mnazingua sana kitu kidogo tu mna lemove watu na kuwablock kwa nini usimkemee mtu akirudia tena ndo uchukue hatua huwezi jua huyo mtu mnamlemove ni moja wapo ya wachangiaji kwa wahitaji na je ukisha mblock kwenye group lako atakua ma moyo tena wa kuchangia؟
@@sifatiiman mbona sheria na masharti ya group ni dhahiri?hata mtu awe mchangiaji,afwate sheria hili ustaharabu uwepo,hivi kila mtu akianza kupost vitu kando na matarajio ya group,kwa sababu wanachangia wasiojiweza,unadhani malengo ya group yangetimia?
Ama Zabibu akiona kina Dhahir Huwa anachangamka sana anahis yupo na familia yake inayomjali masikini mpeni moyo Baba zangu mungu atawapa lenu fungu mama amepitia maumivu makubwa ya moyo kwanza kwa mume Sasa watoto wanamla roho mungu atamsaidia Amiiin 🤲 Amiin 🤲 Yaraby
Mash allah mama zabibu ni mzuri sana Lakini shida na madhiki ndio yanamfanya aonekane kama mzee maskin...pole ndugu yangu utapona utakuwa vizur sana tunakupenda sana
Mashaallah mama Zabibu ni mzur cn na umri wke bado ni hali ya maisha na kuumwa ndo imemdhoofisha Allah akuafu upone mamaaa 🙏🙏..... Nlichoona hp Zabibu na kaka ake hii kazi ya kuvuta ni yakurisi
Jana nilipo Sema huyu mama anaugulia njaa wengine wakaona kama jokin sikatai kua haumwi laa kuumwa kweli anaumwa Lakin na njaa ilikua inamsumbua tumsaidieni jamani kaka zahir Jana kampigia machipsi aaa Leo yuko fiti mashallah daa subhannallah Allah akuzidishie afya njema mama yangu
Umenena kweli ila what’s chips si kitafunio tu maana amehisi njaa, chips hazija mfanya hivi but medication aliyo pewa na support alio pewa jana wamempa nguvu ,
mama zabibu mungu akupe imani na kuvu umetoka mbali alafu first love ndio alikuoa jamani ukifanya raha ndio maana mungu anakupenda ila ufanye mpango wanao wafike kwao waungane labda waone kaburi la baba yao ili maisha yao yawe sawa watu wa mutwara mungu tu nishawai tembea huko hadi mauta mikunda wamakonde mungu tu but we love you so much mamaa and may God continue blessing you na upate uponyaji kwa haraka 🙏🙏🙏💕
ALLAH akupe Raha ya mwishoni ndugu yangu maana hukufaidi ujana na Hadi Sasa unakuwa mtu wa tabu tu mungu akuepushe ndugu yangu waombee wanao ALLAH Awape moyo wa hofu ya mungu
Asante mungu Leo mama Zabibu kachangamka vzr! Na pia anafuraha hata nuru usoni yaonekana pia. Ila kaka Zahir fatilia vile vipimo tujue cz twampenda hyu mama aendelee kuwatunza watoto wake na wajukuu zake.
Mashallah Leo umechangamka sana mama yani hadi rahaa... Hakuna mwanamke mbaya, Wana wake wote ni wazuri tu ila pesa ndo mambo yote, I believe God's time is the best mama Zabibu
Ila nimekutumia dawa nzuri ya tube utapewa maelezo jinsi ya kutumia na vìdonge vya vitamin vizuri ila kabla hujala muonyeshe DOCTOR ÀTAKUPA MAELEZO UKITUMIA HIZO DAWA NAKUHAKIKISHIA UTAPONA KWA UWEZO WA MNYAZIMUNGU INSHALLAH
Daah pole mama zabibu kwakweli ninakupenda sana kumbe unamambo mengi imepitia maishan maisha haya Yana Siri kweli hatipaswi kukulaumu mungu akupe afya njema na uhai mrefu wenye heri mama etu umepambana Kwa baba watt wako mpaka Kwa watt wako pole sana mama watt wange jua uliyoyapitia hay Kwa baba yao Wala wasinge kudharau ila kumbe wamerisi tabia
Nampenda Fabi anamliwaza mama Zabibu yaan haya maswali ya Fabi yanamliwaza ila mgonjwa tunamuombea mwenyeez mungu ampe shufahaa angempata wa kumliwaza angechangamka japo mgonjwa
Masikini mama Zabibu! Pole sana na mitihani ! Inshaallah Allah atakuafu, Inshaallah Allah akuponye maradhi! Inshaallah utapata ridhiki yako! Kikubwa afya yako hiimarike,
Dooh ndio mana watu sikuhisi wanatangaza ndoa terehe flani kumbe wanafunga ndoa kabla ili kukwepa mambo kama hayo mtu unaaalika watu mwanaume aji dah kutiana mikosi Ma zabibu manshallah umzuri sana
umepitia mitihani mingi toka kuolewa kwako maskini ..... inamaana bc watoto wamerithi matendo y babayao zabibu n said lakini usichoke kuwaombea Mungu ipo siku Mungu atakujibu maombi yako mamazabibu tunakuombea shifa y haraka
Allah akusimamie mama yangu utapona maradhi kwa mja ni moja ya ibada usikate tamaa , leo nimefurahi kuona unapiga story na bro tunakuombea Sana upate afya njema
Ulitakiwa ufiche mauvu ya mumeo Maaana kashatoeka maana mungu anasema Ficha Siri za mumeo na mkeo na Mola atakufuchia ya kwenu.nizambi kubwa Sana iyo mama yangu mungu ampe kauli thabiti uyo baba😭🙏
Jamani mama Zabibu kachangamka leo Huyu anampenda sana mwanae Zabibu Hebu huyu mtt arudi atulie afanye biashara akae na mamae kwanza hadi mtt wake akue. Zahir na Maximum team around the 🌎 MWENYEZI MUNGU ALIYEHAI abarikie mikono yenu inayotoa na kutumikia 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
haya ndio mambo sasa Fabi nimefurahi sana kuona mama Zabibu akiwa amechangamuka hadi nimefurahi sana na bado nitazidi kuombea nawaombea nanyi pia wote team maximum TV and funs 💕🙏🙏🙏💪
Mama Zabibu kipenzi Cha wengi Allah akupe kauli thabit na akutilie Nuru katka kaburi lako akuepushie adhabul za kaburi Hadi kiama Amiin.We will miss mama Zabibu Yani hii interview miezi minne tu iliyopita Leo ni marehemu.😭