Тёмный

"NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 203 тыс.
50% 1

"NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema yupo tayari kucheza na Msouth Assemahle Wellem ambaye kwa hapa Tanzania amempiga Twaha Kiduku na kupata droo kwa Seleman Kidunda.

Спорт

Опубликовано:

 

1 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 203   
@aaronswai3092
@aaronswai3092 4 месяца назад
Mwakinyo anafahamu ngumi na mifumo ya ngumi. Hongera Mwakinyo
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 4 месяца назад
Bwege tu huyo bondia muoga,akileta mabondia wake wa kupigana naye analeta wagonjwa
@saidbakari2408
@saidbakari2408 4 месяца назад
​@@mohamedswalehe4777Ngumi si matako kaka useme kila mtu anayo
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 4 месяца назад
@@saidbakari2408 achague mabondia imara bana kupigwa kupo tu asiogope
@user-kj2xr2eb8s
@user-kj2xr2eb8s 3 месяца назад
Mwinjo hauna viwango vya kupigiana na msauzi acha siasa
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 4 месяца назад
Huyu jamaa yuko so smart,, Mwakinyo yuko smart
@saadmotto965
@saadmotto965 4 месяца назад
Mwakinyo anajua sana ngumu na ana uelewa mkubwa wa ngumi na anafatilia sana sana, huyu ni pure boxer and fighter....
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 4 месяца назад
Aseeh we jamaa unatakia ata upewe kauongozi mbn unatema madini sana sio kama porojo zao pamoja sana kaka nakukubali zaidi ya sana
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 4 месяца назад
Ivi mnamuelewa mwakinyo au mnaleta chuki zenu TU. Mwakinyo ameongea point sanaa. Msikilizen kwanza kabra ya kumkosoa. Hii inaonesha waTz wengi wana roho ya korosho na vijicho vibaya roho mbaya Tz
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya 4 месяца назад
Kunamijitu kazi kukosoa tuu
@Mja_Gongo
@Mja_Gongo 4 месяца назад
Huyu jamaa mimi siyo shabiki yake,lakini nimemfuatilia sana interviews zake,jamaa anastahili kunifanya niwe shabiki yake,from now on nimemkubali na nina mpa heshima kubwa kwamba yy ni best fighter
@user-gk7vj4bq5h
@user-gk7vj4bq5h 4 месяца назад
Umeongea vizuri sana Champez💯☝️✍️⭐️
@ismailmollel4242
@ismailmollel4242 4 месяца назад
Ukimsikiliza vizuri mwakinyo ,amethibitisha kua kidunda kapigwa ,,kuna visentensi falni anaviongea hv yani
@Presenterramjtz
@Presenterramjtz 3 месяца назад
Tanzania one champeeez more stamina, pumzi. Busara na maufundi one love mwambaaa ❤❤
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 4 месяца назад
Nakupenda sana mwakinyo mungu azidi kukulinda daima ❤❤❤❤
@Fesary
@Fesary 4 месяца назад
Umabadilika sana, leo umeongea point
@user-wj7no2eb7l
@user-wj7no2eb7l 3 месяца назад
Mwakinyo ,the best of tz
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 4 месяца назад
Nafurahi sana Tz wanajaribu sana katika michezo na WA Tanzania watafaulu wakifuata utaratibu wakimataifa coz boxing au ndondi ni kazi kama kazi zingine tuu na zinaingiza kipato muulizeni mwakinyo
@otitokinyaha2292
@otitokinyaha2292 4 месяца назад
It’s true Mwakinyo, SA boxers are well equipped and have more resources and well maintained by there management
@jumamlanda5266
@jumamlanda5266 3 месяца назад
Bondia wangu,my only favourite boxer in tz Hassan mwaking! Day1 nakuona kwa TV sikujua kwamba ww ni m tz mwamba huyu apa,na unaonekana skills zaualimu unazo pia.All the best king H.M
@cyriacuskakira1101
@cyriacuskakira1101 4 месяца назад
Mahojiano mazuri haya! Safi👏🏾
@colmanuiso545
@colmanuiso545 4 месяца назад
Mwakinyo Anajua Ngumi [Boxing] Japokua judges yesterday walimuonea Yule Kijana aliyepigana Na Kidundaa
@ZuberiAbdallah-vs1ko
@ZuberiAbdallah-vs1ko 4 месяца назад
Maneno yenye busara usemwa na wenye busara hongera kwa maneno mazur
@hafidhahmedabdallah5027
@hafidhahmedabdallah5027 4 месяца назад
Game itakuwa ni rahisi sana kwa Hassan
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 4 месяца назад
Pamoja sana Chapeez
@user-rk7gk8lm6e
@user-rk7gk8lm6e 4 месяца назад
Umeongea vizuri sana
@user-ih7nl5nv3c
@user-ih7nl5nv3c 4 месяца назад
Perfect man champez
@atyahoodotcome1846
@atyahoodotcome1846 4 месяца назад
Leo ndio umeongea point bro
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 4 месяца назад
Nakukubali Mwakinyo
@harrisntibuhera8201
@harrisntibuhera8201 4 месяца назад
International champion nan? Anabishaa💯💯💯
@jazzjeff8431
@jazzjeff8431 4 месяца назад
Currently,No boxer is ready for Asemahle wellen....the boy is skilled boxer
@yusuphsaid564
@yusuphsaid564 4 месяца назад
Exactly
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 4 месяца назад
Mwakinyo is skilled enough to knock him down. Get informed
@athumanmakunja941
@athumanmakunja941 4 месяца назад
@@thepresidenttobe5481no way huyo wellen yupo skilled na anagumi kali sana + height yake sioni kama wabongo tunawezana nae
@RamadhanMalibiche
@RamadhanMalibiche 3 месяца назад
Namkubal sana mwakinyo❤
@DidierMkubwa
@DidierMkubwa 4 месяца назад
Kabisa uko sahihi hassani
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 4 месяца назад
Mwakinyo is Tanzania 🇹🇿 one
@user-xf8dn4yv2b
@user-xf8dn4yv2b 3 месяца назад
Mwakinyo anajua nini anafanya nampa big Up
@ONEdreamfilmtz
@ONEdreamfilmtz 4 месяца назад
Ameongea point sana ✅
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y 4 месяца назад
Mwakinyo nimekuelewa ila majaji wa jana sikuwaelewa huyu bwana mdogo alishinda
@HisaniKasim
@HisaniKasim 3 месяца назад
Nakukubari sana kaka
@JohnsonJohn-hm8ck
@JohnsonJohn-hm8ck 4 месяца назад
Mwakinyo 🥊 ana kitu kikubwa sana
@abdallahussi2978
@abdallahussi2978 4 месяца назад
Kwa hiyo maana ya ndani ya mwakinyo ni kwamba kidunda amepigwa anaona haya tu kuweka wazi
@user-zg6ne2nn9w
@user-zg6ne2nn9w 4 месяца назад
Sema wewe ulivyoona kidunda kashinda au?
@MartinKibosho
@MartinKibosho 2 месяца назад
Mwakinyo ni professional
@user-xg7nm5lc7d
@user-xg7nm5lc7d 4 месяца назад
Mwakinyo Anaendelea kudhihirisha ubora wake
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 3 месяца назад
Mwakinyo: "lazima liwe kwa nini lisiwe, labda nife kwa7bu mimi naishi kimifumo!." What a conscious!
@S.A_media1
@S.A_media1 4 месяца назад
Mwakinyo sio poa ✊🏿
@ASALABOY
@ASALABOY 4 месяца назад
Uyu jamaa ni mwamba sana kwa Fact zake namkubalia sana Mimi binafsi
@user-oc2rw5ns4m
@user-oc2rw5ns4m 3 месяца назад
Akika asani mwakinyo najielewa sana
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 4 месяца назад
ila jamaa anatemaga point sana
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 месяца назад
Kabisa uyu nibondia Mwenye maarifa uwa Siyo mtu mkari sanaa Uyu ukikaa nae mbal anamazala sana jebu yake Uwa ni kari sana na inaumiza
@deniskyangala3400
@deniskyangala3400 2 месяца назад
Ikitokea mwakinyo akampiga uyu msouth, nasema mwakinyo ndio bondia bora tanzania kwa ngazi zote, yule msouth mtu sana tena sana, nirikua na matunaini na kinunda ila kilichomtokea sitamani ata warudiane kupigana tena, msouth akili nyingi, power na pumzi anazo za kutosha, shorty yupo perfectly.
@hansboytz7494
@hansboytz7494 4 месяца назад
Mwakinyo Respect xn
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 4 месяца назад
Mwakinyo umepotea ndege pia anamfumo wake anaoishi ambao amejaliwa na Allah na anaulimwengu wake
@kimodomusic9760
@kimodomusic9760 4 месяца назад
Good
@dogopctz2749
@dogopctz2749 13 дней назад
Safi mwakinyo
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 4 месяца назад
Mwakinyo ndio pekee anaweza kumlaza dogo wallem usingizi fofofo ndani ya raundi saba za pambano.kwakua miongoni mwagharama iliyotupata ni umri mkubwa wa captain.ndio maana akaipata Drow
@chuxdampa8664
@chuxdampa8664 4 месяца назад
uko vzr
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 3 месяца назад
Toka hapa... Uchelewi kutuuza..... Yaanii uchukue pesa utuachie mabishano.... Nilisha Sema brother unapoelekea utakuwa Kama 20% hii Bongo Wewe brother ni Sawa nipo na Gold katika nchiii Yangu alafu hainipi faida.....
@charlesgyei9105
@charlesgyei9105 4 месяца назад
sana mwakinyo point sana
@sumarago_tv
@sumarago_tv 4 месяца назад
Majaji walio hamuwa mchezo wa kidunda na south africa boy inafaa awe disqualified in boxing decisions. Ukweli nikwamba kidunda alidundwaaaaa. Uwamuzi droo haukuwa sahihi. Mawazo yangu naomba walimu wa mchezo wa ngumi wawe making katika kufindisha mchezo huu na pia majaji wasiwe na upendeleo katika maamuzi yao. Na hili litafanya maboxing wetu kufanya mazoezi vizuri na watajuwa ukipigwa umepigwa sio ukipigwa upendeleo upo kwasababu ya hom ground. Tunaomba majaji wale wasitoe tena uwamuzi katika pambano lolote.....for the benefit of boxing in tanzania.🇹🇿
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 4 месяца назад
Mm nasikitika wamemchafulia yule dogo cv yake ilitakiww isome mapambano nane yote kashinda unaenda kumwekea droo ya nn sasa wameniudhi sana kama mtu anauwezo apewe tuu
@SajiKizunga
@SajiKizunga 4 месяца назад
Tupe vigezo vya ushindi na utoe ushahidi,,mkilalamika tu haitosaidia,,majaji wanajua vigezo ,,wakati nyie mnaangalia mtu kuchoka,bila kujua scores za Kila mmoja Kwa Kila round
@shadidasadick5077
@shadidasadick5077 3 месяца назад
Nakupenda kidunda
@kelementbushishi3687
@kelementbushishi3687 4 месяца назад
🙌🙌🙌
@user-ho6de4qh1t
@user-ho6de4qh1t 3 месяца назад
Nakukubali xn mwakinyo kwaxbb tunatoka wote tanga na unajua boxing tuletee heshima ya taifa tupigie huyo msouth
@DiwanCivanny
@DiwanCivanny 4 месяца назад
Champez💪💪💪💪💪
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 месяца назад
Mwakinyo akili kubwa anaongea kama mtu mwenye utimamu wa akili 🤝
@edgarmwansasu4743
@edgarmwansasu4743 4 месяца назад
That's champez
@likoswegenius5662
@likoswegenius5662 4 месяца назад
Hauchelewi kusema viatu vinakubana Mzee tunakujua vizuri😅😅😅😅
@dwaynekijangwa9591
@dwaynekijangwa9591 4 месяца назад
Hiyo Ndio Maana ya kua professional boxing
@adcafrica
@adcafrica 3 месяца назад
The only boxer I know in Tanzania.
@user-ho6wl8nd2j
@user-ho6wl8nd2j 4 месяца назад
God broo
@jabrous2057
@jabrous2057 4 месяца назад
❤ champz
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 4 месяца назад
Kamanda kidunda kadundwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂c
@StevenMgassa
@StevenMgassa 4 месяца назад
Yani huyo mwakinyo ndo hawezi kabisa kupigana na msouth na hawez akakubali kupigananae maana atapigwa
@officiallnobystar
@officiallnobystar 4 месяца назад
Mimi Kama Mtanzania Twaha Kapigwa Kidunda Kapigwa Hila Nikuambie Ukweri Yule Bondia Wa South Anatumia Akili Sana Ndio Mana Kawapiga Wote Nilio Kutajia Hila Amini Siku Mwakinyo Akiletewa Huyu Bondia Ndipo Utakuja Kumueshimu Mwakinyo
@officiallnobystar
@officiallnobystar 4 месяца назад
Kaka Naomba Fuatilia Ngumi Vizuri
@Dominick-zj6fz
@Dominick-zj6fz 2 месяца назад
❤❤❤
@user-bh1cx7wg5z
@user-bh1cx7wg5z 3 месяца назад
🙏🙏🙏
@takrimasamli7536
@takrimasamli7536 4 месяца назад
Mwakinyo ni real champion
@hemedindege4232
@hemedindege4232 4 месяца назад
Salut mwakinyo hakuna mwingine
@ChesnoldLuhanga
@ChesnoldLuhanga 3 месяца назад
Huyu ndiye bondia wa kweli
@RamadhanKhalfan-tq1go
@RamadhanKhalfan-tq1go 3 месяца назад
Namkubali mwakinyo kwanza anajiamini pili mjur mchezo wa ngumi sio mchrzo wakitoto kwahyo tuondoeni chukizetu zisizokua na faida
@izzahboe1442
@izzahboe1442 4 месяца назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 4 месяца назад
Huyu Hassana anaongea point na kama anavopiga ..ila Tz ujinga tu mwingi ila jamaa anweza kumpiga..Na sikku akimpiga watanzania watatafuta tu sababu ata za maradhi watasema alikuwa anaumwa
@selemanisabihi5994
@selemanisabihi5994 4 месяца назад
Ww kapimwe
@binsalum4339
@binsalum4339 4 месяца назад
WATANZANIA tunaushamba sana,kwani LAZIMA hadi mmpige tafteni bondia mwingine sio huyu huyu,
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 4 месяца назад
Huyu apewe mwakinyo, ,sema uzito wa ibra class ni wa chini ila ibra angemuweza km uzito ungekua sawa.
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 4 месяца назад
Mmmh Ibra ataharisha uwanjani hamuwezi kabisaaa
@zuberihussein5761
@zuberihussein5761 3 месяца назад
Anajua anachofanya.... Sema bongo ukiwa na misimamo tu, we jeuri 😂😂😂😂.. na unafungiwa Busta
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 4 месяца назад
jicho anapiga ili.tujue kweli naomba omba pambano hili
@mgazaabeid5873
@mgazaabeid5873 4 месяца назад
kaka maneno mengi vitendo kidogo, kuwa km wenzio, wamemtaka msouth wamepewa! kiduku amekalishwa, Mjeda Pia amekalishwa!
@mohamedmagongo9348
@mohamedmagongo9348 4 месяца назад
Tatizo lako Mwakinyo unapenda kudandia treni kwa mbele! Yule Dogo Msouth usimchukulie poa, endapo hukienda kichwa kichwa anaweza kukupiga KO ya aibu.
@user-ng4in1ms1m
@user-ng4in1ms1m 4 месяца назад
Bob mchezo wangumi unaujua lakini? Isije ikawa unaongea kwachuki . Na vile vile upiganaji wamwakinyo unaufahamu?
@salamaswahibu5
@salamaswahibu5 4 месяца назад
Mwakinyo kashapgana mechi nyingi ngumu je ushawah kumuona akipigwa k o bondia mzur niyule mwenye maarfa yakupigana nauwezo wakumsoma mpinzan nakujua style yakuchza ili aparfome mfano salim mtango mchnja yohana na ibrah class hao wanapigna kwa nidhamu naufundi ila sio kutumia manguvu nakota kota lazma mchezo uwe mgumu kwa style hyo
@kondradymboya6557
@kondradymboya6557 4 месяца назад
Azam ndo wamegoma kumpelekea maiki??
@user-jo1zp7fj7r
@user-jo1zp7fj7r 4 месяца назад
mamae huyo jamaa anapiga bondia yeyote hapa tanzania achen unafiki watanzania mwamba anajua hkn bondia wakupigana nae
@user-ll4wm3ni3d
@user-ll4wm3ni3d 4 месяца назад
Ww ndio mkukombozi utaoba san
@justinekamala9703
@justinekamala9703 4 месяца назад
Kidunda amepigwa Watanzania wote tumeona mwanzo mwisho, Majaji wetu wanaharibu mchezo wa ngumi,wanapenda sn kubeba beba mabondia wa Tanzania, hawajui wanawaharibia future yao ya kupambana ili nao weweze kufika mbali kidunia,
@user-tt5rn7kc6l
@user-tt5rn7kc6l 4 месяца назад
Umeongea kikubwa na kiufundi sana master champez,ww ndo jicho letu saiv, waweke mawe ya kutosha umwadabishe huyo mtoto wa madiba
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 4 месяца назад
oya champ umeongea kuntu
@hafidhimashaka7231
@hafidhimashaka7231 4 месяца назад
Champez una baya
@fikirimgonanze6756
@fikirimgonanze6756 4 месяца назад
Huyo sasa akiweza kumpiga ndiyo atakae fanya ote tutambu kuwa no one tz
@abelaidan
@abelaidan 3 месяца назад
Kila siku nawaambia huyu jamaa ni professional boxer. Watu wanatumia mihemko kumpinga na kumkataa huyu jamaa
@AbiibakarAlaw
@AbiibakarAlaw 3 месяца назад
Mtetezu wetu ktk boxer y tanzania
@user-iv4nl3zk8w
@user-iv4nl3zk8w 4 месяца назад
Hasan nakukubali sana ila huu mfupa mgumu we kaa embeni waachie wenyewe waambane nao.asije akatuzalilisha huyu dogo
@user-ih4kw5eb3d
@user-ih4kw5eb3d 2 месяца назад
Usijisifu kijana nihatari sana
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 4 месяца назад
Kidunda kabebwa kengele inagongwa bado second 35
@user-zm3ei8tt6h
@user-zm3ei8tt6h 4 месяца назад
Fact
@ErastoKabuje
@ErastoKabuje 4 месяца назад
Kipimo cha huyu mtoto wa madiba ni mwakinyo atamgeuza kipati haludi tena tanzania
@user-jo1zp7fj7r
@user-jo1zp7fj7r 4 месяца назад
mamae km kpigwa kidunda huyo mchza maikoko hawez
@sirkipingu6721
@sirkipingu6721 3 месяца назад
Apo sasa umeongea, ukimtandika uyo haina aja tena ya kupigana na kiduku wa kidunda
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 4 месяца назад
Oya wa nyumbani mwakiinyo nipigie huyo msauzi analeta jeuri sanaa kwa kuja kuja tzn anawachukuliaje huyo
@ezraelsewejo9755
@ezraelsewejo9755 4 месяца назад
Kidunda kapigwa tuache ushabiki ndomana hatusongi mbele
@mwalagokache375
@mwalagokache375 4 месяца назад
Mwakinyo ni binadamu anayeuthamini udugu kwanini mnalizimisha apigane na nduguye wakupigwa ni wageni kaeni mjitambue
@ismailmollel4242
@ismailmollel4242 4 месяца назад
Huyu mwakinyo kuhusu makocha kasema kitu jaman ,,kama makocha wa boxing tz mmesikia hii fatilieni asee
@johnwallace9842
@johnwallace9842 4 месяца назад
Hatuishi kama ndege homeboy tunaishi kwa mifumo.
Далее
Рыбачка
00:14
Просмотров 16 тыс.
Мама хитрая😂​⁠​⁠@ladymilanapap4610
00:16
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
Ronaldo Respect Moments 😍
0:20
Просмотров 12 млн