkuu ndio maana
@SteveneJoshua-eh7kv
@SteveneJoshua-eh7kv 4 месяца назад
Hesabu ya kwenye calculator au.
Далее
When Khabib dropped Conor McGregor 👀 #nocommentary
00:59
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39