Rais wa Naccoz, Mafua amesimulia mkasa aliwahi kukutana nao enzi akijihusisha na matukio ya ukabaji na kusema kuwa aliwahi kupigwa mpaka akapoteza fahamu na akamwagiwa mafuta ili achomwe moto.
Moto ulipoanza kuwaka mvua ikaanza kunyesha na hapo akaamka na kuanza kukimbia.
23 авг 2024